Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhushilimu bho ng’wa munhu ntale. Ubhushilimu bhunubho bhugiyolechaga bho gub’ub’isa ubhuhub’i bho ntale. Ulu uhub’a mhayo untale ng’wunuyo adulile nulu gunsayila ungi uyo alindoo.
Abhanhu bhagikalaga bhadeb’ile igiki untale hung’wene uyo ohub’aga, aliyo bhagogohaga ugung’wila iki alintale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ung’wunuyu ntale obashilimu.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagitaga mihayo ya bhub’i bhabhasayila bhichab’o abho bhali bhadoo. Abhanhu bhenabho bhagogohaga gujimija ikujo lyab’o, umubhutongeji ubho bhalinabho, umuchalo jab’o. Abhanhu abho bhabhudeb’ile ubhushilimu bhobho, bhagayombaga giki, ‘ung’wenuyu ntale ob’ashilimu.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhushilimu bho gub’asayila bhangi, ubhuhub’i bhobho. Yigelelilwe bhab’atongele chiza ab’ichab’o, umuwikaji bhobho.
Luka 16:1-8.
KISWAHILI: HUYU NI KIONGOZI WA WAJANJA.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ujanja wa mtu mkubwa au kiongozi. Ujanja huo hujionesha kwa kuficha makosa yake kiongozi huyo. Kiongozi huyo akikosea neno humsingizia ng’wingine ambaye ni mdogo.
Watu huwa wanafahamu kwamba kiongozi huyo ndiye mwenye kosa, lakini huwa hawathubutu kumwambia kwamba amekosea, kwa sababu ni kiongozi. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘huyo ni kiongozi wa wajanja.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao hutenda maovu na kuwasingizia wengine waliochini yao. Watu hao huogopa kupoteza heshima yao kwenye uongozi walio nao kijijini mwao. Watu ambao wauelewa ujanja huo husema kwamba, ‘huyu ni kiongozi wa wajanja.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ujanja wa kuwasingizia wengine uovu wao. Yafaa watu hao wawaongoze wenzao vizuri, maishani mwao.
Luka 16:1-8.
ENGLISH: THIS IS A LEADER OF THE CUNNING ONES.
The source of the above saying comes from the cunningness of a great man or leader. This tactic manifests itself by hiding the leader’s mistakes. If the leader makes a mistake, he blames another person who is junior to him/her.
People often know that the leader is at fault, but they dare not to tell him/her that he/she is wrong because he/she is a leader. This is why those people say, ‘this is a leader of the cunning ones.’
The saying is compared to people who do bad things and accuse others who are junior to them. Such people are afraid of losing respect in their leadership. People who understand their tricks will say, ‘this is a leader of the cunning ones.’
This saying teaches people to stop shouldering their weaknesses to their subordinates. Such people need to behave well by admitting their mistakes.
Luke 16: 1-8.