Joe Healey

524. NGENI AGALYAGA NHALE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo ali ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, agabhulagilagwa ntugo gutale gogunchumbela, kunguno y’ikujo lya giki ung’wunuyo ali ngeni. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngeni agalyaga nhale.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugubhanukula chiza abhageni bha hakaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo aling’wizang’holo uyo ajimanile imbango ijo jigenhagwa na bhageni bhenabho.

Uweyi agabhagalilaga chiza bhageni bhakw, bho gubhabhegeja jiliwa jawiza, kunguno bhali bhanhu bh’ikujo. Agabhalanjaga na bhiye inzila ja gubhagalilaga chiza abhageni bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, ‘ngeni agalyaga nhale.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gudebha kubhanukula chiza abhageni bhabho na gubhagalila bho gubhinha jiliwa jawiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho umuwikaji bhobho.

(1Wakorintho 18:1-8; Waebrania 13:1-2).

KISWAHILI: MGENI HULA KUBWA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia mtu ambaye ni mgeni wa familia fulani. Mgeni huyo huandaliwa kitoweo kwa kuchinjiwa mfugo mkubwa kwa lengo la kumkirimu, kwa sababu yeye ni mgeni wa heshima kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mgeni hula kubwa.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu vizuri namna ya kuwapokea wageni kwenye familia yake. Mtu huyo, ni mkarimu anayezifahamu baraka ambazo huletwa na wageni kwenye familia iliyowakaribisha. Yeye huwatukirimu vizuri wageni wake kwa kuwaandalia chakula kizuri, kwa sababu wao ni watu wa heshima kwake. Huwafundisha pia wenzake namna ya kuwakirimu wageni. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘mgeni hula kubwa.’

Msemo huu hufundisha watu  kuelewa namna ya kuwkirimu vizuri na kuwatunza wageni wao kwa kuwapatia chakula kizuri, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

(1Wakorintho 18:1-8; Waebrania 13:1-2).

nyama2

nyama

ENGLISH:  A GUEST EATS THE BIG ONE.

The origin of this saying is a guest of a particular family. The guest is treated nicely by killing for him/her a large animal, for the purpose of giving him/her a treat, because he/she is a respectiful guest to them. That is why people say, ‘A guest eats the big one.’

The saying, is used comparatively to a person who knows how to treat guests to his/her family. The person is aware of the blessings that come with the guests they welcome to the family. He/she thus takes good care of his/her guests by providing them with good and delicious food, because they are respectful to the family. He/she also teaches colleagues how to take good care of the visitors. That is why he tells people, ‘a guest eats the big one.’

The saying teaches people about understanding how to properly entertain and take care of their guests, by providing them with good and delicious food, so that they can receive the blessings of living in harmony with their peers.

(1Corinthians 18: 1-8; Hebrews 13: 1-2).

523. GUNKAANYA MIMBI GULOBHEKA NGOYE.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile mimbi o numba. Umunhu ng’wunuyo agamanaga udilila milimo yingi bho guguleka uyo ogupandika gwandya. Ugunduja gokwe, ulu ung’witana gwiza gubhimba numba, jilobhekage ingoye ija guyibimbila inumba yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gunkaanya mimbi gulobheka ngoye.’

 Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nduhu ugwigola chiza. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga hadoni ogayiwa ginhu jilebhe, ijo yigelelilwe abhize najo haho atali ugwandya ugugutumama unimo gunuyo. Uweyi adulile nulu gugayiwa jipimilo ja numba, aliyo alinzengi o numba.

Abhanhu abho bhandebhile igiki adigolaga bho gujikalana pye ijitumamilo jakwe, bhagang’winhaga ijo ojilekelaga huna omala ugugutumama unimo guniyo. Hungwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gunkaanya mimbi gulobheka ngoye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gwibhegeleja chiza haho bhatali ugwandya ugutumama imilimo yabho, kugiki bhadule uguyitumama mpaka guishisha ahangelelo yajo.

(Luka 14:28-32; Waebrania 12:14-15).

KISWAHILI: KUMWEZA MWEZEKAJI NI KULOWEKA KAMBA.

Chanzo cha methali hii chaangalia mwezekaji wa nyumba. Mtu huyo huwa anajali zaidi kazi zingine, kwa kuzitelekeza zile alizozipata mwanzoni. Hivyo, ukitaka kumweza mtu huyo, anayetaka kuja kukuezekea nyumba yako, ziloweke zile kamba ambazo atazitumia kuiezekea nyumba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumweza mwezekaji ni kuloweka kamba.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kuwa na maandalizi ya kutosha. Mtu huyo hufanya kazi kidogo na kudai kuishiwa kitu fulani, ambacho alitakiwa awe nacho kabla ya kuianza kazi hiyo. Yeye huweza hata kusahau kipimio wakati yeye ni mjenzi wa nyumba.

Watu wanaomfahamu mtu huyo kwamba hajiandai vizuri, humletea vifaa asivyokuwa navyo hapo kazini, na kumsimamia, ndipo anamaliza kazi hiyo vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumweza mwezekaji ni kuloweka kamba.’

Methali hii hufundisha watu kufanya maandalizi ya kutosha kabla ya kuanza kufanya kazi zao, ili waweze kuzikamiliza kazi hizo kwa umakini unaotakiwa.

(Luka 14:28-32; Waebrania 12:14-15).

ngoye1

 

ENGLISH: DEFEATING A THATCHER REQUIRES ONE TO PUT THATCHING ROPES IN WATER BEFOREHAND.

The origin of this proverb is a thatcher. A thatcher usually pays attention to other tasks and neglects the tasks he acquired earlier. To get him, put the thatching ropes in water beforehand. That is why people say, ‘Defeating a thatcher requires one to put thatching ropes in water beforehand.’

The proverb is used comparatively with reference to a person who performs his/her duties without adequate preparation. The person works a little bit and claims shortage of something, which he/she is actually supposed to have before the start of the task at hand. For instance, a bricklayer may claim to have forgotten his/her water/spirit level.

People who know the person of such unpreparedness character bring to the site all the tools needed and supervise him/her until he/she finishes the job well. That is why people say, ‘Defeating a thatcher requires one to put thatching ropes in water beforehand’..

This proverb teaches people to prepare themselves before their assignments, so that they can complete the tasks as adequately and carefully as they should.

(Luke 14: 28-32; Hebrews 12: 14-15).

522. KALAGU – KIZE: WELA DIYU NALUTA NG’HOMANGO YUGAGWILA NG’WANZA – MISO.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile miso. Amiso genayo ulu munhu umisha diyu agilalangijaga na gubhona mpaga kule gete. Ubhubhoni ubho kule bhunubho bhugikolaga ni ng’homango iyo igalutagwa yagagwila kule. Hunangwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘wela diyu naluta ng’homango yugagwila Ng’wanza’ bhashosha, ‘Miso’.

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapangaga chiza imipango yakwe iyagubhutongi. Umunhu ng’wunuyo agikalaga amanile uko aligatumamila imilimo yakwe bhuli lushigu kunguno ya bhupangi bhokwe wiza ubho milimo yahabhutongi bhunubho. Uweyi agabhalanjaga na bhiye ukupanga chiza imilimo yabho iyahabhutongi, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu bhakwe giki, ‘wela diyu naluta ng’homango yugagwila Ng’wanza’ bhashosha, ‘Miso.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu kuyipanga chiza imilimo yabho iyahabhutongi, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

(Luka 3:16’ Mathayo 1:22-25; Waebrania 10:35-39).

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: KUMEKUCHA NIKARUSHA KOMANGO LIKAENDA KUANGUKIA MWANZA – MACHO.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia macho. Mtu akiamuka asubuhi macho yake huangalia na kuona mpaka mbali kwa mara moja. Uonaji huo wa mbali hufanana na urushaji wa komango linaloenda kuangukia mbali. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba ‘kumekucha nikarusha komango likaenda kuangukia Mwanza’ na kujibu, ‘Macho’.

Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupanga vizuri mipango yake ya baadaye katika familia yake. Mtu huyo huelewa kule anakotakiwa kwenda kufanya kazi zake, kwa sababu ya huo mpango kazi wake wa baadaye.

Yeye huwafundisha pia wenzake  kuwa na huo mpango mkakati wa kazi zao za baafaye, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwategea watu wake kitendawili kwamba ‘kumekucha nikarusha komango likaenda kuangukia Mwanza’ na kujibu, ‘Macho.’

Kitendawili hiki hufundisha watu kuwa na mpango mkakati wa kazi zao za baafaye, ili waweze kupata mafaniko mengi zaidi katika maisha yao.

(Luka 3:16;  Mathayo 1:22-25; Waebrania 10:35-39).

miso

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: I THREW A GRINDING STONE IN THE MORNING, IT WENT AND FELL IN MWANZA – EYES.

The origin of this riddle is eye sight. When a person wakes up in the morning and looks around with his/her own naked eyes, he/she can see afar at once. This eye sight is likened to throwing of a grinding stone that goes and falls far away. That is why people pose ariddle, ‘I threw a grinding stone in the morning, it went and fell in Mwanza’ and respond, ‘Eyes.’

This riddle, is used comparatively to refer to a person who plans well his/her future. The person knows where he/she needs to go to work, because of his/her future plans. He/she also teaches his/her colleagues how to have strategic plans for their future activities, so that they can have more success in their lives. That is why he/she poses to his/her people a riddle, ‘I threw a grinding stone in the morning, it went and fell in Mwanza’ who respond, ‘Eyes.’

This riddle, teaches people to have strategic plans for their future activities for the plans can help them achieve the success they think of in their lives.

(Luke 3:16; Matthew 1: 22-25; Hebrews 10: 35-39).

521. KALAGU – KIZE: NALI NANG’WANONE ULU NUNTEMA ADATINIKAGA:- MINZI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile minzi. Aminzi genayo gagatumilagwa na bhanhu bho nzila ningi giti gung’wiwa, guzugilwa jiliwa, guzengelwa numba, goga, gufulila myenda na gogeja jiseme. Agoyi nulu munhu ugatema gadatinikaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nali nang’wanone ulu nuntema adatinikaga’ bhashosha, ‘Minzi.’

Ikalagu yiniyo igalenganijigwa kuli munhu uyo alina widohya bho guzunya gulangwa ginhu jilebhe, nulu na munhu uyo ali ndoo ukuli weyi. Umunhu ng’wunuyo adebhile giki ing’wanangwa idashilaga.

Uweyi agiikolaga na minzi ayo gagatumilagwa na bhanhu kunzila ningi, kunguno nang’hwe azunije ugulangwa nabhiye iyo atali uguyimana. Umunhu ng’wunuyo agabhutumilaga uwidohya bhokwe bho gutumama milimo yakwe kihamo na bhiye, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Hunagwene abanhu bhagiganilaga giki, ‘nali nang’wanone ulu nuntema adatinikaga’ bhashosha, ‘Minzi.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu  gubhiza na widohya bho guzunya gulangwa na bhichabho iyo bhatali uguyidebha, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo iyagubhandikila matwazo mingi umuwikaji bhobho.

(Mathayo 18:15-17; 2Wakorintho 2:5-11; Mithali 4:20-27).

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA: NINA MWANANGU NIKIMKATA HAKATIKI – MAJI

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia maji. Maji hutumika kwa namna mbalimbali kama vile kunywa, kupikia, kujengea nyumba, kuoga, na kufulia nguo na kuoshea vyombo. Yenyewe hata kama mtu akiyakata hayakatiki. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba ‘nina mwanangu nikimkata hakatiki’ na kujibu, ‘Maji.’

Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule mwenye unyenyekevu wa kukubali kufundishwa kitu kipya, hata na mtu yule ambaye ni mdogo kwake. Mtu huyo anafahamu kwamba elimu haina mwisho. Yeye hufanana na maji yanayotumika kufanyia kazi mbalimbali, kwa sababu naye hukubali kufundishwa kile asichokifahamu, hata na mtu yule aliye mdogo kwake. Mtu huyo huutumia unyenyekevu wake kufanya kazi pamoja na wenzake, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi maishani mwao. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba ‘nina mwanangu nikimkata hakatiki’ na kujibu, ‘Maji.’

Kitendawili hiki hufundisha watu kuwa na unyenyekevu wa kukubali kufundishwa na wenzao kile wasichokijua, ili waweze kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yawezayo kuwapatia mafanikio mengi maishani mwao.

(Mathayo 18:15-17; 2Wakorintho 2:5-11; Mithali 4:20-27).

 

 

minzi

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE  – LET IT COME: I HAVE MY BABY, WHEN I CUT HIM/HER HE/SHE DOES NOT BREAK APART – WATER.

The origin of thisriddle is water. Water is used in a variety of ways, including drinking, cooking, building houses, bathing and washing dishes and clothes. When a person tries cutting it, it does not break apart. That’s why people pose a riddle, ‘I have my baby, when I cut him/her, he/she does not break apart, and respond, ‘Water.’

This riddle, is used comparatively to refer to a person who has the humility to be willing to be taught something new, even by the person who younger or of lesser status than him/her. The person realizes that human beings never stop learing. He/she is like water that is used to do a variety of tasks, because he, too, is willing to be taught what he does not know, even by a person who younger or of lesser status than him/her. The person uses his/her humility to work together with others, so that they can achieve notable success in their lives. That is why people pose a riddle, ‘I have my baby, when I cut him/her, he/she does not break apart, and respond, ‘Water.’

This riddle teaches people about the humility of accepting what they are taught by their peers, especially something they do not know, so that they can help each other in fulfilling roles that can give them the success they desire in their lives.

(Matthew 18: 15-17; 2 Corinthians 2: 5-11; Proverbs 4: 20-27).

520. KALAGU – KIZE: LILIFUMA LILISHOKA:- LIMHAYO.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile bhanhu abho bhaligisha. Ulu bhanhu bhaligisha, imihayo yabho bhagamanaga bhishokeja yiniyo duhu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘lilifuma lilishoka’ bhashosha, ‘Limhayo.’

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadebhile isolobho ya gwigisha na bhichabho ulu bhatung’wanha nabho. Abhanhu bhenabho, bhagadebhaga umo bhaliigwila abhichacho, bho gwigisha ulu bhatung’wanha nabho chiniko umumilimo yabho. Abhoyi bhagamanaga igiki bhali mhola abhanhu bhabho bho gubhagisha. Ulu ng’wichabho alisata, aguyomba giki alisata bhusadu bhulebhe, kugiki abhiye bhadule gung’wambilija. Abhoyi bhagolechaga uwitogwa bhobho na bhanhu bhabho bho gubhagisha ulu bhatung’wanha nabho. Hunagwene abhanhu bhagabhaganilaga giki, ‘lilifuma lilishoka’ bhashosha, ‘Limhayo.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu gwitogwa, kunguno uwitogwa wingilile kuli Mulungu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho umuwikaji bhobho.

(Mathayo 5:43-48; Luka 1:39-45).

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA: LINATOKA LINAINGIA – NENO.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia watu wanaosalimiana. Watu wakiwa wanasalimiana, huwa wanarudia maneno wanayoyatumia katika kusalimiana kwao. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘linatoka linaingia’ na kujibu, ‘Neno.’

Kitendawili hiki hulinganishwa kwa watu wanaofahamu faida za kusalimiana na wenzao wanapokutana nao. Watu hao huweza kufahamu afya za wenzao kupitia salamu zao kwao wanapokutana katika mizunguko ya utekelezaji wa majukumu yao. Watu hao pia huweza kufahamu kwamba watu wao wako salama kwa kusalimiana nao. Mwenzao akiwa mgonjwa husema kwamba anaumwa ugonjwa fulani, ili waweze kuchukua hatua za kumsaidia. Watu hao huuonesha upendo wao kwa wenzao, kwa njia hiyo ya kusalimiana wanapokutana nao. Ndiyo maana wao hutegeana kitendawili kwamba, ‘linatoka linaingia’ na kujibu, ‘Neno.’

Kitendawili hicho hufundisha watu kuishi kwa upendo kati yao, kwa sababu upendo huo hutoka kwa Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

(Mathayo 5:43-48; Luka 1:39-45).

wigisha

 

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE  – LET IT COME: ‘IT COMES OUT AND RETURNS IN: – A WORD.

The origin of this riddle is people greetig each other. As people greet one another, they often exchange repeatedly the words they use in their greetings. That is why people pose a riddle that ‘it comes out and returns in:- A word.’

This riddle, is used comparatively to people who appreciate the benefits of greeting their peers when they meet. These individuals, in turn, can become aware of the health of their peers through their greetings as they meet in the execution of their daily responsibilities.

These people may also know that their people are safe by greeting them. When a colleague is ill, he or she says that he/she is suffering from a given illness so that they can take steps to help him/her. These people show their love for one another. As such, they greet each other when they meet. That is why people pose a riddle that ‘it comes out and returns in:- ‘A word.’

This riddle, teaches people about living in love with one another, because that love comes from God, so that they can live in harmony with one another in their lives.

(Matthew 5: 43-48; Luke 1: 39-45).