sayings

360. UNG’WENUYU NTALE OB’ASHILIMU

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhushilimu bho ng’wa munhu ntale. Ubhushilimu bhunubho bhugiyolechaga bho gub’ub’isa ubhuhub’i bho ntale. Ulu uhub’a mhayo untale ng’wunuyo adulile nulu gunsayila ungi uyo alindoo.

Abhanhu bhagikalaga bhadeb’ile igiki untale hung’wene uyo ohub’aga, aliyo bhagogohaga ugung’wila iki alintale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ung’wunuyu ntale obashilimu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagitaga mihayo ya bhub’i bhabhasayila bhichab’o abho bhali bhadoo. Abhanhu bhenabho bhagogohaga gujimija ikujo lyab’o, umubhutongeji ubho bhalinabho, umuchalo jab’o. Abhanhu abho bhabhudeb’ile ubhushilimu bhobho, bhagayombaga giki, ‘ung’wenuyu ntale ob’ashilimu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhushilimu bho gub’asayila bhangi, ubhuhub’i bhobho. Yigelelilwe bhab’atongele chiza ab’ichab’o, umuwikaji bhobho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: HUYU NI KIONGOZI WA WAJANJA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ujanja wa mtu mkubwa au kiongozi. Ujanja huo hujionesha kwa kuficha makosa yake kiongozi huyo. Kiongozi huyo akikosea neno humsingizia ng’wingine ambaye ni mdogo.

Watu huwa wanafahamu kwamba kiongozi huyo ndiye mwenye kosa, lakini huwa hawathubutu kumwambia kwamba amekosea, kwa sababu ni kiongozi. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘huyo ni kiongozi wa wajanja.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao hutenda maovu na kuwasingizia wengine waliochini yao.  Watu hao huogopa kupoteza heshima yao kwenye uongozi walio nao kijijini mwao. Watu ambao wauelewa ujanja huo husema kwamba, ‘huyu ni kiongozi wa wajanja.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ujanja wa kuwasingizia wengine uovu wao. Yafaa watu hao wawaongoze wenzao vizuri, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

comedian

 

ENGLISH: THIS IS A LEADER OF THE CUNNING ONES.

The source of the above saying comes from the cunningness of a great man or leader. This tactic manifests itself by hiding the leader’s mistakes. If the leader makes a mistake, he blames another person who is junior to him/her.

People often know that the leader is at fault, but they dare not to tell him/her that he/she is wrong because he/she is a leader. This is why those people say, ‘this is a leader of the cunning ones.’

The saying is compared to people who do bad things and accuse others who are junior to them. Such people are afraid of losing respect in their leadership. People who understand their tricks will say, ‘this is a leader of the cunning ones.’

This saying teaches people to stop shouldering their weaknesses to their subordinates. Such people need to behave well by admitting their mistakes.

Luke 16: 1-8.

359. YENIYI FULO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa na gujileke sagala. Ulu ng’waka gubhela, ijiliwa jigapyaga mpaga ijingi jigakenagukaga, kunguyo ya gulekenijiwa nabho bhajilyaga mpaga b’iguta. Hunagwene ulu bhajibhona ijiliwa jinijo abhanhu abho bhalinabhukalalwa najo, bhagayombaga giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga yawiza abhanhu, guti gubhatengela jiliwa, b’ujilya na gujilekanija sagala. Abho bhajilyaga ijiliwa jinijo mbaga bhiguta, b’agajilekaga bhaja ku mihayo yabho, jandya guliwa na ngoko ijiliwa jinijo. Oho wiza umunhu uyo obhatengelaga usanga jililiwa na ngoko, uyomba giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gujidosa ijiliwa ulu bhiguta. Yigelelilwe bhab’achalile ijiliwa jinijo, abhanhu abho bhalina makoye ga nzala.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

KISWAHILI: HII NI SHIBE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula na kukiacha hovyo. Mwaka ukiwa mzuri, chakula hupatikana kwa wingi mpaka kingine huanza kuharibika hovyo. Hali hiyo kutokea kwa sababu ya kutelekezwa na watu walioshiba baada ya kukila. Ndiyo maana wakikiona chakula hicho watu wakithaminio, husema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwatendea wema watu, kama vile kuwapatia chakula, wakala na kukitelekeza hovyo. Baada ya kukila chakula hicho mpaka wakatosheka walikiacha, wakaenda kwenye shuguli zingine. Chakula hicho kilianza kuliwa na kuku. Alipofika mtu aliyewapatia chakula hicho, na kukuta kikiliwa na kuku, alisema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za malingo ya kudhazau chakula walapo na kushiba. Yafaa watu hao wawapelekee chakula hicho watu walio na matatizo ya njaa.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

watermelon

 

ENGLISH: THAT IS SATISFACTION.

The source of the above saying comes from satisfaction after having enough food. When the season is good, food gets in abundance and sometimes it ends up rotting. This can happen because of having extra food. Therefore the rotting of food is a sign of satisfaction.

The saying can be compared to someone who does good things to people, such as giving them food. After eating the food to their satisfaction, they leave it for chicken to continue enjoying it. Such people are warned by telling them that ‘that is satisfaction.’

The proverb teaches people to stop misuse food. When they are satisfied, they need to keep safely the remaining ones for future use.

Psalm 144: 13-15.

Genesis 41: 17-36.

356. SEBHA ODULEKELA ISABHO JAGUSULUGIJA DUJIKWILILIJE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’ongeja bho sabho bho gujisulugija ijo jilihoyi. Isabho jinijo jigafumaga kuli Sebha, uyo agang’winhaga bhuli ng’wene. Ijoyi jigongejiyagwa bho gujisulugija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agasulujaga ginhu jose jose. Abhasuluja bhenabho bhagitaga bhukengeji bho gudebha uko bhuli ubhusuluja, ubho gudula gubhenhela solobho nhale.

Abhoyi bhadebhile igiki, yigelelilwe bhajongeje isabho ijo bhalekelwa nu Sebha. Isabho jinijo jilikihamo na masala gabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagikomelejaga bho gwiwila giki, ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gugatumamila amasala gabho, ayo bhalekelwa nu Sebha, umuguyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

KISWAHILI: BWANA KATUACHIA MTAJI TUUENDELEZE.

 Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uongezaji wa mali kwa kuzifanyia biashara zile zilizopo. Mali hizo hutoka kwa Bwana ambaye humpa kila mmoja. Zenyewe huongezwa kwa kuzifanyia biashara. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wafanya biashara wa kitu chochote kile. Wafanya biashara hao hufanya utafiti wa kuelewa kule ambapo biashara yao yaweza kuwaletea faida kubwa. Wao waelewa kwamba, yafaa waziongeza mali walioachiwa na Bwana.

Mali hizo ni pamoja na akili zao. Ndiyo maana watu hao huhimizana kwa kusema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuzifanyia kazi akili zao waliochiwa na Bwana, katika kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

banana1

 

ENGLISH: THE LORD LEFT CAPITAL FOR US TO INCREASE IT.

 The source of the above saying comes from the addition of wealth to the existing one. The wealth comes from the Lord who gives to each one of us. Such a given wealth needs to be expanded by doing business on it. This is why people say, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying is compared to business people or entrepreneurs. These people need to know where and when their business can make profit. They know that they have to add to what the Lord has given them in terms of wealth; be it intelligence or any other life skill.

Those assets are in their minds. This is why such people encourage one another by saying, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying teaches people to be diligent in making sure that the wisdom of the Lord is accomplished through their positive response to the given skills. In so doing, they can have success in life.

Matthew 25: 15-18.

John 11:52.

355. MILIMO IGAMALAGWA NA B’ASANGAB’AZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutumami bho milimo na bhumaji bhoyo. Abhanhu abhalendelezu, bhagatumamaga milimo yao hadohado. Abhanhu bhenabho bhagadilaga uguimala imilimo yabho yiniyo.

Aliyo lulu, abhanhu abhasangabhazu bhagaitumamaga imilimo yabho bho wangu wangu, na guyimala bho makanza maguhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalib’agokolo ugutumama umilimo. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga nyalendelezu, kunguno bhadina bhukalalwa bho guitumama imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagab’akomelejaga bho gubhawila giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo, kugiki bhadule guyimala wangu imilimo yabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhabhize na bhukamu bho guitumama na kuimala chiza imilimo yiniyo, kugiki idule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yoh 21:4-7

KISWAHILI: KAZI HUMALIZWA NA WACHANGAMFU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ufanyaji wa kazi na umalizaji wake. Watu waliozubaa hufanya kazi zao pole pole. Watu hao huchelewa kuzimaliza kazi zao hizo.

Lakini watu wale ambao ni wachangamfu, hufanya kazi zao kwa haraka kiasi cha kutosha kuzimaliza kazi hizo mapema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wavivu na wazembe wa kufanya kazi. Watu hao hufanya kazi zao kizubavu kwa sababu wao huwa hawana hamu ya kufanya kazi. Ndiyo maana watu huwahimiza watu hao kwa kusema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uvivu na uzembe wa kufanya kazi, ili waweze kuzimaliza kazi zao mapema kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi. Yafaa watu hao wawe na bidii ya kufanya kazi zao hizo kwa haraka kiasi cha kutosha kuwaletea maendeleo, maishani mwao.

Yohane 21:4-7.

angle-grinder

 

ENGLISH: THE ACTIVE ONES WILL ALWAYS FINISH THEIR WORKS

The source of the above saying is the presence of active individuals who are liable to finish their works, if compared to the lazy ones. Lazy people will always do their works in a very slow manner but those who are fast can finish it within or before the given time.

The saying is compared to people who are slow in doing things. These people do their jobs lazily and they cannot finish it on time. This is why such people are being warned by telling them that ‘the active ones will always finish their works.’

The saying teaches people about avoiding laziness behavior in order for them to finish their given works as early as possible. These people must be diligent enough to finish their works on time in order to bring about development in their lives and the society in general.

John 21: 4-7.

351. UGWIPIGAGA NA GITI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuwituji bho giti na miso. Igiti jigab’izaga jilihoyi ulu lyulib’ila ilimi. Igiti jinijo, jigagalemejaga amiso ugubhona ikule, kunguno amiso gagabhonaga chiza ung’wisana. Amiso genayo gagab’izaga guti galikenya na giti, kunguno gagubyulaga aliyo gaduma ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga ung’winikili miso genayo giki, ‘ugwipigaga na giti.’

 Akahayile kenako kalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama nimo uyo guti na solobho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, aganogaga sagala, kunguno unimo gunuyo gudabhizagaga na matwajo matale, ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugwipigaga na giti.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo iyo idulile gwenha solobho, ukuwikaji bhobho.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

KISWAHILI: UNASHINDANA NA GIZA

Chanzo cha msemo huo chaangalia upiganaji wa giza na macho. Giza hutokea wakati jua limechowea. Giza hilo huyazuia macho kuona mbali kwa sababu, yenyewe huona vizuri wakati wa mwanga. Macho hayo huwa kama yanapigana na giza kwa sababu hutazama lakini hushindwa kuona vizuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufanya kazi isiyo na manufaa maishani mwake. Mtu huyo huchoka bure kwa sababu ya yeye kufanya kazi isiyo na mapato makubwa kwenye familiya yake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwapatia mafanikio makubwa maishani mwao.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

lantern lamp night

hands night

 

ENGLISH: YOU ARE FIGHTING AGAINST DARKNESS. 

The source of the above saying is the fight between eyes and darkness. Darkness comes when the sun goes down. It prevents eyes from seeing afar. Eyes tend to fight with darkness because they fail to see clearly during dark times. This is why people can say, ‘you are fighting against darkness.’

The above saying can be compared to someone who does worthless jobs in life. Such a person gets bored for no reason because of doing low-paying jobs. This is why people can tell such a person that ‘you are fighting against darkness.’

The saying teaches people about doing work that can bring them great success in life.

Ecclesiastes 1: 2-3

1 Corinthians 9: 26-27

Psalm 104: 19-23.