Tanzania

597. MAGANGA KUMPINDO.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kubhutuji bho mhamba bho ng’wa Maganga. Umaganga uliatogilwe guhoyela mihayo ya habhutongi iyo yilikihamo na bhutuji bho sabho ijo jidulile gung’wambilija aha shigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu bhagikomelejaga ugujitula isabho jinijo bho guyomba giki, ‘Maganga kumpindo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jikolo ijo ajisanije giki jidulile kung’wambilija aha shigu ijaha bhutongi. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga usungilija hado hado, isabho ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe, mpaga nose agajikwijaga. Uweyi adebhile ugujichola isabho jinijo bho gutumama milimo yakwe chiza, na gujitumila chiza ijo agajipandikaga.

Umunhu ng’winuyo, agabhatongelaga abhanhu bhakwe inzija ja kujichola ijikolo jiniyo, ni jagutumamila chiza, kugiki nabho bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘Maganga kunuma.’

Ikahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha guchola jikolo bho guitumama chiza imilimo yabho, na gujilabhila chiza isabho ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Nyakati 2:11.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:31-33.

KISWAHILI: MAGANGA KWA NYUMA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uwekaji wa akiba wa Maganga. Maganga alikuwa na kawaida ya kuongelea maneno ya mbeleni ambayo ni pamoja na uwekaji wa akiba ya mali itakayoweza kuwasaidia katika siku za mbeleni. Ndiyo maana watu huhimizana kujiwekea akiba hiyo ya mali kwa kusema kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana mali za kuweza kumsaidia katika siku za mbeleni. Mtu huyo, huwa anawekeleza kidogo kidogo, mali anazozipata katika kazi zake, mwishowe mali hizo huwa nyingi. Yeye anaelewa namna ya kuzitafuta mali hizo anazozipata, na namna ya kuzitumia.

Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kuwafundisha njia za kuitafuta mali hiyo, na zile za kuitumia vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’

Masemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kutafuta mali kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kuzilinda  vizuri mali wanazozipata, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Nyakati 2:11.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:31-33.

nkima ntumami1

ntumami2

nkima ntumami2

ENGLISH: SAVE LIKE WHAT MAGANGA DID.

The source of this saying is Maganga and how he was able to save whatever he had for future use. Maganga is a person who used to talk much about his future. He therefore managed to keep his possessions well for his future use. That is why people came with the saying that ‘Save like what Maganga did’ to describe how Maganga was able to plan for his future.

This saying can be compared to a person who has enough resources to help him/her in future. This person can minimally spend the available resources and spare some of them for future. He/she is expected to have resources in his/her future because of the tendance of saving them. Such a person teaches others about how to spend what they have in life by ensuring that they have something to sustain their lives in future.

This saying teaches people about how to save whatever resources they have for their future.

2Chronicles 2:11, Matthew 6: 19-21, Luke 12: 31-33.

596. KALAGU – KIZE. NG’HONA YATELELA HATATI YA B’ANA B’INGI:– LING’WANDU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile ling’wandu. Ung’wandu gunuyo, guli nti ntale gete uyo gugikalaga na b’ana b’ingi. Ab’ana bhenabho pye b’agikalaga b’adamilile halininabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalabhilaga kaya yakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigakalaga ali na bhutogwa bhutale ukubhiye, ubho bhugang’wambilijaga ugubhalanga abhanhu bhake nzila ja gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho.

Uweyi agikalaga abhadimilile abhana bhakwe guti numo gubhadimilile Ung’wangu ab’ana bhago. Akikalile kakwe kenako, kakabhalanjaga abhiye inzila ja gujilabhilila chiza ikaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gudebha gujilabhila chiza ikaya jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bhitogilwe chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NG’HONA AMETAGIA KWENYE BUIBUI WA WATOTO WENGI:- MBUYU.

  Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Mbuyu. Mbuyu huo, ni mti mkubwa kabisa, ambao huwa na matunda mengi. Matunda hayo, huwa yamejining’iniza kwenye mti. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilinda kwa kuitunza vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana upendo mkubwa kwa watu wake, ambao humsaidia katika kuwafundisha namna ya kuyatekeleza majukumu yao, na kuishi na wenzao vizuri.

Yeye huwa ameshikamana na watoto wake, kama vile Mbuyu unavyoshikamana na matunda yake hayo. Maisha yake, huwafundisha watu njia za kuzilinda kwa kuzitunza vizuri familia zao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzilea kwa kuzitunza vizuri familia zao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

ng'wandu1

baobab ng

baobab-ng'wandu

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

THE BIRD THAT HAS BUILT A NEST WITHIN THE SPIDER’S FAMILY – BAOBAB TREE.

The source of this riddle is a baobab tree. This tree is featured by being big in size and it produces many fruits. Its fruits will always appear to hang from the baobab tree. This hanging of fruits from the branches of the baobab tree made people come with the riddle that ‘The bird that has built a nest within the spider’s family’ to communicate the connection among the following: the baobab tree, its branches and the fruits it bears.

This riddle can be compared to a person who takes good care of his/her family. This person is likely to have deep love to his/her people. Such a person can be attached to his/her children in the same way a baobab tree is attached to its branches and fruits.

This riddle teaches people about understanding how to raise and take care of their children. In so doing, they will be able to create and maintain good relationship with neighbours throughout their lives.

Deuteronomy 5:32, Ezra 8:29, Acts 20:28, Ephesians 5:29.

595. KALAGU – KIZE. NINA NG’WANI GOYEGOYE NG’WANA NG’WANIB’ILINGWA: – TIGITI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola itina lya tigiti, na bhana bhalyo. Ilitina linilo, ligabhizaga na magole ayo gagalanda landaga kihamo na matina gangi ayo gagalandaga guti lyoyi.  Aliyo lulu, ululyubhyana abhana bhalyo bhagabhizaga bhibhilingu, bhatale, bhanonu na bhingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhakujaga bho gubhalela chiza abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhana bhakwe bhenabho, abho bhagakulaga bhamanile uguitumama chiza imilimo ya hakaya, nu gwikala chiza na bhanhu bha munzengo gobho.

Uweyi agikaloga ni litina lya tigiti linilo, kunguno nuweyi alina bhana abho agabhakujaga bho gubhinha ilange lya wiza. Abhana bhenabho bhagabhizaga bhawiza umukajile ka nhungwa jabho, guti ni tigiti umojiganonelaga, ukubhali bhajo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhabyaji higulya ya gubhakuja bho gubhalanja nhungwa jawiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, na gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MAMA YAKE KAMBAKAMBA WATOTO MVIRINGO – TIKITI MAJI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia shina la tikiti maji na matunda yake. Shina hilo la tikiti maji huwa ni kamba kamba ambazo hutanda zikiwa pamoja na mshina mengine yanayotanda kwa kulanda landa. Lakini basi, shina hilo huzaa matunda ya mviringo, ambayo huwa makubwa, mengi na matamu sana. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwakuza kwa kuwalea vizuri watoto wake. Mtu huyo, huwafundisha kushika tabia njema watoto wake hao, ambao hukua wakiwa wanafahamu kufanya kazi na kuishi vizuri na watu wa kijijini kwao.

Yeye hufanana na shina hilo la tikiti maji, kwa sababu naye ana watoto wambao huwakuza kwa kuwapatia malezi mema. Watoto hao, huishika na kuishi tabia hiyo njema, hali ambao huwawezesha kuwa wazuri, kama tikiti maji zilivyo tamu kwa walaji wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza kwa kuwapatia malezi mema watoto wao, katika maisha yao, ili waweze kuyatimiza vizuri majukumu yao, na kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

tikiti4

tikiti3

tikiti

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT’S MOTHER IS JUST PIECES OF THREADS BUT HER CHILDREN ARE ROUNDISH IN SHAPE – WATERMELON.

The source of this riddle is a watermelon and its stem. The stem of water melon always appears like pieces of strings. These strings can be scattered around but they have one source; stem. Despite its appearance, being pieces of strings, it produces water melon, a fruit that is roundish in shape, big and sweet as well. That is why people came with this riddle ‘its mother is just pieces of threads but her children are roundish in shape – watermelon’ to communicate the relationship between watermelon and its stem.

This riddle can be compared to a person who takes care of his/her children. This person teaches his/her children on how to behave and live well with the people in their societies. This person is likened to a stem of watermelon that takes good care of its fruits despite its condition of being just pieces of threads. Its fruits are big and sweet enough to attract consumers. All these good attributes of the water melon fruit are associated with good parenting of its stem.

This riddle teaches people about nurturing children by providing them with good care. This will enable them to be acceptable members of the society.

Psalm 127: 3-5, Psalm 128: 3, Job 5:25.

594. KALAGU – KIZE. JILUGUTA NGANYALE: – NG’HUNDYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile kubhulumi bho Ng’hundya kujisumva jilibhe. Ing’hundya jilisumva ijo igalumaga na gudamila ha mili go ntugo uyo gutali gusiminza. Yiyoyi igadamilaga aha ng’ombe, mbuli nulu ha Mbogo, aho yalumaga, kugiki imane yugabipa amininga gakwe uyo yanumaga ng’wunuyo. Agumanusiminza iliho duhu, mpaga wigele oguyinja hoyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki,  ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agigashaga ha ng’wa nsabhi. Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’hundya yiniyo, kunguno nuweyi agamanaga ulya duhu ijiliwa ijahali nsabhi ng’wunuyo, guti ni ng’hundya yiniyo, iyo igamanaga yugabipa amaninga gakwe uyo yanumaga.

Uweyi agikalaga bho bhuyegi aha linsabhi ng’wunuyo, kunguno agamanaga ulya duhu ijiliwa ijo ojichola unsabhi okwe. Abhanhu abho bhagamonaga bhagikalaga bhedebhile igiki, uweyi wikajiwa hoyi jiliwa duhu, kunguno ulu jushila ijiliwa jinijo, adudula ugwikala ahakaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhakuja ab’ana bhabho bho gubhonhya mabhele chiza, na gwibhegeja ijinagutumama milimo yabho, abho bhakula, kugiki bhaleke ugwisanya nguzu ja bhangi, umuwikaji bhobho.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonikew 3:10.

Waroma 12:11-12.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: KTENDAWILI TEGA.

KIMUNG’ATACHO HUMNYONYA HUKU AKITEMBEA KWA MADAWA:- KUPE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye ung’ataji wa kupe kwa mnyama. Kupe huyo, hung’ata ng’ombe, mbuzi, kondoo hata nyati, akiwa anatembea. Yeye hung’ang’ania pale ulipouma, huku akifyonza damu ya mnyama huyo wakati wote. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huishi kwa mtu aliye tajiri. Mtu huyo, hufanana na kupe kwa sababu naye huendelea kula tu, kwenye familia ya tajiri huyo, kama kupe anyonyavyo damu kwa mnyama aliyemng’ata.

Yeye huishi kwa furaha tu kwa tajiri huyo, kwa sababu ya kupata sehemu ya kula chakula, ambacho tajiri huyo alikitafuta. Watu wale wanaomuelewa mtu huyo, humwambia kwamba yeye yuko pale kwa sababu ya chakula tu, kikiisha hawezi kuendelea kukaa pale. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza watoto wao kwa kuwanyonyesha, na kujitegemea kwa kufanya kazi zao, kwa wale walio na uwezo huo, ili waache kutegemea nguvu za wengine, maishani mwao.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonike 3:10.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

tick4

tick1

tick3

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE ONE THAT BITES AND SUCKS BLOOD WHILE THE VICTIM WALKING MAJESTICALLY – TICK.

The source of this riddle is the bite of a tick. Ticks tend to bite animals like cows, goats and sheep and when it bites, it tends to suck blood while the victimized animal keeps on walking. This is why people came with the riddle that ‘the one that bites and sucks blood while the victim walking majestically – tick’ to communicate how the tick can enjoy riding an animal while sucking its blood.

This riddle can be compared to someone who lives with a rich person. This person, considered to be poor, can live like a tick that sucks blood and enjoys the ride. Life within this family of a rich person is good thus making this poor person to enjoy good shelter, food and clothing. This poor person can be looked at as someone who went to live with the rich man just because he/she wanted the richman’s provisions.

This riddle teaches people about nurturing their children in a good manner so as to make them become self-reliant in future. They will avoid living like ticks rather look for what can make them sustain their lives.

Isaiah 49:15, Isaiah 60:16, Proverbs 10:15, Proverbs 22: 7, 2Thessalonians 3:10, Romans 12: 11-12

Matthew 24:13.

593. KALAGU – KIZE. SHELENYETE: – BHUSUNGU BHO NG’HUMI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola bhusungu bho ng’humi. Ing’humi yiniyo, jilisumva ijo jili na bhusungu ulu junhuma munhu. Uyo olumagwa ng’wunuyo, ikanza lingi agiigwaga giti inhumi yiniyo, ilisiminza umugati ya mili gokwe, kunguno agab’izaga guti alishinwa. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli nkima uyo alilung’wa bhusungu, ahikanza lya gwifungula. Umunhu ng’wunuyo agasadyaga noyi, guti nu bhusungu bho ng’humi, ukuli munhu uyo yanhumaga. Agikomejaga noyi, ugwiyumilija, mpaga nose agadujaga, ugwifungula chiza.

Umayu ng’wunuyo, agabhalanjaga abhiye ahigulya ya gwiyumilija ulu bhalichola kupandika ginhu jisoga. Uweyi agabhizaga jigemelo jawiza ukubhanhu abho bhalihaya kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija ulubhalitumama nimo ndimu, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujibheja chiza ikaya yabho.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KUUMA KAMA UNAFINYWA:- SUMU  YA NGE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia sumu ya nje. Inge huyo, ni kiumbe chenye sumu, kikimuuma mtu. Yule aliyeumwa, wakati mwingine, hujisikia kama nge anatembea ndani ya mwili wake, kwa sababu ya maumivu hayo makali yanayomfanya ajisikie kama anafinywa. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mwanamke yule anayejisikia uchungu wakati wa kujifungua. Mtu huyo, hujisikia maumivu makali sana, kama yale ya uchungu wa kuumwa na nge, kwa mtu yule aliyeumwa. Yeye hujibidisha kuvumilia, mpapa mwishowe hufaulu kujifungua salama.

Mama huyo, huwafundisha watu juu ya kuvumilia katika matatizo wanayokumbana nayo maishani mwao, ili waweze kuyafikia mafanikio wanayoyatarajia. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake, wanaotaka kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wanapoyakamilisha majukumu yao, ambayo ni magumu, maishani mwao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

scorpion-

scorpion2

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT PAINS AS IF YOU ARE BEING PINCHED – SCORPION’S POISON.

The source of this riddle is the scorpion’s poison. Scorpions tend to produce poison when they bite other animals. When it bites, the bitten animal will feel pain in the same way one can feel when is being pinched. This is why people came with this riddle that ‘it pains as if you are being pinched.’ -scorpion’s poison.’

This riddle can be compared to a woman who is in labour. This woman can feel severe pain, like that of a bite, but she is able to persevere and finally deliver a child. This woman teaches others about how to endure problems one can face in his/her life. She can be taken as a role model to others who have to struggle without giving up in order to achieve success in life.

This riddle teaches people about patience as they fulfill their goals. They have to be tolerant enough in making sure that they achieve what they desire in their lives.

Genesis 3:16, 1Corinthians 10:13, Isaiah 21: 3, Psalm 48: 6-7, Matthew 11: 28-30, John 16:21.