524. NGENI AGALYAGA NHALE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo ali ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, agabhulagilagwa ntugo gutale gogunchumbela, kunguno y’ikujo lya giki ung’wunuyo ali ngeni. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngeni agalyaga nhale.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugubhanukula chiza abhageni bha hakaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo aling’wizang’holo uyo ajimanile imbango ijo jigenhagwa na bhageni bhenabho.

Uweyi agabhagalilaga chiza bhageni bhakw, bho gubhabhegeja jiliwa jawiza, kunguno bhali bhanhu bh’ikujo. Agabhalanjaga na bhiye inzila ja gubhagalilaga chiza abhageni bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, ‘ngeni agalyaga nhale.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gudebha kubhanukula chiza abhageni bhabho na gubhagalila bho gubhinha jiliwa jawiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho umuwikaji bhobho.

(1Wakorintho 18:1-8; Waebrania 13:1-2).

KISWAHILI: MGENI HULA KUBWA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia mtu ambaye ni mgeni wa familia fulani. Mgeni huyo huandaliwa kitoweo kwa kuchinjiwa mfugo mkubwa kwa lengo la kumkirimu, kwa sababu yeye ni mgeni wa heshima kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mgeni hula kubwa.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu vizuri namna ya kuwapokea wageni kwenye familia yake. Mtu huyo, ni mkarimu anayezifahamu baraka ambazo huletwa na wageni kwenye familia iliyowakaribisha. Yeye huwatukirimu vizuri wageni wake kwa kuwaandalia chakula kizuri, kwa sababu wao ni watu wa heshima kwake. Huwafundisha pia wenzake namna ya kuwakirimu wageni. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘mgeni hula kubwa.’

Msemo huu hufundisha watu  kuelewa namna ya kuwkirimu vizuri na kuwatunza wageni wao kwa kuwapatia chakula kizuri, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

(1Wakorintho 18:1-8; Waebrania 13:1-2).

nyama2

nyama

ENGLISH:  A GUEST EATS THE BIG ONE.

The origin of this saying is a guest of a particular family. The guest is treated nicely by killing for him/her a large animal, for the purpose of giving him/her a treat, because he/she is a respectiful guest to them. That is why people say, ‘A guest eats the big one.’

The saying, is used comparatively to a person who knows how to treat guests to his/her family. The person is aware of the blessings that come with the guests they welcome to the family. He/she thus takes good care of his/her guests by providing them with good and delicious food, because they are respectful to the family. He/she also teaches colleagues how to take good care of the visitors. That is why he tells people, ‘a guest eats the big one.’

The saying teaches people about understanding how to properly entertain and take care of their guests, by providing them with good and delicious food, so that they can receive the blessings of living in harmony with their peers.

(1Corinthians 18: 1-8; Hebrews 13: 1-2).

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.