Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukami bho lilambo. Ubhukami bhunubho bhugenhega maluho ukujisumva ijo jigikalaga umu lilambo linilo.
Ijisumva jinijo jilikihamo na: bhudagala, ndilo, danga, ng’wina na jingi ningi, ijo jigikilaga umu lilambo linilo. Hunagwene abhanhu ulu bhugabhona amaluho ga jisumva jinijo, bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina nsabhi obho uyo bhang’wisanije. Abhanhu bhenabho bhangema uweyi guti bhupelelo bhobho, ulu umunhu alina makoye.
Ulu ucha unsabhi ng’wunuyo bhagagayiyagwa umunhu uogubhagunana. Abhoyi bhagabhizaga guti ni jisumva ija ng’wilambo ilo lyakama linilo, kunguno nabho bhagaluhaga noyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ilambo lyakama.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyitumama imilimo iyo bhayidulile, ulu bhaligunanwa na munhu nebhe, kugiki bhadizuluha ahikanza lyaguhayiwa uwambilijiwa bhunubho.
Luka 12:15-21.
KISWAHILI: BWAWA LIMEKAUKA.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ukaukaji wa Bwawa. Ukaukaji huo huleta mateso kwa viumbe waishio ndani ya Bwawa hilo.
Viumbe hayo ni pamoja na dagaa, samaki, vyura, na vingine vingi viishivyo kwenye Bwana hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wana tajiri wanayemtegemea. Watu hao humfikiria tajiri huyo kama kimbilio lao la kuwasaidia katika kutatua shida zao.
Tajiri huyo akifa, watu hao hukosa mtu wa kuwasaidia katika matatizo yao. Wao hufanana na viumbe waliokuwepo kwenye Bwawa lililokauka, kwa sababu nao hupata mateso ya kukosa msaada maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘Bwawa limekauka.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzifanya kazi zile wanazoweza kwa ajili kujipatia mahitaji yao, wakati wanapata msaada fulani, ili wasihangaike watakapo ukosa msaada huo.
Luka 12:15-21.
ENGLISH: THE POOL IS DRY.
The source of the above saying comes from the dried pool that was a source of life of acquatic organisms such as frogs, fish, etc. The drying of the pool means death to these organisms.
This saying can be compared to rich people who tend to help others to make their ends meet. If it happens that the rich person dies or runs bankrupt it means that those who depend on him/her suffer miserably. That is why those people say ‘the pool is dry’ to communicate the suffering they undergo after their benefactor having either died or run bankrupt.
The saying teaches people to do their jobs they can for their own needs. They should’t depend so much on fellow human beings rather be independent. In so doing, they won’t have worries in life.
Luke 12: 15-21.