431. NG’WIZA HONGO ADAPEJIWAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile munhu uyo ali nsese. Umunhu ng’wunuyo agacholaga milimo ya gutumama, kubhanhu abho bhali bhasabhi. Uweyi agazunijiyagwa uguitumama imilimo yiniyo, kunguno ali munhu owiza, uyo adulile guitumama chiza imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhakaribhushaga chiza, abhanhu abho bhagacholaga milimo ya gutumama.

Abhanhu bhenabho bhagabhadililaga chiza abhatumami bhabho, bho gubhalipa gitumo bhidebhela, kunguno bhali bhatumami bhawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bha wiza, abho bhadulile guitumama imilimo chiza, na gubhadilila chiza abhatumami bha milimo yabho.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

KISWAHILI: MTUMWA HAFUKUZWI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu ambaye ni mtumwa. Mtu huyo hutafuta kazi za kufanya kwa watu walio matajiri.

Yeye hukubaliwa kuzifanya kazi hizo, kwa sababu yeye ni mtu mwenye tabia njema, ambaye anao uwezo wa kufanya kazi hizo vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huwakaribisha vizuri watu wanaotafuta kazi za kufanya. Watu hao huwajali wafanyakazi wao vizuri, kwa kuwalipa kama walivyokubaliana, kwa sababu ni watu wenye tabia njema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kufanya vizuri kazi wapewazo, na kuwajali wafanya kazi wao.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

africa-slave

 

ENGLISH: A SLAVE IS NEVER CHASED AWAY.

The source of the above proverb is slavery where a slave is looked at as someone who doesn’t deserve to be chased from someone’s compound. A slave is also described as someone looking for job from someone else. She/he (the slave) can perform different duties to his/her master and he/she is considered to be someone who is good mannered and can carry out his/her duties in a required manner. That is why people came with the proverb that ‘a slave is never chased away’ to communicate the innocence and hard work of slaves.

The proverb can be comparable to those people who perform their jobs accordingly in order to impress their employers. Such people, in return, make employees to pay them accordingly because they respect their bosses.

The proverb teaches people about having good manners that can enable them to do their jobs well. This will enable them to have good relationship between employees and employers.

Joshua Bin Sira 33: 26-32.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.