Sukuma Sayings

773. NPINI NDITO NHONGE MBUPU.

Akahayile kenako, kingilile kubhanhu abho bhihalalikaga higulya ya bhudito bho npini na nhonge. Uumo obho agayomba, “unpini guli ndito gukila nhonge kunguno gugalimaga mpaka japya jiliwa na bhozugwa ubhugali umo jigigelaga inhonge.” Ung’wiye agashosha, “inonge ili ndito kunguno unpini gugalimaga kunguno ya kupandika jiliwa ijo jigabhejiyagwa nhonge.”

Abhangi bhagayomba, “unpini guli ndito kukila inhonge kunguno bhuli ng’wene adulile gubheja nhonge uigulya, alugulima bhagehu abho bhadulile.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “npini ndito nhonge mbupu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugulima umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agabhonaga jidimu ugulima kunguno ya bhugokolo bhobho.

Aliyo lulu, ulu lyushika ilikanza ilyagulya uweyi agabhizaga ogwandya uguja ugujulya. Uweyi adumile ugutumama imilimo imidimu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “npini ndito nhonge mbupu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gwigulambija gutumama milimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 14:23.

Waebrania 6:12.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: MPINI MZITO TONGE JEPESI.

Msemo huo ulitokea kwa watu waliokuwa wakibishana juu ya uzito wa mpini na tonge. Mmoja wao alisema, “mpini ni mzito kuliko tonge kwa sababu huwa unalima vyakula vinaiva na kupata tonge.” Mwenzake alijibu, “tonge ni nzito kwa sababu umpini hulima ili kupata chakula ambacho hutengenezwa tonge.”

Wengine walisema, “mpini ni mzito kuliko tonge kwa sababu kila mmoja aweza kuchukua tonge na kula, lakini wanaoweza kulima ni wachache.” Ndiyo maana watu husema kwamba, “mpini ni mzito tonge jepesi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kulima, katika maisha yake. Mtu huyo, hujisikia vigumu kushika jembe na kuanza kulima kwa sababu ya uvivu wake.

Lakini ukukifika wakati wa kula yeye huwa wa kwanza kwenda kula. Yeye pia hawezi kufanya kazi ngumu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mpini mzito tonge jepesi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi maishani mwao.

Mithali 14:23.

Waebrania 6:12.

Mathayo 11:28.

hoes

hoes2

food1

ENGLISH: A HANDLE IS HEAVIER THAN A STIFF PORRIDGE PIECE (SPENDING IS EASIER THAN EARNING).

The overhead saying originated from people who were arguing about a weight of a handle and that of a stiff porridge piece. One of them said, “The handle is heavier than a piece of the stiff porridge because one uses a handle to grow food crops which become lump of stiff porridge piece.” His companion replied, “A lump is heavier because of providing people who eat it with strengths for cultivating crops.”

Some said, “The handle is heavier than the lump because everyone can take the lump and eat, but few can cultivate by using a handle.” That is why people say, “a handle is heavy than a stiff porridge piece (spending is easier than earning).”

This saying is likened to a man who is lazy to cultivate, in his life. Such man feels difficult to hold a hoe and start cultivating because of his laziness.

But when it comes time to eat he becomes the first to go and eat. He cannot work hard, in his life. That is why people say to him, “a handle is heavier than a stiff porridge piece (spending is easier than earning).”

This saying, teaches people on how to stop being lazy by striving to do their jobs well, in their lives, so that they can achieve more success in their lives.

Proverbs 14:23.

Hebrews 6:12.

Matthew 11:28.

767. MINO GAPE KUDI MOYO.

Akahayile kenako, kalolile bhupe bho mino ga ng’wa munhu. Abhanhu abho bhalimona umunhu ng’wunuyo bhagagalolelaga amino agape genayo. Ulu bhagabhona bhagagalenganijaga nu moyo go ng’wa munhu uyo alina bhuyegi nabhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina moyo go gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutogwa bho nhana ukubhunhu. Uweyi agatumamaga milimo yakwe bho moyo gope, kugiki adule gupandika jikolo ja kutumamila na gubhambilija abhiye abho bhali na makoye.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuo mino gape guti moyo, kunguho nuweyi aina moyo gope, ugo gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go bhutogwa bho gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho mholele. Igelelilwe abhadebhe igiki, ubhiza bho ng’wa munhu bhuli mu moyo gokwe.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

KISWAHILI: MENO MEUPE KAMA MOYO.

Msemo huo, waangalia weupe wa meno ya mtu. Watu wanaokutakana naye mtu huyo huyaona Meno yake hayo meupe. Wanapoyaona huyalinganisha na moyo wa mtu anayeishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu hao humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana upendo wa kweli kwa watu anaoishi nao. Yeye hufanya kazi zake kwa kushirikiana vizuri na wenzake ili aweze kupata mafanikio ya kutumia yeye na kuwasaidia wahitaji.

Mtu huyo, hufanana na yule aliye na meno meupe kama moyo, kwa sababu naye ana moyo wenye upendo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wenye moyo wa upendo wa kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza majukumu yao kwa amani maishani mwao. Yafaa waelewe pia kwamba uzuri wa mtu uko kwenye moyo wake.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

white teeth

african-girl

laugh

ENGLISH: WITH TEETH AS PURE AS THE HEART.

The above saying looks at the whiteness of one’s teeth. People who meet such a person see his/her white teeth. When they see them, they compare them to the heart of a person who lives well with others in their societies. That is why they say, “with teeth as pure as the heart.”

This saying is applied to the person who lives well with people in the daily life. Such person, in turn, has genuine love to the people around him/her. He/she does his/her job by cooperating well with others so that they can together find success in using their talents for helping those who in great need.

This person is like the one who has white teeth like a heart; because he also has a loving heart enough to live well with people, in life. That is why people call him/her the “with teeth as pure as the heart.”

This saying teaches people about having a loving heart for living well with their societal members, in their lives, so that they can peacefully carry out their responsibilities in their lives. They should also understand that a person’s beauty is in his/her heart.

Matthew 7: 15-19.

1 John 4: 1-3.

741. BHAGOYANGI BHADINA MBINA NDO.

Akahayile kenako, kalolile bhabhini bha mbina abho bhagitanagwa bhagoyangi. Abhabhini bhenabho, bhagafunyama nzoka ulu bhandya ugubhina mbina jabho. Abhanhu bhenabho, bhaga muchalo jilebhe bhugajifunya nzoka jabho jinijo, aliyo bhali hoyi bhanhu bhadadu duhu ahenaho.

Hunagwene abhanhu aho bhabhona chene bhagayomba giki, “bhagoyangi bhadina mbina ndo.” Ubhunubho huna bhub’iza wandijo bho kahayile kenako, kunguno, abhab’ini abhangi bhagafunyaga nzoka ulu bhanhu bhukwila aha mbina yiniyo.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga nguzu ningi, ku jikolo jidoo, nulu umugutumama nimo ndoo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adulile nulu gubhucha ngong’ho gujupigila mhumbi, kunguno adadebhile ugulinganija ijilanga jakwe ni ndimu iyo aligibhulaga. Uweyi agatumamaga imilimo yakwe gitumo alitogelwa, kunguno ya wangu bhokwe bho gupelana, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na bhagoyangi abho bhagafunyaga nzoka ulu bhandya ugubhina nulu bhagab’iza bhalihoyi bhanhu bhatatu du hoyi, kunguno nuweyi agatumilaga nguzu ningi nulu alitumama nimo ndoo duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki,  “bhagoyangi bhadina mbina ndo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala ga gulinganija chiza imiliimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadizumala nguzu jabho sagala, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:20.

Mathayo 13:31.

KISWAHILI: WAGOYANGI HAWA NA NGOMA NDOGO.

Msemo huo, ulianzia kwa wacheza ngoma wanaoitwa wagoyangi. Wagoyangi hayo ni wana mchezo wa ngoma ya kutumia nyoka. Watu hao, huwatoa hao nyoka wanapoanza tu kucheza. Hivyo, watu hao walifika kwenye kijiji kimoja, ambapo waliwatoa nje hao nyoka nje wakati watu waliokuwepo hapo walikuwa wawili tu.

Ndiyo maana watu walipoona hivyo, walisema, “wagoyangi hawana ngoma ndogo.” Huo ndiyo ukawa mwanzo wa msemo huo, kwa sababu wachezaji wa makundi wengine, husubiri mpaka wawepo watu wengi zaidi, ndipo hufikia hatua ya kuwatoa nje hayo nyoka.

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia nguvu kubwa kwenye kitu kidogo, katika maisha yake. Mtu huyo, aweza hata kuchukua bunduki kwenda kuulia panzi, kwa sababu yeye hajui kulinganisha silaha zake na kitu anachoenda kukiua, maishani makwe.  Yeye hufanya kazi zake kwa kadiri anavyotaka, kwa sababu ya wepesi wake wa kukasilia.

Mtu huyo, hufanana na wagoyangi ambao hutoa nyoka nje kata kama kuna watu watatu tu kwenye ngoma yao, kwa sababu naye hutumia nguvu kubwa kwenye kazi ndogo, pia hukasilishwa hata na jambo dogo zaidi. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wagoyangi hawana ngoma ndogo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili ya kuwawezesha kutumia nguvu inayolingana na kazi wanazozifanya, katika maisha yao, ili wasizipoteze bure nguvu zao, maishani mwao.

Mathayo 18:20. “Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.””

Mathayo 13:31. “Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua akaipanda shambani mwake.””

wagoyangi africa

south-africa2

wagoyangi samburu

728. NAMUGI ADAB´IHAJA.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo alintale, nulu uyo ali namugi aha kaya yakwe. Olihoyi namhala umo uyo adimaga mitugo na bhana bhakwe. Lushigu lumo agajimija ng’ombe ubhabhuja abhana bhakwe, “nani uijimijije ing’ombe?” ung’wana ushosha, “ima lulu.” Unamhala ubhawila, “jaji mugaichole mpaga muyibhone.” Aho bhagaibhona bhudebha igiki unamhala huyo aijimija ng’ombe yiniyo, bhuyomba giki, “namugi adab’ihaja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga bhutale bhokwe bho gubhaluhya abhanhu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhutumilaga ubhutale bhunubho bho gubhubhisa ubhunhana, kunguno ya kulang’hana ikujo lwakwe. Uweyi agitaga giko bho gubhasayila salaga abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu namhala uyo agajimija ng’ombe ubhasayila na gubhaluhya abhana bhakwe, kunguno nu weyi agabhaluhyaga abhanhu bhakwe bho gubhubhisa ubhung’hana. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “namugi agab’ihaga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhutumila chiza ubhutale bhobho, kugiki abhanhu bhabho bhadule gwikala na mholele ya gubhambilija guitumama chiza imilimo yabho. Abhanhu bhenabho igelelilwe bhabhize ni kujo kubhanhu bhose.

Zaburi 2:1-12.

Waebrania 6.1-4.

Ayubu 32:6b-7.

KISWAHILI: MZEE WA FAMILIA HAKOSEI.

Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye ni mwenye madaraka au baba wa familia. Alikuwepo mzee mmoja aliyekuwa anachunga mifugo na watoto wake. Siku moja, alipoteza ng’ombe akawauliza watoto wake, “nani amepoteza ng’ombe?” Mmoja wa watoto akajibu, “simfahamu?” Akawambia, “nendeni mukamtafute mpaka mmuone.” Walipomuona waligundua kwamba, baba yao ndiye aliyempotea huyo ng’ombe, wakasema, “mzee wa familia hakosei.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatumia madaraka yake kwa kuwakandamiza watu wake. Mtu huyo, hutumia madaraka au nafasi yake hiyo katika kuuficha ukweli, kwa lengo la kulinda heshima yake mbele ya watu. Yeye huwalaimu hovyo watu wake.

Mtu huyo, hufanana na mzee mwenye watoto aliyepoteza ng’ombe akawasingizia watoto wake, kwa sababu naye huitumia nafasi yake ya ukubwa katika kuwakadamiza wale walioko chini yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba,  “mzee wa familia hakosei.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuitumia vizuri nafasi yao ya uongozi, ili waweze kuishi kwa amani ya kuwezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Watu hao, wanatakiwa kuwa na heshima kwa watu wote wanaoishi nao.

Zaburi 2:1-12. “Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na mataifa kula njama bure? Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya BWANA na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake. Wanasema, ‘‘Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.’’ Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau. Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema, “Nimemweka Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.’’ Nitatangaza amri ya BWANA : yeye aliniambia, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako. Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa mali yako. Utawatawala kwa fimbo ya kifalme ya chumana kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.’’ Kwa hiyo, ninyi wafalme, iweni na hekima, mwonyeke, enyi watawala wa dunia. Mtumikieni BWANA kwa hofu na mshangilieni kwa kutetemeka. Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.”

Yoshua Bin Sira 3:12-14. “Mwanangu, umsaidia baba yako katika uzee wake, wala usipate kumhuzunisha siku zote za maisha yake. Akiwa amepungukiwa na ufahamu umwie kwa upole, wala usimdharau iwapo wewe u mzima sana; kwa maana sadaka apewayo baba haitaswahauliwa, na badala ya dhambi itahesabiwa kwa kukuthibitisha; ”

Waebrania 6.1-4. “Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tusonge mbele ili tufikie utimilifu, si kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu, yaani, mafundisho kuhusu mabatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu na hukumu ya milele. Mungu akitujalia tutafanya hivyo. Kwa kuwa ni vigumu kuwarejeza tena katika toba wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu.”

Ayubu 32:6b-7. “Mimi ni mdogo kwa umri, ninyi ni wazee, ndiyo sababu niliogopa, sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua. Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’”

hunters nature

familiy africa

ENGLISH: THE FATHER OF THE FAMILY DOES NOT MAKE MISTAKES.

This saying refers to the person who is in charge of something or the father of the family. There was an old man who was tending cattle and his children. One day, he lost a cow and asked his children, “Who has lost this cow?” One of the children replied, “I don’t know” He told them, “Go and look for her until you find her.” When they saw her, they realized that their father was the one who had lost the cow, and they said, “The father of the family does not make mistakes.

This saying is used to refer to a person who uses his power to oppress his people. That person uses his position to conceal the truth, with the aim of protecting his dignity before the public eye. He falsely accuses his people.

Such man is like the father who had children and lost his cattle, but never admitted that he had done so instead he shifted the blame to his children. That is why people have a saying, “The father of the family does not make mistakes”

This saying, teaches people how to make good use of their leadership position, so that they can live in peace to enable them to carry out their responsibilities effectively. Such people have to be respectful to all the people who live with them.

Psalm 2: 1-12, Joshua Bin Sira 3: 12-14, Hebrews 6.1-4, Job 32: 6b-7.

672. HANGAYA YABHELEKA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile ku Sonda iyo igafumaga dilu makingilima Isonda yiniyo, uluyafuma  igamanyichaga giki ubhujuku wela, kugiki abhanhu bhaje ku milimo iki wizaga bhupe. Ubhupe bhunubho, bhugolechaga ikanza lya gwandya kutumama milimo, kunguno bhuli ng’wene agadulaga ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Hangaya yabheleka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntumami ogwipunha dilu oja ukumilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalitumilaga chiza ilikanza ilya Limi, bho gwanguha gujigulambija gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi adebhile isolobho ya gulitumila chiza ilikanza lyake lya Limi linilo. Isolobho jinijo, jilikihamo na gwipandikila matwajo mingi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolola ni sonda iyo igabhelekaga dulu, kunguno nuweyi agipunhaga dulu makingilima, ogigulambija gutumama milimo yakwe, iyo igang’winhaga matwajo mingi, umuwikaji bhokwe.

Uweyi agabhinhaga nabhiye bhulangwa bho gulitumila ilikanza lya limi jinagwigulambija uguitumama imilimo yabho yiniyo chiza, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Hangaya yabheleka.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gulitumila ilikanza lyabho ilyalimi bho gwigulambija guitumama na bhukamu bhutale imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo agagujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 1:73.

Mathayo 16:3.

2 Wakorintho 6:1.

Luka 2:32.

Waebarania 1:1…

KISWAHILI: SAYARI/NYOTA IMETOKEA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye Nyota ile inayotoka asubuhi na mapema. Nyota hiyo, ikitokea huonesha kwamba usiku umekucha, ili watu waende kufanya kazi kwa vile mwanga umekuja.

Mwanga huo, huonesha wakati wa kuanza kufanya kazi, kwa sababu ya kila mmoja kuweza kuona vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Sayari/Nyota imetokea.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mfanya kazi anayeamka asubuhi na mapema, na kwenda kufanya kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia vizuri muda wake wa mchana, kwa kujibidisha kuyatekeleza  kwa bidii majukumu yake hayo. Yeye anafahamu faida ya kuutumia vizuri muda wake huo wa mchana. Faida hizo, ni pamoja na kujipatia mafanikio mengi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Nyota ile inayotokeza asubuhi, kwa sababu naye hujilawa asubuhi na mapema kwenda kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake, yanayompatia mafanikio mengi, katika maisha yake.

Yeye pia huwapatia mafundisho wenzake, ya kuutumia muda wao wa mchana, katika kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘Sayari/Nyota imetokea.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao wa mchana kwa kujibidisha kuyatekeleza kwa bidii kubwa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao.

Luka 1:73.

Mathayo 16:3.

2 Wakorintho 6:1.

Luka 2:32.

Waebarania 1:1…

star

star2

bhakima bhatumami

 

ENGLISH: THE MORNING STAR HAS APPEARED.

The source of this saying is the morning star that communicates that a new day has come. When this star appears it sweeps away darkness and invites light to mean that people have to wake up and continue with their daily activities. This scenario of making people wake up and proceed with their daily routine can be described using the saying that ‘the morning star has appeared.’

This saying can be compared to a person who wakes up early in the morning and goes to work. Such a person values time and knows when to wake up and what to do. People of this nature are likely to have achievements in life because of the way they are organized in their responsibilities. They also teach others about valuing time.

The saying teaches people about how to use their time in their daily activities. People have to work hard in order to achieve success in life.

Luke 1:73. Matthew 16: 3. 2 Corinthians 6: 1. Luke 2:32. Hebrews 1: 1.