Imbuki ya kahayile kenanko yingilile kujifub’o ja gujiyomba ginhu jigongwa numa jajo. Ijifub’o jinijo jolechije gub’ona ginhu, ijo jili jilihu. Ilinilo hi likungu ilo lyufugaga sub’i. Ulu munhu ubhona sub’i adulile guhaya giki, obhonaga nhanga. Hunagwene abhanhu abhenabho ulu bhubhona ginhu jilihu, bhagayombaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bho gutumila mihayo ya mbisila, nulu ya jifubho. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ugub’alela chiza abhanhu b’akwe bho nduhu ugubhogohya. Hunagwene agayomgaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’alela abhanhu bhabho bho nduhu ugubhogahya, kugiki bhadule ugujilela chiza ikaya jabho.
1 Samweli 16: 6-13.
Isaya 10:33.
KISWAHILI: ENEO HILI KUFUGA CHUI.
Chanzo cha msemo huo yatokea kwenye fumbo la kukiongelea kitu kinyume chake. Fumbo hilo, laonesha kuona kitu ambacho ni kirefu. Hilo ndilo eneo lifugalo chui. Mtu akiona chui, kwa mfano, aweza kusema kwamba, ameona kanga. Ndiyo maana watu hao wakiona kitu kirefu husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufundisha watu kwa kutumia mafumbo yawezayo kuufikisha vizuri ujumbe unaotakiwa kwa watu wake. Mtu huyo, aelewa kuwalea vizuri watu wake, bila kutumia maneno ya kuwatisha. Ndiyo maana husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwalea vizuri watu wao bila kutumia maneno ya kuwatisha, ili waweze kuzilea vyema familia zao.
1 Samweli 16: 6-13.
Isaya 10:33.
ENGLISH: LEOPARDS ARE KEPT IN THIS PLACE.
This saying comes from the parable of telling something to the contrary. The parable shows something that is long in length comparable to leopards. If one sees a leopard, for example, he/she might say that he/she has seen a kitten. That is why when people see something that is long in length they can say ‘leopards are kept in this place.’
The saying can be compared to a person who teaches people by using metaphors that can effectively convey the message that is required to his/her people. Such a person understands how to properly care for his/her people without intimidating them.
The saying teaches people how to properly nurture their people without intimidating them. This can help people to have morally upright families.
1 Samuel 16: 6-13.
Isaiah 10:33.