598. OLANGAMILWA NA MHULUGAGA IGULILAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhulangamiji bho mhulugaga. Imhulugaga yiniyo, jili jisumbwa ijo jilija lubhango. Ijoyi nulu jigiza hakaya ya ng’wa munhu, aguhaya giki jenhaga lugango, kunguno jilijisumbwa ja lubhango.

Gashinaga nulu, ugulangamilwa na mhulugaga iyo igulilaga, igolechaga gwinja makoye na gwenha lubhango. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bho gubhalombela mbango. Umunhu ng’wunuyo, alini sungu lya gubhambilija abhiye abho bhali na makoye, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwinga umumakoye genayo. Uweyi alima bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe, ubho bhugang’winhaga nguvu ja gubhayelela abho bhali mumayange guti genayo.

Umunhu ng’wunuyo, agadulaga ugubhalunguja abhapina, kunguno ya kikalile kakwe ako kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwikala bhitogilwe chiza, na bhichobho.

Uweyi agachalaga lubhango ukubhanhu bhakwe guti ni mhulugaga yiniyo, iyo ndimu ya lubhango ukubhanhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilombela mbango ja gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

UMEANGALIWA NA KAKAUIONA AKILIA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uangaliaji wa kaka kuona. Kakakuona huyo, ni kiumbe cha baraka. Chenyewe, hata kikija nyumbani kwa mtu, atasema kwamba, kimeleta baraka kwake, kwa sababu hicho ni kumbe cha baraka.

Kumbe basi, kuangaliwa na kakakuona anayelia, huonesha hali ya kuondoa matatizo na kuleta baraka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwatakia baraka watu wake. Mtu huyo, ana huruma ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo, maishani mwao, ili waweze kutoka katika matatizo hayo. Yeye ana upendo mkubwa kwa watu wake, unaompatia nguvu za kuwatembelea wale walioko kwenye matatizo mbalimbali.

Mtu huyo, huweza kuwafariji watu mbalimbali, wakiwemo yatima kwa sababu ya maisha yake, ambayo huwafundisha wenzake njia za kuishi kwa upendo na wenzao. Yeye hupeleka baraka kwa watu, kama kakakuona, ambaye ni mnyama wa baraka kwa watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuombeana baraka za kupata mafanikio mengi maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

bhusaliji

bhasaliji

bhasaliji3

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN LOOKED UP BY A CRYING PANGOLIN.

The source of this saying is an animal by the name of pangolin. Pangolin is an animal believed to be a sign of good luck. Therefore, if someone can see it, it means he/she is blessed and he/she is lucky in his/her life. In this saying, the crying pangolin communicates a sense of relief and blessing to the one looked by it (pangolin). To communicate this idea of relief, people came with this saying that ‘You have been looked up by a crying pangolin.’

The saying can be compared to a person who wishes others to have good life. This person finds happiness by seeing how others are being helped from different problems they face. Such a person has a great love to others and is capable of helping the needy people like orphans, widows, and street children.

The saying teaches people about praying for the blessings of achieving great success in their lives. In so doing, they will be able to reap blessings that will make them have good life in future.

Psalm 3: 8, Titus 2:13, Matthew 19: 16-30, Hebrews 6: 7, Ephesians 1: 3.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.