sayings

433. NSUMBA WISAGILAGWA NTWE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile mhela ya nsumba, uyo agazugila bhanhu hanimo nebhe. Unsumba ng’wunuyo, oli olalikwa gujuzuga hanimo go winga. Imhela yakwe igabhizaga nyama ya ntwe go ng’ombe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nsumba wisagilwa ntwe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadebhile ugubhagola chiza, abhatumami bhabho, bho gubhinha chiza imishahara yabho.

Abhanhu bhenabho bhagafunyaga wangu imishahara yiniyo, ukubhatumamini bhabho bhenabho, bho nduhu ugubhadigija. Hunagwene bhagayombaga giki, ‘nsumba wisagilwa ntwe.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhagola chiza abhatumami bhabho, bho gubhinha wangu imishahara yabho, kugiki bhadule uguitumila gitumo bhapangilile.

Mathayo 4:1-7.

Mathayo 20:10.

KISWAHILI: KIJANA AMETEGEMEA KICHWA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mshahara wa kijana aliyefanya kazi ya kupika, kwenye sherehe fulani. Kijana huyo alialikwa kwenye sherehe ya harusi. Mshahara wa kazi hiyo, ni kupewa nyama ya kichwa cha ng’ombe. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kijana ametegemea kichwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale, ambao wanafahamu kuwajali wafanyakazi wao, kwa kuwapatia mishahara yao vizuri.

Watu hao hutoa mapema mishahara hiyo, kwa wafanyakazi wao hao, bila kuwacheleweshea. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kijana ametegemea kichwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri wafanyakazi wao, kwa kuwapatia mishahara yao mapema, ili waweze kuitumia kama walivyo kusudia.

Mathayo 4:1-7.

Mathayo 20:10.

head

man cooks

ENGLISH: THE COOK DEPENDS ON THE HEAD MEAT

The source of the saying is the cook, who is being described as young in age, and his/her salary being paid for cooking. The cook was invited to a wedding ceremony to cook and the payment he/she got for the job is the head of a slaughtered animal. That is why people say, ‘the cook depends on the head meat’ to mean rewards for the nice job done.

The saying can be comparable to those people who know how to care for their employees by providing them with good salary. Such individuals give salaries on time to their employees.

The saying teaches people how to take good care of their employees by providing them with their salaries in advance so that they can use it as planned.

Matthew 4: 1-7

Matthew 20:10

430. UBHUYUNGI BHOKO BHUGUDENHELEJA GUTULIJIWA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuyungi bho munhu nebhe, ubho bhudulile gwenheleja bhanhu wakwe gupandika makoye.

Olihoyi munhu uyo olinyungi ogumana uyela sagala. Ubhuyeji bhokwe bhunubho, bhugabhanoja abho obhayelelaga, na bhaha kaya yakwe, nose bhiyangula gung’wila oye uguyunga sagala chiniko. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agayungaga mumakaya ga bhanhu, kunguno ya kuchola jiliwa.

Umubhuyungi bhokwe bhunubho agabhatindikaga abhiye ugutumama imilimo yabho, kunguno ya kubhalendeja abho agabhayelelaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhatindika gutumama milimo yabho abhichabho, kunguno ya gubhayelela sagala, kugiki bhadule uguitumama chiza imilimo yabho, iya gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mithali 7:10-23.

KISWAHILI: UZURURAJI WAKO UTATULETELEZA KUTENGWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uzururaji wa mtu fulani, ambao waweza kuwaletea watu wake matatizo. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa mzururaji wa kutembea hovyo.

Uzururaji wake huo uliwachosha watu wake, pamoja na wale aliokuwa akiwatembelea, mpaka wakafikia hatua ya kumuonya ili aache tabia hiyo. Ndiyo maana walimwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi zake. Mtu huyo huzurura kwa kuwatembelea watu kwa sababu ya kutafuta chakula.

Yeye pia huwachelewesha watu wengine kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hivyo. Hali hiyo huwaambukiza uvivu wale anaowatembelea. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya uvivu, wa kuwachelewesha watu kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hovyo, ili waweze kutulia nyumbani kwao, na kufanya kazi za kusaidia katika kuziendeleza familia zao.

Mithali 7:10-23.

musician

nysc

 

ENGLISH: YOUR WANDERING WILL CAUSE US TO BE EX-COMMUNICATED.

The source of the above saying comes from the loitering of someone that can cause problems to others. This saying came because of a certain person who used to loiter in different places. His/her wanderings annoyed other people including those he/she was visiting. To warn him/her against this behaviour, they used the saying, ‘your wandering will cause us to be ex-communicated.’

This saying can be compared to a person who is lazy to do his/her work. Such a person can wander around with nothing serious to do. He/she can also cause delay to others in their farming activities.

The saying teaches people to stop being lazy rather stay home and plan for activities that can raise the economic standard of the family.

Proverbs 7: 10-23.

429. UBHUGUBHIGUBHI BHOKO NG’WANA NTAMBI BHULAGWENHELEJA GUPEMBWA MOTO.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kajile ka ng’wana ntambi. Ung’wana ntambi ng’wunuyo oling’wiyungi ogumana wingila mumakaya ga bhanhu sagara. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, ‘ubhugubhigubhi bhoko ng’wana ntambi bhulagwenheleja kupembwa moto.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina kajile bhabhubhi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo alinomolomo, na nshiya uyo bhankolwa abhanhu, kunguno ya kajile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ubhugubhigubhi bhoko ng’wana ntambi bhulagwenheleja kupembwa moto.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kajile ako kalikabhubhi, kugiki bhadule gwipija mumakoye ga gupembwa moto.

Mithali 6:32-33.

Mithali 23:26-28.

UZURALAJI WA CHINI CHINI WAKO NG’WANA NTAMBI UTAKULETELEZA KUCHOMWA MOTO.

Chanzo cha msemo huo chaangalia mwenendo wa Mwana Ntambi. Mwana Ntambi huyo, alikuwa mzururaji sana. Alikuwa akiingia hovyo kwenye familia ya za watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzururaji wako mwana ntambi utakuleteleza kuchomwa moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anamwenendo mbaya maishani mwake. Mtu huyo ni muongo, na mzinifu ambaye watu wamemchukia kwa hasabu ya tabia yake  hiyo mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzururaji wako Mwana ntambi utakuleteleza kuchomwa moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia mbaya, ili waweze kujiepusha kutoka kwenye tabizo la kuchomwa moto.

Mithali 6:32-33.

Mithali 23:26-28.

fire1

egyptian1

 

ENGLISH: YOUR WANDERINGS WILL DESTROY YOU.

The source of the above saying looks at the behaviour of Ntambi’s son. The son of Ntambi is described as being a loiter. To warn him against wandering, people could use the saying that ‘your wanderings will destroy you’ in order to make him behave accordingly.

The saying can be compared to a person who is unsettled in his/her life. Such a person can be described as a liar, hypocrite and untrustworthy.

The saying teaches people to stop bad habits. They should know that there is a bad ending for the evils they commit in life.

Proverbs 6: 32-33.

Proverbs 23: 26-28.

426. YINIYO KAYA YA NDEZU PYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile ndezu ja bhanhu bha hakaya ndebhe. Abhanhu bhenabho bhuli ng’wene alina ndezu pye na bhana.

Indezu jigolechaga bhutale bha ng’wa munhu. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, na bhana bhali najo ndezu jinijo, nabho bhalibhatale.

Gashinaga ikaya yiniyo yili ya ndilo, kunguno bhuli yene yili najo indezu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘yiniyi kaya ya ndezu pye.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya iyo idiigwile. Abhanhu bha hakaya yiniyo bhuli ng’wene wimanile giki alintale.

Akikalile kenako akagwimana bhutale bhuli ng’wene, kikolile na guzwa ndezu bhuli ng’wene. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘yiniyi kaya ya ndezu pye.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwibhona bhutale bhuli ng’wene, kugiki bhadule gwikala bho ng’wigwano, umukaya jabho.

Mark 9:33.

KISWAHILI: FAMILIA HII NI WENYE NDEVU WOTE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia ndevu za watu wa familia fulani. Watu hao wana ndevu kila mmoja hata awe mtoto. Ndevu hizo huonesha ukubwa wa watu hao. Lakini basi, watu hao na watoto wao wanazo hizo ndevu.

Kumbe familia hiyo ni ya samaki, kwa sababu wao kila mmoja ana ndevu, hali ambayo huonesha kwamba, kila mmoja ni mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘familia hii ni ya wenye ndevu wote.’

Msemo huo hulinganishwa kwenye familia ambayo hawasikilizani. Watu wa familia hiyo, kila mmoja hujifikiria kuwa ni mkubwa.

Maisha hayo ya kujifikiria kuwa kila mmoja ni mkubwa, hufanana na kuota kwa ndevu kwa kila mmoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘familia hii ni ya wenye ndevu wote.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kujiona kuwa wao kila mmoja ni mkubwa, ili waweze kuishi kwa uelewano kwenye familia zao.

Mark 9:33.

catfish1

fish koi-carp

 

ENGLISH: THIS IS THE ALL BEARD-BEARING FAMILY MEMBERS.

The source of the above saying looks at the beard of some family members. All members in this family have beards, including children. Beards show the power of people. This family can be likened to the family of catfish where each member in this family has beards.

The saying can be compared to a family that does not listen to one another. Each member of this family considers himself/herself powerful to the other and therefore difficult to reach concessus in different family matters. This family can easily be described by the saying that ‘this is the all beard-bearing family members.’

The saying teaches people to break free from the tendency of feelling that they are greater than others. In so doing, they can be able to live harmoniously with their families.

Mark 9:33.

425. DUPELAGI UBHUJIKU BHONG’ANGILA.

Imbuki ya kahayile kenako hingilile kuwikomelaga bho bhanhu kupela, kunguno ya gwililwa bhujiku. Abhanhu bhenabho bhalimulugendo lo guja halebhe.

Aliyo lulu, ubhujiku bhugabhilila, bhubhona giki bhagupandika makoye, ulu bhamane bhusiminza duhu. Gashinaga yigelelilwe bhapele, kugiki bhadule gugiliga amakoye genayo. Hunagwene bhagikomelaja bho guyomba giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalilihamo. Ulubhubhona mihayo yahaya gubhipa, nulu bhilembekejiyagwa mhayo bhagiwilaga giki, bhinge hoyi. Uwilembekejiwa bhunubho wikolile na bhujiku, ubho bhong’angilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulekana na mihayo iyo idulile gubhingija mumakoye kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, umuwikaji bhobho.

Marko 14:50-52.

KISWAHILI: TUKIMBIENI USIKU UMEZIDI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye hali ya kujihimiza kukimbia kwa watu ambao, usiku umezidi kuingia wakiwa bado safarini. Watu hao wako safarini kuelekea sehemu fulani.

Lakini basi, usiku umeingia wakaona kwamba watapata matatizo wakiendelea kutembea tu. Kumbe yafaa wakimbie ili waweze guyakwepa matatizo hayo. Ndiyo maana watu hao, walihimizana kwa kusema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wako pamoja. Waliona kwamba maneno wanaoyaongelea yamekuwa mabaya, au wamesingiziwa neno baya, wakaamua, waondoke pale kwa kukimbia. Kusingiziwa huko kwafanana na usiku uliozidi sana. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, maishani mwao.

Marko 14:50-52.

night coming

night3

 

ENGLISH: LET US RUN FROM THE COMING DARKNESS.

The source of the above saying comes from the urge to run away from darkness. This happens to people who appear to be walking to somewhere and they are scared of darkness that is about to fall. They know that walking at night might cause some problems to them and would like to avoid them and therefore they have to run and reach the destination before darkness falls.

The saying can be compared to those people who appear to hate evils in the society. Such people, when they realize that what they are doing is likely to affect them in future, they can refrain from doing it. Such people can describe this scenario using the saying that ‘let us run from the coming darkness.’

The saying teaches people to abandon acts that can bring them problems.

Mark 14: 50-52.