Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kubhutuji bho mhamba bho ng’wa Maganga. Umaganga uliatogilwe guhoyela mihayo ya habhutongi iyo yilikihamo na bhutuji bho sabho ijo jidulile gung’wambilija aha shigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu bhagikomelejaga ugujitula isabho jinijo bho guyomba giki, ‘Maganga kumpindo.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jikolo ijo ajisanije giki jidulile kung’wambilija aha shigu ijaha bhutongi. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga usungilija hado hado, isabho ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe, mpaga nose agajikwijaga. Uweyi adebhile ugujichola isabho jinijo bho gutumama milimo yakwe chiza, na gujitumila chiza ijo agajipandikaga.
Umunhu ng’winuyo, agabhatongelaga abhanhu bhakwe inzija ja kujichola ijikolo jiniyo, ni jagutumamila chiza, kugiki nabho bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘Maganga kunuma.’
Ikahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha guchola jikolo bho guitumama chiza imilimo yabho, na gujilabhila chiza isabho ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.
Nyakati 2:11.
Mathayo 6:19-21.
Luka 12:31-33.
KISWAHILI: MAGANGA KWA NYUMA.
Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uwekaji wa akiba wa Maganga. Maganga alikuwa na kawaida ya kuongelea maneno ya mbeleni ambayo ni pamoja na uwekaji wa akiba ya mali itakayoweza kuwasaidia katika siku za mbeleni. Ndiyo maana watu huhimizana kujiwekea akiba hiyo ya mali kwa kusema kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana mali za kuweza kumsaidia katika siku za mbeleni. Mtu huyo, huwa anawekeleza kidogo kidogo, mali anazozipata katika kazi zake, mwishowe mali hizo huwa nyingi. Yeye anaelewa namna ya kuzitafuta mali hizo anazozipata, na namna ya kuzitumia.
Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kuwafundisha njia za kuitafuta mali hiyo, na zile za kuitumia vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’
Masemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kutafuta mali kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kuzilinda vizuri mali wanazozipata, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Nyakati 2:11.
Mathayo 6:19-21.
Luka 12:31-33.
ENGLISH: SAVE LIKE WHAT MAGANGA DID.
The source of this saying is Maganga and how he was able to save whatever he had for future use. Maganga is a person who used to talk much about his future. He therefore managed to keep his possessions well for his future use. That is why people came with the saying that ‘Save like what Maganga did’ to describe how Maganga was able to plan for his future.
This saying can be compared to a person who has enough resources to help him/her in future. This person can minimally spend the available resources and spare some of them for future. He/she is expected to have resources in his/her future because of the tendance of saving them. Such a person teaches others about how to spend what they have in life by ensuring that they have something to sustain their lives in future.
This saying teaches people about how to save whatever resources they have for their future.
2Chronicles 2:11, Matthew 6: 19-21, Luke 12: 31-33.