432. GWISAGILWA NG’HANGA YA KIMBULU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile wisagiji bho nyama ya kimbulu. Uwisagiji bho kimbulu bhunubho, bhuli bho gwisagilwa ginhu ijo jidaliyagwa, kunguno ikimbulu ili nyabhu ya mumapolu, iyo idasugagwa na hangi idaliyagwa. Kunguno yiniyo lulu, ‘gwisagilwa ng’hanga ya kimbulu,’ mumho gwisagilwa nyama iyo idaliyagwa.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisagilagwa ginhu, ijo jidadulile gung’wambilija, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gwisagilwa bhukumilijiwa, ubho adadulile gubhulya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, uweyi olendela ‘gwisagilwa ng’hanga ya kimbulu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwisagilwa ginhu ijo jidina solobho, ukuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujisagilwa ijo jidulile gubhambilija, ugujibheja chiza ikaya jabho.

Kumbukumbu la Torati 14:8-10.

Marko 7:2-4.

Marko 7:14-15.

Warumi 4:14.

KISWAHILI: KUTEGEMEA KANGA WA PAKA SHUME

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye utegemeaji wa nyama ya paka shume. Utegemeaji huo ni wa kutumaini kitu ambacho hakiliwi, kwa sababu paka shume ni paka wa polini ambaye hafugwi, wala haliwi.  Hivyo basi, ‘kutegemea kanga wa paka shume,’ maana yake ni kutumaini kupata nyama ambayo hailiwi.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye hutegemea kitu ambacho hakiwezi kumsaidia maishani mwake. Mtu huyo aweza hata kutegemea sifa, ambayo hawezi kuila. Ndiyo maana watu husema kwamba, mtu huyo anapoteza wakati wake kwa ‘kutegemea kanga wa paka shume.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutegemea kitu kisichokuwa na faida maishani mwao, ili waweze kutegemea kile kiwezacho kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao.

Kumbukumbu la Torati 14:8-10.

Marko 7:2-4.

Marko 7:14-15.

Warumi 4:14.

cats

cat

ENGLISH: RELYING ON THE MEAT OF THE WILD CAT

The source of the saying comes from dependence on the meat of a wild cat. That reliance is on hoping for something that is not consumable. The wild cat, under normal circumstances, is neither domesticated nor consumed by human beings. Therefore, relying on it means wasting one’s time for nothing.

The saying can be compared to a person who relies much on things that will not help him/her in life. Such a person might be doing things just for being praised and cannot feed on praises. Such a person can be warned by telling him/her that don’t ‘rely on the meat of the wild cat’ in order to make him/her work hard and concentrate on things that have tangible returns.

The saying teaches people to stop relying on things that do not have tangible returns in their lives. They need to rely on things that can help to take care of their lives and their families.

Deuteronomy 14: 8-10

Mark 7: 2-4

Mark 7: 14-15

Romans 4:14

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.