Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile ndimu iyo igitanagwa mhela. Imhela yili ndimu ng’hali noyi iyo itogilwe gwikala ying’wene na nkima oyo duhu. Iyoyi idina bhunwani na ndimu nyichayo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘munhu adina nhungwa nsoga na bhiye’ bhashosha, ‘Mhela.’
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkali noyi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adina bhunwani na bhiye umuwikaji bhokwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho.
Uweyi agabhabalasanyaga abhanhu bhakwe, kunguno ya kahoyele kakwe ako kali kabhukali bhuli ikanza. Abhanhu bhagang’ogohaga noyi, kunguno bhandebhile igiki adabhatogilwe abhiye. Uweyi witogilwe weyi bhung’wene duh, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’winataga giki, ‘munhu adina nhungwa nsoga na bhiye’.
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu kuleka nhungwa ja bhukali ubho bhudina solobho umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho witogwa na bhichabho.
(Yohana 1:11-12; Yohana 15:4-6; Yohana 17:22-25; Waebrania 10:37-38; 1Thimotheo 2:1-5).
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: MTU ASIYE NA TABIA NJEMA KWA WENZAKE – KIFARU.
Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia myamapori anayeitwa kifaru. Myama huyo ni mkali sana na hupenda kuishi peke yake na mkewe tu. Mwenyewe hana urafiki na myama mwenzake. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘mtu asiye na tabia njema kwa wenzake’ na kujibu, ‘Kifaru.’
Kitendawili hiki hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkali wa hovyo katika maisha yake. Mtu huyo hana urafiki na wenzake anapoishi, kwa sababu ya ukali wake huo. Yeye huwasambaratisha watu wake, kwa sababu ya namna yake hiyo ya kuongea, ambayo hutawaliwa na ukali usio na maana yoyote. Watu humwogopa sana mtu huyo, kwa sababu wanamfahamu kwamba hana upendo kwa wenzake. Yeye hujipenda mwenyewe tu katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mtu asiye na tabia njema kwa wenzake’.
Kitendawili hiki hufundisha watu kuacha tabia za kuwa na ukali usio na maana katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao maishani mwao.
(Yohana 1:11-12; Yohana 15:4-6; Yohana 17:22-25; Waebrania 10:37-38; 1Thimotheo 2:1-5).
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: A PERSON WHO IS UNKIND TO COLLEAGUES – A RHINOCEROS.
The origin of this riddle is wild animal called rhinoceros. The beast is very fierce and likes to live alone with his wife only. He has no friendship with his fellow animals. That is why people pose a riddle, ‘a person who is unkind to colleagues‘ and respond, ‘A rhinoceros.’
This riddle is used compared to refer to a person who is unnecessarily strict and harsh in his/her life. The person has no friends because of their harshness.
Because of his/her unnecessary harshness, his/her people do not always stay at home as they disperse to different places. People are very afraid of that person, because they know that he/she does not love other people as he/she only loves himself/herself. That is why people call him, ‘a person who is unkind to colleagues’.
This riddle teaches people to refrain from unreasonable extremism in their lives, so that they can live in love with their peers.
(John 1: 11-12; John 15: 4-6; John 17: 22-25; Hebrews 10: 37-38; 1Timothy 2: 1-5).