sayings

417. UBHUYEGI BHO WINGA BHUGALUKA GUBIZA JIGANO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhalihawinga. Ulu gwigela mhayo go gukamaja hoyi, guti ntolwa guja gujilekeleja na ugapulwa na ngosha ungi, ubhuyegi bhugashilaga. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘ubhuyegi bho winga bhugaluka gubhiza jigano.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayegaga ogita na mihayo ya soni, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gulya jiliwa wiguta mpaga wandya gubhasondagula abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomgaga giki ‘ubhuyegi bho winga bhugaluka gubhiza jigano.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwita mihayo ya guponda soni abhanhu, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhobho, shigu jose.

Matendo ya mitume 9:1-9.

KISWAHILI: FURAHA YA HARUSI IMEGEUKA KUWA HADITHI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu walioko kwenye sherehe ya harusi.  Likitokea tukio la kushangaza, kama vile bibi harusi kwenda kujisaidia na kutoroshwa na mwanaume mwingine, furaha yile waliyokuwa nayo watu huisha. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘furaha ya harusi imegeuka kuwa hadithi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufurahi mpaka kufikia hatua ya kufanya vitendo vya aibu mbele ya watu aishio nao.

Mtu huyo aweza hata kula chakula akashiba na kuanza kuwasimanga watu wake. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘furaha ya harusi imegeuka kuwa hadithi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kusema maneno ya kuwaibisha watu, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao siku zote.

Matendo ya mitume 9:1-9.

active couple

escape

 

ENGLISH: THE WEDDING HAPPINESS HAS TURNED INTO A STORY.

The source of the above saying comes from the wedding ceremony. During wedding ceremony we expect most of the people to be in a jovial mood. But, it may happen that the bride leaves the stage for a short call then instead elopes for another man thus causing the entire ceremony turn into a traumatic story. When it happens so, people can say ‘the wedding happiness has turned into a story.’

This saying can be compared to a person who enjoys something to the point of committing acts of shame in the eyes of other people around that place. This person, because of extreme joy, may overfeed thus, instead of making people continue enjoying the event they end up getting a new and tragic story of someone who suffers from overfeeding.

The saying teaches people to stop making derogatory remarks. This will enable them to have good life people around them.

Acts 9: 1-9.

416. ILAMBO LYAKAMA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukami bho lilambo. Ubhukami bhunubho bhugenhega maluho ukujisumva ijo jigikalaga umu lilambo linilo.

Ijisumva jinijo jilikihamo na: bhudagala, ndilo, danga, ng’wina na jingi ningi, ijo jigikilaga umu lilambo linilo. Hunagwene abhanhu ulu bhugabhona amaluho ga jisumva jinijo, bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina nsabhi obho uyo bhang’wisanije. Abhanhu bhenabho bhangema uweyi guti bhupelelo bhobho, ulu umunhu alina makoye.

Ulu ucha unsabhi ng’wunuyo bhagagayiyagwa umunhu uogubhagunana. Abhoyi bhagabhizaga guti ni jisumva ija ng’wilambo ilo lyakama linilo, kunguno nabho bhagaluhaga noyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyitumama imilimo iyo bhayidulile, ulu bhaligunanwa na munhu nebhe, kugiki bhadizuluha ahikanza lyaguhayiwa uwambilijiwa bhunubho.

Luka 12:15-21.

KISWAHILI: BWAWA LIMEKAUKA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ukaukaji wa Bwawa. Ukaukaji huo huleta mateso kwa viumbe waishio ndani ya Bwawa hilo.

Viumbe hayo ni pamoja na dagaa, samaki, vyura, na vingine vingi viishivyo kwenye Bwana hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wana tajiri wanayemtegemea. Watu hao humfikiria tajiri huyo kama kimbilio lao la kuwasaidia katika kutatua shida zao.

Tajiri huyo akifa, watu hao hukosa mtu wa kuwasaidia katika matatizo yao. Wao hufanana na viumbe waliokuwepo kwenye Bwawa lililokauka, kwa sababu nao hupata mateso ya kukosa msaada maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzifanya kazi zile wanazoweza kwa ajili kujipatia mahitaji yao, wakati wanapata msaada fulani, ili wasihangaike watakapo ukosa msaada huo.

Luka 12:15-21.

dry pond

animal dry

 

ENGLISH: THE POOL IS DRY.

The source of the above saying comes from the dried pool that was a source of life of acquatic organisms such as frogs, fish, etc. The drying of the pool means death to these organisms.

This saying can be compared to rich people who tend to help others to make their ends meet. If it happens that the rich person dies or runs bankrupt it means that those who depend on him/her suffer miserably. That is why those people say ‘the pool is dry’ to communicate the suffering they undergo after their benefactor having either died or run bankrupt.

The saying teaches people to do their jobs they can for their own needs. They should’t depend so much on fellow human beings rather be independent. In so doing, they won’t have worries in life.

Luke 12: 15-21.

415. NATALI NIGOLA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile wibhegeleja ubho bhudakililwe witwe haho nimo nebhe gutali ugutumamwa. Uwibhegeleja bhunubho, bhuli bhogujikuminga pye ijitumamilo ja nimo uyo gulihaya gutumamwa. Hunagwene ulu adinamala ugwibhegeleja umunhu, agayombaga giki, ‘natali nigola.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhiyigwa gutumama nimo guti winga, nulu sherehe yose yose. Abhanhu bhenabho bhagibhegelejaga mpaga bhamala ugujipandika ijitumamilo ja ha nimo gunuyo. Hunagwene ulu bhabhujiwa na bhichabho, ulu bhatali bhuchola, bhagashoshaga giki, ‘natali nigola.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwibhegeleja bho gujipandika ijitumamilo ja nimo gobho, haho bhatali ugugwandya ugugutumama unimo gunuyo.

Muhubiri 3:1.

Wagalatia 4:4-5.

 Luka.2:25 – 26.

 Yakobo 5:10 – 11.

 2 Petro 1:10 – 11.

KISWAHILI: BADO NAJIANDAA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maandalizi ambayo hutakiwa kufanyika kabla ya kuanza kuifanya kazi fulani.

Maandalizi hayo, ni ya kuvikusanya vitendea kazi vitakiwavyo katika kazi husika. Ndiyo maana watu kama hawajayakamilisha maandalizi hayo, husema kwamba, ‘bado najiandaa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wamepanga kufanya kazi fulani kama vile: harusi, au sherehe fulani.

Watu hao hujiandaa mpaka wamalize kuvipata vitendea kazi, vitakiwavyo kuwepo katika sherehe hiyo. Ndiyo maana akiulizwa mmoja wao, hujibu kwamba, ‘bado najiandaa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kujiandaa kwa kuvipata vitendea kazi vitakiwavyo kwenye kazi itarajiwayo kufanywa, kabla ya kuanza kuitekeleza.

Muhubiri 3:1.

 Wagalatia 4:4-5.

 Luka.2:25 – 26.

 Yakobo 5:10 – 11.

 2 Petro 1:10 – 11.

 

kitchen1

kitchen

 

ENGLISH: I AM STILL PREPARING.

The source of the above saying comes from preparations for something. This preparation involves assembling all equipment needed for that particular occasion and in case those equipment are yet to be assembled one can use the saying ‘I am still preparing’ to mean readness to organise the event. These events can be wedding or any other social-political or economic event.

The saying can be compared to people who plan to do certain functions. These people need to prepare themselves in advance in order to ensure that the function is run smoothly. For example, they need to assemble all the required equipment in advance. And, if they are yet to have them, they have to be open to tell others that ‘I am still preparing’ to imply waiting until the time for the fuction comes.

The saying teaches people how to prepare for certain functions. They need to assemble all the required materials in order to avoid challenges that may affect the whole ceremony.

Ecclesiastes 3: 1.

Galatians 4: 4-5.

Luke.2: 25 – 26.

James 5:10 – 11.

2 Peter 1:10 – 11.

414. LEKAGA UBHUSASABHIJA ULAKALILA HABHI.

Imbuki ya kahayhile kenako ilolile bhusasabhija ubho bhudulile gushilila bhabhi. Ubhusasabhija bhunubho bhuli bho gumana ujiyelela ikaya ja bhanhu.

Uweyi adalendaga ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagamhugulaga bho gung’wila giki. ‘lekaga ubhusasabhija ulakalila habhi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga ulya jiliwa ja mumakaya ga bhanhu. Umunhu ng’wunuyo adalendaga aha kaya yakwe. Uweyi agamanaga ulola uko lyochi lilizuka omana giki, bhalizuga koyi, oja.

Abhanhu nose bhagang’witanaga giki, ‘nkunga lyochi.’ Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘lekaga ubhusasabhija ulakalila habhi.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhukokolo bho gutumama milimo yabho, kugiki bhaitumame imilimo yabho yiniyo iyo idulile gubhapandikila jiliwa jabho jagulya mpaga bhoya uguja bhulilila jiliwa ja mumakaya ga bhanhu.

Luka 13:3 – 5.

2 Wathesalonike 3:10.

KISWAHILI: ACHA UDOEAJI UTAISHIA PABAYA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia udoeaji ambao huweza kuishia pabaya. Udoeaji huo ni wa mhusika kwenda kula kwenye familia za watu mbalimbali.

Yeye huwa hatulii nyumbani kwake.  Ndiyo maana watu humuonya kwa kumwambia kwamba, ‘acha udoeaji utaishia pabaya.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kula kwenye familia za watu wengine. Mtu huyo huwa hatulii nyumbani kwakwe.

Yeye huwa anaangalia kwenye familia ile ambayo kuna moshi unataka, na kwenda pale ili akale chakula. Mwishowe watu wengine humwita mtu huyo kama mvizia moshi. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, ‘acha udoeaji utaishia pabaya.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uvivu wa kufanya kazi zao, ili wafanye kazi zile ziwezazo kuwapatia chakula cha kutosha kula na kuacha kula chakula hicho kwenye familia za watu wengine.

Luka 13:3 – 5.

2 Wathesalonike 3:10.

man arm

shouting-

ENGLISH: STOP SCROUNGING TO AVOID HAVING A BAD ENDING.

The source of the above saying looks at the behaviour of scrounging that can make someone have a bad ending in life. This comes from someone who is used to eating food from other peoples’ households. Such a person does not settle well in his/her home rather spends much of the time loitering around looking for where to sponge food. People of this behaviour can be warned by the saying that ‘stop scrounging to avoid having a bad ending.’

This saying can be compared to a person who goes out to eat in other people’s families. He/she always looks for families where there is smoke with the hope that he/she can get food. In the end, such people can be labled as smoke waiters.

The saying teaches people to stop being idle rather they should engage in productive activities that can enable them to survive.

Luke 13: 3 – 5.

2 Thessalonians 3:10.

413. NASHEBE BHABEHI UNENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhushebi ubho bhudulile gunpiga mumakoye unshebi ng’wunuyo. Ubhushebi bhunubho bhugang’wambilijaga ugwipija mumakoye ayo omanaga igiki inzila yiniyo ilinago, ukubhutongi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo ulu ubhona jishepo, agayombaga giki, ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhonaga giki imihayo iyo bhaliyihoyela idulile gung’wenhela makoye ukubhutongi.

Umunhu ng’wunuyo agiyangulaga gwinga umumahoya genayo, kugiki adule gugiliga amakoye ayo gadulile gumpandika kunguno ya mahoya genayo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki. ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka guhoyela mihayo iyo idulile gubhenhela makoye, aha bhutongi, kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, haho gatali ugubhapandika.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

KISWAHILI: NIPENYE JAMANI MIMI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia upenyaji ule uwezao kumuokoa mpenyaji kwenye matatizo. Upenyaji huo humsaidia mhusika kukwepa matatizo ambayo angeweza kuyapata kule mbeleni. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hugundua mapema maneno wanayoyaongelea kwamba, yataweza kuwaletea matatizo mbeleni.

Mtu huyo huamua kujiondoa kwenye maongezi hayo, ili aweze kuyaepuka matatizo hayo yatakayowapata walioko kwenye maongezi hayo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuongelea maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo katika siku za mbeleni, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, kabla hayajawapata.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

people-one

african-3

 

ENGLISH: HEY! LET ME ESCAPE.

The source of this saying is saving someone from troubles or problems. In this saying, escape is the means through which one can use to avoid those problems that are likely to befall him/her. Such a person can describe this scenario using the saying that ‘dears, let me escape.’

The saying can be compared to a person who discovers in advance the problems that are likely to happen. Such a person can find ways to get rid of them.

The saying teaches people to stop talking about words that might cause them problems in future. In so doing, they can be able to avoid problems that are likely to affect them.

Luke 4: 29-30.

Luke 18: 23-25.