Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuyungi bho munhu nebhe, ubho bhudulile gwenheleja bhanhu wakwe gupandika makoye.
Olihoyi munhu uyo olinyungi ogumana uyela sagala. Ubhuyeji bhokwe bhunubho, bhugabhanoja abho obhayelelaga, na bhaha kaya yakwe, nose bhiyangula gung’wila oye uguyunga sagala chiniko. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agayungaga mumakaya ga bhanhu, kunguno ya kuchola jiliwa.
Umubhuyungi bhokwe bhunubho agabhatindikaga abhiye ugutumama imilimo yabho, kunguno ya kubhalendeja abho agabhayelelaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhatindika gutumama milimo yabho abhichabho, kunguno ya gubhayelela sagala, kugiki bhadule uguitumama chiza imilimo yabho, iya gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho.
Mithali 7:10-23.
KISWAHILI: UZURURAJI WAKO UTATULETELEZA KUTENGWA.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uzururaji wa mtu fulani, ambao waweza kuwaletea watu wake matatizo. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa mzururaji wa kutembea hovyo.
Uzururaji wake huo uliwachosha watu wake, pamoja na wale aliokuwa akiwatembelea, mpaka wakafikia hatua ya kumuonya ili aache tabia hiyo. Ndiyo maana walimwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi zake. Mtu huyo huzurura kwa kuwatembelea watu kwa sababu ya kutafuta chakula.
Yeye pia huwachelewesha watu wengine kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hivyo. Hali hiyo huwaambukiza uvivu wale anaowatembelea. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya uvivu, wa kuwachelewesha watu kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hovyo, ili waweze kutulia nyumbani kwao, na kufanya kazi za kusaidia katika kuziendeleza familia zao.
Mithali 7:10-23.
ENGLISH: YOUR WANDERING WILL CAUSE US TO BE EX-COMMUNICATED.
The source of the above saying comes from the loitering of someone that can cause problems to others. This saying came because of a certain person who used to loiter in different places. His/her wanderings annoyed other people including those he/she was visiting. To warn him/her against this behaviour, they used the saying, ‘your wandering will cause us to be ex-communicated.’
This saying can be compared to a person who is lazy to do his/her work. Such a person can wander around with nothing serious to do. He/she can also cause delay to others in their farming activities.
The saying teaches people to stop being lazy rather stay home and plan for activities that can raise the economic standard of the family.
Proverbs 7: 10-23.