stories

646. KALAGU – KIZE. BHANHYA BHAMILENGANILO:- MASHIGA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile kukalenginilile ka wiyambilija bho katumamile ka mashiga. Amashiga genayo, gali mawe nulu madafali adatu ayo gagikalaga galenganilile chiza, kugiki gadule gudimila nungu, nulu sufulila iyaguzugila ijiliwa.

Ubhulenganiji bhogo bhunubho, bhulolile bhutale, nulu bhudoni ubho bhulinganilile.  Agoyi gagikolanijiyagwa na bhaniki, kunguno nabho bhagazugaga jiliwa aha kaya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘bhanhya bhamilenganilo:- Mashiga.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina ng’wigwano go gwiyambilija uguitumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhali na bhutogwa ubho bhugabhalumanyaga kihamo, umukikalile kabho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi, umumilimo yabho guti numo gagajisijaga ijiliwa amashiga genayo.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na mashiga, kunguno nabho bhali na ng’wigwano go gwiyambilija halumo uguitumama chiza imilimo yabho, umukikalile kabho.

Abhoyi bhagalangaga na bhichabho, ahigulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwiyambilija halumo ijinaguitumama chiza imilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagabhaganilaga abhichabho giki, ‘bhanhya bhamilenganilo:- Mashiga.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwiyambilija halumo uguitumama na bhutogwa imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwaho mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 28:16-20. Jiligemelo ja Utatu Mtakatifu.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA:-

WASICHANA WANAOLINGANA:- MAFIGA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye ulinganifu wa mafiga katika kusaidiana kufanya kazi. Mafiga hayo, ni mawe au matofali matatu yanayolingana vizuri, kiasi cha kutosha kukishikilia chungu au chombo cha kupikia chakula. Yenyewe huwa yamelingana kwa maana kwa kuwa na ukubwa unaoendana, au kama ni madogo, yote yawe udogo unaolingana.

Mafiga hayo, hufananishwa na wasichana kwa sababu nao hufanya kazi za kupika chakula katika familia.  Yenyewe, huacha nafasi katikati ambapo huwekwa kuni zinawashwa moto na kuendelea kuchochewa mpaka chakula kinaifa vizuri. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘washichana wanaolingana:-  Mafiga.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kusaidiana katika kufanya kazi zao. Watu hao, wana upendo ambao huwaunganisha pamoja, maishani mwao. Wao hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yao, kama yanavyoivisha chakula Mafiga hayo.

Watu hao, hufanana na mafiga, kwa sababu nao, wana uelewano wa kusaidiana pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Wao huwafundisha pia wenzao, juu ya kuwa na upendo huo wa kusaidiana pamoja katika kuzitekeleza vizuri kazi zao. Ndiyo maana watu hao, huwahadithia wenzao kwamba, ‘washichana wanaolingana:-  Mafiga.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kusaidiana pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 28:16-20. Ni mfano wa Utatu Mtakatifu.

cooking1

mashiga1

mashiga

nzugi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THREE GIRLS OF SIMILAR ATTRIBUTES – THREE COOKING STONES.

The source of this riddle is the cooking stones. These stones always appear in the kitchen and one of their central functions is to hold a cooking pot or saucepan when cooking. These three cooking stones are characterized by having similar attributes; they have similar size and height in order to facilitate easy holding of the pot or saucepan.

The three stones are always arranged in such a way that they leave a space between them where one can make fire. This is why people came with this riddle ‘three girls of similar attributes – cooking stones’ to communicate the resemblance of cooking stones.

This riddle can be compared to people who tend to help each other in doing something. Such peple tend to regard themselves as one solid unit who can work together in order to achieve something of great impact to the society. These people also teach others about the need for helping each other in doing their jobs well.

This riddle teaches people about how to work together to help each other in fulfilling their responsibilities so that they can achieve more in their lives.

Matthew 28: 16-20. It is an example of the Holy Trinity.

645. BHANHU DULI BHULYANGO BHULYANGO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka bhulyango bho bhanhu. Ubhulyango bhunubho bhuli luganda lo ludugu lo bhanhu bhenabho ulo lugabhalangaga bhuli ng’wene inzila ja gwikala na bhiye, kunguno bhuli ng’wene ali na ludugu lokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhanhu duli bhulyango bhulyango.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo akadebhile akikalile ka ludugu lokwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo akagikalanaga akajile ka ludulu lokwe ako kagabhambilijaga ugwikala bho mholele na bhichabho umuchalo jabho. Uweyi akagadililaga chiza akikalile kenako, kunguno kagabholekejaga inzila ja gwigulyambija uguyitumama imilimo yabho chiza umu ludugu lobho.

Umunhu ng’wunuyo agabhambilijaga n’abhiye uguludebha uludugu lobho, kugiki bhadule nabho ugwigulyambija uguyitumama imilimo iyagubhapandikila matwajo ga gujibheja chiza ikaya jabho. Uweyi ali jigemelo ja gubhalangila abhiye imijilo ya ludugu lobho iyo igabhinhaga matwajo mingi umuwikaji bhobho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhiye giki, ‘bhanhu duli bhulyango bhulyango.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu guyikalana imijilo ya ludugu lobho iyo igabhambilijaga uguyitumama imilimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gwikala bho mholele na gupandika matwajo gagujibheja chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho.

(Mathayo 1:2; Luka 1:59-62; Matendo 13:26; Warumi 1:3-4).

KISWAHILI: WATU TU WA KOO MBALIMBALI.

Chanzo cha methali hii chatokea kwenye maisha ya koo za watu. Koo hizo ni  makundi ya udugu wa watu walio na mila zinazowasaidia katika kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu kila mmoja ana ukoo wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu tu wa koo mbalimbali.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anazifahamu mila zilizo njema katika ukoo wake maishani mwake. Mtu huyo huziishi mila hizo ambazo humsaidia katika kuishi kwa amani na wenzake, katika kijiji chake. Yeye huzishikilia desturi hizo kwa sababu humuonesha namna ya kuyatekeleza majukumu yake vizuri katika ukoo wake.

Mtu huyo huwasaidia pia wenzake katika ukoo wao, ili waweze kuzitumia desturi hizo katika kujibidisha kufanya kazi za kuwapatia mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuzitumia mila hizo njema kwa kujipatia mafanikio mengi maishani. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, ‘watu tu wa koo mbalimbali.’

Methali hii hufundisha watu kuziishi desturi zilizo njema katika koo zao ambazo huwasaidia katika kuyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa, ili waweze kuishi kwa amani, na kupata mafanikio mengi maishani mwao.

(Mathayo 1:2; Luka 1:59-62; Matendo 13:26. Warumi 1:3-4).

bhamasai bha kenya

namibia-himba

mbina ya samburu

 

ENGLISH: PEOPLE ARE DIVIDED BASED ON KINGSHIP.

The source of this saying is the life of people. People tend to live according to how they relate to each other. Their relationship is mainly determined by kingship because of sharing some cultural and traditional values. This is why people came with the saying that ‘people are divided based on kingship’ to justify how clan ties determine the life system of people.

This saying can be compared to a person who knows the good traditions of his/her clan and abide by them. These traditional values might be of great help in making people live together peacefully and harmoniously. Such a person can be regarded as a role model to others in terms of showing them how traditions and customs of a particular clan can shape the behaviour of a certain person. This person also teaches others how to nurture moral values in order to create a society that is morally upright.

This saying teaches people about living good life with others in the society by abiding by moral values of that particular society.

Matthew 1: 2, Luke 1: 59-62, Acts 13:26, Romans 1: 3-4.

 

ANOTHER ENGLISH VERSION: WE PEOPLE ARE FROM DIFFERENT CLANS.

The origin of this proverb is people’s lives based on their clans. The clans are fraternal groups of people who have traditions that bind them together, because they each have their own clan. That is why people say, ‘We people are from different clans.’

The proverb is used comparatively to refer to any individual who knows the good traditions of his/her clan. The person lives abiding by those traditions that help him/her live in harmony with neighbors. That person upholds to those customs because they guide him/her on how to carry out his/her duties properly. The person, in turn, helps his or her relatives in the family, so that they can abide by these practices in their efforts to achieve success in their families.

He/she is a role model for his/her colleagues in applying such good traditions for his/her achievements in lifes. That is why he/she tells his/her companions, ‘We people are from different clans.’

This proverb teaches people to live by abiding by good habits, which help them to fulfill their responsibilities, so that they can live in peace, and achieve notable successes in their lives.

(Matthew 1: 2; Luke 1: 59-62; Acts 13:26; Romans 1: 3-4).

644. ABHANHU DULI NHUMBILI JA BHATEMI.

Imbuki ya Lusumo lunulo, yingilile kubhusami bho bhanhu umukikalile kabho na wikindiki bho Nhumbili umu manti. Ubhusami bhunubho, bhuli bho gwinga kuli Ntemi nhebhe na guja kuli Ntemi ungi, umuwikaji bhobho.

Ubhoyi bhugalenganijiwa ni nhumbili kunguno najo jigidamukaga gwingila kulinti limo mpaga kulinti lingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘abhanhu duli nhumbili ja bhatemi.’

Ulusumo lunulo, lugalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhadegelekaga chiza abhatongeji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, azunije ugutongelwa na bhatongeji bhakwe bhenabho, kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho alinabho ukubhoyi nu kubhatongelwa bhiye. Uweyi uko usamila agazunyaga ugutongelwa nu Ntemi uyo onsangaga koyi.

Umunhu ng’wunuyo, akikolaga ni nhumbili umojigidamukilaga gufumila mulinti limo mpaga ku linti lingi, kunguno, nuweyi azunije ugutongelwa nu Ntemi uyo onsangaga koyi. Hunagwene uweyi agabhawilaga bhanhu giki, ‘abhanhu duli nhumbili ja bhatemi.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhadegeleka chiza abhatongeji bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobo.

Mwanzo 47:21.

Ezekieli 12:3.

KISWAHILI: WATU TUKO TUMBILI ZA WAFALME.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye uhamaji wa watu katika maisha yao, na urukiaji wa Tumbili kwenye miti. Uhamaji huo wa watu ni wa kutoka kwa Mfalme fulani kwenda kwa Mwingine. Wenyewe hulinganishwa na urukaji wa Tumbili kutoka mti mmoja hadi mwingine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu tuko tumbili za wafalme.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikiliza vizuri viongozi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, anakubali kuongozwa na viongozi wake hao, kwa sababu ya upendo alio nao kwao, na kwa wenzake. Yeye huwatambua na kuwasikiliza viongozi wa kokote atakakohamia.

Mtu huyo, hufanana na Tumbili wanavyorukia mti mmoja hadi mwingine, kwa sababu naye, anakubali kuongozwa na kiongozi yeyote anayemkuta kule anakohamia katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘watu tuko tumbili za wafalme.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwaelewa na kuwasikiliza viongozi wao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 47:21.

Ezekieli 12:3.

nhumbili2

nhumbili1

nhumbili3

ENGLISH: PEOPLE ARE LIKE KINGS’ MONKEYS.

The source of this saying is the migration of people from one authoritative unit or Kingdom to another. This kind of migration is compared with the way monkeys jump from one tree to another. This is why people came with the saying that ‘people are like kings’ monkeys’ to describe how people move from one kingdom to another and how they are forced to follow rules and regulations of that particular kingdom.

This saying can be compared to a person who listens well to his/her leaders in his/her life. This person tends to love his/her leaders. Like the monkey that jumps from one tree to another, this person tends to respect the rules and regulations of a given authoritative unit. Such a person teaches others about respect and obedience in life.

This proverb teaches people to understand and listen to their leaders in their lives. This can help to avoid quarrels in the society instead create peace and harmony among people in a given society.

Genesis 47:21, Ezekiel 12: 3.

643. ABHANHU DULI MAGAB´E MAGAB´E.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhugabhilwa bho bhuli munhu, umukikalile kakwe. Ubhugabhilwa bhunubho, bhugabhizaga bhulinganilile ni nguzu ja bhuli munhu ijo winhiwa nu Welelo, kunguno bhuli ng’wene alina kinhilwe kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘abhanhu duli magab’e magab’e.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agajitumilaga chiza nguzu ijo winhiwa nu Welelo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumilaga ijinhilwa jakwe ijo jilikihamo ni nguzu, na masala, mugwigulambija gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe.

Uweyi agabhambilijaga na bhiye ugujidebha ijinhilwa jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umutumami bho milimo yabho. Abho bhagandekelekaga, bhagajibhejaga chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo agapandikaga sabho nyinghi umubhutumami bhokwe kunguno, adebhile ugujitumamila chiza ijinhilwa jakwe. Akikalile kakwe, kali jigemelo ukubhiye ija gujitumamila ijinhilwa jabho chiza na gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhiye giki, ‘abhanhu duli magab’e magab’e.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujidebha na gutumamila chiza ijinhilwa jabho, kugiki bhadule gubhudebha ubhugabhilwa bhobho, na gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. UMulungu agang’winhaga matwajo mingi bhuli ng’wene uyo agajitumamilaga chiza ijinhilwa ijo ong’winha.

Methali 14:13.

Mhubiri 7:3-4.

1 Wakorintho 4:7.

Mhubiri 3:13.

Waroma 12:2-6.

KISWAHILI: WATU TUNA MGAO MGAO.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye ugawiwaji wa vipaji wa kila mmoja, katika maisha yake. Ugawiwaji huo, huwa unaendana au kulingana na nguvu alizojaliwa na Mungu kila mmoja, kwa sababu kila mmoja amepewa vipaji ambavyo viko tofauti na vile alivyopewa mwenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu tuna mgao mgao.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vipaji alivyopewa na Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huvitumia vipaji vyake hivyo, ambavyo ni pamoja na nguvu, na akili zake katika kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani.

Yeye pia huwasaidia wenzake katika kuvitambua na kutuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utendaji wa kazi zao za kila siku. Wale wanaomsikiliza hufanikiwa kupata chakula, na mali za kuweza kuwasaidia vizuri katika maisha yao.

Mtu huyo, hufanikiwa kupata mali nyingi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya yeye kufahamu namna ya kuvifanyia kazi vipaji vyake katika kujipatia maendeleo. Maisha yake hayo, ni mfano wa kuigwa na wenzake, katika kuvitumia vizuri vipaji vyao, na kujipatia maendeleo mengi maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘watu tuna mgao mgao.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuvielewa na kuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kujipatia maendeleo katika familia zao, na maishani mwao, siku zote. Mungu humpatia maendeleo yule anayevitumia vizuri vipaji alivyompatia.

Methali 14:13.

Mhubiri 7:3-4.

1 Wakorintho 4:7.

Mhubiri 3:13.

Waroma 12:2-6.

ukoo

ukoo1

ukoo3

 

ENGLISH: EVERYONE HAS HIS/HER OWN TALENT.

The source of this saying is peoples’ talents. People have different talents that enable them to perform different duties in life. God, the giver of talents, ensured that not all human beings are the same in terms of knowledge about the world around them. It is through this distribution of talents that people came with the saying that ‘Everyone has his/her own talent’ to communicate different activities performed by different people in building the society.

This saying can be compared to a person who makes good use of his/her God-given talents in his/her life. This person uses his/her talents, which include his/her power and intelligence to fulfill his/her duties in life. Such a person can also assist his/her colleagues in realizing their talents and working on them in order to achieve success in life.

This saying teaches people to understand and use their talents so that they can make a difference in their families and in their daily lives. God gives development to the one who makes good use of his/her talents given by Him.

Proverbs 14:13, Ecclesiastes 7: 3-4, 1Corinthians 4: 7, Ecclesiastes 3:13, Romans 12: 2-6.

642. LUBHANGO MU NZILA AHA KAYA MIHIHINYALO.

Imbuki ya Lusumo lunulo, yingilile kubhuyeji bho mu nzila duhu aha kaya bhutiho. Ubhuyeji bhunubho, bhuli bho ng’wa munhu uyo agasekaga na bhiye abho agikalaga nabho ulu wingaga, aha kaya yakwe. Aliyo lulu, ulu bhunsanga uweyi aha kaya yakwe, agalubhalaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Lubhango mu nzila aha kaya mihihinyalo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli  munhu uyo ali ming’holo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga nyegu ulu utung’wana na bhanhu umu nzila, kunguno bhatiho guzugilwa nulu jiliwa, iki wingaga aha kaya yake. Aliyo lulu, uweyi agalubhalaga ulu bhansangaga abhiye aha kaya yakwe, kunguno ya gubhapeja bhakije ugulindila gulya jiliwa jakwe.

Umunhu munhu ng’wunuyo, agikolaga nu Lubhango mu nzila aha kaya nhubhazi, kunguno nuweyi agasegaga na bhanhu ulu alimu nzila duhu, ulu bhunsanga abhiye bhenabho aha kaya yakwe, agalubhalaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Lubhango mu nzila aha kaya mihihinyalo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiza ng’holo bho gubhakaribhusha abhichabho aha kaya jabho, na gulya nabho bho bhuyegi, kugiki bhadule gupandika mbango ja matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

KISWAHILI: UKARIMU NJIANI NYUMBANI UNUNAJI.

Methali hiyo, yatokea kwenye furaha ya mtu akiwa njiani, na ununaji wake akiwa nyumbani kwake. Furaha hiyo, ni ya mtu yule ambaye hucheka na watu anaokutana nao njiani, lakini watu hao wakimtembelea nyumbani kwake, humkuta amenuna. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukarimu njiani nyumbani ununaji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mchoyo kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na furaha akutanapo na watu njiani, kwa sababu watu hao, hawatakula chakula chake, kwa vile ameondoka nyumbani kwake. Lakini basi, yeye hununa wanapomtembelea wenzake nyumbani kwake, kwa sababu ya kuwafukuza ili wasisubiri kula chakula chake.

Mtu huyo, hufanana na mwenye furaha njiani tu nyumbani kwake ni mnunaji, kwa sababu na yeye hucheka na watu anapokutana nao njiani, lakini watu hao, wakimtembelea nyumbani kwake, hununa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukarimu njiani nyumbani ununaji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wenzao kwenye familia zao, na kula nao kwa furaha, ili waweze kupata baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.

angolan1

kitchen

adult2

 

ENGLISH: GENEROSITY ON THE WAY, STINGY AT HOME.

The source of this saying is someone who appeared to be very charming and generous when met somewhere. This person can be thought that he/she is good and has a welcoming face always even when you visit his/her home. But, the truth is, this person will turn against you by showing a groomy face when you visit his/her home. This is why people came with this saying that ‘generosity on the way, stingy at home’ to describe this scenario of wearing double faces.

This saying can be compared to a greedy person. This person can be very charming when he/she meets people out of his/her home because he/she knows that his/her help to them is so limited, for example, he/she cannot provide them with food, etc. Being visited at home it means finding ways to entertain his/her visitors including providing them with food and sometimes accommodation. Such services make someone to incur costs. As a way to avoid them, one can decide to wear a groomy face.  

This saying teaches people about generosity by welcoming friends into one’s families and eating with them. Through generosity and welcoming face one can be appreciated and loved by other people around him/her.