Imbuki ya kalagu yiniyo yinolile mayu uyo alina bhana bhakwe bhadatu. Umayu ng’wunuyo abhadebhile abhana bhake amina gabho, ni nhungwa jabho. Abhana bhenabho, nabho bhandebhile chiza uninabho. Gashinaga na bhananzengo nabho bhandebhile umayu ng’wunuyo, kihamo na bhana bhakwe, kunguno ya kikalile kabho, akawidebhi kenako. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina o Nkwimba alina bhana bhadatu, uogwandya Milembe, uokabhili Kwangu, alu gadatu agubhiza nani?’ bhashosha, ‘Nkwimba.’
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo amanile ugubhakuja chiza abhanhu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhakujaga bho gwikala bhidebhile chiza bhuli ng’wene, guti numo unina o Nkwimba obhalelelaga abhana bhakwe.
Abhana bhenabho bhagikalaga kihamo ijinabhutumami bho milimo yabho. Akikalile kabho, kagabhalanjaga abhananzengo gwikala bhidebhile chiza, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiganilaga giki, ‘nina o Nkwimba alina bhana bhadatu, uogwandya Milembe, uokabhili Kwangu, alu gadatu agubhiza nani?’ bhashosha, ‘Nkwimba.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu gwikala bhidebhili chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza uguitumama imilimo iyo igajibhejaga ikaya jabho.
(Kutoka 3:15; Mwanzo 18:1-2; Yohana 1:1-2).
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: MAMA YAKE NKWIMBA ANA WATOTO WATATU, WA KWANZA NI MILEMBE, WA PILI KWANGU, WATATU ANAITWA NANI? – NKWIMBA.
Chanzo cha kitendawili hiki chamwangalia mama mwenye watoto wake watatu. Mama huyo anawafahamu vizuri watoto wake kwa majina na tabia zao. Nao wanamfahamu vizuri mama yao.
Kumbe wanakijiji nao wanamfahamu mama huyo pamoja na watoto wake, kwa sababu ya mwenendo wao huo mwema wa kuishi kwa kuelewana vizuri. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba ‘mama yake Nkwimba ana watoto watatu, wa kwanza Milembe, wa pili Kwangu, watatu ataitwa nani?’ na kujibu, ‘Nkwimba.’
Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anafahamu namna ya kuwakuza katika malezi mema watoto wake. Mtu huyo huwalea kwa kuwafundisha namna ya kuishi kwa kuelewana na kila mmoja, kama mama yake Nkwimba alivyowalea vizuri watoto wake.
Watu hao huishi pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao. Maisha yao huwafundisha pia wanakijiji namna ya kuishi kwa kuelewana vizuri kati yao maishani. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mama yake Nkwimba ana watoto watatu, wa kwanza ni Milembe, wa pili Kwangu, watatu anaitwa nani?’ na kujibu, ‘ Nkwimba.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu kuishi katika uelewanno mzuri na watu wao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu ya kuziendeleza vizuri familia zao.
(Kutoka 3:15; Mwanzo 18:1-2; Yohana 1:1-2).
ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME: NKWIMBA’S MOTHER HAS THREE CHILDREN, THE FIRST ONE IS MILEMBE, THE SECOND IS KWANGU, WHO IS THE THIRD ONE? – NKWIMBA’.
The origin of this riddle is a mother of three children. She knows her children well by their names and behavior and the children too know their mother well.
The villagers, too, know the mother and her children, because of their good way of living in harmony. That’s why people pose a riddle, ‘Nkwimba’s mother has three children, the first one is Milembe, the second is Kwangu , who is third onet?’ and respond ‘Nkwimba.’
This riddle is used comparatively with reference to a person who knows how to nurture his/her children. The person nurtures them by teaching them how to live in harmony with each other, just as Nkwimba’s mother properly nurtured her children. Such a person lives together with his/her children and they execute their duties cooperatively. Their lives also teach others how to live in harmony with each other. That is why people pose a riddle, ‘Nkwimba’s mother has three children, the first one is Milembe, the second is Kwangu , who is third onet?’ and respond ‘Nkwimba.’
This riddle teaches people about living in good relationship with their people, so that they can better fulfill their family responsibilities.
(Exodus 3:15; Genesis 18: 1-2; John 1: 1-2).