Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutumami bho milimo na bhumaji bhoyo. Abhanhu abhalendelezu, bhagatumamaga milimo yao hadohado. Abhanhu bhenabho bhagadilaga uguimala imilimo yabho yiniyo.
Aliyo lulu, abhanhu abhasangabhazu bhagaitumamaga imilimo yabho bho wangu wangu, na guyimala bho makanza maguhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalib’agokolo ugutumama umilimo. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga nyalendelezu, kunguno bhadina bhukalalwa bho guitumama imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagab’akomelejaga bho gubhawila giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo, kugiki bhadule guyimala wangu imilimo yabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhabhize na bhukamu bho guitumama na kuimala chiza imilimo yiniyo, kugiki idule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Yoh 21:4-7
KISWAHILI: KAZI HUMALIZWA NA WACHANGAMFU.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ufanyaji wa kazi na umalizaji wake. Watu waliozubaa hufanya kazi zao pole pole. Watu hao huchelewa kuzimaliza kazi zao hizo.
Lakini watu wale ambao ni wachangamfu, hufanya kazi zao kwa haraka kiasi cha kutosha kuzimaliza kazi hizo mapema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wavivu na wazembe wa kufanya kazi. Watu hao hufanya kazi zao kizubavu kwa sababu wao huwa hawana hamu ya kufanya kazi. Ndiyo maana watu huwahimiza watu hao kwa kusema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uvivu na uzembe wa kufanya kazi, ili waweze kuzimaliza kazi zao mapema kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi. Yafaa watu hao wawe na bidii ya kufanya kazi zao hizo kwa haraka kiasi cha kutosha kuwaletea maendeleo, maishani mwao.
Yohane 21:4-7.
ENGLISH: THE ACTIVE ONES WILL ALWAYS FINISH THEIR WORKS
The source of the above saying is the presence of active individuals who are liable to finish their works, if compared to the lazy ones. Lazy people will always do their works in a very slow manner but those who are fast can finish it within or before the given time.
The saying is compared to people who are slow in doing things. These people do their jobs lazily and they cannot finish it on time. This is why such people are being warned by telling them that ‘the active ones will always finish their works.’
The saying teaches people about avoiding laziness behavior in order for them to finish their given works as early as possible. These people must be diligent enough to finish their works on time in order to bring about development in their lives and the society in general.
John 21: 4-7.