Imbuki ya kahayile kenako ilolile jisumva ijo jigitanagwa jipilingitya. Ijisumva jinijo, jigakumingijaga mabhulolo na mashi. Jigagabhumbaga gibhilinga na jayugapilingitya guja gujugasimbila hasi; humo jigapandikilaga ijiliwa jajo na abhana bhajo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘majile ga ng’wa jipilingitya.’
Akahayile kenako kagalenganijiyaga kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho pye amakanza bho gwiyambilija. Abhanhu bhenabho bhagayitumamaga imilimo yabho yiniyo ijidiku ni chu bho gwiyambilija chiza. Abhoyi bhagabhizaga bhuli ng’wene adebhile uguyitumama imilimo yakwe yiniyo, guti numo jidebhelile ijipilingitya uguitumama imilimo yajo.
Ubhutumami bho bhanhu bhenabho bhugabhalanjaga na bhazenganwa bhabho isolobho ya gwiyambilija uguyitumama imilimo yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘majile ga ng’wa jipilingitya.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gwigulyambija guja bhutongi umubhutumami bho milimo yabho n’umubhuzunya bhobo, kunguno bhadamanile akizile ka Nkomoji UYesu Kristo, kugiki bhadule gwikala chiza bhuli makanza.
(2Wakorintho 4:16-18; Mathayo 24:40-43).
KISWAHILI: MWENENDO WA DUNDU AU TUTAMAVI.
Chanzo cha msemo huo chaangalia kiumbe kinachoitwa dundu au tutamavi. Kiumbe hicho hukusanya matope na kinyesi. Huwa kinayasukuma yakiwa katika umbo la mduara na kwenda kuyachimbia ardhini kwa ajili ya hifadhi ya chakula au kiota cha kuangulia watoto. Ndiyo maana watu husema, ‘Mwenendo wa dundu au tutamavi.’
Msemo huu hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao muda wote kwa kusaidiana. Watu hao husaidiana kuyatekeleza majukumu yao wakati wa masika na hata ule wa kiangazi. Wao kila mmoja anafahamu kuyatekeleza vizuri majukumu yake, kama dundu au tutamavi anavyozifahamu kazi zake.
Utekelezaji wa majukumu yao hufundisha pia majirani zao faida za kusaidiana katika kufanya kazi zao. Ndio maana watu huwaambia kwamba ‘mwenendo wa dundu au tutamavi.’
Msemo huu hufundisha watu kuongeza bidii ya kusonga mbele katika utumishi wao, na katika imani yao, kwa sababu hawajui saa wala siku ya kuja kwake Mkombozi Yesu Kristo, ili waweze kuishi vizuri kila wakati.
(2Wakorintho 4:16-18; Mathayo 24:40-43).
ENGLISH: A DUNG BEETLE WALK.
The origin of this saying is a creature called dung beetle. The creature gathers and rolls mud and feces. It usually pushes the rolled feces and goes to bury as food source or breeding chamber. That is why people say, ‘a dung beetle walk.’
The saying is used comparatively to refer those people who do their jobs full time helping one another. These people help each other to fulfill their duties, both during rainy and dry season. They each know how to properly carry out their duties, as a dung beetle knows its duties. In carrying out their responsibilities, they also teach their neighbors the benefits of helping one another. That is why people tell them, ‘a dung beetle walk.’
The saying teaches people to work hard and maintain their faith, because they do not know the hour or day of the coming of the Redeemer, Jesus Christ, so that they can always live comfortably prepared all the time.
(2 Corinthians 4: 16-18; Matthew 24: 40-43).