Imbuki ya Lusumo lunulo, yingilile kubhusami bho bhanhu umukikalile kabho na wikindiki bho Nhumbili umu manti. Ubhusami bhunubho, bhuli bho gwinga kuli Ntemi nhebhe na guja kuli Ntemi ungi, umuwikaji bhobho.
Ubhoyi bhugalenganijiwa ni nhumbili kunguno najo jigidamukaga gwingila kulinti limo mpaga kulinti lingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘abhanhu duli nhumbili ja bhatemi.’
Ulusumo lunulo, lugalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhadegelekaga chiza abhatongeji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, azunije ugutongelwa na bhatongeji bhakwe bhenabho, kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho alinabho ukubhoyi nu kubhatongelwa bhiye. Uweyi uko usamila agazunyaga ugutongelwa nu Ntemi uyo onsangaga koyi.
Umunhu ng’wunuyo, akikolaga ni nhumbili umojigidamukilaga gufumila mulinti limo mpaga ku linti lingi, kunguno, nuweyi azunije ugutongelwa nu Ntemi uyo onsangaga koyi. Hunagwene uweyi agabhawilaga bhanhu giki, ‘abhanhu duli nhumbili ja bhatemi.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhadegeleka chiza abhatongeji bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobo.
Mwanzo 47:21.
Ezekieli 12:3.
KISWAHILI: WATU TUKO TUMBILI ZA WAFALME.
Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye uhamaji wa watu katika maisha yao, na urukiaji wa Tumbili kwenye miti. Uhamaji huo wa watu ni wa kutoka kwa Mfalme fulani kwenda kwa Mwingine. Wenyewe hulinganishwa na urukaji wa Tumbili kutoka mti mmoja hadi mwingine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu tuko tumbili za wafalme.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikiliza vizuri viongozi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, anakubali kuongozwa na viongozi wake hao, kwa sababu ya upendo alio nao kwao, na kwa wenzake. Yeye huwatambua na kuwasikiliza viongozi wa kokote atakakohamia.
Mtu huyo, hufanana na Tumbili wanavyorukia mti mmoja hadi mwingine, kwa sababu naye, anakubali kuongozwa na kiongozi yeyote anayemkuta kule anakohamia katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘watu tuko tumbili za wafalme.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwaelewa na kuwasikiliza viongozi wao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Mwanzo 47:21.
Ezekieli 12:3.
ENGLISH: PEOPLE ARE LIKE KINGS’ MONKEYS.
The source of this saying is the migration of people from one authoritative unit or Kingdom to another. This kind of migration is compared with the way monkeys jump from one tree to another. This is why people came with the saying that ‘people are like kings’ monkeys’ to describe how people move from one kingdom to another and how they are forced to follow rules and regulations of that particular kingdom.
This saying can be compared to a person who listens well to his/her leaders in his/her life. This person tends to love his/her leaders. Like the monkey that jumps from one tree to another, this person tends to respect the rules and regulations of a given authoritative unit. Such a person teaches others about respect and obedience in life.
This proverb teaches people to understand and listen to their leaders in their lives. This can help to avoid quarrels in the society instead create peace and harmony among people in a given society.
Genesis 47:21, Ezekiel 12: 3.