Sukuma Proverbs

383. KAYA YALILE MASANGU.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuli bho masangu bho kaya. Ubhuli bho masangu bhunubho bhub’ukilile ha mbina ya b’akima. Imbina yiniyo ulushigu ulo igushulaga, b’alyaga masangu na gubalasana. Hunagwene ulu bhanhu bhali kihamo ulu b’ubalasana, abhanhu bhagayombaga giki, ‘kaya yalile masangu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanu abho bhali b’itolile, ulu b’iduma kaya yabho ucha, b’agahayaga giki, ikaya yiniyo yalile masangu. Gashinaga ikaya ugulya masangu, mumho gwiduma na gub’ulaga kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu ulu bhubhona b’itoji widumile na gub’ulaga kaya yab’o, bhagayombaga giki, ‘kaya yalile masangu.’

Ulusumo lunulo lolanga b’itoji higulya ya kuleka widumi bho gub’ulaga kaya yabho, kugiki bhadule gwikala b’itolile pye shigu ja wikaji bhobho.

Yeremia 3:18.

Isaya 50:1.

Malaki 2:14-16.

Ezra 10:3.

KISWAHILI: KAYA IMEKULA MAKANDE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa makande wa kaya. Ulaji huo wa makande ulianzia kwenye mchezo wa wanawake. Mchezo huo au ngoma hiyo, ilikuwa na desturi ya kula makande siku ya kumaliza mchezo. Baada ya kula walisambaa kila mmoja kwenda nyumbani kwake. Ndiyo maana watu wakiona wenzao waliokuwa pamoja wamesambaa, husema kwamba, ‘kaya imekula makande.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu waliooana, wakakosana na kuachana, kwa maana ya kuvunja mji. Mji huo huelezewa kwamba umekula makande. Kumbe kula makande ni kuvunja mji, baada ya kukosana kwa waliooana hao. Ndiyo maana watu wakiona watu walioona wamekosana na kuachana, husema kwamba, ‘kaya imekula makande.’

Methali hiyo hufundisha watu walioona juu ya kuacha ugomvi wa kuvunja mji wao, ili waweze kuishi pamoja siku zote za maisha yao.

Yeremia 3:18.

Isaya 50:1.

Malaki 2:14-16.

Ezra 10:3.

woman preparing food

ENGLISH: THE FAMILY HAS EATEN MASANGU/ (MIXED MAIZE AND BEANS).

The source of this saying comes from eating cooked grains. The saying can be traced from the female dance where people were accustomed of eating cooked grains (masangu) at the end of the dance. After eating, each one of them could find his/her own way; leave the place. It is through this departure; going back to their respective homes that people can say ‘the family has eaten cooked grains (masangu)’ to mean departure.

The saying can be compared to married people, who appear to quarrel and finally separate. Their separation can be described by the saying that ‘the family has eaten cooked grains (masangu)’ to mean break up in marriage.

The saying teaches people about not involving in quarrelsome acts that may result into break ups in friendship or marriage. In so doing, they will be able to live together in peace and harmony throughout in their lives.

Jeremiah 3:18.

Isaiah 50: 1.

Malachi 2: 14-16.

Ezra 10: 3.

381. JAGULYA NINGI LWA GUCHA LUMO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho jisumva ukuwelelo na bhuli b’ojo. Ijisumba jinijo jigab’izaga na shigu ningi ija gulwa ijiliwa. Aliyo lulu, ulu shigu ulo gucha, luli lumo duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jagulya ningi lwa gucha lumo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhulamu b’o ng’wa munhu ubho agikalaga nabho aha welelo. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ulya bho shigu ningi, kwingila ha gub’yalwa gokwe, ha b’ukuji na wikaji b’okwe bhose. Uweyi adebile igiki, ishiku ija gulya jinijo jili ningi, aliyo lulu, ulushigu ulo gucha, luli lumo duhu. Agabhalangaja nabhiye ugujitumila chiza ishigu jabho ija gulya jinijo. Hunagwene agab’awilaga abhiye giki ‘jagulya ningi lwa gucha lumo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gulya jiliwa ukunhu bhalitumama milimo yabho na gugab’ana ijiliwa jabho na bhichabho, kugiki bhadule gujitumila chiza ishigu jab’o ijaguya jinijo, kunguno ulushigu ulo gucha luli lumo duhu.

Muhubiri 5: 18-19.

Luka 17:17-20.

 Tajiri mpumbavu

KISWAHILI: ZA KULA NI NYINGI YA KUFA NI MOJA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya kiumbe ulimwenguni na ulaji wake. Kiumbe hicho huwa kina siku nyingi za kula chakula. Lakini basi, siku ya kufa kwa kiumbe hicho ni moja tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘za kula ni nyingi ya kufa ni moja.’

Methali hiyo hulinganishwa kwenye maisha ya mwanadamu alivyo na siku nyingi za kula, lakini siku yake ya kufa ni moja tu. Mtu huyo huwa anakula mara nyingi katika siku zake hizo, ambazo ni za kuanzia kuzaliwa kwake, kukua na kuishi kwake. Yeye hufahamu kwamba anazo siku hizo nyingi za kula, lakini siku yake ya kufa ni moja. Hivyo huwafundisha watu wake juu ya kuzitumia vizuri siku hizo za kula ili waweze kuacha historia nzuri watakapokufa. Ndiyo maana huwaambia kwamba, ‘za kula ni nyingi ya kufa ni moja.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kula chakula huku wakifanya kazi na kuwagawia wahitaji chakula chao, ili waweze kuzitumia vizuri siku zao, kwa sababu siku ya kufa ni moja.

Muhubiri 5: 18-19.

Luka 17:17-20.

food-distribution

africa uganda

 

ENGLISH: THERE’RE A NUMBER OF DAYS FOR EATING BUT ONE DAY FOR DEATH.

This saying comes from the real life of creatures that they have a number of days they can spend in eating but they have only one day for their death.

This saying can be compared to a man’s life with many days of eating, but having only one day for death. Under normal circumstances, human beings take food from birth to death which means several days (reference is made to human beings who live for quiet a long time). But, when it comes to death, it is only just a minute.

This saying, therefore, teaches people how to make good use of those eating days so that they can leave a certain legacy in life. It also teaches people to work hard and be able to donate food to the needy people because, in doing so, they will be preparing their own environment of being remembered in future.

Ecclesiastes 5: 18-19.

Luke 17: 17-20.

380. ISONGA LYALYA MASWA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulasi bho ndimu bho ningi ng’wipolu. Unasi  ondimu ng’wunuyo, ulu uifuja indimu iyo uilengaga guilaga, ilisonga lwakwe, ligachimaga maswa umo ligagwilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘isonga lyalya maswa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ufuja nhola bho gumtola munhu uyo aladadeb’ile igiki alina kajile kabhubhi. Agaimana inhungwa iyabhubhi yiniyo ya ng’wiyi aho Bitola. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘isonga lyalya maswa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwita b’ukengeji bho gudula gudeb’a chiza inhungwa ja b’itoji bhabho, haho bhali ugwitola, kugiki bhadizufuja nhola guti ni lisonga ilo ligalya maswa.

1 Samweli 20:36.

Mithali 15:3.

KISWAHILI: MSHALE UMEKULA MAJANI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uwindaji wa mnyama polini, kwa kutumia mshale. Mwindaji huyo wa wanyama poli kwa kutumia mishale, akimkosa mnyama aliye mlenga, mshale wake huangukia kwenye majani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mshale umekula majani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye alikosea kuoa kwa kumuoa mtu ambaye hakuifahamu tabia mbaya alinayo mwenzeke huyo, kabla ya kuoana. Baada ya kuona ndipo akaigundua tabia hiyo mbaya ya mwenzake. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘mshale umekula majani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kutosha kufahamu tabia za wenzi wao watarajiwa kabla ya kuoana, ili wasize wakakosea kuoa kama ule mshale ulio kula majani.

1 Samweli 20:36.

Mithali 15:3.

hadzabe

 

ENGLISH: AN ARROW HAS EATEN GRASSES.

The source of the above saying comes from the hunting of animals in the forest by using arrows. If an arrow of the hunter misses the targeted animal, its arrow falls on the grasses. That is why people say, ‘the arrow has eaten grasses.’

This saying can be compared to a person who was mistaken for marrying a bad-mannered person. He came to realize it after marriage. This is why people can sympathize with such a person by telling him that ‘the arrow has eaten grasses.’

The saying teaches people about doing enough research to understand the behavior of their prospective mates before marriage. This will help them to have a perfect marriage partner.

1 Samuel 20:36.

Proverbs 15: 3.

379. AGWILYAGA B’ULA B’OKWE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingnilile kubhukenaguji bho jikolo ja hakaya ijo jidulile gugamala amakoye genayo joyi injinikili. Iginhu jahakaya hinijo jili guti ng’ombe, ulu jukenagula jiliwa ja hakaya bho gulisha mungunda, jigahayiyagwa giki, jalyaga b’ula, kunguno, nulu ng’winikili, uyo jankenagujaga ilijilwa, agujilinja ugula ijiliwa jingi ubhiza ogamala amakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalelaga shib’i abhanhu bhakwe. Abhanhu bhenabho bhagajimalaga isabho jahakaya yiniyo bho gung’wenhela mamihayo, nulu makoye. Umunhu ng’wunuyo agajijinjaga isabho jakwe jinijo, kugiki abhaingije amakoye genayo abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhalanga kalile kabhubhi abhanhu bhabho. Yigelelilwe b’abhalele chiza, kugiki bhadule gujilang’hana chiza isabho jabho.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

KISWAHILI: AJILA UTUMBO WAKE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uharibifu wa vitu usababishwao na vitu vyenyewe ambavyo hutumika pia katika kutatua tatizo hilo. Vitu hivyo ni pamoja na ng’ombe ambao hula shamba la chakula cha mtu awamikiliye. Hali hiyo husemwa kwamba wamekula utumbo, kwa sababu mwenye ng’ombe hao aweza kuwauza na kwenda kununua chakula kwa ajili ya kumaliza tatizo la kukosa chakula kilicholiwa na ng’ombe hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumba wake.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea vibaya watu wake. Watu hao huzimaliza mali zake kwa kumletea matatizo nyumbani, hali ambayo humlazimu kutumia mali hiyo katika kuwaondolea watu wake matatizo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumbo wake.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwalea vibaya watu wao. Yafaa wawalee vizuri ili waweze kutunza vizuri mali zao.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

family1

 

ENGLISH: EATING YOUR OWN INTESTINE.

The source of the above saying comes from self-damage that can cause more problems in future. Cows, for example, can graze on the farm of their owner and in so doing the farmer will likely run shortage of food that can force him/her to sell some cows to get food. In return, the money obtained out of selling the cow can be used to buy food. This is why people can say ‘eating your own intestine’.

The saying can be likened to a person who abuses his/her people. This person may end up being in problems thus affecting his/her home and family in general. Such people are being warned by telling them that ‘eating your own intestine.’

This proverb teaches people to stop mistreating others. They should take good care of them so that they will have a good relationship in future.

Matthew 10:21.

James 3:16.

 Genesis 1: 12-22.

376. WITOJI B’UDALIYAGWA NGOSO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwitoji na b’uli bho Ngoso. Uwitoji bhunuyo, b’udadulile gulina na Ngoso, kunguno guli mhayo uyo gudab’ungaga, nulu uyo gudasukaga. Ukwenye huguhaya giki, ulu umunhu udila gutola, nulu gutolwa, adusanga giki uwitoji b’oshila, abhize namhala agutola, nulu abhize ngikulu, agutolwa duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘witoji b’udaliyagwa Ngoso.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiwagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki, uwitoji bhuli bho bhanhu b’ilika lileb’e duhu. Umunhu ng’wunuyo agabhalemejaga abho bhalihaya kutola nulu kutolwa. Agab’ahadikija abho bhadahayile ugutola, nulu gutolwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘witoji bhudaliyagwa Ngoso.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kub’aleka abhanhu bhatumile uwiyab’i bhobho, ijinagwingila umuwikaji bho witoji.

Marko 10:7-8,

Mathayo 19:6.

KISWAHILI: UOAJI HAULIWI NA PANYA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uoaji na ulaji wa Panya. Uoaji huo hauwezi kuliwa na Panya kwa sababu ni neno ambalo hali dukuliwi na wadudu wala halipotezi utamu wake. Ndiyo kusema kwamba, hata mtu azeeke hatakuta kwamba, uoaji umepitwa na wakati, ataoa au ataolewa tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uoaji hauliwi na Panya.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiria kwamba, uoaji ni wa watu wa lika fulani tu. Mtu huyo huzuia wale watakao kuoana. Yeye huwalazimisha pia wengine kuolewa au kuoa wale wasiotaka kuingia kwenye maisha hayo ya ndoa. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uoaji hauliwi na Panya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaacha watu watumie uhuru wao katika kuoa au kuolewa, maishani mwao.

Marko 10:7-8,

Mathayo 19:6.

african-couple

 

ENGLISH: MARRIAGE CANNOT BE EATEN BY RATS. 

The source of the above saying comes from the feeding and eating of rats. Marriage, as a state, is something abstract and therefore it cannot be consumed by insects. In this saying people are warned against considering marriage as something that can expire sometimes. In Christian doctrine, marriage is a question of life and death.

This saying can be compared to someone who thinks that marriage is only for people of a certain age. This person prevents those who want to get married. He/she also forces others to marry those who do not want to enter into such a married life. Such people are being warned by telling them that ‘marriage cannot be eaten by rats.’

The saying teaches people to let people exercise their freedom in marriage. They should neither force them nor prevent them from marriage, provided that they follow the required conditions and procedures for marriage.

Mark 10: 7-8,

Matthew 19: 6.