425. DUPELAGI UBHUJIKU BHONG’ANGILA.

Imbuki ya kahayile kenako hingilile kuwikomelaga bho bhanhu kupela, kunguno ya gwililwa bhujiku. Abhanhu bhenabho bhalimulugendo lo guja halebhe.

Aliyo lulu, ubhujiku bhugabhilila, bhubhona giki bhagupandika makoye, ulu bhamane bhusiminza duhu. Gashinaga yigelelilwe bhapele, kugiki bhadule gugiliga amakoye genayo. Hunagwene bhagikomelaja bho guyomba giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalilihamo. Ulubhubhona mihayo yahaya gubhipa, nulu bhilembekejiyagwa mhayo bhagiwilaga giki, bhinge hoyi. Uwilembekejiwa bhunubho wikolile na bhujiku, ubho bhong’angilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulekana na mihayo iyo idulile gubhingija mumakoye kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, umuwikaji bhobho.

Marko 14:50-52.

KISWAHILI: TUKIMBIENI USIKU UMEZIDI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye hali ya kujihimiza kukimbia kwa watu ambao, usiku umezidi kuingia wakiwa bado safarini. Watu hao wako safarini kuelekea sehemu fulani.

Lakini basi, usiku umeingia wakaona kwamba watapata matatizo wakiendelea kutembea tu. Kumbe yafaa wakimbie ili waweze guyakwepa matatizo hayo. Ndiyo maana watu hao, walihimizana kwa kusema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wako pamoja. Waliona kwamba maneno wanaoyaongelea yamekuwa mabaya, au wamesingiziwa neno baya, wakaamua, waondoke pale kwa kukimbia. Kusingiziwa huko kwafanana na usiku uliozidi sana. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, maishani mwao.

Marko 14:50-52.

night coming

night3

 

ENGLISH: LET US RUN FROM THE COMING DARKNESS.

The source of the above saying comes from the urge to run away from darkness. This happens to people who appear to be walking to somewhere and they are scared of darkness that is about to fall. They know that walking at night might cause some problems to them and would like to avoid them and therefore they have to run and reach the destination before darkness falls.

The saying can be compared to those people who appear to hate evils in the society. Such people, when they realize that what they are doing is likely to affect them in future, they can refrain from doing it. Such people can describe this scenario using the saying that ‘let us run from the coming darkness.’

The saying teaches people to abandon acts that can bring them problems.

Mark 14: 50-52.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.