Tanzania

612. KALAGU – KIZE. KAGUFULA UNA KAGULYA:– KABHUGALI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola bhugali. Ubhugali bhunubho, ulu wingijiwa ha liko na gutengwa b’ugikalaga b’useb’u noyi. Unii obho mpaga ub’ufulilije b’upole huna abhulije ung’wikub’i alye, kunguno ulu adabhufulilijije mumho agupya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kagufula una kagulya:- Kabhugali.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga bhukengeji bhutale haho atali ugwita mhayo gosegose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga ijikolo jakwe bho bhukengeji wiza, kugiki jidule gung’wambilija ku makanza malihu.

Uweyi agabhejaga bhukengeji ubhogudula gung’wambilija uguyiyangula chiza imihayo ya bhiye. Ugubhitila bhukengeji bhunubho, umunhu ng’wunuyo agafunyaga bhulamuji bho ng’hana ukubhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kagufula una kagulya:- Kabhugali.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho gutumila masala madekanu, hayo bhadina lamula mhayo gosegose, kugiki bhadule gubhalang’hana chiza abhanhu bhabho, na kujitumila chiza isabho jabho, umuwikaji bhobho.

1Wafalme 3:5-12.

1Wafalme 7:14.

Mathayo 25:1-3.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KAKUPULIZA NDIYO KAKULA:- UGALI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia ugali. Ugali huo, ukitolewa jikoni na kuwekwa mezani, huwa unakuwa wa moto sana. Mlaji wake, hutakiwa kuupuliza ili uweze kupoa ndipo aweze kuula, kwa sababu akiula bila kuupuliza utamunguza. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kakupulila ndiyo kakula:- ugali.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya utafiti wa kina kabla ya kuanza kufanya lolote, katika maisha yake. Mtu huyo, huvitumia vitu vyake kwa umakini unaoendana na utafiti mzuri, ili mali hizo ziweze kumsaidia kwa muda mrefu.

Yeye hufanya utafiti wa kuweza kumsaidia katika kutoa maamuzi ya haki kwa wenzake. Kupitia utafiti huo, mtu huyo, hufaulu kutoa hukumu za haki kwa watu wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kakupulila ndiyo kakula:- ugali.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kufanya utafiti kwa kutumia akili timamu au nzuri kabla ya kuamua jambo lolote, ili waweze kuwalinda vizuri watu wao, na kutumia vizuri mali zao, maishani mwao.

1Wafalme 3:5-12.

1Wafalme 7:14.

Mathayo 25:1-3.

bhugali

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS TO BE BLOWN FIST BEFORE EATING – UGALI .

The source of this riddle is hot ugali. Ugali is an African traditional food that is cooked by mixing hot water and maize/wheat/soghum/fingermillet flour and stiring it using a wooden stick. This food is always eaten while still hot and therefore one has to blow it first before putting it into the mouth. This is why people came with this riddle to describe the way ugali is being eaten: ‘It has to be blown first before eating – ugali.’

This riddle can be compared to a person who does extensive research before he/she starts doing anything in his/her life. This person appears to be organised well in his/her doings. He/she conducts researches before reaching a certain decision. The way he/she does his/her things can be likened to cooling down the lump of ugali one is having in his/her hand in order to eat it easily.

This riddle teaches people about doing research using sound or good thinking before deciding on anything. This can help to protect people from misleading themselves thus affecting their entire life system.

1Kings 3: 5-12, 1Kings 7:14, Matthew 25: 1-3.

611. NZAGAMBA B’ULUMATI.

Imbuki ya kahayile kenako, ililola nzagamba ya Ng’ombe iyo ili nhumuku. Inzagamba b’ulumati yiniyo, ili nzagamba iyo ili inhemi ung’widale, kunguno ya bhukale bhobho. Iyoyi igabhapyenaga pye abhana nzagamba abhangi, umuchalo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagaitanaga giki, ‘nzagamba b’ulumati.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali Ntemi o muchalo jilebhe. UNtemi ng’wunuyo, alinkumuku noyi kunguno ya bhutongeji bhokwe ubho bhuli bho wiza ukubhanhu bhakwe. Uweyi agabhalanghanaga chiza abhanhu bhakwe, kunguno ajidebhile inzila ja gubhatongelela chiza abhanhu bhakwe bhenabho.

Utemi ng’wunuyo, alinkumuku guti numo ili inzagamba b’ulumati, kunguno nuweyi, agikalaga bho gubhalanghana na gubhatongela chiza abhanhu bhakwe. Nabho abhanhu bhakwe bhenabho, bhagikalaga bhali nikujo ukuli weyi, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhoyi ubho gubhambilija chiza. Hunagwene bhanhu bhenabho abhagang’witana giki, ‘nzagamba b’ulumati.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhatongela na gubhambilija chiza abhanhu bhabho, na gub’inha ikujo abhatale bhabho abho bhabhatongelile, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mathayo 23:10-12.

Kutoka 20:12.

Mathayo 16:18-20.

Mathayo 12:15-21.

Mathayo 21:1-10.

KISWAHILI: FAHALI MAARUFU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia dume la ng’ombe lililo maarufu sana katika zizi. Dume hilo, huitwa fahali ambaye ni mtawala katika zizi hilo, kwa sababu ya ukali wake. Yeye huwazidi nguvu mafahali wengine wote, katika eneo hilo. Ndiyo maana watu humwiita, ‘Fahali maarufu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni Mfalme katika kijiji fulani. Mfalme huyo, ni maarufu sana kwa sababu ya uongozi wake mzuri kwa watu wake. Yeye huwalinda vizuri watu wake katika uongozi wake, kwa sababu anazifahamu njia za kuwaongozea hao watu wake.

Mfalme huyo, ni maarufu kama yule Fahali, kwa sababu naye huishi kwa kuwalinda na kuwaongoza vizuri watu wake. Nao watu wake hao, humpatia heshima kwa sababu ya upendo alinao kwao, ambao humwezesha kuwasaidia vizuri katika uongozi wake. Ndiyo maana watu hao, humuiita kwamba ni ‘Fahali maarufu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwaongoza kwa kuwasaidia vizuri watu wao, na kuwapa heshima viongozi wanaowangoza, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 23:10-12.

Kutoka 20:12.

Mathayo 16:18-20.

Mathayo 12:15-21.

Mathayo 21:1-10.

nzagamba3

nzagamba2

 

ENGLISH: THE FAMOUS BULL.

The source of this saying is a bull which is very famous in a certain area. A bull is a male cow. This cow can be strong enough to fight other bulls in a certain area. It is because of its power and harshness that other bulls can fear it. When it happens so, peole can describe such a bull using the saying that ‘The famous bull.’

This saying can be compared to a person who is the ruler of a certain village. This person can become known and popular because of his/her power to rule others. Such a person can be able to protect his/her leadership position as well as his/her people in the same way the bull can protect its power from being taken by other bulls.

The saying teaches people about how to love to lead others by serving them. Such leaders can be loved by their people because of their power to protect their subjects against any foreign attacks.

Matthew 23: 10-12, Exodus 20:12, Matthew 16: 18-20, Matthew 12: 15-21, Matthew 21: 1-10.

610. LYAGWIKUMBA NA GWANZA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wikumbi bho ng’wenda na wanzi bhogo. Ung’wenda ulu guli gutale gugatumamilagwa bho gugwikumba nu gugwanza aho bhulalo bhobho. Hunagwene abhanhu abhagayomba giki, ‘lyagwikumba na gwanza.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nguzu ningi ijaguitumamila imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile uguguleka unimo gokwe uyo ogwandyaga ugugutumama, kunguno adebhile isolobho ya gugumala chiza unimo guniyo.

Isolobho jinijo, jilikihamo na kupandika matwajo guti ga jiliwa aha ng’wakwe. Uweyi agabhizaga jigemelo ja gujitumila inguzu bho kuitumama na guimala chiza imilimo, ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘lyagwikumba na gwanza.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 3:4.

Mithali 3:32.

Mathayo 3:11.

Marko 3:17.

Marko 5:4.

2Samweli 8:1.

Zaburi 135:10.

1Samweli 17:48-51.

KISWAHILI: LAKUJIFUNIKA NA KUTANDIKA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kitendo cha kujifunika na kutandika shuka. Shuka hilo, ni kubwa kiasi cha kutosha kutumika kwa kujifunika na kulitandika pale wanapolala. Ndiyo maana watu huliita, ‘lakujifunika na kutandika.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia nguvu zake katika kuyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo. Hataki kuiacha kazi yake, hovyo, kwa sababu anafahamu faida za kuyatekeleza vizuri majukumu yake.

Faida hizo ni pamoja na kupata mafanikio mengi yakiwemo yale ya kupata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake. Yeye ni mfano wa kuigwa kwa wenzake kwenye suala la kutumia nguvu zao katika kufanya kazi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘lakujifunika na kutandika.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri nguvu zao kwa kuyatekeleza majukumu yao ya kazi, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Timotheo 3:4.

Mithali 3:32.

Ingekuwa heri leo msikie sauti yake msiifanya migumu mioyo yenu.

Mathayo 3:11.

Marko 3:17.

Marko 5:4.

2Samweli 8:1.

Zaburi 135:10.

1Samweli 17:48-51.

nguto4

nguto

nguto ha bhulili

 

ENGLISH: A BEDSHEET FOR WRAPPING AND SPREADING ON BED.

The source of the above saying is bedsheet and how it can be used to wrap someone and at the same time it is spread on the bed. Therefore, a large bedsheet can have multiple roles; as a cover used to protect someone from coldness and as a bedding material. This is why people come up with the saying that ‘A bedsheet for wrapping and spreading on bed’ to communicate the multiple roles of bedsheets.

This saying can be compared to a person who uses his power to better fulfill his/her duties in his/her life. That person doesn’t want to give up his/her job because he/she knows the benefits of doing his/her job well. Some of the bnfits he/she can get is getting enough food to feed his/her family and he/she can become a role model to others.

The saying teaches people about how to use their power effectively by carrying out their work responsibilities so that they can better their families in their lives.

1Timothy 3: 4, Proverbs 3:32: It would be better today to hear his voice if you do not harden your hearts.

Matthew 3:11, Mark 3:17, Mark 5: 4, 2Samuel 8: 1, Psalm 135: 10, 1Samuel 17: 48-51.

609. GAB’I MIFA MAKOYE GALIHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile mifa na makoye. Amifa genayo, jili ginhu ijo jigachimaga bhanhu nulu ndimu. Ubhuching’wa bho mifa bhunubho, ha makoye ayo gagenghangwa na mifa genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gab’i mifa makoye galiho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aha gwandya uli na nh’hungwa jawiza, uguhaimanila obhi na nh’ungwa ja bhub’i. Umunhu ng’wunuyo, adulile gupandika makoye aha shigu ijaha bhutongi, kunguno ya ng’hungwa jakwe ija bhub’i jinijo.

Iyabhub’i iyo agaitaga yiniyo, yilikihamo nu bhushiya, wib’i, ni yingi iyo ikolile ni yiniyo. Iyabhubhi yiniyo, ikolile na mifa, kunguno nago gagenhaga makoye bho gubhachima abhanhu, guti numo igabhaminijaga iyabhubhi yiniyo abhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agabhenhelaga makoye abhanhu abho agikalaga nabho, bho gubhitilila imihayo iya bhub’i yiniyo. Inhungwa ijabhubhi jinijo, jigenhaga makoye ukuli munhu ng’wunuyo, kunguno adulile nulu guding’wa utulwa nulu gutungwa. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘gab’i mifa makoye galiho.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa jabhubhi, bho gubhitila mihayo ya wiza abhichabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Ezekieli 18:21-24.

Ezekieli 18:27.

Yeremia 18:10-12.

Yeremia 26:3.

Ezekieli 18:27-28.

Ezekieli 18:30.

Ezekieli 18:32.

Luka 11:39.

Waroma 1:18.

KISWAHILI: YAMEKUWA MIIBA MATATIZO YAPO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia miba na matatizo. Miba hiyo ni vitu vinavyochoma watu au wanyama. Uchomaji huo wa miiba, ndiyo matatizo ambayo huletwa na miiba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘yamekuwa miiba matatizo yapo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye mwanzoni alikuwa na tabia njema, kushtukia ikageuka na kuwa mbaya. Mtu huyo, aweza kupata matatizo katika maisha yake,  kwenye siku za mbeleni, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya.

Ubaya wa tabia yake, huonekana kwenye matendo mbalimbali yakiwemo yale ya uzinzi, wizi, na mengine ambayo yanaweza kumletea matatizo mtu huyo. Matendo hayo, hufanana na miiba inayoumiza watu, kwa sababu nayo huwaumiza wale aliowatendea ubaya huo.

Mtu huyo, huwaletea matatizo watu wale wanaoishi nao, kwa kuwatendea uovu huo. Uovu huo pia huweza kumletea matatizo hata yeye aliyeutenda yakiwemo yale ya kupigwa na wale aliowatendea uovu huo, na kufungwa jera. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘yamekuwa miiba matatizo yapo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda uovu, badala yake, watende wema, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao, katika maisha yao.

Ezekieli 18:21-24.

Ezekieli 18:27.

Yeremia 18:10-12.

Yeremia 26:3.

Ezekieli 18:27-28.

Ezekieli 18:30.

Ezekieli 18:32.

Luka 11:39.

Waroma 1:18.

mifa2

mifa

 

ENGLISH: PROBLEMS ARE LIKE THORNS.

The source of this saying is probem and how it can affect an individual person. Problems are considered to be bitter. They make people feel the same way one can feel after being pierced with a thorn. To describe this relationship between problems and how they pinch people, one can use a saying that ‘Problems are like thorns.’

This saying can be compared to a person who happened to be a good person but challenges in life have made him/her appear as a bad person because of being teared apart by problems. This person can turn to be fornicator, thief and other misconducts that can pierce this person to the extent of making him/her feel pain in his/her mind.

This saying teaches people to stop doing bad things instead, do good things in their lives so that they can live in peace with their people.

Ezekiel 18: 21-24,Ezekiel 18:27, Jeremiah 18: 10-12, Jeremiah 26: 3,Ezekiel 18: 27-28,Ezekiel 18:30

Ezekiel 18:32,Luke 11:39, Romans 1:18.

608. NG’HOLO YA NHAB’I IDABYALAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola bhujidabyala bho ng’holo ya nhab’i.  Ing’holo yiniyo, iya nhab’i uyo alinayo imo duhu, igabhizaga ilolilwe na bhuli katumamile, guti nzala nulu gugenihwa na bhageni. Iyoyi igatumamilagwa duhu haho itali nugubyala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’holo ya nhab’i idabyalaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina jikolo ahakaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agabhizaga na makoye mingi, kunguno akambiligije kakwe kali kamakoye.

Uweyi agapandikaga jikolo ijo agajimalaga bho likanza liguhi duhu, guti nu nhab’i uyo agaitumilaga ing’holo yakwe, haho itali nulu gubyala, kunguno ya gwisongwa na makoye mingi aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘ng’holo ya nhab’i idabyalaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija guchola jikolo bho guitumama imilimo yabho na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ijagubhambilija ugwinja amakoye, umukilalile kabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhaleke ugwisanya jikolo jigehu ijo bhalijo.

2Samweli 2:2-3.

Ezra 9:7.

Mathayo 13:12.

Marko 4:25.

Luka 8:18.

KISWAHILI: KONDOO WA FUKARA HAZAI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kutozaa kwa kondoo wa maskini. Kondoo huyo, ambaye ni wa fukara mwenye naye mmoja tu, hutegemewa kutumika kwenye kila shida, kama vile kununua chakula, na kuandaa mboga ya wageni. Yeye hutumiwa hata kabla hajazaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kondoo wa fukara hazai.’

Methali huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana vitu kama vile mali kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukumbwa na matatizo mengi sana maishani mwake, kwa sababu ya kukosa mali ya kumsaidia katika kuyatatua matatizo hayo.

Yeye hupata mali kidogo tu ambazo huzimaliza kwa muda mfupi, kama yule fukara atumiavyo kondoo wake hata kabla hajazaa, kwa sababu ya kusongwa na matatizo mengi kwenye familia yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kondoo wa fukara hazai.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutafuta mali kwa kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mali ya kuwaondolea matatizo, katika maisha yao. Yafaa watu hao, waache tabia ya kutegemea kitu kidogo walicho nacho.

2Samweli 2:2-3.

Ezra 9:7.

Mathayo 13:12.

Marko 4:25.

Luka 8:18.

ng'holo3

ng'holo

 

ENGLISH: THE SHEEP OF THE POOR CANNOT REPRODUCE .

The source of this saying is the fertility of the poor’s sheep. The poor’s sheep is the only possession he/she has and he/she depends on it if he/she faces a problem such as shortage of food in his/her family. The poor’s sheep will end up being used before it multiplies. Therefore, whatever little he/she can have in life cannot multiply to make him/her a successful person. In such a context, people came with the saying that ‘The sheep of the poor cannot reproduce.’

The saying can be compared to a person who does not have anything in his/her family. This person can suffer for lacking something to support his/her life. Even the little resource he/she can manage to get can last only for few days.

This saying teaches people to work hard to get rich. They need to work hard and avoid giving up easily in their struggle.

2Samuel 2: 2-3, Ezra 9: 7, Matthew 13:12, Mark 4:25, Luke 8:18.