sayings

792. JIGONGWA NWILE.

Akahayile kenako, kalolile jiliwa ijo alijilomba unwile ajilye. Olihoyi nwile uyo agayomba, “nenhelaji numbu nalye.” Abhalwaja bhakwe bhagazunya bhaliyomba, “lyehaga dugwenhele.”

Abhanhu bhenabho, bhagajichola inumbu jinijo mpaga bhujipandika na gunchalila unsadu obho, kunguno bhahayile apandike nguzu ja gung’wela bhugota. Hunagwene abhanhu bhenabho bhajitanaga ijo alijilomba unwile giki, “jigonjwa nwile.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutogwa bho gubhalonja chiza abhalwile bhakwe, umukikalile kakwe. Munhu ng’wunuyo, agabhagolaga abhasadu bhakwe bho gutumila hela jakwe, umukikalile kabho. Uweyi agabhutumilaga ubhutogwa bhokwe, bho gubhachobhela ijiliwa ijo bhalijilomba abhasadu bhakwe bhanebho.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga na bhalwaja bha nwile abho bhagancholela numbu ulya unwile obho ijo ojihayaga, kunguno nuweyi agabhagolaga chiza abhasadu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga ijo bhalilomba abhasadu giki, “jigongwa nwile.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho kubhagola chiza abhasadu bhabho ijina gubhachobhela ijo bhalijilomba, kugiki bhadule gung’wa bhugota chiza na gupila wangu, umuwikaji bhobho.

Marko 1:29-31.

Yohana 19:28-29.

KISWAHILI: KITAMANIWA MGONJWA.

Msemo huo, huangalia chakula kile ambacho mgonjwa anakiomba akile. Alikuwepo mgonjwa mmoja aliyeomba chakula akisema, “nileteeni viazi nile.” Watunzaji wake walijibu, “tulia tukakueletee.”

Watu hao, pamoja na kwamba hawakuwa navyo hivyo viazi, walitafuta mpaga wakavipata na kumpelekea mgonjwa wao. Ndiyo maana walikiita kile anachokitaka mgonjwa kwamba, ni “kitamaniwa mgonjwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye upendo wa kuwatunza vizuri wagonjwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitahidi kuwatafutia wagonjwa wake hao kile wanachokitaka mpaka anakipata hata kwa kutumia mali zake mwenyewe, katika maisha yake. Yeye huutumia upendo wake kwa kuwatafutia wagonjwa chakula wanachotaka, kila wanapokihitaji.

Mtu huyo, hufanana na watunza mgonjwa waliomtafutia viazi mgonjwa wao mpaka wakavipata, na kumpelekea, kwa sababu naye huwatunza wagonjwa wake kwa kuwapatia mahitaji yao vizuri. Ndiyo maana yeye hukiita kile anachokitaka mgonjwa kwamba, ni “kitamaniwa mgonjwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwatunza vizuri wagonjwa wao kwa kuwatafutia chakula wanachokihitaji, ili waweze kunywa dawa vizuri na kupona haraka, maishani mwao.

Marko 1:29-31.

Yohana 19:28-29.

tongues grilled-meat

dried meat.jpg1

baby

ENGLISH: THE DESIRED BY A PATIENT.

The above saying looks at the food that the patient is asking for to eat. There was a patient who asked for food by saying, “Bring me some potatoes.” Their guardians replied, “Calm down and we will bring them to you.”

These people, although they did not have those potatoes, searched for them until they found and sent them to their patient. That is why they called what the patient wanted, “the desired by a patient.”

This saying is likened to a man who knows how take good care of his patients, throughout his life. This man strives to provide his patients with what they want until he gets it even by using his own property, in his life. He uses his true love to provide the sick persons with the food they need, whenever they do so.

This person is like the patient care taker who provided their sick with needed potatoes, because he also takes care of his patients by providing them with their special needs in life. That is why he calls what the patient wants, “the desired by a patient.”

The saying teaches people on how to take good care of their patients by providing them with the food they need, so that they can take needed medicine and recover quickly in their lives.

Mark 1: 29-31.

John 19: 28-29.

 

 

791. ISABHO JIDOKAJIYAGWA.

Aliyoyi munhu umo uyo oli nsuluja omajikolo mingi. Umunhu ng’wunuyo, ohayaga ajikwije ihela mpaga jokale. Kuyiniyo lulu, lushigu lumo aja munhu gujulomba bhugunanhwa kuli weyi aliyomba, “naliomba unigunane hela nagagulile jiliwe ja gulya aha kaya yane.” Unsuluja ng’wunuyo, ashosha, “nadudula ugugwinha kunguno natali ugujikwija ihela jinijo.”

Aho ntondo yaho, unombi o wambilijiwa ng’wunuyo agalomba hangi, “naliomba unigunanage lulu ilelo ulu ojikwijaga ihela jinijo.” Unsuluja ng’wunuyo, agalema hangi aliyomba, “natali ugujikwija, ulu nujokaja nagugugunana.”

Oganoga nose uhabhipa unsuluja ng’wunuyo, adangunanile umunhu uyo olombaga bhugunanhwa. Ahikanza linilo, agandya gushoga gwizuka giki, ninga niongunana umunhu uyo alina makoye ng’wunuyo, aho oli najo ningi isabho. Hunagwene abhanhu bhang’wila giki, “isabho jidokajiyagwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhagunaga abhiye abho bhagajaga gujunomba kuli weyi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajidalahijaga isabho ijo alinajo bhuli ikanza. Uweyi ahayile ajikuminge isabho mpaka jikwile hunawandye ugubhambilija abhiye, kunguno adadebhile igiki, adulile gucha, nulu guhabhipa ahashigu ijahabhutongi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsuluja uyo agalema ugungunana umunhu uyo olina makoye, kunguno nuweyi adabhagunanaga abhanhu abho bhagajaga gujunomba abhambilije, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “isabho jidokajiyagwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guzunya gubhagunana abho bhagalombaga wambilijiwa ubho bhalibhuduja, kugiki bhadule, kupandika mbango ja kubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 8:12-13.

Luka 21:1-4.

KISWAHILI: MALI HAZIJAZWI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa mfanya biashara wa vitu vingi. Mtu huyo, alitaka kukusanya pesa mpaka zijae. Kwa hiyo basi, siku moja maskini alienda kuomba msaada kwake akisema, “naomba unisaidie pesa nikanunulie chakula ili niweze kula nyumbani kwangu.” Mfanya biashara huyo alijibu, “siwezi kukusaidia kwa sababu pesa hazijawa nyingi.”

Kesho yake, yule maskini alimuomba tena, akisema, “naomba unisaidie basi kwa siku ya leo kama hizo pesa zimekuwa nyingi.” Yule mfanya biashara alikataa tena akisema, “pesa hazijawa nyingi, nikizijaza nitakusaidia.” Mwishowe, yule mfanya biashara alifilisika, mpaka akaanza kukumbuka kwamba, angemsaidia yule maskini alipokuwa na mali. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mali hazijazwi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuwasaidia wahitaji wale wanaomumba msaada wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huendelea kuidharau mali anayoipata maishani mwake. Yeye hutaka akusanye mali nyingi zaidi ndipo akubali kuwasaidia maskini, kwa sababu ya kutokuelewa mwisho wa maisha yake, na kile kitakachompata kwenye siku mbeleni.

Mtu huyo, hufanana na yule mfanya biashara aliyemnyima yule maskini msaada alioumba kwake, kwa sababu naye, huwanyima wale wanaomwendea wakiomba msaada wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mali hazijazwi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuwasaidia wahitaji wanaoomba msaada kutoka kwao kwa kile wanachoweza kuwasadidia, ili waweze kupata Baraka za kufanikiwa zaidi, maishani mwao.

2Wakorintho 8:12-13.

Luka 21:1-4.

cattle

sheep3

goats3

ENGLISH: WEALTH IS NOT FILLED (MONEY IS ALWAYS NOT ENOUGH).

There was one man who was a merchant of various things. He wanted to raise money until it was full. So one day a poor man went to him asking for help, saying, “Please help me to buy food so that I can eat at home.” The businessman replied, “I cannot help you because there is not much money.”

The next day, the poor man begged him again, saying, “Please help me some for today if that money is full.” The businessman again refused, saying, “I don’t have much money, if I fill it up I will help you.” Eventually, the businessman went bankrupt, until he began to realize that he could help the poor man when he was rich. That is why people said to him, “wealth is not filled (Money is always not enough).”

This saying is likened to a person who refuses to support the needy who seek his assistance in his life. Such person continues to despise the possessions he acquires in his life. He wants to accumulate more wealth and then he will start helping the poor, because he does not understand the end of his life, and what will happen to him in the future.

This person is like the businessman who refused to help the poor person who asked help from him, because he too denies those who approach him seeking help in his life. That is why people say to him, “wealth is not filled (Money is always not enough).”

This saying instills in people an idea of helping the needy who need help from them in what they can support them with, so that they can receive blessings of greater success in their lives.

2 Corinthians 8: 12-13.

Luke 21: 1-4

789. WAJAGA NA NDA YAKWE.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya nda ya ng’wa munhu uyo ozumalikaga. Umunhu ng’wunuyo, agoyaga ugutubha kunguno ya goya ugwiigwa. Abhanhu abho bhagampinihalilaga mpaga bhaduma ugutumama imilimo yabho, bhagakomelejiywagwa gwendelea na milimo kunguno abhoyi bhatali bhulya ijiliwa, alu njimiji ung’wene, ojaga na nda yakwe. Huangwene abhanhu bhayombaga ulu munhu ozumalikaga giki, “wajaga na nda yakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga makoye apinihala mpaka oduma ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agazongaga noyi mpaga ogayiwa inguzu ja gwendelea uguitumama chiza imilimo yakwe kunguno ya gwendelea gugizuka amakoye ayo gampandikaga. Uweyi agiyenhelejaga nose kupandika makoye gangi ayo gali kihamo na gugayiwa ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya gwikala makanza malihu bho nduhu ugutumama imilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagachilwa na ng’wichabho bhumpinihalila mpaga bhoya uguitumama imilimo yabho, kunguno nuweyi, agadumama ugutumama imilimo yakwe, ulu opandikaga makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki amakoye ayo gabhita gikolile nu munhu uyo, “wajaga na nda yakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija bho gugamala wangu amakoye ayo bhali nago, umukikalile kabho, kugiki bhadule guitumama chiza imilimo yabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:19.

KISWAHILI: AMEENDA NA TUMBO LAKE.

Msemo huo, huongelea juu ya tumbo la mtu aliyefariki dunia. Mtu huyo, hukoma kujisikia njaa kwa sababu ya kukoma kujihisi. Hivyo, watu wanaomhudhunikia mpaka kufikia hali ya kushindwa kuyatekeleza majukumu yao, huhimizwa kuendelea na kazi zao kama kawaida, kwa sababu wao wanahitaji kula, lakini aliyefariki ameenda na tumbo lake. Ndiyo maana watu hao huambiwa kwamba aliyefariki, “ameenda na tumbo lake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhudhunika kwa muda mrefu kila anapopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hufikia hali ya kushindwa kuyatekeleza majukumu yake ya kila siku kwa sababu ya kuendelea kulifikiria tatizo lililopita katika maisha yake. Yeye hujikuta mwishowe amepata matatizo mengine, yakiwemo yale ya kukosa chakula katika familia yake, kutokana na kukaa kwa muda mrefu bila kufanya kazi.

Mtu huyo, hufanana na wale waliacha kufanya kazi zao kwa sababu ya kufiwa na mwenzao, kwa sababu naye hushindwa kuyatekeleza majukumu yake kwa sababu ya kuyafikiria matatizo yaliyopita, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, matatizo hayo ni sawa na mtu aliyefariki ambaye, “ameenda na tumbo lake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyamaliza mapema matatizo wanayokumbana nayo, katika maisha yao, ili waweze kuendelea kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mwanzo 3:19.

dead1

dead3

dead4

ENGLISH: HE/SHE HAS GONE WITH HIS/HER STOMACH.

This saying speaks of an abdomen of a deceased person. Such person, in turn, ceases to feel hungry because he/she has ceased to live. Thus, people who think about him/her to the point of failing to carry out their duties are encouraged to continue with their daily work as usual, because they need to eat, but the deceased has gone with his/her stomach. That is why these people are told that the deceased, “has gone with his/her stomach.”

This saying is applied to the person who suffers for a long time whenever he/her has problems, in his life. This person becomes unable to carry out daily responsibilities because of continuing to think about the past problem in life. He/She finds him/herself eventually suffering other problems, including malnutrition in the family, due to the prolonged inactivity.

This person is like those who stopped working because of the loss of their relative, because he or she also fails to fulfill his or her responsibilities because of thinking about past problems, in his or her life. That is why people tell him/her that these problems are the same as the death of a person who has “gone with his/her stomach.”

This saying imparts in people an idea on how to be patient to the point ending up the problems which they faced, in their lives, so that they can continue working for fulfilling their daily responsibilities in life.

Genesis 3:19.

767. MINO GAPE KUDI MOYO.

Akahayile kenako, kalolile bhupe bho mino ga ng’wa munhu. Abhanhu abho bhalimona umunhu ng’wunuyo bhagagalolelaga amino agape genayo. Ulu bhagabhona bhagagalenganijaga nu moyo go ng’wa munhu uyo alina bhuyegi nabhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina moyo go gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutogwa bho nhana ukubhunhu. Uweyi agatumamaga milimo yakwe bho moyo gope, kugiki adule gupandika jikolo ja kutumamila na gubhambilija abhiye abho bhali na makoye.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuo mino gape guti moyo, kunguho nuweyi aina moyo gope, ugo gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go bhutogwa bho gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho mholele. Igelelilwe abhadebhe igiki, ubhiza bho ng’wa munhu bhuli mu moyo gokwe.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

KISWAHILI: MENO MEUPE KAMA MOYO.

Msemo huo, waangalia weupe wa meno ya mtu. Watu wanaokutakana naye mtu huyo huyaona Meno yake hayo meupe. Wanapoyaona huyalinganisha na moyo wa mtu anayeishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu hao humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana upendo wa kweli kwa watu anaoishi nao. Yeye hufanya kazi zake kwa kushirikiana vizuri na wenzake ili aweze kupata mafanikio ya kutumia yeye na kuwasaidia wahitaji.

Mtu huyo, hufanana na yule aliye na meno meupe kama moyo, kwa sababu naye ana moyo wenye upendo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wenye moyo wa upendo wa kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza majukumu yao kwa amani maishani mwao. Yafaa waelewe pia kwamba uzuri wa mtu uko kwenye moyo wake.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

white teeth

african-girl

laugh

ENGLISH: WITH TEETH AS PURE AS THE HEART.

The above saying looks at the whiteness of one’s teeth. People who meet such a person see his/her white teeth. When they see them, they compare them to the heart of a person who lives well with others in their societies. That is why they say, “with teeth as pure as the heart.”

This saying is applied to the person who lives well with people in the daily life. Such person, in turn, has genuine love to the people around him/her. He/she does his/her job by cooperating well with others so that they can together find success in using their talents for helping those who in great need.

This person is like the one who has white teeth like a heart; because he also has a loving heart enough to live well with people, in life. That is why people call him/her the “with teeth as pure as the heart.”

This saying teaches people about having a loving heart for living well with their societal members, in their lives, so that they can peacefully carry out their responsibilities in their lives. They should also understand that a person’s beauty is in his/her heart.

Matthew 7: 15-19.

1 John 4: 1-3.

741. BHAGOYANGI BHADINA MBINA NDO.

Akahayile kenako, kalolile bhabhini bha mbina abho bhagitanagwa bhagoyangi. Abhabhini bhenabho, bhagafunyama nzoka ulu bhandya ugubhina mbina jabho. Abhanhu bhenabho, bhaga muchalo jilebhe bhugajifunya nzoka jabho jinijo, aliyo bhali hoyi bhanhu bhadadu duhu ahenaho.

Hunagwene abhanhu aho bhabhona chene bhagayomba giki, “bhagoyangi bhadina mbina ndo.” Ubhunubho huna bhub’iza wandijo bho kahayile kenako, kunguno, abhab’ini abhangi bhagafunyaga nzoka ulu bhanhu bhukwila aha mbina yiniyo.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga nguzu ningi, ku jikolo jidoo, nulu umugutumama nimo ndoo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adulile nulu gubhucha ngong’ho gujupigila mhumbi, kunguno adadebhile ugulinganija ijilanga jakwe ni ndimu iyo aligibhulaga. Uweyi agatumamaga imilimo yakwe gitumo alitogelwa, kunguno ya wangu bhokwe bho gupelana, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na bhagoyangi abho bhagafunyaga nzoka ulu bhandya ugubhina nulu bhagab’iza bhalihoyi bhanhu bhatatu du hoyi, kunguno nuweyi agatumilaga nguzu ningi nulu alitumama nimo ndoo duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki,  “bhagoyangi bhadina mbina ndo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala ga gulinganija chiza imiliimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadizumala nguzu jabho sagala, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:20.

Mathayo 13:31.

KISWAHILI: WAGOYANGI HAWA NA NGOMA NDOGO.

Msemo huo, ulianzia kwa wacheza ngoma wanaoitwa wagoyangi. Wagoyangi hayo ni wana mchezo wa ngoma ya kutumia nyoka. Watu hao, huwatoa hao nyoka wanapoanza tu kucheza. Hivyo, watu hao walifika kwenye kijiji kimoja, ambapo waliwatoa nje hao nyoka nje wakati watu waliokuwepo hapo walikuwa wawili tu.

Ndiyo maana watu walipoona hivyo, walisema, “wagoyangi hawana ngoma ndogo.” Huo ndiyo ukawa mwanzo wa msemo huo, kwa sababu wachezaji wa makundi wengine, husubiri mpaka wawepo watu wengi zaidi, ndipo hufikia hatua ya kuwatoa nje hayo nyoka.

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia nguvu kubwa kwenye kitu kidogo, katika maisha yake. Mtu huyo, aweza hata kuchukua bunduki kwenda kuulia panzi, kwa sababu yeye hajui kulinganisha silaha zake na kitu anachoenda kukiua, maishani makwe.  Yeye hufanya kazi zake kwa kadiri anavyotaka, kwa sababu ya wepesi wake wa kukasilia.

Mtu huyo, hufanana na wagoyangi ambao hutoa nyoka nje kata kama kuna watu watatu tu kwenye ngoma yao, kwa sababu naye hutumia nguvu kubwa kwenye kazi ndogo, pia hukasilishwa hata na jambo dogo zaidi. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wagoyangi hawana ngoma ndogo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili ya kuwawezesha kutumia nguvu inayolingana na kazi wanazozifanya, katika maisha yao, ili wasizipoteze bure nguvu zao, maishani mwao.

Mathayo 18:20. “Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.””

Mathayo 13:31. “Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua akaipanda shambani mwake.””

wagoyangi africa

south-africa2

wagoyangi samburu