sayings

424. MASALA GADIYONGEJIYAGWA.

Imbuki ya kahahyile kenako yilolile masala ga bhanhu. Amasala genayo  gagabhizaga gali mtwe go ng’wa munhu, ayo gagatulagwa moyi na Nsumbi okwe umunhu ng’wunuyo. Kuyiniyo lulu, ulu munhu ukenya mhayo nebhe, abhanhu bhaganhugulaga kugiki wilange.

Aliyo, ulu ukenye hangi umunhu ng’wunuyo, mumho amasala gakwe gagelelile henaho, bhadikomile ugung’ongegeja. Hunagwene abhanhu bhagayongaba giki, ‘masala gadiyongejiyagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agamanaga ukenye mara hingi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhakoyaga abhiye kunguno ya masala gakwe genayo, ayo gagang’wenhelejaga gwita ya bhubhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘masala gadiyongejiyagwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumija bho gudula gubhambilija ugwikala na bhanhu bha mbika ningi, kunguno, a‘masala gadiyongejiyagwa,’ bhuli ng’wene umo winhilwa, agusaga ni giko.

Mithali 19:25.

KISWAHILI: AKILI HAZIONGEZEANWI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia akili za mtu. Akili hizo huwa kichwani mwake mtu alizopewa na Muumba wake. Kwa hiyo basi, mtu akikosea neno fulani, huonywa na wenzake ili ajifunze.

Lakini akikosea tena mtu huyo maana yake, akili zake hunesha kwamba, zimekomea hapo, wao hawawezi kuziongeza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akili haziongezeanwi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukosea mara kwa mara, maishani mwake. Mtu huyo huwasumbua wenzake kwa sababu ya akili zake hizo, ambazo humsababisha kutendo maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akili haziongezeanwi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuishi na wenzao wenye tabia tofauti na wao, ili waweze kuwa pamoja, kwa sababu ‘akili haziongezeanwi.’

Mithali 19:25.

black-woman1

 

ENGLISH: INTELLIGENCIES DO NOT ADD TO EACH OTHER.

The essence of the above saying looks at one’s intelligence.  Intelligence is considered to be in one’s head as given by his/her Creator. If someone fails to do something someone else can help to correct it with the aim of making him/her learn. But, if it happens that that person keeps on repeating the same mistake then the conclusion is that his/her intelligence ends up there. He/she cannot stretch it further. That is why people can describe this scenario using the saying that ‘intelligencies do not add to each other.’

The saying can be compared to a person who repeatedly makes mistakes in his/her life. Such a person can bother others who witness those mistakes. He/she appears to justify that his/her capacity in thinking has ended and no one can add more to what he/she has in mind.

The saying teaches people about having patience in living with others with different capacities and personalities.

Proverbs 19:25.

422. NAKAKUMBULAGA AKANIGO KANE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukumbuji bho nigo gokwe, umunhu nebhe. Ubhukumbuji bho nigo gunuyo, bhuli bho ng’wa munhu uyo oya kale ugugubhona unigo gokwe gunuyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘nakakumbulaga akanigo kane.’

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintonda ng’wiye ginhu guti hela, bhusiga, nulu ng’wenda uyo ogulanda. Umunhu ng’wunuyo agayombaga giko, kubho guntonda ung’wiye anshokeje iginhu jakwe jinijo, kunguno ya gudila ugujishosha ukuli weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘nakakumbulaga akanigo kane.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gushosha wangu iginhu ijo bhalanda ukubhinikili, kugiki.bhadule gwikala halumo bho bhutogwa na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 11:24.

Mithali 12:9.

KISWAHILI: LETA ULE MZIGO NIMEUKUMBUKA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ukumbukaji wa mzigo wake mtu fulani. Ukumbukaji wa mzigo huo, ni wa mtu ambaye hajauona mzigo wake huo tangu siku nyingi. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘leta ule mzigo nimeukumbuka.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anamdai mwenzake kitu kama hela, mtama, au nguo aliyoazima. Mtu huyo husema hivyo kama njia ya kumdai mwenzake huyo amrudishie deni lake, kwa sababu ya kuchelewa kulirudisha kwake. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘leta ule mzigo nimeukumbuka.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kurudisha haraka kitu walichokopa kwa wenyewe, ili waweze kuishi katika umoja na wenzao, maishani mwao.

Mithali 11:24.

Mithali 12:9.

basket

luggage

 

ENGLISH: BRING MY LUGGAGE, I HAVE REMEMBERED IT.

The source of the above saying comes from the memory of someone whose property was borrowed by someone else. It might have taken quiet sometime without returning it. This is why the owner of the property can use the saying ‘bring my luggage, I have remembered it’ to communicate his/her need to getting back his/her property.

The saying can be compared to a person who demands for his/her property such as money, sorghum, or clothes from someone else. The debtor is forced to pay it back.

The saying teaches people about repaying their debts in order to create a ground for unity and cooperation in the society.

Proverbs 11:24.

Proverbs 12: 9.

421. NILINDAGI NAGAPONYE NIGO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuponya bho nigo go bhanhu. Olihoyi munhu uyo oliotung’wa guchala ginhu halebhe. Umunhu ng’wunuyo oli nabhiye umulugendo lunulo. Aho oshiga uko kaya iyo oguchalaga unigo gunuyo, agabhawila abhiye giki, ‘nilindagi nagaponye nigo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatimijaga chiza, imilimo iyo utung’wa na bhiye guitumama. Umunhu ng’wunuyo agabhambilijaga abhanhu, ukunhu alikihamo na bhiye abho alinabho. Hunagwene agayombaga giki, ‘nilindagi nagaponye nigo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujishisha chiza imhola ijo bhatung’wa gujichala halebhe, kugiki bhadule gwiyambilija halumo na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 43:3.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: NINGOJENI NIKATUPE MZIGO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye utupaji bha mzigo wa watu wa sehemu fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyetumwa kupeleka kitu fulani kwa watu. Mtu huyo alikuwa pamoja na wenzake, katika safari hiyo. Alipofika pale alipotumwa kuupeleka ule mzigo aliwaambia wenzake kwamba, ‘ningojeni nikatupe mzigo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutimiza vizuri kazi aliyotumwa na wenzake kuifanya. Mtu huyo huwasaidia watu, huku akiwa pamoja na wenzake. Ndiyo maana mtu huyo huwaambia wenzake kwamba, ‘ningojeni nikatupe mzigo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufikisha vizuri ujumbe waliotumwa kuupeleka kwa watu, ili waweze kusaidiana katika kuutunza umoja huo, maishani mwao.

Zaburi 43:3.

Mathayo 11:28.

 

outdoors

carrying

 

ENGLISH: WAIT FOR I AM GOING TO THROW THE LUGGAGE.

The source of this saying comes from dumping someone’s luggage. There was a man who was asked to send a certain luggage to someone else. Such a man was with his friends walking towards that direction where he has to send the luggage. When he reached the destination, he told his friends that ‘wait for I am going to throw the luggage’ to mean handing over to the respective people.

The saying can be compared to a person who properly fulfills the tasks assigned to him/her by his/her colleagues.

The saying teaches people about effective communication by delivering the required information on time to the required people.

Psalm 43: 3.

Matthew 11:28.

417. UBHUYEGI BHO WINGA BHUGALUKA GUBIZA JIGANO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhalihawinga. Ulu gwigela mhayo go gukamaja hoyi, guti ntolwa guja gujilekeleja na ugapulwa na ngosha ungi, ubhuyegi bhugashilaga. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘ubhuyegi bho winga bhugaluka gubhiza jigano.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayegaga ogita na mihayo ya soni, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gulya jiliwa wiguta mpaga wandya gubhasondagula abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomgaga giki ‘ubhuyegi bho winga bhugaluka gubhiza jigano.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwita mihayo ya guponda soni abhanhu, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhobho, shigu jose.

Matendo ya mitume 9:1-9.

KISWAHILI: FURAHA YA HARUSI IMEGEUKA KUWA HADITHI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu walioko kwenye sherehe ya harusi.  Likitokea tukio la kushangaza, kama vile bibi harusi kwenda kujisaidia na kutoroshwa na mwanaume mwingine, furaha yile waliyokuwa nayo watu huisha. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘furaha ya harusi imegeuka kuwa hadithi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufurahi mpaka kufikia hatua ya kufanya vitendo vya aibu mbele ya watu aishio nao.

Mtu huyo aweza hata kula chakula akashiba na kuanza kuwasimanga watu wake. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘furaha ya harusi imegeuka kuwa hadithi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kusema maneno ya kuwaibisha watu, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao siku zote.

Matendo ya mitume 9:1-9.

active couple

escape

 

ENGLISH: THE WEDDING HAPPINESS HAS TURNED INTO A STORY.

The source of the above saying comes from the wedding ceremony. During wedding ceremony we expect most of the people to be in a jovial mood. But, it may happen that the bride leaves the stage for a short call then instead elopes for another man thus causing the entire ceremony turn into a traumatic story. When it happens so, people can say ‘the wedding happiness has turned into a story.’

This saying can be compared to a person who enjoys something to the point of committing acts of shame in the eyes of other people around that place. This person, because of extreme joy, may overfeed thus, instead of making people continue enjoying the event they end up getting a new and tragic story of someone who suffers from overfeeding.

The saying teaches people to stop making derogatory remarks. This will enable them to have good life people around them.

Acts 9: 1-9.

416. ILAMBO LYAKAMA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukami bho lilambo. Ubhukami bhunubho bhugenhega maluho ukujisumva ijo jigikalaga umu lilambo linilo.

Ijisumva jinijo jilikihamo na: bhudagala, ndilo, danga, ng’wina na jingi ningi, ijo jigikilaga umu lilambo linilo. Hunagwene abhanhu ulu bhugabhona amaluho ga jisumva jinijo, bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina nsabhi obho uyo bhang’wisanije. Abhanhu bhenabho bhangema uweyi guti bhupelelo bhobho, ulu umunhu alina makoye.

Ulu ucha unsabhi ng’wunuyo bhagagayiyagwa umunhu uogubhagunana. Abhoyi bhagabhizaga guti ni jisumva ija ng’wilambo ilo lyakama linilo, kunguno nabho bhagaluhaga noyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyitumama imilimo iyo bhayidulile, ulu bhaligunanwa na munhu nebhe, kugiki bhadizuluha ahikanza lyaguhayiwa uwambilijiwa bhunubho.

Luka 12:15-21.

KISWAHILI: BWAWA LIMEKAUKA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ukaukaji wa Bwawa. Ukaukaji huo huleta mateso kwa viumbe waishio ndani ya Bwawa hilo.

Viumbe hayo ni pamoja na dagaa, samaki, vyura, na vingine vingi viishivyo kwenye Bwana hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wana tajiri wanayemtegemea. Watu hao humfikiria tajiri huyo kama kimbilio lao la kuwasaidia katika kutatua shida zao.

Tajiri huyo akifa, watu hao hukosa mtu wa kuwasaidia katika matatizo yao. Wao hufanana na viumbe waliokuwepo kwenye Bwawa lililokauka, kwa sababu nao hupata mateso ya kukosa msaada maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzifanya kazi zile wanazoweza kwa ajili kujipatia mahitaji yao, wakati wanapata msaada fulani, ili wasihangaike watakapo ukosa msaada huo.

Luka 12:15-21.

dry pond

animal dry

 

ENGLISH: THE POOL IS DRY.

The source of the above saying comes from the dried pool that was a source of life of acquatic organisms such as frogs, fish, etc. The drying of the pool means death to these organisms.

This saying can be compared to rich people who tend to help others to make their ends meet. If it happens that the rich person dies or runs bankrupt it means that those who depend on him/her suffer miserably. That is why those people say ‘the pool is dry’ to communicate the suffering they undergo after their benefactor having either died or run bankrupt.

The saying teaches people to do their jobs they can for their own needs. They should’t depend so much on fellow human beings rather be independent. In so doing, they won’t have worries in life.

Luke 12: 15-21.