stories

621. UDIZUBHONA JILELELA JIB´EJIWE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile weleji bho ginhu umuminzi, na bhubhejiwa bhojo. Iginhu ijo jigelelaga muminzi jigolechaga bhubupu bhojo, kunguno iginhu ijidito jigalibhilaga. Kuyiniyo lulu, iginhu ijo jigelelaga jigolechaga bhumani bho bhubhejiwa bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘udizubhona jilelela jib’ejiwe.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindoo aliyo agitaga mihayo ya wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa chiza na bhabhyaji bhakwe, kunguno agatumamaga milimo ya gwambilija bhanhu bhingi, guti ni ginhu ijo jigelelaga umuminzi aliyo jili na miligo midito.

Abhanhu abhatale, bhagandalahaga kunguno ya bhudoni bhokwe, bho nduhu iguilola imilimo yakwe iyo agaitumamaga, umuwikaji bhokwe. Abhanhu bhenabho, bhadandililaga, kunguno ya gwituula giki bhamanile pye iyose kulebha uweyi.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza gete imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abhatale bhenabho. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye ahigulya ya kubhalela chiza abhanhu bhanhu. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘udizubhona jilelela jib’ejiwe.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, na guleka nhinda ja gubhadalaha abhichabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: USIONE CHAELEA KIMEUNDWA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ueleaji cha chombo majini na kuundwa kwakwe. Chombo hicho,  kinachoelea majini, huonesha wepesi wake kwa sababu kitu kilichokizito huzama. Kwa hiyo basi, kile kinachoelea majini huonesha ufundi wa uundaji wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usione chaelea kimeundwa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni ndogo lakini huwa anafanya kazi za kuwasaidia watu wengi, maisha mwake. Mtu huyo, alilelewa vizuri na wazazi au walezi wake, kwa sababu huwa anayatekeleza vizuri majukumu yakwe, kama chombo kile kinachoelea majini, wakati kina mizigo mingi.

Watu waliowakubwa humdharau mtu huyo, kwa sababu ya kujiona wao kuwa wanafahamu kila kitu, bila hata ya kuziangalia kazi zake anazozifanya. Watu hao, huwa hawamjali kwa sababu ya majivuno yao.

Lakini basi,  mtu huyo hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wao walio wakubwa. Maisha yake, huwafundisha wenzake, juu ya kuwalea vyema watu wao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘usione chaelea kimeundwa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wao na kuacha kiburi cha kuwadharau watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

ferry-of zambia

bhazubhi

africans bhazubhi

 

ENGLISH: WHAT FLOATS HAS BEEN CREATED.

The source of the proverb is the floating object. The floating of an object in water communicates the skill of the one who constructed it. Therefore, its floatation in water suggests the artifact of the maker of the object. This is why people came with this proverb that ‘what floats has been created’ to communicate the artistic skills of the maker of the object and the object itself.

This proverb can be compared to a person who is considered to be less important in the society. This person, regardless of his/her less importance, can be very useful in terms of his/her ability to do his/her things in a manner that is constructive and encouraging to others. Such a person can be doing so because of the way he/she was nurtured by parents or guardians.

This proverb teaches people about how to take good care of their people and to stop despising others. It also teaches people to be careful and responsible in nurturing their kids for their future development.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

620. BHUGUHI IDI WITUNDE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhuguhi bho ginhu na witunde bho munhu. Iginhu ijo jidundile jigagubhinhaga, kunguno ya wigonde bho magulu gajo. Kuyiniyo lulu, ijisumva ijo jili jiguhi jigabhizaga guti jitundile. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘bhuguhi idi witunde.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nguhi, uyo abhanhu bhagikalaga bhandalahile, umukikalile kakwe. Abhanhu bhenabho, bhaganenganijaga na munhu uyo witundile, kunguno ulu witunda agagubhinhaga. Abhoyi bhagalemaga lulu gundegeleka umunhu ng’wunuyo, kunguno ya bhuguhi bhokwe bhunubho.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza gete imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abho bhali bhalihu. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye igiki, ubhuguhi bhokwe, bhudiwitunde. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘bhuguhi idi witunde.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kubhadalaha abhanhu bhabho, kunguno ya bhuguhi bhobho, kugiki bhadule gwiyambilia chiza ugujibheja ikaya jabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: UFUPI SIYO UCHUCHUMAAJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ufupi wa kiumbe na uchuchumaaji wake. Kiumbe kilichochuchumaa hupungua urefu na kuwa kifupi kwa sababu ya kukunjika kwa miguu yake. Kwa hiyo basi, kiumbe hicho kilicho kifupi, huwa kama kile kilichochuchumaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ufupi siyo uchuchumaaji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu mfupi yule ambaye watu humdharau, katika maisha yake. Watu hao, humlinganisha yeye na mtu aliyechuchumaa, kwa sababu mtu akichuchumaa hupungua urefu. Wao hukataa hata kumsikiliza kwa sababu ya ufupi wake.

Lakini basi,  mtu huyo hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wale ambao ni warefu. Maisha yake, huwafundisha wenzake kwamba, ufupi wa kimo chake siyo uchuchumaaji. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘ufupi siyo uchuchumaaji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwadharau watu wao kwa sababu ya ufupi wao, ili waweze kusaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

bhulisha bho nhiga

njinja

lesotho nkima

 

ENGLISH: SHORTNESS DOESN NOT MEAN SQUATTING.

The source of this saying is the relationship between being short and squatting. A squatting person will always appear to be short in his/her body height. This is why short people will always defend themselves by showing that being short is something natural; it has nothing to do with squatting. To defend their position, they came with the saying that ‘shortness does not mean squatting.’

This saying can be compared to a short person who is despised by other people because of his/her body height. Such a person is compared to a squatting person thus embarrassing him/her. This short person can be hated and not listened to when he/she says something in public. Because of neglect, this short person can spend much of his/her time working on his/her stuff for personal development.

This saying teaches people to break stereotypical feelings about others. They have to respect others regardless of their abilities; short/tall, poor/rich, black/white, etc.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

619. BHUDO BHUDO BHUTIBHUB´AGE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhudoo bho ginhi nu ubhub’agi bho ginhu. Iginhu ijo jibhagile jigadohaga, kunguno indili yajo iginjiyagwa yasaga nyama duhu. Kwa hiyo lulu, ijisumva ijo jili na mili ndoo jigabhizaga guti jibhagile. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘bhudo bhudo bhutibhub’age.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na mili ndololo, uyo abhanhu bhagikalaga bhandalahile, umukikalile kakwe. Abhanhu bhenabho, bhaganenganijaga na ginhu ijo jibhagile, kunguno ulu jubhagwa jigadohaga. Abhoyi bhagalemaga lulu gundegeleka ung’wichabho, kunguno ya bhudoo bho mili gokwe.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abho bhalina  mimili mitale. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye igiki, ubhudoo bho mili gokwe, bhutibhoginhu ijo jibhagilwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘bhudo bhudo bhutibhub’age.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kubhadalaha abhanhu bhabho, kunguno ya mimili yabho gubhiza midololo, kugiki bhadule gwikala bho gwiyambilia chiza ugujibheja ikaya jabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: KIDOGO SI KILICHOCHUNWA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia udogo wa kiumbe na uchunagi wake. Kiumbe kilichochungwa hupungua umbo na kuwa dogo, kwa sababu ndozi yake huondolewa na kubaki nyama tu. Kwa hiyo basi, kiumbe chenye mwili mdogo huwa kama kiumbe kilichochunwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kidogo si kilichochunwa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu mwenye mwili mdogo ambaye watu humdharau, katika maisha yake. Watu hao, humlinganisha na kitu kilichochunwa kwa sababu, kitu hicho kikichunwa hupungua ukubwa wake. Wao hukataa hata kumsikiliza kwa sababu ya umbo lake hilo, kuwa dogo.

Lakini mtu huyo, hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wale wenye miili mikubwa. Maisha yake, huwafundisha wenzake kwamba, udogo wa mwili wake, siyo wa kitu kilichochunwa. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘kidogo si kilichochunwa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu wao kwa sababu ya miili yao kuwa midogo, ili waweze kuishi kwa kusaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

heshima

heshima1

bhakima bhatumami

 

ENGLISH: HE/SHE WHO IS THIN DOES NOT MEAN THAT HE/SHE IS SKINNED.

The source of this proverb is an animal that appears to be small in size or thin in nature. Since an animal that has been skinned appears to be small in size, even an animal that is thin in nature can be associated with being skinned. That is why people came with this proverb that ‘He who is thin does not mean that he is skinned’ to show how nature can shape people.

This proverb can be compared to a thin person who is looked down upon by people around him/her. They consider his/her body size as an indication of being incapable or inferior thus undermined in whatever he/she wants to do in the society. Such a thin person is likely not to be listened to. In return, this person can be very potential in the society and can use this stereotype to develop himself/herself without any interference.

The proverb teaches people about giving up the habit of despising their fellow human beings just because of having different body sizes. By not despising them it means that they are creating a society that respects human beings and encourages peace and harmony.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

618. KUB´AGA KANA KA MBULI GWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhagi bho ng’wana o mbuli uyo atali ndololo. Ung’wana o mbuli ng’wunuyo,  agikalaga na ndili ndagana gete iyo idalekana wangu ni nyama. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga nose umhagi ugamala ugukab’aga agubhiza wiyumilijaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi umuwikaji bhokwe, guti nu mhagi uo kana ka mbuli, uyo agelagwa ng’holo mpaga okamala ugukabhaga.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalanjaga abhiye ahigulya ya gugatumila amasala bho wiyumilija bhutale, mpaga gushigila gugapandika amatwajo ayo gali mingi. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo  agagudula gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

KISWAHILI: KUCHUNA KATOTO KA MBUZI YATAKA MOYO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uchunaji wa katoto ka mbuzi. Katoto hako, huwa kana ngozi ililaini kweli, ambayo huleta ugumu kuitenganisha na nyama yake. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumaliza kukachuna katoto hako ka mbuzi, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, wa kumuwezesha kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio mengi, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaka anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio mengi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

kana ka mbuli

nimi o sheli

ntumami5

ENGLISH: SKINNING THE GOAT’S KID NEEDS PATIENCE.

The source of this saying is the goat’s kid. The goat’s kid is always featured by aving a soft skin. When skinning it, it can be very hard to separate between its skin and meat. Therefore, for one to skin it he/she needs a lot of patience. This is why people came with this saying that ‘skinning the goat’s kid needs patience’ to justify how hard it can be to skin it.

This saying can be compared to a person who uses his/her intellect well and patiently in the execution of his/her duties. This person is considered as someone who is very careful in his/her deeds. He/she doesn’t jump into conclusion without having a thorough and thoughtful idea about his/her decision. Such a person is always driven by the power of patience that makes him/her be successful in life.

The saying teaches people about using their intellect with the highest patience in carrying out their responsibilities. Patience can make them become successful in life.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3:7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22.

617. GUMBADA DESHI KWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolole bhubadi bho Deshi. IDeshi yiniyo, ili noni iyo ilindalang´hanu gete, umukikalile kayo. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga munhu aidime agubhiza ali ng´wiyumilija noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija ijinabhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi, guti nu mbadi o Deshi, uyo agelagwa ng’holo mpaga oidima.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya gutumila masala bho wiyumilija bhutale, mpaga gugapandika amatwajo ayo galigawiza. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

KISWAHILI: KUMKAMATA “DESHI” KUPIGA MOYO KONDE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ukamataji wa Deshi. Deshi huyo, ni ndege ambaye ni mjanja kweli. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumkamata, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, kwa ajili kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaga anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio hayo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

noni

nkima ntumami

planting nimi nkima

ntumami4

 

ENGLISH: TO CATCH DESHI (A CLEVER BIRD) REQUIRES PATIENCE.

The source of this saying is a bird known by name of deshi in Kisukuma language. This bird is assumed to be too clever to be caught by its enemies. For one to catch it, he/she needs to be patient enough otherwise one can give up within a very short period of time. To dscribe this situation, people came with this saying that ‘to catch deshi (a clever bird) requires patience’ to show how hard the task is.

This saying can be compared to a person who uses his/her mind well and patiently in the execution of his/her duties. This person relies on scientific research in coming up with conclusion about something. He/she knows that, there is no easy task rather patience and hard work are the roots to success. This person can have a lot of achievements in his/her life because of the way he/she conducts his/her things.

This saying teaches people about using their brains with the highest perseverance in performing their tasks. In so doing, people can have development in their socities.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3: 7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22, Matthew 24: 2-14, James 5:11, 1Corinthians 9: 19-22, Mark 13:13.