sayings

327. UDALYAGE WIMBA UGUTOLELA KULE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo alilya jiliwa ukunhu alimba. Umunhu ng’wunuyo agasamaga na gufunya mate umunomo gokwe. Gashinaga lulu, ulu alilya ukunhu wimba abhiye bhadutogwa ugumona alifunya jiliwa na mate umunomo gokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bhakwe nhungwa ja wiza, kugiki bhab’ize ni kujo ahikanza lya gulya. Abhanhu bhenabho bhadebhile igiki ililange yilyagwiza ligenhaga ikujo ukubhanhu bha munzengo. Nulu bhagahaya gutola abhanhu bhab’o, bhagutolela nulu bhagupandikila bihi, ab’itoji bhab’o.

Aliyo lulu, umunhu uyo adalangile chiza adab’izaga nikujo ubhanhu. Nulu agahaya gutola, umunhu ng’wunuyo agutolela kule uko bhadandeb’ile akajile kakwe. Hunagwene bhagab’alangaga abhanhu bhabho bho gubhawila giki ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukubhanhu umuwikaji bhobho. Yigelelilwe bhabhalange nhungwa ja wiza abhanhu bhabho.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

KISWAHILI: USILE UNAIMBA UTAOLEA MBALI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu alaye chakula huku akiimba. Mtu huyo huachama na kutoa mate mdomoni mwake. Kumbe basi, akila huku akiimba, wenzake hawatapenda kumuona akitoa chakula na mate kutoka kwenye mdomo wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufundisha watu wake kuwa na tabia njema ili wawe na heshima wakati wa kula chakula. Watu hao hufahamu kwamba malezi mema huleta heshima kwa wanakijiji wenzao. Wenye malezi hayo, hata wakitaka kuoa, wataolea karibu na kwao kwa sababu tabia zao hujulikana kwa wenzao, zilivyo njema.

Lakini watu wenye tabia mbaya hufikiriwa kama watu ambao hawakupata malezi mema kutoka kwa walezi wao. Hivyo, hawana heshima kwa watu. Wenye tabia hiyo mbaya wakitaka kuoa wataolea mbali kule ambako hawazifahamu tabia zao kuwa ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu maishani mwao. Yafaa watu hao wawafundishe watu wao tabia njema ya kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

people singing

 

ENGLISH: NEVER SING WHILE EATING, YOU WILL MARRY FAR AWAY

The source of this saying is a person who eats food while singing. Such a person opens his/her mouth and saliva comes out of his/her mouth. So, as as he/she eats that way, his/her companions do not feel good to see food and saliva from his/her mouth. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying is compared to a man who teaches his people good table manners so that they observe them. They know that good upbringing will bring about a moral upright society. People with good manners, if they want to marry, they will be able to get suitors in their neighbourhoods because their good character is known.

But the people who were not brought up properly are never respected by their fellows. When these people want to marry, they have to go far away from their village where their characters are not known. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying teaches people about having good character in their lives. These people should also teach their people good manners in order to enable them to live in harmony with others.

Ephesians 6: 4.

Joel 1: 3.

326. DALYA JISEB’U

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ijo jitali jisebhu. Ijiliwa ulujinjiwa ahaliko jigabhizaga jisebhu noyi. Abhanhu abho b’alijilya jib’abishaga. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhamala ugulya bhagayombaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhatimlyaga ng’holo abhasatu bhabho na bhanhu abho bhalinabhasatu, bho gubhawila giki abhasatu bhenabho bhagupila duhu. B’agab’achalaga gusitali bhagaping’wa na gwinhiwa b’ugota. Gashinaga lulu, akahayile kenako kalikigisije kabhanhu bhenabho ulu umo obho ainansatu, bhagahaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higuya ya kubhalunguja bho gubhachala gusitali abhasatu bhabho, kugiki, bhapile wangu.

Yakobo 5:14-16.

KISWAHILI: TUMEKULA CHA MOTO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula chenye moto. Chakula hicho mhusika akikitoa motoni huwa kina moto sana. Watu wanaokila huwaungaza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwafariji wagonjwa na watu wenye wagonjwa, kwa kuwaambia kwamba, wagonjwa wao watapona tu. Watu hao huwapeleka wagonjwa hospitalini kwenda kupimwa na kupatiwa matibabu sahihi. Kumbe basi, msemo huo ni namna ya kusalimiana ya watu hao, kama mmoja wao, anamgonjwa, husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwafariji vizuri wagonjwa kwa kuwapeleka hospitalini, ili wakaweze kupatiwa matibabu yanayotakiwa kwao na wapone haraka.

Yakobo 5:14-16.

hot food

 

ENGLISH: WE HAVE EATEN WHILE TOO HOT

This saying comes from eating hot food. When the food is released from the fire, it is usually hot. The people who eat such food get burned.That is why people say, “we have eaten while it is hot.”

The saying is compared to people who comfort the sick and the people who are taking care of them, by telling them that their patients will recover from the illness. These people also take patients to hospital for medical examination and treatment. In fact, the saying is a form of greeting to people if one of them is sick. They, therefore, say, “we have eaten while it is hot.”

The saying teaches people how to comfort patients by taking them to hospital so that they can receive treatment and recover quickly.

James 5: 14-16.

323. B’ANENE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jiidilile joyi duhu. Ijisumva jinijo jigikumilijaga joyi bhung’wene, jidahayile akumilijiwe ungi. Hangi jitogilwe jipandike joyi duhu, abhangi bhagayiwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanajisumva bhenabho giki, ‘b’anene.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adahayile abhiye b’apandike. Umunhu ng’winuyo ahayile apandike weyi duhu.  Atogilwe gwihaya giki uweyi amanile yose na adugije pye iyose. Agamanaga wikumilija weyi bhung’wene. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu bhenabho giki, ‘b’anene.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja wiming’holo na wihayi bho sagala, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 6:6-10.

Luka 18:9-12.

KISWAHILI: WAMIMI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujijali chenyewe tu. Kiumbe hicho hujisifu chenyewe, hakitaki asifiwe mwingine. Zaidi ya hayo, kinapenda kipate kitu au mafanikio chenyewe tu, wengine wakose. Ndiyo maana watu huviita viumbe kama hivyo, ‘wamimi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa wenzake wapate kitu au mafanikio. Mtu huyo hutaka apate yeye tu. Yeye hupenda kujitapa kwamba ajua yote na aweza yote. Huwa anajisifu mwenyewe kwa sababu ya ubinafsi wake. Ndiyo kusema kwamba, yeye ni mbinafsi. Ndiyo maana watu huwaita watu kama hao kwamba ni ‘wamimi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ubinafsi na uchoyo wa kujidai hovyo, maishani mwao.

1Timotheo 6:6-10.

Luka 18:9-12.

selfish ones

me

 

ENGLISH: EVERYTHING FOR ME

This saying comes from a person that cares about himself or herself only. Such a person will always boast himself/herself and he/she does not want another person to be praised. The person wants only him/her to achieve everything.That is why people call him/her that, “everything for me.”

The saying is compared to someone who does not want others to achieve in life. He/ she only wants to achive alone. He/she likes to boast that he/she knows everything and he/she can do everything. Such a person is proud of himself for his/her selfishness.That is why people call such people “everything for me.”

The saying teaches people to break free from selfish thinking or selfish habits in their lives.

1Timothy 6: 6-10.

Luke 18: 9-12.

322. OCHA KAB’IMBA KANGI

Imbuki ya kahayile kenako yililole ngi. Ingi ulu yutulwa yugwa hasi bho nduhu ugutinwa, igagwaga kakanza kadololo yapimbuka. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ulu utulwa mpaga ugwa na gufelwa wikanza liguhi upila. Abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gutula bhanhu bho gubhibhonela umuwikaji bhobho. Hangi yigelelilwe gubhachala kustali abho bhaminyikaga kugiki bhadule gupila wangu.

Waefeso 2:1-4.

KISWAHILI: AMEZIRAI KIMTINGO WA  INZI

Chanzo cha msemo huo chaangalia inzi. Inzi akipigwa na kuanguka bila kupasuka huzirai kwa muda kidogo, baadaye huzinduka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’

 Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepigwa akaanguka na kuzirai kwa mda mfupi halafu akazinduka. Ndiyo maana watu husema kwa mtu huyo kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuonea watu kwa namna mbalimbali, zikiwemo zile za kuwapiga. Yafaa pia kuwapeleka hospitalini wale walioumizwa, ili waweze kupona haraka.

Waefeso 2:1-4.

 

girl

vintage2

 

 

ENGLISH: HE/SHE HAS FAINTED IN A FLY’S STYLE

The origin of this saying is the behaviour of flies. When a fly is hit and falls down uncontrollably it lasts for a while then wakes up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”

The saying is compared to a person who has been hit and faint for a short time and then wake up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”

The saying teaches people to stop bullying behaviours such as beating others. It is also necessary to rush a person to hospital if he/she is injured so that he/she can recover quickly.

Ephesians 2: 1-4.

 

313. WAGOBYA NILO (B’ULILO)

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuchoji bho jiliwa. Ijiliwa jinijo jigategagwa, guti ndimu nulo ndilo. Uluojigobya unchoji ojo ng’wunuyo agayegaga, uweyi kihamo na bhiye. Hunagwene abhiye bhagang’wilaga giki, ‘wagobya nilo (b’ulilo).’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo opandikaga milimo ya gung’wenhela jiliwa. Umunhu ng’wunuyo agayegaga noyi ulu oyipandika imilimo yiniyo, kunguno ya b’upandiki bhokwe, bho aho ng’wagulila ijiliwa. Abhazenganwa bhakwe nabho bhagayegaga ugumona ng’wichabho opandikaga aho ng’ wagulila ijiliwa. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘wagobya nilo (b’ulilo).

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola milimo ya gubhenhela jiliwa, na guyega kihamo ulu bhayipandika imilimo yiniyo.

1Wakorintho 9:13-14.

KISWAHILI: UMEKAMATA PA KULIA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye utafutaji wa chakula. Chakula hicho hupatikana kwa njia mbalimbali zikiwemo zile za kutafuta kazi, kuvua samaki, kuwinda wanyama na kuwatega kwa mtego. Akipata chakula hicho mtu huyo hufurahi sana, yeye pamoja na wenzake. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘umekamata pa kulia.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata kazi ya kumletea chakula. Mtu huyo hufurahi sana apatapo kazi hiyo, kwa sababu kazi hiyo humletea chakula. Majirani zake nao pia hufurahi kumuona mwenzao amepata pa kulia. Ndiyo maana watu hao, humwambia hivi, ‘umekamata pa kulia.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta kazi za kuwaletea chakula, na kufurahi kwa pamoja wazipatapo kazi hizo.

1Wakorintho 9:13-14.

buffalo

 

ENGLISH: YOU TRAPPED SOMETHING TO EAT

The source of this saying is a search for food. Such food is available by trapping animals or fishing. When someone finds such food he/she becomes very happy with his/her companions. That is why his/her companions can tell him/her, “you have trapped something to eat.”

The saying is compared to a person who got a new job that will bring him or her food. Such a person becomes very happy when he/she gets such a job. The neighbours of that person also become happy for him/her. That is why those people can say, ‘you have trapped something to eat.’’

The proverb teaches people about finding jobs that can bring them food and make them happy.

1 Corinthians 9: 13-14.