Liwelelo ligadulyaga na soni yaya, nuguswiwa jilambu, galumbu gane Ngolo, timbaja ng’holo, lilibulyango bulyango, na hang’wa mbati lilihoyi, lilisimba matumba, bagwanaga buyabuya.

Liwelelo ligadulyaga na soni yaya, nuguswiwa jilambu, galumbu gane Ngolo, timbaja ng’holo, lilibulyango bulyango, na hang’wa mbati lilihoyi, lilisimba matumba, bagwanaga buyabuya.

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)
Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhulili ubho bholalilagwa na ngeni. Umunhu uyo ogenihagwa agang’wanukulaga ungeni uyo ongenihaga bho bhuyegi. Adulile nulu gung’wingila aha bhulili ubho agalalilaga uwei, kunguno agamanaga igiki ungeni ng’wunuyo agumala amakanza agabhugeni bhokwe, ushoka gukaya yakwe. Gwingila henaho, umunhu uyo ogenihagwa agushoka ahabhulili bhokwe.
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalinabhutogwa bhogub’akaribhusha abhanhu abhageni ahakaya jab’o. Gub’itila nzila yiniyo abhanhu bhenabho bhagapandikaga mbango. B’agab’ambilijaga abhageni bhab’o bho gub’inha b’ulalo umukaya jabho, kunguno ubhulili ubho bholalilwa na ngeni bhali yiyene.
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi bhogub’agunana abhanhu abho bhalina makoye. Abhanhu bhenabho bhalikihamo na bhageni abho balib’ageniha ahakaya jabho. Uwitogwi bhunubho bhugub’enhela mbango ja gwikala bho bhuyegi na mholele umukaya jabho.
Mathayo 25:43.
Luka 2:7.
Chango cha methali hiyo huangalia kitanda kilicholaliwa na mgeni. Mtu aliyefikiwa na mgeni huyo humkaribisha kwa furaha. Aweza hata kumuachia kitanda atumiacho yeye kwa sababu hufahamu kwamba, mgeni huyo atamaliza muda wa kuwatembelea na kurudi kwenye familia yake. Kuanzia hapo, mtu huyo aliyefikiwa na mgeni hurudi kwenye kitanda chake.
Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wenye upendo wa kuwakaribisha watu kwenye familia zao. Kupitia njia hiyo watu hao hupata baraka maishani mwao. Huwasaidia wageni wao kwa kuwapatia malazi kwenye familia zao, kwa sababu kitanda kilicholaliwa na mgeni ni cha pekee.
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia watu walio na matatizo. Watu hao ni pamoja na wageni wawafikiao kwenye familia zao. Upendo huo utawaletea baraka za kuishi kwa furaha na amani kwenye familia zao.
Mathayo 25:43.
Luka 2:7.

The above proverb looks at the relationship between the visitor and the bed that he/she is given by the host to sleep in. Usually, the host warmly and happily welcomes the guest, and would even offer the newcomer his/her (host’s) own bed. The visitor won’t stay too long, after all; he/she would in due course return to his/her family. The host is confident in the knowledge that, once the guest leaves, he/she can comfortably get back to his/her bed.
The proverb is comparable to people who find pleasure in welcoming and entertaining others in their families. Since it is believed that visitors bring blessings, such generous families experience these blessings in their lives, as they help the visitors by providing them with accommodation. This is because the bed in which the guest sleeps is special.
The proverb teaches people about the virtue of helping those that are in trouble. Such may include visitors who come calling in the family. This loving and accommodating spirit will yield blessings which would create an environment of happy and peaceful co-existence among families.
Matthew 25:43.
Luke 2: 7.
Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)
Imbuki ya kahayile kenako ilolile b’ulamuji bho bhanhu abho bhalibhudugu. Igabhizaga nimo gogwiyumilija umubhulamuji bhunubho kunguno unamuji ng’wunuyo aganolaga unduguye ocha soni, nulu minara.
Kuyiniyo lulu, umunhu ng’wunuyo agidimaga munda ijinagubhuhaya ubhunghana hape. Gunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘gunamla nduguyo gwidima munda.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuyombaga ubhunghana hape, ulu alibhalamula abhaduguye. Umunhu ng’wunuyo agiyumilijaga bho gukengela chiza imihayo yiniyo haho adinafunya ubhulamuji bhokwe. Ulu obhupandika ubhunghana bhunub’o agabhuhaga hape.
Adachaga soni nulu minara, ugubhuyomba ubhunghana bhunub’o, ulu alibhalamula abhaduguye. Kuyiniyo lulu, umunhu ng’wunuyo adeb’ile ugubhufunya ubhulamuji ubho nghana ukubhaduguye, kunguno amanile igiki, ‘ugunamla nduguyo gwidima munda.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gumana chiza ugubhalamla abhanhu bhogubhuhaya ubhunghana hape. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhite bhukengeji bho kuimana chiza imihayo, kugiki bhabhudebhe ubhunghana ubho gudula gubhambilija uguyihaya hape inhana, ulu bhalibhalamla abhanhu bhabho.
Luka 23:14-`5.
Yohana 8:7.
Chanzo cha msemo huo chaangalia hukumu ya watu ambao ni ndugu. Huwa kuna kazi ngumu ya kuvumilia kwa sababu mwamuzi au hakimu huyo humwangalia ndugu yake na kumuonea aibu.
Kwa hiyo basi, mtu huyo hujishika tumboni katika kuusema wazi ukweli. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumhukumu ndugu yako, kujishika tumboni,’ kwa sababu ya ugumu wa kazi hiyo.
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huusema wazi ukweli ahukumupo watu wakiwemo ndugu zake. Mtu huyo huvumilia kwa kufanya utafiti wa maneno hayo vizuri, kabla hajatoa hukumu yake.
Akiupata ukweli huo huusema wasi. Haoni aibu katika kuusema ukweli huo ahukumupo ndugu zake. Kwa hiyo basi, mtu huyo afahamu kutoa hukumu ya haki kwa ndugu zake, kwa sababu aelewa kuwa, ‘kumhukumu ndugu yako kujishika tumboni.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa vizuri juu ya kutoa hukumu za haki kwa watu kwa kuusema ukweli wasi wasi. Yafaa watu hao wafanye utafiti wa kuwawezesha kuuelewa ukweli wa maneno ili wautumie ukweli huo katika kutoa hukumu iliyo ya haki kwa watu wawamuao kwa kuusema wasi ukweli huo.
Luka 23:14-`5.
Yohana 8:7.

The source of the saying is the difficulty in judging the people who are one’s relatives. There is a hard time because one is likely to favour the relative.
The person finds it to be difficult to tell the truth. That is why people say that, to judge your relative is like touching your own stomach because of of the close attachment with relatives.
The proverb can be applied to someone who clearly tells the truth and does justice to people including his/her relatives. Such a person is consonance with the words in the proverb.
The saying teaches people about a better understanding of the proper way of judging fellows by following justice and truth. Truth and justice should be the basis of the right judgement.
Luke 23: 14-55.
John 8: 7.
Huguhaya giki, abhanhu abhatubhu bhadigutaga. Amasala gabho gagab’izaga galiganika higulwa ya shiliwa ukumanza gabho amingi.
Akahayile kenako kalilanga higulwa ya gub’iza na kajile kawiza mjiliwa na mukang’wele. Ili chiza uguleka kajile ka bhulaku bho jiliwa bhung’wi bho gub’itilija. Gugaleka amasala ga gaduta shiliwa duhu. Igelelilwe umunhu akutumile amasala gakwe mugwiyenhela maendeleyo ga mili na ga moyo, kukila mu bhu bulaku na bhung’wi bho gubhilitija.
Bharumi 14:17.
Msemo huo unaongelea juu ya watu wenye njaa kwa vile maisha ya watu huwa ni ya furaha wakiwa wameshiba. Ndiyo kusema kwamba, watu wakiwa wameshiba kila wakati huendelea kuwa na furaha hiyo kwao.
Hali ya watu kujisikia njaa kulinganishwa na upepo. Ndipo wakati kama huo husemwa na watu, maneno hayo ya upepo wa ndani ya tumbo la mtu umempuliza mhusika huyo. Kama watu wakijisikia njaa kwenye familia fulani, maana yake, familia hiyo imepulizwa na upepo. Huwa inakuwa vigumu kula na kushiba kwa watu kama hao kwa sababu ya watu hao kujijengea tabia ya kuwa na ulafi wa chakula.
Hivyo, watu walafi huwa hawashibi. Akili zao huwa zinafikiria juu ya chakula kwa muda uliomwingi maishani mwao.
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na kiasi katika kula chakula na katika kinywaji. Ni vizuri kuacha tabia ya ulafi wa chakula na ulevi katika vinywaji. Inatakiwa kutumia akili aliyonayo mwanadamu kwa kufikiria zaidi maendeleo mema ya kimwili ya kiroho badala ya kuwa na tabia ya ulafi na ulevi.
Waroma 14:17. ´Maana ufalme wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.´
The Sukuma people form the largest ethnic group in Tanzania with more than six million members. This population is concentrated in and around Mwanza and Shinyanga Regions. Other ethnic groups that are present have been progressively isolated or assimilated into this big unit. To speak the Sukuma language is the most normal thing in many villages of the area, and many Sukuma beliefs and practices are very much alive today.
This humorous Sukuma proverb is used by a mother to teach and counsel her children on discipline in eating, patience and perseverance in waiting for food to be served and the evil of gluttony. She emphasizes that a person who calls for food at the least sign of hunger pangs (that is compared to “wind” in the stomach in the original Sukuma), such as the child always saying “I’m hungry,” has no discipline in his or her life. The proverb is also used in a conversation with a glutton who is eating all the time.