sayings

385. B’ANANGWA B’ALYA NA MBOZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukikalile ka b’anangwa. Ikale bhaliho b’atongeji ab’o b’itanagwa b’anangwa. Ulu munhu wiliwa b’ujiku olalaga hali ng’wanangwa. Mumo agab’izila umunhu ng’wunuyo, nulu ab’ize alina mbiji, adupejiwa. Hunakub’iza kahayile igiki, ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adakomanyaga abhanhu aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agab’abokelaga pye abhanhu na gub’agola chiza bho gub’achumbela majiliwa. Uweyi agalyaga na b’iza na bhab’i. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki. ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gub’akomanya abhanhu, kunguno  ya kigelele kab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

KISWAHILI: WAJUMBE WALA NA VILIVYOOZA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya wajumbe wa vitongoji. Zamani walikuwepo viongozi waliojulikana kama wajumbe. Mtu akifika usiku kwenye kitongoji hicho, alilala kwa wajumbe hao. Watu wa aina mbalimbali walilala, hata na wale wenye ukoma walilala kwa wajumbe hao. Ndiyo ukawa msemo kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye habagui watu nyumbani kwake. Mtu huyo huwakaribisha wote na kuwatunza kwa kuwapatia chakula kizuri. Yeye hula na wazuri na wabaya pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hufundisha watu juu kuacha tabia za kubagua watu kwa sababu ya muonekano wao mbaya, ili waweze kuishi kwa amani wa wenzao maishani mwao.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

 

racial-segregation

migration

 

ENGLISH: CHIEFS EAT WITH EVERYONE.

This saying has its origin in village where chiefs used to receive people of different calibers. These chiefs used to receive guests who visited them and they could eat together without considering their differences in terms of social classes. It included rich, poor and leper visitors. When this was happening, people could describe this scenario that ‘chiefs eat with everyone.’

The saying can be compared to someone who does not discriminate people in his/her home. Such people can welcome others and take care of them by providing them with all necessities for their stay in the compound.

The saying teaches people to stop discriminating others because of their appearance. In so doing, they will be able to live a decent life without quarreling with others.

Matthew 11:28.

Acts 10:34.

382. KALYA KANITUMBUKILA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku jisumva ijo jigalyaga jiguta na kundosa uyo ojilishaga. Ijisumva jinijo jigatub’aga na gwandya kulomba jiliwa ja gulya kubhichajo. Aliyo lulu, ulujinhiwa ijiliwa jinijo, julya mpaga jiguta, jigandosaga uyo ojilishaga b’o gwandya gundukila sagala. Hunagwene uyo ujilishiga agayombaga giki. ‘kalya kanimbukila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atina bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga. Umunhu ng’wunuyo uyo wambilijiwa mpaga winga umumakoye, agandyaga gung’witila ya bhub’i uyo ong’wambilijaga, kihamo na gung’wima ginhu josejose ung’wambilija okwe ng’wunuyo. Hunagwene umunhu uyo ong’wambilijaga agayombaga giki, ‘kalya kanitumbukila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na b’ulumbi ukub’anhu abho bhagab’ambilijaga ugwinga umumakoye gabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

 Yohane 13:18.

KISWAHILI: KAMEKULA KAKANITUKANA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hulishwa chakula na kumtukana yule aliyekilisha chakula hicho. Kiumbe hicho hushikwa njaa sana kiasi cha kufikia hatua ya kuomba chakula hicho kwa wale walicho nacho. Lakini baada ya kupewa chakula hicho kikala na kushiba, huanza kumtukana yule aliye kisaidia. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana shukrani kwa watu waliomsaidia, mpaka akatoka kwenye matatizo yaliyokuwa yakimsumbua. Mtu huyo huusahau wema aliotendewa ambaye huanza kumtukana mtu aliyemsaidia, hata humunyima chochote amombacho yule aliyempatia msaada huo. Ndiyo maana mtu huyo, humwambia yule aliyekosa shukrani kwamga, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na shukrani kwa watu waliowasaidia maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

kneeling

 

ENGLISH: EATEN AND ABUSED THE COOK.

This saying originates from people who get food and in return abuse the cook. It is built in the context that someone, who is hungry enough and in need of food but after having eaten to his/her satisfaction, he/she turns against the cook and abuses him/her. Such people can be warned by this saying that they have ‘eaten and abused the cook.’

The saying can be compared to a person who is ungrateful to the people who helped him/her. Such people tend to forget easily the help they get from others.

The saying teaches people about being thankful to the people who helped them in their lives so that they can live in peace with others.

Proverbs 21:24.

Psalm 9: 4.

378. BHULUGU BHO NUMBU BHOGULYA NA BHABHUYU

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho numbu. Ubhuli bhunubho bhuli bho pye abhanhu, kunguno inumbu itiniguha. Kuyiniyo lulu, igaliyagwa nabho bhalina  bhuyu, kunguyo ya bhunogolelu bhoyo, na hangi ilindonu noyi. Abhanhu bhayitogilwe uguilya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’o gulya na b’ab’uyu.’

Akahayile kenako kayalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugub’agalila chiza abhanhu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ijo bhalijihaya abhanhu bhakwe bhenabho. Abhanhu nabho bhatogilwe ugwikala nang’hwe nungaliji obhanhu ng’wunuyo, kunguno uweyi aliobhanhu bhose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’ogulya na b’ab’uyu.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhagalila chiza pye abhanhu ,bho nduhu ugubhakomanya magele, kugiki bhadule ugujib’eja chiza ikaya jabho.

Hangi, nu Yesu adabhakomanya abhanhu abho bhali na moyo ng’wela ugwegela aha bhukaristia, pye na bhab’uyu agegeleja duhu.

Mathayo 26:26-28.

KISWAHILI: VITA VYA VIAZI NI KULA HATA VIBOGOYO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa viazi. Ulaji huo ni wa watu wote, kwa sababu viazi havina mfupa. Kwa hiyo basi, huwa vinaliwa hata na watu ambao ni vibogoyo, kwa sababu ya ulaini wake, na utamu wake pia. Watu hupenda kuvila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu kuwatunza watu wake kwa kuwaandalia vyakula vizuri. Mtu huyo afahamu mahitaji ya watu wake hao. Watu wake nao hupenda kuishi naye mtunzaji huyo mzuri wa watu wote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza watu wote bila ubaguzi wa kuwagawa katika makundi watu hao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yesu habagui watu wenye moyo safi katika kuishiri Ekaristi Takatifu, hushiriki wote hata na vibogoyo, bila ugaguzi.

Mathayo 26:26-28.

food-potatos

 

ENGLISH: THE FIGHT FOR POTATOES EVEN TOOTHLESS PEOPLE ARE INVOLVED.

The source of the above saying comes from potatoes. Potatoes as food are consumed by all people, even toothless ones because potatoes do not have bones. Children and adults as well can eat them without problems and is one of the food stuffs that is liked by the majority of the people.

The saying can be compared to someone who knows how to take care of his/her people by preparing good food. Such a person is aware of the needs of his/her people. His/her people would love to live with this wonderful caretaker of all people. This is why people can say, ‘the fight for potatoes even toothless people are involved.’

The saying teaches people to take care of all people without prejudice. They don’t have to divide people into groups rather consider them as equals before God.

Jesus does not discriminate people in sharing the Holy Eucharist. He invites them to participate in His holy union.

Matthew 26: 26-28.

377. CHELEMENGO ADALYAGA JABHUBHI

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa jawiza bho ng’wa Chelemengo. Ijiliwa jinijo jigaliyagwa bho bhuyegi, kunguno ya wiza bhojo ubho b’ugan’winhaga unii ojo, nhumbu nhale ya kujilya.

Aliyo lulu, ijiliwa ija bhub’i jiginjaga inhumbu ya gujilya, kunguno amiso ga bhali bhajo, gadatogagwa ujibhona. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nhungwa jawiza umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agabhalelaga chiza abhanhu bhakwe, kunguyo ya kikalile kakwe akagubhatogwa na gubhambilija abho bhali mumakoye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ub’i, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwikala bho mholele na b’ichab’o.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

KISWAHILI: CHELEMENGO HALI VYAKULA VILIVYO VIBAYA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula kilicho kizuri, wa Chelemengo. Chakula hicho huliwa kwa furaha na walaji wake, kwa sababu ya uzuri ambao humpa mlaji hamu ya kuendelea kukila.

Lakini basi, chakula kilicho kibaya au kichafu, huondoa hamu ya kukila kwa walaji wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa na tabia njema maishani mwake. Mtu huyo huwalea vizuri watu wake, kwa sababu ya mwenendo wake mzuri, wa kuwapenda watu na kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

steak-

ENGLISH: CHELEMENGO DOES NOT FEED ON BAD FOOD.

The source of the above saying comes from Chelemengo and its habit of eating good food. This food, because is good, it is happily eaten by its consumers and it gives them the desire to continue eating it. On the contrary, bad food takes off the consumers’appetites. This is why people say ‘Chelemango does not feed on bad food’ to mean the need for having good food in life.

This saying can be compared to someone who has good manners in life. Such a person is likely to nurture other people well because of his/her good conduct, loving people and helping others.

The above saying teaches people to break free from evil practices in their lives so that they can live in peace with others.

Luke 16: 3-4.

Luke 16:19.

371. TULO LUFU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli Lufu na Tulo. Ijisumva ijo jigeshemaga jigalalaga tulo ib’ujiku. Ijisumva jinijo ulu julala jigab’izaga guti jachaga, kunguno jidamanaga jose jose. Gashinaga lulu ub’ujiku b’ugalihaga guti ng’waka (b’ujiku ng’waka). Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘tulo lufu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga chiza na bhanhu bhakwe, haho adinaja ugujulala ib’ujiku, kunguno adeb’ile igiki, bhuli jisumva jilacha.

Umunhu ng’wunuyo agabhalangaga na bhiye ahigulya ya gutumama milimo yabho bho gub’ambilija abhichabho gwikala bho mholele, na bhanhu, haho b’adinacha, kunguno bhadamanile ulushigu ulogucha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘tulo lufu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutogwa gwikala bho bholele na bhichabho, kugiki, ulub’ucha bhadule gubhalekela ilange lyawiza, abhananzengo bhab’o.

Yakobo 4: 16-17.

 Isaya 33:8.

Isaya 28:22.

KISWAHILI:USINGIZI KIFO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye usingizi na kifo. Viumbe wapumuao hulala usingizi wakatik wa usiku. Viumbe hao wakilala hawa hawajitambui, kwa sababu wao huwa kama wamekufa. kwa vile huwa hawatambui jambo lolote. Kumbe basi, usiku huwa mlefu kwa mwaka  (usiku mwaka). Ndiyo maawa watu husema kwamba, ‘usinzizi kifo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huishi vizuri na watu wake, kwa sababu yeye afahamu kwamba, kila mmoja atakufa. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake juu ya kuishi kwa amani na watu kabla ya kufa, kwa sababu wahaijui siku ya kufa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tulo lufu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kupenda kuishi kwa amani na wenzao, ili waweze kuwaachia urithi wa kufaa maishani mwao.

Warumi 6:15-23.

Waefeso 2:1-4.

baby

 

ENGLISH: SLEEPING IS DEATH.

The source of the above saying comes from sleep and death. At night time, breathing organisms always fall asleep. These sleeping beings do not make sense of themselves when asleep. They appear like being dead. This is why people can tell such people that ‘sleeping is death.’

The saying can be compared to someone who lives well with his/her people because he/she knows that everyone will eventually die. Such a person also teaches his/her colleagues how to live in peace with people before they die because they do not know the day of their death. This is why people can say, ‘sleeping is death.’

The saying teaches people about a need to live in peace with neighbors so that they can leave a legacy for living a good life on earth.

Romans 6: 15-23.

Ephesians 2: 1-4.