Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuli munhu uyo unangaga munhu uyo aligulu. Umunhu ng´wunuyo, agadebha igiki, ugulu ng´wunuyo adelelwa ulu adakumiwe nang´hwe. Aho onkumya, agabhona igiki ugulu ng´wunuyo aliidebha iyo aling´wila, kunguno agalab´ula ukuli unangi, uyo agatumila makono ugunanga mpaga welelwa, ugulu ng´wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile nzila ningi ija gubhalanga abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhobho. Umunhu ng´wunuyo agabhalangaga na bhanhu bhakwe ahigulya ya gujitumila inzila jinijo, kugiki bhajidebhe nabho, bhogubhawila giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub´iza na nzila ningi ijagudula gubhalangija abhanhu bhabho abho bhali na jika, umuwikaji bhobho.
Wagalatia 3:1-3.
Luka 7:31-32.
KISWAHILI: KUMFUNDISHA BUBU MPAKA UMSUKUME
Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu aliyekuwa anamfundisha mtu aliyekuwa bubu. Mtu huyo aligundua kwamba, bubu huyo asingekielewa kile alichokuwa akimfundisha, bila kumgusa mwenyewe. Alipomgusa, mtu huyo aliyekuwa bubu, alianza kuelewa kile alichokuwa akimfundisha, kwa sababu baada ya kumgusa aligeuka kumwangalia, naye akamweleza kwa kutumia ishara za mikono. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu njia nyingi za kuwafundishia watu wenye vilema mbalimbali, maishani mwao. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake juu ya njia hizo kwa kuwaambia kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´
Msemo huo hufundisha watu juu ya kutumia njia nyingi za kuweza kuwafundishia watu wenye ulemavu mbalimbali, maishani mwao, ili waweze kuufikisha vizuri ujumbe wao kwao.
Wagalatia 3:1-3.
Luka 7:31-32.
ENGLISH: TEACHING A DEAF PERSON, YOU NEED TO TOUCH HIM/HER
This saying originates from a person who was teaching a deaf person. The teacher realized that the deaf could not understand what he/she was teaching without touching him/her. When the teacher touched him/her, he/she began to understand the teachings because, after he/she had touched him/her, he/she turned to look at the teacher and the teacher explained to him/her by using gestures. That is why people say, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”
The saying is compared to someone who knows different ways of teaching people with disabilities. Such a person also teaches his/her companions about these ways by telling them, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”
The above saying teaches people about using different ways of teaching people with disabilities so that they can understand the subject.
Galatians 3: 1-3.
Luke 7: 31-32.