Imbuki ya Lusumo lunulo, yingilile kubhuyeji bho mu nzila duhu aha kaya bhutiho. Ubhuyeji bhunubho, bhuli bho ng’wa munhu uyo agasekaga na bhiye abho agikalaga nabho ulu wingaga, aha kaya yakwe. Aliyo lulu, ulu bhunsanga uweyi aha kaya yakwe, agalubhalaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Lubhango mu nzila aha kaya mihihinyalo.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ming’holo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga nyegu ulu utung’wana na bhanhu umu nzila, kunguno bhatiho guzugilwa nulu jiliwa, iki wingaga aha kaya yake. Aliyo lulu, uweyi agalubhalaga ulu bhansangaga abhiye aha kaya yakwe, kunguno ya gubhapeja bhakije ugulindila gulya jiliwa jakwe.
Umunhu munhu ng’wunuyo, agikolaga nu Lubhango mu nzila aha kaya nhubhazi, kunguno nuweyi agasegaga na bhanhu ulu alimu nzila duhu, ulu bhunsanga abhiye bhenabho aha kaya yakwe, agalubhalaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Lubhango mu nzila aha kaya mihihinyalo.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiza ng’holo bho gubhakaribhusha abhichabho aha kaya jabho, na gulya nabho bho bhuyegi, kugiki bhadule gupandika mbango ja matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
KISWAHILI: UKARIMU NJIANI NYUMBANI UNUNAJI.
Methali hiyo, yatokea kwenye furaha ya mtu akiwa njiani, na ununaji wake akiwa nyumbani kwake. Furaha hiyo, ni ya mtu yule ambaye hucheka na watu anaokutana nao njiani, lakini watu hao wakimtembelea nyumbani kwake, humkuta amenuna. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukarimu njiani nyumbani ununaji.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mchoyo kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na furaha akutanapo na watu njiani, kwa sababu watu hao, hawatakula chakula chake, kwa vile ameondoka nyumbani kwake. Lakini basi, yeye hununa wanapomtembelea wenzake nyumbani kwake, kwa sababu ya kuwafukuza ili wasisubiri kula chakula chake.
Mtu huyo, hufanana na mwenye furaha njiani tu nyumbani kwake ni mnunaji, kwa sababu na yeye hucheka na watu anapokutana nao njiani, lakini watu hao, wakimtembelea nyumbani kwake, hununa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukarimu njiani nyumbani ununaji.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wenzao kwenye familia zao, na kula nao kwa furaha, ili waweze kupata baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.
ENGLISH: GENEROSITY ON THE WAY, STINGY AT HOME.
The source of this saying is someone who appeared to be very charming and generous when met somewhere. This person can be thought that he/she is good and has a welcoming face always even when you visit his/her home. But, the truth is, this person will turn against you by showing a groomy face when you visit his/her home. This is why people came with this saying that ‘generosity on the way, stingy at home’ to describe this scenario of wearing double faces.
This saying can be compared to a greedy person. This person can be very charming when he/she meets people out of his/her home because he/she knows that his/her help to them is so limited, for example, he/she cannot provide them with food, etc. Being visited at home it means finding ways to entertain his/her visitors including providing them with food and sometimes accommodation. Such services make someone to incur costs. As a way to avoid them, one can decide to wear a groomy face.
This saying teaches people about generosity by welcoming friends into one’s families and eating with them. Through generosity and welcoming face one can be appreciated and loved by other people around him/her.