stories

541. ULU ULI DIDI IYO ULAIPANDIKE UGWIMALA BHEBHE NG’WINIKILI.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile mafumilo ga ng’wa didi. Udidi jilijisumva ijo jili na nhinda ya gulema gwigwa mihayo ya wiza iyo jigawilagwa na bhichajo. Ijoyi jigacholaga ndebho bho gubhikolosha abhangi umukikajile kajo. Uwikolosha bhunubho bhugajenhelejaga guminyiwa nabho jigabhikoloshaga. Hunagwene abhanhu bhagajiwilaga giki ‘ulu uli didi iyo ulaipandike ugwimala bhebhe ng’winikili.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinchoji o ndebho uumukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhikobyaga abhiye bho gubhitila mihayo ya bhubhi.  Uweyi agikalaga upandika mamihayo ng’hangala nyingi, kunguno ya bhudidi bhokwe ubho bhugabhenhelejaga na bhiye gupandika makoye umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo agabhizaga alemile uguhang’wa na bhiye. Abhanhu abho bhagang’hamaga olema ugubhazunilija bhaganekaga wibhegeje weyi ulu opandikaga makoye, kunguno obhanoja. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘ulu uli didi iyo ulaipandike ugwimala bhebhe ng’winikili.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu guleka bhuchoji bho ndebho, nulu wikomya ukubhichabho, kugiki bhadule gwikala bho gujilanija chiza na bhichabho umuwikaji bhobho.

(Yoshua Bin Sira 27:25-27; Yoshua Bin Sira 32:18-19; Zaburi 7:16-17).

KISWAHILI: UKIWA MTUKUTU YATAKAYOKUPATA UTAYAMALIZA MWENYEWE.

Chanzo cha msemo huu chaangalia matokeo ya asiyesikia. Asiyesikia ni kiumbe chenye kiburi cha kukataa kusikia maneno yaliyo mema yatokayo kwa wenzake. Kiumbe hicho ni kitukutu kwa kuwa hutafuta uchokozi kwa wenzake kinapoishi. Uchokozi huo hukisababishia kuumizwa na wale kinaowachokoza. Ndiyo maana watu hukiambia kwamba, ‘ukiwa mtukutu yatakayokupata utayamaliza wewe mwenyewe.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta uchokozi katika maisha yake. Mtu huyo huwachokoza wenzake kwa kuwatendea maovu. Yeye hupata matatizo mara nyingi, kwa sababu ya kiburi chake ambacho pia huwasababishia wenzake kuingia kwenye matatizo. Mtu huyo huwa hataki kuonywa na wenzake. Watu wanaomuonya na kuwakatalia, humuacha ajitatulie mwenyewe matatizo aliojiletea, kwa sababu ya yeye kuwachosha watu hao. Ndiyo maana wao humwambia kwamba, ‘ukiwa mtukutu yatakayokupata utayamaliza wewe mwenyewe.’

Msemo huu hufundisha watu kuacha kutafuta uchokozi kwa wenzao, ili waweze kuishi kwa kuelewana vizuri na watu wengine maishani.

(Yoshua Bin Sira 27:25-27; Yoshua Bin Sira 32:18-19; Zaburi 7:16-17).

ligusha na nzoka

pingu

 

ENGLISH: IF YOU ARE NAUGHTY, YOU WILL DEAL WITH WHATEVER BEFALLS YOU.

The origin of this saying is a person that is never told. Such a person refuses to listen to good advice from others. The person seeks out aggression from others by provoking them. The aggression, in turn, hurts the him/her and his/her company. That is why people tell him/her, ‘if you are naughty, you will deal with whatever befalls you.’

The saying is used comparatively to refer to a provocative person. The person annoys others by by provoking them and when they harm him they also do so to his/her companions. Such an individual often gets into trouble, because of his/her pride, which also causes his colleagues to get into troubles.

That person doesn’t want to be warned by his/her colleagues. Therefore they leave him alone to deal with whatever problem arising from his/her provocation to others. That is why they tell him/her, ‘if you are naughty, you will deal with whatever befalls you.’

This saying teaches people to refrain from aggression, so that they can live in harmony with other people in their lives.

(Joshua Bin Sira 27: 25-27; Joshua Bin Sira 32: 18-19; Psalm 7: 16-17.

540. LYAMOLOLO.

Imbuki ya kahayile kenaka yingilile kujisumva ijo jili na mololo umumili gojo. Amololo genayo gali malonda gapilile, ayo jagapandika ijisumva jinijo, kunguno ya nguzu jajo, ijo jidahebhagwa na oseose. Ijoyi jidulile gutumama milimo mingi bho nguzu mpaga guyimala. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, ‘lwamololo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nguzu ja gutumama milimo yakwe chiza, mpaga guyimala. Umunhu ng’wunuyo, agigulyambijaga uguyitumama imilimo yiniyo, bho wangu wangu, na guyimala chiza aha kaya yakwe.

Uweyi agikolanijiyagwa ni lyamololo, kunguno nang’hwe ali na nguzu ja gudula gung’wenhela bhupandiki wingi umuwikaji bhokwe. Uwikaji bhokwe bhunubho, bhugabhambilijaga abhiye ugongeja bhukamu bho kutumama milimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘lwamololo.’

Akahahile kenako kalanga bhanhu gongeja nguzu ja guitumama bho bhukama bhutale imilimo yabho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho.

(Kutoka 2:11-15; Waamuzi 15:11-16; 1Wafalme 11: 15-16).

KISWAHILI: LENYE MAKOVU.

Chanzo cha msemo huu chaangalia kiumbe chenye makovu mwilini mwake. Makovu hayo ni madonda yaliyopona ambayo yalitokana na kiumbe hicho kuwa na nguvu za kutoshindwa na chochote. Kiumbe hicho kinaweza kufanya kazi nyingi mpaka kuzimaliza. Ndiyo maana watu hukiita ‘lenye makovu.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye nguvu za kufanya kazi vizuri mpaka kuzimaliza. Mtu huyo hujibidisha kuzitekeleza kazi zake hizo kwa haraka hadi kuzikamilisha. Yeye hufanana na dude lenye makovu, kwa sababu naye ana nguvu za kumwezesha kujiletea mafanikio mengi katika maisha yake. Maisha yake hayo huwasaidia pia wenzake katika kuongeza bidii za kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana watu humwita kwamba yeye ni ‘lenye makovu.’

Msemo huo hufundisha watu kuongeza nguvu za kuyatekeleza kwa bidii kubwa na vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

(Kutoka 2:11-15; Waamuzi 15:11-16; 1Wafalme 11: 15-16).

mozambique-milimo

king-arthur-

 

ENGLISH: HE WHO IS FULL OF SCARS.

The origin of this saying is a creature with scars on his body. These scars are the healing wounds that resulted from the creature having the power to be invincible. The creature can do many tasks to complete it. That is why people call it ‘the one with scars.’

The saying is used comparatively to refer to any person who has the power to do jobs well and complete it on time. The person undertakes to carry out and complete his/her tasks quickly. He/she is like a creature full of scars, because he also has the power to work bring about notable successes in his life. His own life also helps other to work harder  in fulfilling their roles. That is why people call him ‘he who is full of scars.’

The saying teaches people to maximize effort to carry out their hard work and responsibilities, so that they can better support their families.

(Exodus 2: 11-15; Judges 15: 11-16; 1Kings 11: 15-16).

539. KALAGU – KIZE: MUNHU OKAYA NHALE – MHULI.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile bhutale na kikalile ka mhuli. Imhuli ili ndimu nhale ya ng’wipolu, iyo igasiminzaga hulimo na bhichayo. Ijoyi jigikilaga halumo pye n’ijibhyalilwe jayo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu okaya nhale’ bhashosha, ‘Mhuli.’

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo aludebhile chiza uluganda lo hakaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga halumo n’uluganda lokwe lunulo, ulo bhanhu abho bagikalaga  ahakaya yakwe yiniyo.

Uweyi agikolaga n’imhuli yiniyo, iyo igikalaga halumo n’ijibhyalilwe jayo, kunguno nang’hwe agikalaga halumo na luganda lo bhanhu abha hakaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhalanjaga na bhiye inzila ja gwikala bhitogilwe umuluganda lobho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu okaya nhale’ bhashosha, ‘Mhuli.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu gubhiza na witogwa bho gwiyambilija gutumama milimo chiza umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

(Mwanzo 50:22-24; 2Mambo ya Nyakati 1:4-11).

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA: MTU WA FAMILIA KUBWA –  TEMBO.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia ukubwa na umoja wa tembo. Tembo ni myamapori mkubwa ambaye hutembea pamoja na wenzake. Yeye huishi na watoto wa uzao wake.  Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu wa familia kubwa’ na kujibu, ‘Tembo.’

Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anafahamu kuishi vizuri na kundi la watu walioko kwenye familia yake. Mtu huyo huishi kwa upendo wa kusaidiana na watu walioko kwenye familia yake hiyo. Yeye huuendeleza umoja wao vizuri. Mtu huyo hufanana na tembo anayeishi pamoja na kizazi chake, kwa sababu naye huishi vizuri na watu walioko kwenye familia yake maishani mwake. Yeye huwafundisha pia wenzake njia za kuishi kwa upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu wa familia kubwa’ na kujibu, ‘Tembo.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu  kuwa na upendo wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

(Mwanzo 50:22-24; 2Mambo ya Nyakati 1:4-11).

elephant

elephant-

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: A PERSON WITH A BIG HOUSEHOLD – AN ELEPHANT.

The origin of this riddle is the size and unity of elephants. The elephant is a large wild animal that walks with her/her family. He/she lives with his/her children’s children. That’s why people pose a riddle, A person with a big house hold’ and respond’ ‘An elephant.’

The riddle, is used comparatively to refer to any individual who knows how to live well with a group of people in his/her family. The person loves to help other people in his family to well promote their unity.

The person is like an elephant that lives with his/her family, because he also lives well with people in his/her family. He/she also teaches others to love and help one another. That’s why people pose a riddle, ‘A person with a big household’ and respond, ‘An elephant.’

This riddle teaches people to love and help each other in fulfilling their responsibilities, so that they can get the most out of their lives.

(Genesis 50: 22-24; 2 Chronicles 1: 4-11).

538. KALAGU – KIZE: MUNHU ADINA NH’UNGWA NSOGA NA BHIYE – MHELA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile ndimu iyo igitanagwa mhela. Imhela yili ndimu ng’hali noyi iyo itogilwe gwikala ying’wene na nkima oyo duhu. Iyoyi idina bhunwani na ndimu nyichayo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu adina nhungwa nsoga na bhiye’ bhashosha, ‘Mhela.’

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkali noyi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adina bhunwani na bhiye umuwikaji bhokwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho.

Uweyi agabhabalasanyaga abhanhu bhakwe, kunguno ya kahoyele kakwe ako kali kabhukali bhuli ikanza. Abhanhu bhagang’ogohaga noyi, kunguno bhandebhile igiki adabhatogilwe abhiye. Uweyi witogilwe weyi bhung’wene duh, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’winataga giki, ‘munhu adina nhungwa nsoga na bhiye’.

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu kuleka nhungwa ja bhukali ubho bhudina solobho umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho witogwa na bhichabho.

(Yohana 1:11-12; Yohana 15:4-6; Yohana 17:22-25; Waebrania 10:37-38; 1Thimotheo 2:1-5).

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: MTU ASIYE NA TABIA NJEMA KWA WENZAKE – KIFARU.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia myamapori anayeitwa kifaru. Myama huyo ni mkali sana na hupenda kuishi peke yake na mkewe tu. Mwenyewe hana urafiki na myama mwenzake. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu asiye na tabia njema kwa wenzake’ na kujibu, ‘Kifaru.’

Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkali wa hovyo katika maisha yake. Mtu huyo hana urafiki na wenzake anapoishi, kwa sababu ya ukali wake huo. Yeye huwasambaratisha watu wake, kwa sababu ya namna yake hiyo ya kuongea, ambayo hutawaliwa na ukali usio na maana yoyote. Watu humwogopa sana mtu huyo, kwa sababu wanamfahamu kwamba hana upendo kwa wenzake. Yeye hujipenda mwenyewe tu katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mtu asiye na tabia njema kwa wenzake’.

Kitendawili hiki hufundisha watu kuacha tabia za kuwa na ukali usio na maana katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao maishani mwao.

(Yohana 1:11-12; Yohana 15:4-6; Yohana 17:22-25; Waebrania 10:37-38; 1Thimotheo 2:1-5).

black-rhinoceros

southern-white-rhinoceros

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: A PERSON WHO IS UNKIND TO COLLEAGUES – A RHINOCEROS.

The origin of this riddle is wild animal called rhinoceros. The beast is very fierce and likes to live alone with his wife only. He has no friendship with his fellow animals. That is why people pose a riddle, ‘a person who is unkind to colleagues‘ and respond, ‘A rhinoceros.’

This riddle is used compared to refer to a person who is unnecessarily strict and harsh in his/her life. The person has no friends because of their harshness.

Because of his/her unnecessary harshness, his/her people do not always stay at home as they disperse to different places. People are very afraid of that person, because they know that he/she does not love other people as he/she only loves himself/herself. That is why people call him, ‘a person who is unkind to colleagues’.

This riddle teaches people to refrain from unreasonable extremism in their lives, so that they can live in love with their peers.

(John 1: 11-12; John 15: 4-6; John 17: 22-25; Hebrews 10: 37-38; 1Timothy 2: 1-5).

537. KALAGU – KIZE: OZWALA NHANZO ILALI – NZOKA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile nzoka. Inzoka yiniyo, igikalaga numo ili duhu pye amakanza. Iyoyi idagalukaga nulu hado umukikalile kayo. Iki yiikolile pye umili goyo, igikolaga n’umunhu uyo azwalile ng’hanjo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ozwala nhanjo ilali’ bhashosha, ‘Nzoka.’

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhatijiwa winhiwa ng’wenda gope. Umunhu ng’wunuyo, aginhagwa nimo go gugulang’hana ung’wenda gunuyo, mpaga agushishe ng’wigulu guligope chiniko.

Uweyi agikomeja ugwikala chiza na bhanhu, kunguno idakililwe agulang’hane umoyo gokwe gubhize gope shigu jose, mpaga agushime kuli Mulungu guli gutinumo gogejiwa ahabhubhatijiwa bhokwe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agabhaganilaga abhanhu giki, ‘ozwala ng’hanjo ilali’ bhashosha, ‘Nzoka.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhabhatijiwa guhandatila gwikala muli Yesu bho gubhitila yawiza abhichabho umukikalile kabho, kugiki bhadule guishisha kuli Mulungu, imyoyo yabho yili yape chiniko.

(Marko 14:50-52; Luka 11:35-36).

KISWAHILI: KITENDAWILI    –    TEGA: KAVAA KANZU MILELE – NYOKA.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia nyoka. Nyoka huwa kama alivyo wakati wote. Yeye habadilishi vazi hata kidogo maishani mwake. Hivyo, mwili wake wote hufanana na mtu aliyevaa kanzu. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘kavaa kanzu milele’ na kujibu, ‘Nyoka.’

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu aliyebatizwa na kupewa nguo nyeupe. Mtu huyo hupewa jukumu la kuitunza nguo hiyo, mpaga aifikishe kwa Mungu ikiwa nyeupe hivyo.

Mbatizwa huyo huendelea kuongeza bidii ya kuishi vizuri na watu, kwa sababu anatakiwa kuutunza moyo wake ili undelee kuwa safi siku zote, hadi aufikishe kwa Mungu ukiwa kama ulivyosafishwa siku ya ubatizo wake. Ndiyo maana mtu huyo huwategea watu kitendawili kwamba ‘kavaa kanzu kimoja’ nao hujibu, ‘Nyoka.’

Kitendawili hicho hufundisha watu kushikamana na Yesu maishani mwao, kwa kuwatendea mema wenzao ili waweze kuzifikisha roho zao kwa Mungu, zikiwa safi.

(Marko 14:50-52; Luka 11:35-36).

green-tree-python

basilisk-rattlesnake

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: HE ALWAYS WEARS A ROBE – A SNAKE.

The origin of this riddle is snake. A snake is always as it is. It never changes garment (skin) in its life. Thus, its body resembles a person wearing a robe. That is why people answer ‘a snake’ to the riddle ‘He always wears a robe’.

This riddle, is used comparatively to a person baptized and given a white garment. The person is entrusted with the care of the garment, bringing it to God, as white as it were during baptism.

The baptismal candidate continues increasingly puts more efforts to live harmoniously with other people, because he/she must keep his heart clean and holy as it were cleansed during baptism until he/she meets God. That is why he/she puts up a riddle, ‘he always wears a robe’ and people reply, ‘a snake.’

This riddle teaches people about being connected to Jesus in their lives, by doing good to others, so that they can bring their souls to God as clean as they were during baptism.

(Mark 14: 50-52. Luke 11: 35-36).