428. INZAGAMBA ULU YUPYENWA IGAZONGAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuzongu bho nzagamba iyo yapyenagwa. Inzagamba, igabhizaga nhyangamumku ulu itemile ung’widale.

Aliyo lulu, ulu yupyenwa niyagamba lingi, igazongaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo olintongeji o bhanhu, aho atali ugupejiwa. Umunhu ng’wunuyo agakindwa na ng’wiye abho wiza ubhuchaji, ukija uguchagulwa. Agingila ungi umunimo gokwe gunuyo.

Kuyiniyo lulu, uweyi nanghwe agazongaga guti ni nzagamba iyo yapyenwa yiniyo. Agamalaga ulubhango umuwikaji bhokwe, kunguno hamo obhitilaga yabhubhi abhanhu abho obhatongelaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhitila yawiza abhanhu abho bhalibhatongela, kugiki nulu bhaginga umubhotongeji, bhadule gwikala bho bhuyeji na bhanhu abho bhabhatongelaga.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

KISWAHILI: FAHARI AKISHINDWA NA FAHARI NG’WINGINE HUSONONEKA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kusononeka kwa fahari aliyeshindwa na fahari mwenzake kwenye kundi. Lakini basi, akizidiwa na fahari mwenzake, husononeka sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye alikuwa kiongozi kablya hajafukuzwa. Mtu huyo alishindwa na mwenzake kwenye uchaguzi akaingia mwingine kwenye nafari yake.

Kwa hiyo basi, yeye naye husononeka kama yule fahari aliyeshindwa. Fahari huyo hukosa Baraka au furaha maishani mwake, kwa sababu pengine aliwatendea mabaya wenzake alipokuwa kiongozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatendea mema watu wanaowaongoza, ili wakiacha kazi hiyo ya uonngozi, waweze kuishi kwa furaha na watu waliowaongaza.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

bull

cattle1

 

ENGLISH: A DEFEATED BULL BECOMES SAD.

The source of the above proverb is derived from a failed and frustration bull. When the bull is defeated by its fellow, it becomes very depressed. That is why people can say ‘a defeated bull becomes sad’ to communicate the sad feelings the bull can feel for being defeated in the challenge.

The proverb can be compared to a person who was a leader before before being dismissed. Such a person was taken out of power through ballot and his/her position was replaced by someone else.  The defeated leader will always feel uncomfortable to go back to the people he/she used to lead when in power.

The proverb teaches people to respect others, especially in leadership. They have to respect their subordinates so that when they come out of power they can be well accepted in the society.

Luke 15: 13-16.

Daniel 4: 30-33.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.