Imbuki ya kahayile kenako yilolile mhela ya nsumba, uyo agazugila bhanhu hanimo nebhe. Unsumba ng’wunuyo, oli olalikwa gujuzuga hanimo go winga. Imhela yakwe igabhizaga nyama ya ntwe go ng’ombe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nsumba wisagilwa ntwe.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadebhile ugubhagola chiza, abhatumami bhabho, bho gubhinha chiza imishahara yabho.
Abhanhu bhenabho bhagafunyaga wangu imishahara yiniyo, ukubhatumamini bhabho bhenabho, bho nduhu ugubhadigija. Hunagwene bhagayombaga giki, ‘nsumba wisagilwa ntwe.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhagola chiza abhatumami bhabho, bho gubhinha wangu imishahara yabho, kugiki bhadule uguitumila gitumo bhapangilile.
Mathayo 4:1-7.
Mathayo 20:10.
KISWAHILI: KIJANA AMETEGEMEA KICHWA
Chanzo cha msemo huo, chaangalia mshahara wa kijana aliyefanya kazi ya kupika, kwenye sherehe fulani. Kijana huyo alialikwa kwenye sherehe ya harusi. Mshahara wa kazi hiyo, ni kupewa nyama ya kichwa cha ng’ombe. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kijana ametegemea kichwa.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale, ambao wanafahamu kuwajali wafanyakazi wao, kwa kuwapatia mishahara yao vizuri.
Watu hao hutoa mapema mishahara hiyo, kwa wafanyakazi wao hao, bila kuwacheleweshea. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kijana ametegemea kichwa.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri wafanyakazi wao, kwa kuwapatia mishahara yao mapema, ili waweze kuitumia kama walivyo kusudia.
Mathayo 4:1-7.
Mathayo 20:10.
ENGLISH: THE COOK DEPENDS ON THE HEAD MEAT
The source of the saying is the cook, who is being described as young in age, and his/her salary being paid for cooking. The cook was invited to a wedding ceremony to cook and the payment he/she got for the job is the head of a slaughtered animal. That is why people say, ‘the cook depends on the head meat’ to mean rewards for the nice job done.
The saying can be comparable to those people who know how to care for their employees by providing them with good salary. Such individuals give salaries on time to their employees.
The saying teaches people how to take good care of their employees by providing them with their salaries in advance so that they can use it as planned.
Matthew 4: 1-7
Matthew 20:10