stories

431. NG’WIZA HONGO ADAPEJIWAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile munhu uyo ali nsese. Umunhu ng’wunuyo agacholaga milimo ya gutumama, kubhanhu abho bhali bhasabhi. Uweyi agazunijiyagwa uguitumama imilimo yiniyo, kunguno ali munhu owiza, uyo adulile guitumama chiza imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhakaribhushaga chiza, abhanhu abho bhagacholaga milimo ya gutumama.

Abhanhu bhenabho bhagabhadililaga chiza abhatumami bhabho, bho gubhalipa gitumo bhidebhela, kunguno bhali bhatumami bhawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bha wiza, abho bhadulile guitumama imilimo chiza, na gubhadilila chiza abhatumami bha milimo yabho.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

KISWAHILI: MTUMWA HAFUKUZWI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu ambaye ni mtumwa. Mtu huyo hutafuta kazi za kufanya kwa watu walio matajiri.

Yeye hukubaliwa kuzifanya kazi hizo, kwa sababu yeye ni mtu mwenye tabia njema, ambaye anao uwezo wa kufanya kazi hizo vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huwakaribisha vizuri watu wanaotafuta kazi za kufanya. Watu hao huwajali wafanyakazi wao vizuri, kwa kuwalipa kama walivyokubaliana, kwa sababu ni watu wenye tabia njema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kufanya vizuri kazi wapewazo, na kuwajali wafanya kazi wao.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

africa-slave

 

ENGLISH: A SLAVE IS NEVER CHASED AWAY.

The source of the above proverb is slavery where a slave is looked at as someone who doesn’t deserve to be chased from someone’s compound. A slave is also described as someone looking for job from someone else. She/he (the slave) can perform different duties to his/her master and he/she is considered to be someone who is good mannered and can carry out his/her duties in a required manner. That is why people came with the proverb that ‘a slave is never chased away’ to communicate the innocence and hard work of slaves.

The proverb can be comparable to those people who perform their jobs accordingly in order to impress their employers. Such people, in return, make employees to pay them accordingly because they respect their bosses.

The proverb teaches people about having good manners that can enable them to do their jobs well. This will enable them to have good relationship between employees and employers.

Joshua Bin Sira 33: 26-32.

430. UBHUYUNGI BHOKO BHUGUDENHELEJA GUTULIJIWA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuyungi bho munhu nebhe, ubho bhudulile gwenheleja bhanhu wakwe gupandika makoye.

Olihoyi munhu uyo olinyungi ogumana uyela sagala. Ubhuyeji bhokwe bhunubho, bhugabhanoja abho obhayelelaga, na bhaha kaya yakwe, nose bhiyangula gung’wila oye uguyunga sagala chiniko. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agayungaga mumakaya ga bhanhu, kunguno ya kuchola jiliwa.

Umubhuyungi bhokwe bhunubho agabhatindikaga abhiye ugutumama imilimo yabho, kunguno ya kubhalendeja abho agabhayelelaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhuyungi bhoko bhugudenheleja gutulijiwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhatindika gutumama milimo yabho abhichabho, kunguno ya gubhayelela sagala, kugiki bhadule uguitumama chiza imilimo yabho, iya gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mithali 7:10-23.

KISWAHILI: UZURURAJI WAKO UTATULETELEZA KUTENGWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uzururaji wa mtu fulani, ambao waweza kuwaletea watu wake matatizo. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa mzururaji wa kutembea hovyo.

Uzururaji wake huo uliwachosha watu wake, pamoja na wale aliokuwa akiwatembelea, mpaka wakafikia hatua ya kumuonya ili aache tabia hiyo. Ndiyo maana walimwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi zake. Mtu huyo huzurura kwa kuwatembelea watu kwa sababu ya kutafuta chakula.

Yeye pia huwachelewesha watu wengine kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hivyo. Hali hiyo huwaambukiza uvivu wale anaowatembelea. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘uzururaji wako utatuleteleza kutengwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya uvivu, wa kuwachelewesha watu kufanya kazi zao, kwa sababu ya kuwatembelea hovyo, ili waweze kutulia nyumbani kwao, na kufanya kazi za kusaidia katika kuziendeleza familia zao.

Mithali 7:10-23.

musician

nysc

 

ENGLISH: YOUR WANDERING WILL CAUSE US TO BE EX-COMMUNICATED.

The source of the above saying comes from the loitering of someone that can cause problems to others. This saying came because of a certain person who used to loiter in different places. His/her wanderings annoyed other people including those he/she was visiting. To warn him/her against this behaviour, they used the saying, ‘your wandering will cause us to be ex-communicated.’

This saying can be compared to a person who is lazy to do his/her work. Such a person can wander around with nothing serious to do. He/she can also cause delay to others in their farming activities.

The saying teaches people to stop being lazy rather stay home and plan for activities that can raise the economic standard of the family.

Proverbs 7: 10-23.

429. UBHUGUBHIGUBHI BHOKO NG’WANA NTAMBI BHULAGWENHELEJA GUPEMBWA MOTO.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kajile ka ng’wana ntambi. Ung’wana ntambi ng’wunuyo oling’wiyungi ogumana wingila mumakaya ga bhanhu sagara. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, ‘ubhugubhigubhi bhoko ng’wana ntambi bhulagwenheleja kupembwa moto.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina kajile bhabhubhi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo alinomolomo, na nshiya uyo bhankolwa abhanhu, kunguno ya kajile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ubhugubhigubhi bhoko ng’wana ntambi bhulagwenheleja kupembwa moto.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kajile ako kalikabhubhi, kugiki bhadule gwipija mumakoye ga gupembwa moto.

Mithali 6:32-33.

Mithali 23:26-28.

UZURALAJI WA CHINI CHINI WAKO NG’WANA NTAMBI UTAKULETELEZA KUCHOMWA MOTO.

Chanzo cha msemo huo chaangalia mwenendo wa Mwana Ntambi. Mwana Ntambi huyo, alikuwa mzururaji sana. Alikuwa akiingia hovyo kwenye familia ya za watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzururaji wako mwana ntambi utakuleteleza kuchomwa moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anamwenendo mbaya maishani mwake. Mtu huyo ni muongo, na mzinifu ambaye watu wamemchukia kwa hasabu ya tabia yake  hiyo mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzururaji wako Mwana ntambi utakuleteleza kuchomwa moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia mbaya, ili waweze kujiepusha kutoka kwenye tabizo la kuchomwa moto.

Mithali 6:32-33.

Mithali 23:26-28.

fire1

egyptian1

 

ENGLISH: YOUR WANDERINGS WILL DESTROY YOU.

The source of the above saying looks at the behaviour of Ntambi’s son. The son of Ntambi is described as being a loiter. To warn him against wandering, people could use the saying that ‘your wanderings will destroy you’ in order to make him behave accordingly.

The saying can be compared to a person who is unsettled in his/her life. Such a person can be described as a liar, hypocrite and untrustworthy.

The saying teaches people to stop bad habits. They should know that there is a bad ending for the evils they commit in life.

Proverbs 6: 32-33.

Proverbs 23: 26-28.

428. INZAGAMBA ULU YUPYENWA IGAZONGAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuzongu bho nzagamba iyo yapyenagwa. Inzagamba, igabhizaga nhyangamumku ulu itemile ung’widale.

Aliyo lulu, ulu yupyenwa niyagamba lingi, igazongaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo olintongeji o bhanhu, aho atali ugupejiwa. Umunhu ng’wunuyo agakindwa na ng’wiye abho wiza ubhuchaji, ukija uguchagulwa. Agingila ungi umunimo gokwe gunuyo.

Kuyiniyo lulu, uweyi nanghwe agazongaga guti ni nzagamba iyo yapyenwa yiniyo. Agamalaga ulubhango umuwikaji bhokwe, kunguno hamo obhitilaga yabhubhi abhanhu abho obhatongelaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhitila yawiza abhanhu abho bhalibhatongela, kugiki nulu bhaginga umubhotongeji, bhadule gwikala bho bhuyeji na bhanhu abho bhabhatongelaga.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

KISWAHILI: FAHARI AKISHINDWA NA FAHARI NG’WINGINE HUSONONEKA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kusononeka kwa fahari aliyeshindwa na fahari mwenzake kwenye kundi. Lakini basi, akizidiwa na fahari mwenzake, husononeka sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye alikuwa kiongozi kablya hajafukuzwa. Mtu huyo alishindwa na mwenzake kwenye uchaguzi akaingia mwingine kwenye nafari yake.

Kwa hiyo basi, yeye naye husononeka kama yule fahari aliyeshindwa. Fahari huyo hukosa Baraka au furaha maishani mwake, kwa sababu pengine aliwatendea mabaya wenzake alipokuwa kiongozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatendea mema watu wanaowaongoza, ili wakiacha kazi hiyo ya uonngozi, waweze kuishi kwa furaha na watu waliowaongaza.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

bull

cattle1

 

ENGLISH: A DEFEATED BULL BECOMES SAD.

The source of the above proverb is derived from a failed and frustration bull. When the bull is defeated by its fellow, it becomes very depressed. That is why people can say ‘a defeated bull becomes sad’ to communicate the sad feelings the bull can feel for being defeated in the challenge.

The proverb can be compared to a person who was a leader before before being dismissed. Such a person was taken out of power through ballot and his/her position was replaced by someone else.  The defeated leader will always feel uncomfortable to go back to the people he/she used to lead when in power.

The proverb teaches people to respect others, especially in leadership. They have to respect their subordinates so that when they come out of power they can be well accepted in the society.

Luke 15: 13-16.

Daniel 4: 30-33.

427. GWAGULA GO NG’WANA BHUYEGI BHO BHABYAJI.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhuyegi bho bhabyaji, kunguno ya gwandya gwagula go ng’wana obho. Abhabyaji bhenabho ulu bhumona ng’wana obho alikula chiza, bho gwandya gwigasha, na gwagula bho weyi bhung’wene, bhagayegaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gwagula go ng’wana bhuyegi bho bhabyaji.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhanhela chiza ung’wana obho, mpaga ubheja kaya yakwe, na gwandya gubhambilija.

Abhabyaji bhenabho bhagabhalangaga abhana bhabho higulya ya gutumama milimo yabho, kubhukamu bhatale, na gwikala chiza na bhanhu.

Ugwagula go ng’wana ng’wunuyo, yikolile nu gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yiniyo na gubhalanghana chiza abhabyaji bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gwagula go ng’wana bhuyegi bho bhabyaji.’

Ulusumo lunuyo lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhana bhabho, kugiki, bhadule gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo na gwikala chiza, na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 10:13-16.

KISWAHILI: KUTAMBAA KWA MTOTO FURAHA YA WAZAZI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia furaha ya wazazi, kwa sababu ya kuanza kutambaa kwa mtoto wao. Wazazi hao wakimuona mtoto wao anakua vizuri kwa kuanza kukaa na kutambaa yeye mwenyewe, hufurahi sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kutambaa kwa mtoto furaha ya wazazi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao wamemlea vizuri mtoto wao, mpaka akatengeneza mji wake, na kuanza kuwatunza wao wenyewe. Wazazi hao huwalea vizuri watoto wao kwa kuwafundisha kufanya kazi zao, kwa bidii kubwa, na kuishi vizuri na watu.

Kutambaa kwa mtoto kwafanana na kuwa na bidii ya kufanya kazi hizo, na kuwatunza wazazi wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kutambaa kwa mtoto furaha ya wazazi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwalea vizuri watu wao, ili waweze kuwa na bidii ya kufanya kazi, na kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Marko 10:13-16.

baby african

baby2

 

ENGLISH: THE CRAWLING OF THE BABY IS THE JOY OF THE PARENTS.

The source of the above proverb looks at the parents’ happiness when their child begins to craw. When parents see their child grows up they become happy. That is why people can say ‘the crawling of the baby is the joy of the parents’ to communicate the degree at which parents feel when their children grow healthly.

The proverb can be compared to people who raise well their children. It is expected that those children are, in return, likely to save their parents by taking care of them. Therefore, parents need to nurture well their children by encouraging them to build the spirit of working hard in order to be in a position to take care of their parents when they are old enough to save themselves.

The proverb teaches people about how to properly care for their people. Parents have to take care of their children in a properly manner in order to bring about a well nurtured society that abides by moral ethics of the given society.

Mark 10: 13-16.