Sukuma

308. NONI IMO MMAKONO ILI YA WIZA GUKILA IB´ILI NG´WIPOLU

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kunoni iyo ilimumakono ga ng´wa munhu. Umunhu ng´wunuyo oladidililaga chiza, kunguno ya gujikumbwa noni ijo jiling´wipolu. Aho janshiga inoni  jinijo, uibhona isolobho ya noni iyo ilimmakono gakwe. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ´noni imo mmakono iliyawiza gukila ib´ili ng´wipolu.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajikolo umumakono gakwe ijo agajidalahaga, kunguno ya kujikumbwa sabho ijo jidiho. Uweyi adadebhile igiki ijo alinajo jilijawiza gukila gujikumbwa ijo adinajo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki ‘noni imo mmakono ili yawiza gukila ib’ili ng’wipolu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujidilila chiza isab’a ijo b’alinajo, umumakono gabho, gukila gujikumbwa ijo bhadinajo.

Luka 15:7.

KISWAHILI: NDEGE MMOJA MIKONONI NI BORA KULIKO NDEGE WAWILI POLINI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ndege aliyeko mikononi mwa mtu. Mtu huyo hamjali vizuri kwa sababu ya kutamani kupata ndege wawilli walioko polini.

Alipogundua kwamba ndege hao walioko polini wamemuacha, alitambua umuhimu wa ndege aliyenaye mikononi mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ndege mmoja mikononi, ni bora kuliko ndege wawili polini.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye  ana mali mikononi mwake, ambaye huidharau mali hiyo, kwa sababu ya kutamani mali ambao haipo. Yeye  haelewi kwamba kile alicho nacho, ni bora  kuliko kutamani mali asizo nazo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ndege mmoja mikononi ni bora kuliko ndege wawili polini.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuitunza mali waliyo nayo mikononi mwao, kuliko kutamani ile wasiyokuwa nayo.

Luka 15:7.

people with bird

robin

 

ENGLISH: A BIRD IN THE HAND IS WORTH THAN TWO IN THE BUSH

The proverb originates from a story of a person with one bird in hand. There was a person who was not taking good care of the bird he/she had because of the desire of two birds which were in the bush.

When this person could not catch the two birds in the bush he/she realized the value of the bird he/she had in his hands. That is why people say, “a bird in the hand is worth than two in the bush.”

The proverb is likened to a person who dispeses the property he/she has in possession because of a desire for property that he/she does not have. The person does not appreciate the worth of what he/she has in relation to what he/she does not have. This makes people to tell him/her, “a bird in the hand is worth than two in the bush.”

The proverb teaches people to value and take good care of what they have even if it is small rather than the desire for something greater which may come to nothing.

Luke 15: 7.

307. B´OYA B´O NGOKO B´UDAKWIJAGA NYAMA

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bóya b´o ngoko na nyama yayo. Ingoko ulu idinatonwa ub´oya, igikalaga nhale. Aliyo lulu, ulu munhu uitona ub´oya b´unubho, igabhizaga ndololo. Gashinaga inyama yayo idinhale gitumo igigelelaga ingoko yiniyo, ulu ilinabhoya b´oyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´b´oya b´o ngoko b´udakwijaga nyama.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintale ubhogunola, aliyo lulu, amasala gakwe galimagehu. Umunhu ng´wunuyo agitaga mihayo ya nyanigini. Hunagwene abhanhu bhagang´wilaga giki, ´b´oya b´o ngoko b´udakwijaga nyama.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho, bho nduhu gwishadya mumilimo ya bhichacho.

1 Samweli 16:6-15.

Yohane 7:24.

KISWAHILI: MANYOYA YA KUKU HAYAFANYI NYAMA KUWA NYINGI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia manyoya ya kuku na nyama yake. Kuku akiwa na manyoya huonekana kuwa ni mkubwa. Lakini basi, mtu akinyonyoa manyoya hayo, huwa mdogo. Kumbe nyama yake siyo kubwa kama ilivyoonekana wakati kuku huyo akiwa na manyoya yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´manyoya ya kuku hayafanyi nyama kuwa nyingi.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huonakana kuwa ni mkubwa kwa umbo, lakini basi, akili zake ni ndogo. Mtu huyo hufanya mambo ya kitoto. Ndiyo maana watu humwambia kuwa, ´manyoya ya kuku hayafanyi nyama kuwa nyingi.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao vizuri bila kujiingiza kwenye kazi za wenzao.

1 Samweli 16:6-15.

Yohane 7:24.

animal

 

ENGLISH: CHICKEN’S FEATHERS NEVER ADD ITS MEAT

This proverb rises in the relationship between chicken’s feathers and its meat. A chicken always looks big when it has its feathers. However, when the feathers of the same chicken are plucked it becomes small and its meat also become not as big as it looked when the chicken had its feathers.That is why people say, “chicken’s feathers never add its meat.”

The proverb is compared to someone who looks big in shape, but then his/her intelligence is low. That person does childish things. That is why people tell such people that “chicken’s feathers never add its meat.”

The proverb teaches people to do their jobs well as well as engaging in their fellow’s works.

1 Samuel 16: 6-15.

John 7:24.

306. JAB´I NG´HANGA JA JIDIKU JALEKANA MAGELE

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kukikalile ka ng´hanga. Ing´hanga jilinoni ijo jigikalaga kihamo, umakanza aga muchu. Ulu gushiga amakanza aga jidiku jigalekanaga jaja gujutela. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´jab´i ng´hanga ja jidiku jalekana magele.´

Ulusumo lunulo lugalenganijjiyagwa kubhanhu abho bhagabhizaga kihamo umumakanza ga jidiku kunguno ya gulima. Ulu gushiga amakanza aga muchu, abhanhu b’enabho bhagabalasanaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´jab´i ng´hanga ja jidiku jalekana magele.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gudula gutumama milimo yabho chiza, umumanza aga milimo yiniyo. Ubhumo bhunubho bhugubhambilija, abhanhu bhenabho, ijinagugatumila chiza amakanza aga milimo yabho.

Luka 10: 17-20.

KISWAHILI: ZIMEKUWA KANGA ZA MASIKA ZIMEACHANA MAKUNDI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya kanga. Kanga ni ndege ambao huishi kwa pamoja wakati wa kiangazi. Kikifika kipindi cha masika hutawanyika kwa ajili ya kwenda kutaga. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´zimekuwa kanga za masika, zimeachana makundi.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwa wako pamoja kwenye kipindi cha masika, kwa sababu ya kulima. Kikifika kipindi cha kiangazi, watu hao huachana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´zimekuwa kanga za masika zimeachana makundi.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuunda umoja wa kuwawezesha kufanya kazi, ufikapo wakati wa kazi hizo. Umoja huo utawasaidia watu hao katika kuutumia vizuri muda wao huo wa kazi.

Luka 10: 17-20.

brick-laying

 

ENGLISH: THEY HAVE BECOME SPRING GUNEAFOWLS; THEY HAVE DISPERSED IN GROUPS

The saying emerges from the life of guneafowls. These birds live in groups durig summer.However, when spring begins, they disperse to go to lay eggs. That is why people say, “They have become spring guneafowls; they have dispersed in groups.”

The saying is compared to people who live together during spring because of working together. When summer comes, they disperse. That is why people say, “They have become spring guneafowls; they have dispersed in groups.”

The saying teaches people about forming union and doing their activities together. The union will help these people in managing their time.

Luke 10: 17-20.

305. GUNANGA GULU GUSHIGA UNSHINDIKE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuli munhu uyo unangaga munhu uyo aligulu. Umunhu ng´wunuyo, agadebha igiki, ugulu ng´wunuyo adelelwa ulu adakumiwe nang´hwe. Aho onkumya, agabhona igiki ugulu ng´wunuyo aliidebha iyo aling´wila, kunguno agalab´ula ukuli unangi, uyo agatumila makono ugunanga mpaga welelwa, ugulu ng´wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile nzila ningi ija gubhalanga abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhobho. Umunhu ng´wunuyo agabhalangaga na bhanhu bhakwe ahigulya ya gujitumila inzila jinijo, kugiki bhajidebhe nabho, bhogubhawila giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub´iza na nzila ningi ijagudula gubhalangija abhanhu bhabho abho bhali na jika, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 3:1-3.

Luka 7:31-32.

KISWAHILI: KUMFUNDISHA BUBU MPAKA UMSUKUME

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu aliyekuwa anamfundisha mtu aliyekuwa bubu. Mtu huyo aligundua kwamba, bubu huyo asingekielewa kile alichokuwa akimfundisha, bila kumgusa mwenyewe. Alipomgusa, mtu huyo aliyekuwa bubu, alianza kuelewa kile alichokuwa akimfundisha, kwa sababu baada ya kumgusa aligeuka kumwangalia, naye akamweleza kwa kutumia ishara za mikono. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu njia nyingi za kuwafundishia watu wenye vilema mbalimbali, maishani mwao. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake juu ya njia hizo kwa kuwaambia kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutumia njia nyingi za kuweza kuwafundishia watu wenye ulemavu mbalimbali, maishani mwao, ili waweze kuufikisha vizuri ujumbe wao kwao.

Wagalatia 3:1-3.

Luka 7:31-32.

women

mute

ENGLISH: TEACHING A DEAF PERSON, YOU NEED TO TOUCH HIM/HER

This saying originates from a person who was teaching a deaf person. The teacher realized that the deaf could not understand what he/she was teaching without touching him/her. When the teacher touched him/her, he/she began to understand the teachings because, after he/she had touched him/her, he/she turned to look at the teacher and the teacher explained to him/her by using gestures. That is why people say, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”

The saying is compared to someone who knows different ways of teaching people with disabilities. Such a person also teaches his/her companions about these ways by telling them, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”

The above saying teaches people about using different ways of teaching people with disabilities so that they can understand the subject.

Galatians 3: 1-3.

Luke 7: 31-32.

304. B´UGENI B´ULAGANE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhalibhalagana giki bhagulumana hanhu. Aho loshiga ulushugu lunulo, uumo agakija uguja ukunuko. Bhahayibhona, ung´wiye uyo alioja koyi, agang´wizukija, ub´ulagane bhobho, bho gung´wila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhizukijaga abhiye, ugwiita iyo bhalibhizunilija guitumama. Umunhu ng´wunuyo agabhizaga wiyizukile iyo bhizunilija kuitumama na bhiye, iyo idulile gubhambilija abhanhu bhabho ijinagwenha matwajo mingi, umuwikji bhobho. Uweyi agabhalanjaga nabhiye uguwizuka uwizunilija bhobho, bhogubhawila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guwizuka na gub´utumamila uwizunilija bhobho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ayo gadulile gujibheja chiza, ikaya jabho.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

KISWAHILI: AHADI YA UGENI

Chanzo cha msemo huo chaanzia kwa watu waliokubaliana kukutana sehemu fulani. Ilipofika siku hiyo, mwingine hakuenda kule walikokubaliana kwenda. Walipoonana, yule aliyeenda kule, alimkumbusha mwenzake kwa kumwambia hivi, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwakumbusha wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano yao. Mtu huyo huendelea kuyakumbuka makubaliano hayo waliyofanya na wenzake, maishani mwake. Yeye huwakumbusha pia wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano hayo kwa kuwaambia, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuukumbuka utekelezaji wa makubaliano yao, maishani mwao, kwa ajili ya kuleta maendeleo kwenye familia zao.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

african

 

ENGLISH: A PROMISE MADE IS A DEBT UNPAID

This saying comes from a story of two people who agreed to meet somewhere. On that day, the other did not show up where they had agreed to meet. When they saw each other on the following day, the one who went to the place they agreed to meet reminded his companion about their agreement saying, “a promise made is a debt unpaid.”

The saying is linked to someone who reminds his/her fellows about implementing what they agreed on. Such a person remembers the agreement they made in his/her life. He/she also reminds his/her companions about implementing the agreement by telling them, “a promise is a debt unpaid.”

The above saying teaches people to fulfil their promises in their lives.

Galatians 3:16.

John 16: 7-8.