stories

406. IKUMGU ILI GUFUGA SUBHI.

Imbuki ya kahayile kenanko yingilile kujifub’o ja gujiyomba ginhu jigongwa numa jajo. Ijifub’o jinijo jolechije gub’ona ginhu, ijo  jili jilihu. Ilinilo hi likungu ilo lyufugaga sub’i. Ulu munhu ubhona sub’i adulile guhaya giki, obhonaga nhanga. Hunagwene abhanhu abhenabho ulu bhubhona ginhu jilihu, bhagayombaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bho gutumila mihayo ya mbisila, nulu ya jifubho. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ugub’alela chiza abhanhu b’akwe bho nduhu ugubhogohya. Hunagwene agayomgaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’alela abhanhu bhabho bho nduhu ugubhogahya, kugiki bhadule ugujilela chiza ikaya jabho.

1 Samweli 16: 6-13.

Isaya 10:33.

KISWAHILI: ENEO HILI KUFUGA CHUI.

Chanzo cha msemo huo yatokea kwenye fumbo la kukiongelea kitu kinyume chake. Fumbo hilo, laonesha kuona kitu ambacho ni kirefu. Hilo ndilo eneo lifugalo chui. Mtu akiona chui, kwa mfano, aweza kusema kwamba, ameona kanga. Ndiyo maana watu hao wakiona kitu kirefu husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye  hufundisha watu kwa kutumia mafumbo yawezayo kuufikisha vizuri ujumbe unaotakiwa kwa watu wake. Mtu huyo, aelewa kuwalea vizuri watu wake, bila kutumia maneno ya kuwatisha. Ndiyo maana husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwalea vizuri watu wao bila kutumia maneno ya kuwatisha, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

1 Samweli 16: 6-13.

Isaya 10:33.

leopard

 

ENGLISH: LEOPARDS ARE KEPT IN THIS PLACE.

This saying comes from the parable of telling something to the contrary. The parable shows something that is long in length comparable to leopards. If one sees a leopard, for example, he/she might say that he/she has seen a kitten. That is why when people see something that is long in length they can say ‘leopards are kept in this place.’

The saying can be compared to a person who teaches people by using metaphors that can effectively convey the message that is required to his/her people. Such a person understands how to properly care for his/her people without intimidating them.

The saying teaches people how to properly nurture their people without intimidating them. This can help people to have morally upright families.

1 Samuel 16: 6-13.

Isaiah 10:33.

405. ULAFULWA LYA NG’WIPOLU NA MAPEMBE GALYO.

Imbuki ya kahayile  kenako yingilile kubhubolwa bho jisumva na lilimu lya ng’wipolu na mapembe galyo. Ijisumva jinijo jigalyaga noyi ijiliwa. Aliyo lulu jidigutaga wangu.

Ijoyi jigikikumbagwa nulu gulilya lilimu igima kihamo na mapembe galyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ,’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinlaku o gulya jiliwa. Umunhu ng’wunuyo adigutaga ulu bhang’winha ijiliwa, mumo alile. Hamo ulu utengelwa ilimu lya ng’wipolu lizugile na mapembe galyo ulya, adulile gwiguta. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gulya jiliwa, umuwikaji bhobho, kugiki bhadizub’ahaga abhichabho, ulub’alilya ijiliwa jinijo.

marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

KISWAHILI: UTAGONGWA LA POLINI NA PEMBE ZAKE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia kugongwa kwa kiumbe na mnyama poli mwenye pembe zake. Kiumbe hicho hula sana chakula. Lakini basi, huwa hakishibi. Chenyewe hutamani hata kula mnyama poli pamoja na pembe zake, ambaye ni mkubwa sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula chakula. Mtu huyo huwa hashibi wanapompatia chakula. Labda wakimtengea mnyama poli na pembe zake, aliyepikwa na kumla pengine atashiba. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa kula chakula, ili wasiwapunje wenzao walapo chakula hicho.

Marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

bufalo

 

ENGLISH: YOU WILL BE KNOCKED BY A HORNED-WILD ANIMAL.

The origin of the above saying is a knock between a certain creature and a horned-wild animal. The creature eats a lot of food with no satisfaction. It even desires to eat big horned-animals for satisfaction. Such a creature is being warned by the proverb that ‘you will be knocked by a horned-wild animal.’

The saying can be compared to a greedy person who doesn’t get satisfaction in his/her eating.

The saying teaches people to stop being greed. They need to be considerate when eating by thinking about others that they also need to eat.

Mark 8: 36-37.

Galatians 5: 19-21.

404. NGULU NA NGULU JIDATUNGWANHAGA ABANHU BHADULILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukigelele ka ngulu. Ingulu jidadule nulu gusiminza guti umo b’agasiminzilaga abhanhu. Ijoyi jigasagaga na naho jilili duhu.

Aliyo lulu, abhanhu b’agasimingaza. Hunagwene abhanhu ulu bhoya kale ugwib’ona, ulushigu bhibhonaga, bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadulile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itogilwe umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bagiyambilija uguitumama imilimo yabho, na bhagigenihaga.

Abhoyi b’agab’alangaga na bhichab’o akikalile kenako. Hunagwene ulu bhigenihaga bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadule.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi bho gudula gwigeniha, kugiki bhadule gwiyambilija halumo, umiwikaji bhobho.

Mathayo 17:20.

KIWAHILI: MILIMA HAIKUTANI BINADAMU HUKUTANA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye muonekano wa milima. Milimo huo haiwezi hata kutembea atembeavyo mwanadamu. Yenyewe hubakia pale ilipo tu. Lakini wanadamu hutembea. Ndiyo maana watu wasipoonana kwa muda wa  siku nyingi, siku ya kuonana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana maishani mwao. Watu hao husaidiana katika kufanya kazi zao, na hutembeleana.

Wao huwafundisha pia wengine namna ya kuyaishi maisha hayo. Ndiyo maana watu hao, wakitembeleana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kutembeleana, ili waweze kusaidiana kwa pamoja katika kuyatekeleza majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 17:20.

mountans

black-2934630__340

 

ENGLISH: MOUNTAINS DO NOT MEET BUT PEOPLE DO.

The source of the above proverb is derived from the appearance of mountains. They cannot even move about as human beings do. It remains where it is. When people do not see each other for many days, the day they meet they can say ‘mountains do not meet but people do.’

This proverb can be compared to those people who love each other in their lives. These people help each other in their works, and they visit each other. They also teach others how to live.

The proverb teaches people to love one another and visit one another. In so doing, they will be fulfilling their responsibilities of loving each other.

Matthew 17:20.

403. UNG’WOLO ATAPANDIKAGA JOSE JOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhudumi bho gupandika jikolo, kunguno ya b’ukokolo bho gutumama milimo bho jisumva jileb’e. Ijisumva jinijo jidahayile ugutumama imilimo yajo. Ijoyi jidahayile ugwilulya, kunguyo ya bholo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wolo adapandikaga josejose.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo adatogilwe uguguluhya umili gokwe.

Uweyi atogilwe gwikala wigashije duhu. Kuyiniyo lulu, uweyi adapandikaga isabho, Agikalaga wilombeleja kubhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ng’holo adapandikika josejose.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika jikolo ja gujib’eja chiza ikaya jabho.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

KISWAHILI: MZEMBE HAPATI CHOCHOTE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindwa kupata mali kwa kiumbe ambaye ni mvivu wa kufanya kazi. Kiumbe huyo hataki kuutesa mwili wake kwa kuufanyisha kazi hizo. Yeye hutaka kukaa tu na kula chakula apewacho, kwa sababu ya uvivu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mvivu kufanya kazi zake. Mtu huyo hapendi kufanya kazi zake. Yeye hupenda kukaa tu.

Kwa hiyo basi, yeye hapati mali ya kutosha kumsaidia maishani mwake. Yeye huishi kwa kuomba omba tu. Kwa hiyo basi, yeye hapati mali itakiwayo kumwezesha kuishi bila kuomba omba, kwa watu wengine Maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kujipatia mali za kuwasaidia ndugu zao mbalimbali maishani mao.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

lazy-1458443__340

lazy one

ENGLISH: A LAZY PERSON DOES NOT GET ANYTHING.

The source of the above proverb stems from an inability to get wealth from a lazy person. Such a person does not want to torture his/her body by working hard. He/she just wants to sit and eat food given by others. This person is likely to end up having nothing in life. To describe such a person, one can use the proverb that ‘a lazy person does not get anything.’

This proverb can be compared to a person who is lazy in doing his/her work. He/she does not like to work thus he/she does not have enough wealth to support his/her life. He/she depends on begging from others. Such a person ends with nothing in life. His/her behaviour is described by the proverb ‘a lazy person does not get anything.’

The proverb teaches people to do their jobs in order to earn enough money that can help in different activities.

Philippians 2:12.

1 Peter 3: 6-10.

402. GULAMBA MAMILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho mamila. Amamila genayo gali maginhu mab’i ayo gagolechaga bhusoso. Agenayo gagafumilaga mulyulu. Kuyiniyo lulu, gadab’elelile ugulambwa. Gashinaga, idichiza ugulamba mamila.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina mito gab’ub’i, giti b’ushiya, wib’i, b’ugwiliji, na mihayo mingi iyo ili guti yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ajileke inhungwa jinijo ija ‘gulamba mamila.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwita ya bhub’i, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhob’o.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

KISWAHILI: KULAMBA MAKAMASI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa makamasi. Makamasi hayo ni vitu vichafu vitokavyo puani. Kwa hiyo basi, havifai kulambwa.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mtenda maovu kama yale ya uzinzi, wizi, ubakaji na mengine mengi yafananayo na hayo. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, aziache tabia hizo za ‘kulamba makamasi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

drunk-1013898__340

 

ENGLISH: TO LICK NOSE MUCUS.

The source of the above saying comes from licking nose mucus. Mucus is regarded as something dirty coming from nostrils. Therefore, they should not be swallowed.

This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery, robbery, rape and many other similar things. That is why people can describe a person with such behaviour using the saying of ‘to lick nose mucus’ to mean living on dirty environment that cannot be appreciated by other people.

The saying teaches people to stop doing evils in order to maintain peace and harmony in the society.

Galatians 5: 19-21.

1 Corinthians 6: 18-19.