Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile bhutale na kikalile ka mhuli. Imhuli ili ndimu nhale ya ng’wipolu, iyo igasiminzaga hulimo na bhichayo. Ijoyi jigikilaga halumo pye n’ijibhyalilwe jayo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu okaya nhale’ bhashosha, ‘Mhuli.’
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo aludebhile chiza uluganda lo hakaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga halumo n’uluganda lokwe lunulo, ulo bhanhu abho bagikalaga ahakaya yakwe yiniyo.
Uweyi agikolaga n’imhuli yiniyo, iyo igikalaga halumo n’ijibhyalilwe jayo, kunguno nang’hwe agikalaga halumo na luganda lo bhanhu abha hakaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhalanjaga na bhiye inzila ja gwikala bhitogilwe umuluganda lobho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu okaya nhale’ bhashosha, ‘Mhuli.’
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu gubhiza na witogwa bho gwiyambilija gutumama milimo chiza umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.
(Mwanzo 50:22-24; 2Mambo ya Nyakati 1:4-11).
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: MTU WA FAMILIA KUBWA – TEMBO.
Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia ukubwa na umoja wa tembo. Tembo ni myamapori mkubwa ambaye hutembea pamoja na wenzake. Yeye huishi na watoto wa uzao wake. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu wa familia kubwa’ na kujibu, ‘Tembo.’
Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anafahamu kuishi vizuri na kundi la watu walioko kwenye familia yake. Mtu huyo huishi kwa upendo wa kusaidiana na watu walioko kwenye familia yake hiyo. Yeye huuendeleza umoja wao vizuri. Mtu huyo hufanana na tembo anayeishi pamoja na kizazi chake, kwa sababu naye huishi vizuri na watu walioko kwenye familia yake maishani mwake. Yeye huwafundisha pia wenzake njia za kuishi kwa upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu wa familia kubwa’ na kujibu, ‘Tembo.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu kuwa na upendo wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
(Mwanzo 50:22-24; 2Mambo ya Nyakati 1:4-11).
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: A PERSON WITH A BIG HOUSEHOLD – AN ELEPHANT.
The origin of this riddle is the size and unity of elephants. The elephant is a large wild animal that walks with her/her family. He/she lives with his/her children’s children. That’s why people pose a riddle, A person with a big house hold’ and respond’ ‘An elephant.’
The riddle, is used comparatively to refer to any individual who knows how to live well with a group of people in his/her family. The person loves to help other people in his family to well promote their unity.
The person is like an elephant that lives with his/her family, because he also lives well with people in his/her family. He/she also teaches others to love and help one another. That’s why people pose a riddle, ‘A person with a big household’ and respond, ‘An elephant.’
This riddle teaches people to love and help each other in fulfilling their responsibilities, so that they can get the most out of their lives.
(Genesis 50: 22-24; 2 Chronicles 1: 4-11).