Tanzania

651. IZWI LIMO LIDALELAGA NG’WANA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhutumami bho mazwi umugunlela ung’wana. Ulu munhu uhaha gumlela chiza ung’wana okwe, adadulile ugumukija halizwi limo, kunguno agugwa hasi wiminya, ulu wita chiniko.

Gashinaga lulu, umunhu ng’wunuyo agunlela ung’wana okwe bho gumukija hamazwi abhili, kugiki adizugwa hasi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izwi limo lidalelaga ng’wana.’ Iyiniyo ili mujitabho cha ‘Kugundua mbegu za Injili,’ ijo jandikwa na Kamati ya Utafiki wa Utamaduni, Bujora. Ndanda – Peramiho, 1993, bhukurasa bho 106.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kwikanza ilo ginhu jibhili jilidakiwa gutumama nimo kihamo, guti bhananzengo, bhabhyaji pye abhose, na bhana ndugu, ijinagwiyambilija ugunlela ung’wana. Gulinimo go bhabhyaji pye abhose na bhana ndugu kihamo na bhananzengo ugwiyambilija ugung’winha ilange lya lwiza ung’wana ng’wunuyo, kugiki adule kukula chiza.

Idafaile ugunhekela unimo gunuyo bhabha, nulu mayu ong’wana ng’wunuyo yiyene, kunguno agubhiza wikolaga ni lizwi ilimo ilo idadulile ugunlela ung’wana ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izwi limo lidalelaga ng’wana.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyambilija bho bhana nzengo, bhabhyaji pye abhose, na bhana ndugu, umugunlela ung’wana, kugiki adule gukula ni lange lya wiza, umukikalile kakwe.

Kutoka 18:25-26.

1Wakarintho 12:12.

Wagalatia 6:2.

Matendo ya Mitume 4:32.

KISWAHILI: GOTI MOJA HALIMLEI MTOTO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kazi ya magoti katika kumlea mtoto. Mtu akitaka kumlea vyema mtoto wake hawezi kumbebea kwenye goti moja, kwa sababu ataanguka na kuumia akifanya hivyo.

Kumbe basi, mtu huyo atamlea mtoto wake huyo, kwa kumbebea kwenye magoti mawili, ili asije akaanguka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘goti moja halimlei mtoto.’ Hayo yanapatikana kwenye kitabu cha ‘Kugundua mbegu za Injili,’ kilichoandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni, Bujora, Ndanda-Peramiho, 1993, ukurasa wa 106.

Methali hiyo, hulinganishwa kwenye wakati ule ambao vitu viwili vinahitajika kutumika pamoja, kama vile wana kijiji, wazazi wote, na wana ndugu wanavyohitajika kusaidiana katika kumlea mtoto. Kazi hiyo, ni ya wazazi wote, na wana ndugu wakishirikiana na wana kijiji, katika kuifanikisha kazi hiyo ya kumlea vizuri mtoto, ili aweze kukua katika malezi mema.

Haifai kumuachia kazi hiyo, baba au mama peke yake, kwa sababu kufanya hivyo, hufanana na goti moja kumlea mtoto, ambalo haliwezi kumkuza katika malezi mema mtoto huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘goti moja haliwezi kumlea mtoto.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa wana kijiji, na wazazi wote, pamoja na wana ndugu, katika kumlea mtoto, ili aweze kukua katika maadili mema, maishani mwake.

Kutoka 18:25-26.

1Wakarintho 12:12.

Wagalatia 6:2.

Matendo ya Mitume 4:32.

ENGLISH: ONE KNEE DOES NOT BRING UP A CHILD.

mayu na ng'wana okwe.jpg1.jpg2

picha ya kazi

elephants caring child

ENGLISH: ONE KNEE DOES NOT BRING UP A CHILD.

The basis of the above proverb looks at the knee’s function in raising a child. If someone wants to nurture a child well he/she cannot carry him/her by using one knee, because such child will fall and get hurt while doing so.

Nevertheless, such person shall nourish the baby, by using both knees, in carrying him/her.  That is why people say, ‘one knee does not bring up a child.’

These ideas are found in the book ‘Kugundua mbegu za Injili’, which means ‘Discovering the Gospel Seeds,’ that was written by the Cultural Research Committee, Bujora, Ndanda-Peramiho, 1993, page 106.

This proverb is compared to the time when two things are needed to be used together, such as having a village of all parents, and siblings needed for assisting in raising a child. The job is for all parents. They have to unite with their brothers and sisters in partnership with the village, in accomplishing the task of raising the child properly, so that he/she can grow up in a good atmosphere.

It is not appropriate to leave the job to the father or mother alone, because doing so is like using a single knee to raise a child, which cannot raise the child in the best care. That’s why people say, ‘one knee does not bring up a child.’

Such a proverb is likened to the one who is taught by many people in a given society. These people help each other in giving him/her good teachings for living peacefully with others. Hence the above proverb teaches people on having an ability to live well with people in families.

Those people who apply such proverb into their lives help each other in raising children by teaching them good values and habits. They do so to all children in their villages. Each one becomes a good teacher to the children of others.

Therefore, this proverb teaches people about the co-operation of village children, and all parents, as well as siblings, in raising a child, so that he/she can grow with good morals in life.

Exodus 18: 25-26. 1Corinthians 12:12. Galatians 6: 2. Acts 4:32.

650. BHEJAGI NGATA NIGO GULI NDITO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubheja bho ngata ya gubhukija nigo ndito. Ingata yiniyo, igambilijaga ugugukikija ntwe kugiki gudizubhunwa nu nigo gunuyo, kunguno gulintale. Hunagwene abhanhu ulubhuhaya gubhucha nigo uyo guli ndito bhagikomelejaga gubheja ngata bho guyomba giki, ‘bhejagi ngata nigo guli ndito.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhegelejaga chiza ulu  alihaya gwita nimo uyo guli ndito. Umunhu ng’wunuyo, ulu uhaya gutumama nimo uyo guli ndito, agajikumingaga pye ijitumamalo ja nimo gunuyo, kugiki adule gugumala chiza.

Uweyi agikolaga nu munhu uyo agabhejaga ngata ulu ohaya gubhucha nigo ndito, kunguno nu weyi agibhegelejaga bho gujikuminga pye ijitumamilo ja nimo uyo ulihaya gugutumama.

Umunhu ng’wunuyo, agabhakomelejaga na bhiye kugiki nabho bhadule gwibhegeleja chiza haho bhatali uguitumama imilimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhiye bhenabho giki, ‘bhejagi ngata nigo guli ndito.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya ya gwibhegeleja chiza haho bhatali uguyandya imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, ijinabhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 26:36-46.

Mathayo 11:18.

Waefeso 6:10.

Marko 8:34.

KISWAHILI: TENGENEZENI NZINGA MZIGO NI MZITO.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye utengenezaji wa Nzinga ya kubebea mzigo mzito. Nzinga hiyo, husaidia katika kukizuia kichwa kupata maumivu ya mzigo huo, kwa sababu ya ukubwa na uzito wake. Ndiyo maana watu wakitaka kubeba mzigo mzito husema kwamba, ‘tengenezeni Nzinga mzigo ni mzito.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiandaa vizuri anapotaka kufanya kazi ambazo ni mzito, katika maisha yake. Mtu huyo, huvikusanya vifaa vyote vinavyohitajika katika utekelezaji wa kazi anayotaka kuifanya, ili aweze kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo.

Yeye hufanana na mtu yule ambaye hutengeneza nzinga ya kubebea mzigo mzito anaotaka kuubeba, kwa sababu naye hujiandaa vizuri, kwa kuvikusanya vifaa vile vyote vinavyohitajika katika utekelezaji wa kazi zake.

Mtu huyo, huwahimiza pia wenzake ili nao waweze kujiandaa vizuri kila wanapotaka kuyatekeleza majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia wenzake hao kwamba, ‘tengenezeni Nzinga mzigo ni mzito.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya maandalizi ya kina, kila wanapotaka kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

Mathayo 26:36-46.

Mathayo 11:18.

Waefeso 6:10.

Marko 8:34.

kaniki1

ngata

nkima o benin

 

ENGLISH: PRAPARE A ROUND HEAD PAD, THE LUGGAGE IS HEAVY TO CARRY.

The source of this saying is a luggage one has to carry on his/her head. In order to carry this luggage, one has to prepare himself/herself by having a round head pad in order to prevent direct pain that the luggage can inflict on the head of the one carrying it. This is why people came with the saying that ‘prepare a round pad, the luggage is heavy to carry’ to communicate preparedness in carrying out some duties.

This saying can be compared to a person who prepares well for the difficult task ahead of him/her. This person can gather all what is needed to make sure that he/she fulfills his/her ambition. This person is like the one who prepares a round head pad ready to undertake the duties ahead of him/her. Such a person teaches others the importance of preparing themselves in carrying out their responsibilities.

The saying teaches people how to prepare themselves before they embark on the actual performance of their duties. Preparedness can make someone have achievements in life.

Matthew 26: 36-46, Matthew 11:18, Ephesians 6:10, Mark 8:34.

649. LIMI LITABEHAGA BHUGOLO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhutumami bho limi. Ilimi linilo, ligatumamaga bho gutima pye amakanza, kunguno lidalindanaga lulu kiyi.  Ilyoyi ligenhaga isana ukubhose abho bhalilibhona bho nduhu ugwima, kunguno litiho nulu gwilendeja gubeha bhugolo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘limi lidabehaga bhugolo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo bho bhukamu ahikanza lya milimo linilo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga uguitumama imilimo yakwe yiniyo, kunguno adebhile igiki Ilimi lidalindanaga, iki ilyoyi lidabehaga nulu bhugolo. Uweyi agabhakomelejaga abhanhu bhakwe gwanguha kuja gujutumama milimo bho gumisha dilu, kugiki bhadule guitumama hatale imilimo yiniyo, hayo bhutali ugwila ubhujiku.

Umunhu ng’wunuyo, agapandika matwajo mingi ahakaya yakwe, kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza ahikanza ilya limi. Uweyi agabhalanjaga abhiye ahigulya ya guitumama imilimo yabho, bho bhukamu bhutale ahikanza ilya milimo linilo. Hunagwene agabhakomelejaga gubhuka kuja kujutumama bho gubhawila giki, ‘limi lidabehaga bhugolo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija guitumama imilimo yabho ahikanza ilya milimo, na gubhakomeleja abhichabho gwanguha gujuitumama imilimo yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Marko 13:33-37.

1 Wathesalonike 5:5-6.

Mathayo 6:34.

Luka 17:20-21.

2 Wakorintho 6:2.

2 Petro 3:8-9.

Yohana 9:4.

Wagalatia 6:9.

KISWAHILI: JUA HALIVUTI UGOLO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utendaji kazi wa Jua. Jua hilo, hufanya kazi ya kutoa mwanga muda wote, kwa sababu halisubiri chochote. Lenyewe huendelea kutoa mwanza wake bila kusimama, kwa sababu halivuti wala ugolo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Jua halivuti ugolo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia muda wake kwa hufanya kazi kwa bidii kubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kuyatekeleza majukumu yakwe hayo,  kwa sababu anaelewa kwamba, Jua halisuburi, kwa vile halivuti wala ugolo. Yeye huwahimiza watu wake kuwahi kwenda kufanya kazi, ili waweze kufanya kazi kubwa mpaga kufikia  wakati ule unapoingia usiku.

Mtu huyo, hupata mafanikio mengi kwenye familia yake, kwa sababu ya kujibidisha kwake, kuyatelekeza vizuri majukumu yake wakati wa kazi. Yeye huwafundisha wenzake juu ya kuutumia muda wao kwa kufanya kazi zao kwa bidii kubwa. Ndiyo maana yeye huwahimiza watu wake hao, kuwahi kwenda kazini kwa kusema kwamba, ‘Jua halivuti ugolo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao, na kuwahimiza wenzao, kuwahi kwenda kazini, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Marko 13:33-37.

1 Wathesalonike 5:5-6.

Mathayo 6:34.

Luka 17:20-21.

2 Wakorintho 6:2.

2 Petro 3:8-9.

Yohana 9:4.

Wagalatia 6:9.

limi5

limi6

limi4

bhalimi1

 

ENGLISH: THE SUN DOES NOT SMOKE TOBACCO.

The source of this saying is the sun and its function. One of the central functions of the sun is to provide light. It does so tirelessly. It will never delay waiting for someone rather it works non-stop in its function. This is why people came with the saying that ‘The sun does not smoke tobacco’ to mean that the sun is busy all the time. It doesn’t delay like the way someone can do because of having other issues to deal with before embarking on his/her journey.

This saying can be compared to a person who spends his/her time working hard in his/her life. This person knows the value of time and he/she would struggle to make sure that he/she follows it well without any delay. Such a person encourages others to work hard in order to have great achievements in their lives.

This saying teaches people to spend their time well by fulfilling their responsibilities without wasting time for nothing. In so doing, they can have success in life.

Mark 13: 33-37,1Thessalonians 5: 5-6, Matthew 6:34, Luke 17: 20-21, 2Corinthians 6: 2, 2Peter 3: 8-9

      John 9: 4, Galatians 6: 9.

648. IGALASHU GASHI LYOCHI LYA NG´WISEGE LYAGUBEHA BHADAKI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile igalashu. Iligalashu linilo, lili lisege ilo ligatumamilagwa mu gulibeha litumbati. Aliyo lulu, ilyochi lyalyo likab´izaga ikali gukila ilya mshigala. Hichene ligahayiyagwa giki, ‘Igalashu gashi lyochi lya ng’wisege lyagubeha bhadaki.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa  kuli munhu uyo agibhegelejaga chiza mpaka oitumama imilimo yakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo iyo ilidimu mpaga oyimala chiza kunguno, ya wibhegeleja bhokwe, haho atali uguyandya uguitumama imilimo yiniyo. Uweyi agajikumingaga pye ijitumamilo ijo jidulile ugumwambilija ijinagugumala wangu unimo gokwe gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni igalashu, kunguno nuweyi alina bhudaki ubho uguitumama mpaga guimala imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Akikalile kakwe kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwigulambija uguitumama imilimo yabho mpaga guimala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘Igalashu gashi lyochi lya ng’wisege lyagubeha bhadaki.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho  gujikuminga pye ijitumamilo ja milimo yabho, haho bhatali uguyandya, na gwigulambija guitumama mpaga bhayimale chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-31.

Luka 4:1-5.

Mathayo 19:12.

KISWAHILI: IGALASHU KUMBE MOSHI WA KWENYE KIKO CHA KUVUTA WAKAKAMAVU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia igalashu. Igalashu hilo ni Kiko kinachotumiwa kuvitia tumbaku. Lakini moshi wake ni mkali kuliko ule wa sigara. Ndiyo maana watu husemwa kwamba, ‘Igalashu kumbe moshi wa kwenye Kiko cha kuvuta wakakamavu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana bidii ya kuzitekeleza vizuri kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujiandaa vizuri kwa kuvikusanya vitendea kazi vinavyotakiwa katika utekelezaji wa kazi hiyo husika, kabla ya kuianza kuitekeleza. Yeye hujibidisha kuifanya kazi hiyo mpaka hufaulu kuimaliza, kwa sababu ya kufanya maandalizi mazuri kabla ya kuianza.

Mtu huyo, hufanana na wale wakakamavu, kwa sababu na yeye ni mkamavu katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa vile hujibidisha kuzitekeleza kazi zake mpaka anafaulu kuzimalima vizuri.

Maisha yake, huwafundisha wenzake, juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao hayo, mpaka kuyamaliza vizuri, maishani mwao. Ndiyo maana watu humuita kwamba, ‘Igalashu kumbe moshi wa kwenye Kiko cha kuvuta wakakamavu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya maangalizi ya kuvikufanya vitendea kazi vyao, kabla ya kuanza kazi,  na kujibidisha kuzitekeleza mpaka kuzimaliza vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 14:28-31.

Luka 4:1-5.

Mathayo 19:12.

isege6

isege10

isege9

 

ENGLISH: THE SMOKE FROM TOBACCO PIPE IS SMOKED BY BRAVE PEOPLE.

The source of this saying is tobacco pipe and its smoke. This tobacco pipe is said to produce bitter smoke when compared to that that comes from cigarattes. To be able to smoke one needs to be strong enough and courageous. This is why people came with this saying that ‘the smoke from tobacco pipe is smoked by brave people’ to communicate the bitterness of the smoke.

This saying can be compared to a person who has the ability to carry out his/her duties in his/her life. This person can prepare himself/herself well by gathering the necessary resources for the execution of his/her duties before commencing to carry it out. He/she takes care of the task until he/she finishes it. Such a person teaches others about responsibility and perseverance in life.

The saying teaches people how to be diligent in practicing their skills. They need to be tolerant in carrying out their duties in life.

Luke 14: 28-31, Luke 4: 1-5, Matthew 19:12.