sayings

453. KWILUNGU BHADAJAGA LWA KABHILI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuzugi bho walwa ubho bhudapile. Ulu walwa bhuzuga, aliyo bhukija ugupya chiza, ilihumbi lyabho lidashokejiyagwa. Gashinaga lulu, ibhelelile bhuzugwe bhungi uwalwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo, nulu milimo yakwe, bho nduhu ugwita bhukengeji bho gudula gung’wambilija uguimala chiza.

Uweyi agitimbukilagwa wandyaga nimo, nulu mhayo, bho nduhu ugugamana amakoye ayo gadulile gwilonga, umunimo, nulu mhayo gunuyo. Hunagwene abhanhu, ulu gigela makoye umunimo gokwe, bhagayomgaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho milimo yabho chiza, haho bhatali ugwitumama, kugiki bhadule ugugiliga amakoye ayo gakomile gwigela, umubhutumami bho milimo yabho.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

KISWAHILI: MPIKO WA POMBE YA KIENYEJI HAURUDIWI MARA YA PILI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upikaji wa pombe ambayo haijaiva. Pombe ikipikwa ikakosewa kupikwa ikawa haijaiva vizuri, hairudiwi kupikwa tena. Kumbe basi, yafaa ipikwe pombe nyingine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye hufanya kazi zake bila kufanya utafiti wa kumwezesha kuzimaliza vizuri.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kukurupuka, bila kuangalia kwanza matatizo ambayo, yaweza kutokea kwenye kazi hiyo, ili kuzifahamu njia za kuyatatulia.

Ndiyo maana akitapata matatizo kwenye kazi anayoifahanya mtu huyo, watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kazi wanazotaka kuzifanya, kabla ya kuzianza, ili waweze kuyakwepa matatizo ambayo yanaweza kutokea kwenye kazi hizo.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

IMG_20190709_111321_5

ENGLISH: THE COOKING OF THE TRADITIONAL BREW IS NOT REPEATED.

The source of the saying comes from half-cooked local brew. If a cook hasn’t cooked properly her local brew, there is no possibility of orrecting the mistake. The solution is to cook another brew. This is why people say ‘the cooking of the traditional beer is not repeated’.

The saying can be compared to a person who performs his/her tasks without doing research that can enable him/her to finish it properly. Such people perform their tasks without first looking at problems that may arise and find ways to resolve them.

The saying teaches people about researching before engaging in actual performance of tasks one wants to do. This can help them to avoid problems in future.

Heb 9:12.

Mark 14:25.

452. ICHEMBILE INGELE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kungele iyo yatinwa yugeha. Ingele jilijipimilo ja wiguliji bho jiliwa guti: bhusiga, mandege,  ng’haranga na jingi ningi.

Ingele yiniyo, ulu yutinwa igadohaga yilema ugutumilwa hangi, kunguno ulu yupimilwa, idulile gubhagopa abhiguliji. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa giko bho mbisila, kunguno, ulu umana igiki aliwilwa adina go amasala, adulile gukolwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo, lya guichagula mihayo iyo iliyawiza, ulu bhalihoya na bhichabho, kugiki bhadule ugwikala chiza nabho.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

KISWAHILI: KIPIMO KIMEKATWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kipimo kilichokatwa kikapungua ukubwa wake. Kipimo ni kitu kinachotumika wakati wa kuuziana mazao ya chakula kama vile: mtama, mahindi, karanga na vingine vingi.

Kipimo hicho kikikatwa hupungua ukubwa wake. Hali hiyo hukifanya kisifae tena kutumika katika kupimiana mauziano, vinginevyo watapunjana wale wanaouziana kitu hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Mtu huyo huambiwa hivyo, kwa mafumbo na wenzake, kwa sababu akigundua kuwa, watu wanamwambia kuwa, hana akili, atakasirika. Ndiyo maana watu kusema kwamba, mtu huyo ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuchagua maneno yaliyo mazuri, wakati wanaongea na wenzao, ili waweze kuishi vizuri nao.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

horizontal-scale1

african ichembile

ENGLISH: THE SCALE HAS BEEN CUT.

The source of the saying comes from a cut-off dimension. The scale is something used when selling food products such as: sorghum, maize, nuts and many others.

When the scale is cut, it decreases its size. This makes it no longer useful for measuring the items to be sold. That’s why people can say, ‘the scale has been cut’ to mean reduction of its actual size.

The saying can be compared to a person who has no sense. Such a person is told in parables in order to make him/her not understand that his/her ability to think is relatively low. The saying teaches people about the wisdom of choosing the right words when talking to their peers. This can help them to have peace all the time.

Jeremiah 4:26.

Ecclesiastes 10:3.

451. CHEMBELAGA AHA IKAYA YANE NHALE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhaligabhanha nyama. Aliyo lulu, umubhugabhani bho nyama yiniyo, uumo obho aligongeja guchembelwa nyama nhale, gitumo atogelilwe uweyi. Hunagwene agayombaga giki, ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga ginhu bho lugoto, nulu bho gung’ang’anila. Uweyi ahayile nulu gwisolela nu wei ng’winikili, kunguno ya wigongeja bhokwe, ubho guhaya apandike iginhu ginijo, gitumo atogelilwe weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki. ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gulomba ginhu bho gung’ang’anila, kugiki bhadule gwinhiwa ijo bhalijilomba. Igeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhizuke na bhichabho, ulu bhalilomba ginhu jilebhe.

Zaburi 78:15.

Yakobo 1:15.

2Petro 3:3.

Yuda 1:18-21.

KATIA HAPA MJI WANGU NI MKUBWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu wanaogawana nyama kwa kukatiana. Lakini basi, katika kugawiana kwa nyama hiyo, mmoja wao hutaka kukatiwa kipande kikubwa kama atakavyo yeye. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba kitu kwa kung’ang’ania. Yeye hutaka hata kujichukulia mwenyewe, badala ya kusubiri kupewa na mhusika, kwa sababu ya ung’ang’nizi wake.

Yeye hutaka kupewa kipande kikubwa cha nyama hiyo, kama atakavyo yeye, bila kuwajali wenzake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuomba kitu kwa kung’ang’ania bila kuwajali watu wengine, ili waweze kupewa kile wanachokiomba. Yafaa pia watu hao, wawajali wenzao, wanapoomba kitu fulani.

Zaburi 78:15.

 Yakobo 1:15.

 2Petro 3:3.

 Yuda 1:18-21.

cut-meat

ham

ENGLISH: CUT IT HERE, MY FAMILY IS BIG.

The source of the saying comes from people who share meat. In the distribution of the meat, one of them wants to cut as big piece of it because of having a big family to feed. That is why he/she says, ‘cut it here, my family is big.’

The saying can be compared to aperson who asks for something persistently. He/she even wants to take it upon himself/herself rather than waiting to be given by the distributor in a fairly manner. Such a person can be labelled as selfish; he/she doesn’t consider his/her fellow in the distribution of available resources.

The saying teaches people to stop the tendency of being selfish rather care for others as well. In so doing people will be able to respect each other thus creating a very peaceful society.

Psalm 78:15.

James 1:15.

2 Peter 3: 3.

Jude 1: 18-21.

448. GUJA KUMASOSO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho gujunjika munhu, uyo ozumalikaga. Uguja ukumasoso, munho juga kujunjika munhu ng’wunuyo, uyo uchaga.

Ulu ucha munhu, abhanhu bhagibhilingaga guja kujunjika umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhukaga ‘guja kumasoso.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina miito gisungu lya guchajika abhachi. Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga na abhiye, ugujubhajika abhachi bhabho bhenabho. Hunagwene bhagabhukaga, ‘guja kumasoso,’ ulu gigelaga.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhajika abhachi bhabho, na gubhalunguja abho bhachililwe, umuwikaji bhobho.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

KISWAHILI: KWENDA KILIONI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa  kwenda kumzika mtu aliyefariki. Kwenda kwenye kilio, maana yake ni kwenda kumzika yule aliyefariki.

Akifa mtu, watu hualikana kwenda kumzika. Ndiyo maana watu huamua ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana matendo ya huruma kwa wafu. Mtu huyo, kuwahimiza pia wenzake kwenda kuwasika wafu wao.  Ndiyo maana huwaalika wenzake ili waweze huanza safari ya ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma kwa wafu wao, ili waweze kuwazika vizuri, na kuwafariji wale waliofiwa na wapendwa wao.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

people-burial

ENGLISH: GOING TO THE MOURNING.

The source of the saying comes from the process of burying a dead person. Mourning means celebrating the death of a person. When someone dies, people are invited to go and bury him/her. That’s why people can say, ‘going to the mourning.’

The saying can be compared to a person who has acts of compassion for the dead people to the extent of inviting others to attend burial ceremonies in order to honour the dead individuals.

The saying teaches people about being compassionate to their dead persons. They should bury them in a very respectable manner.

John 11: 18-19.

2 Corinthians 1: 4.

443. MBITI YAMANA GALILE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukikalile ka mbiti. Imbiti yiniyo ingalyaga ijiliwa jayo bho nyasalasala, kunguno imanile igiki ulu yubhonwa igupejiwa.

Ulu yuhaya gudima ntugo halebhe, igajaga bho gukungila, kugiki adizibhona ung’winikili o ntugo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbiti yamana kalile.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agajaga ulilila jiliwa, mumakaya ga bhanhu, nyasalasala. Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na mbiti, kunguno nayo idajaga bho lolele, mpaga ikunge kunge nayije. Yiyoyi igagaja bho gukungila, kugiki idule ugugudima untugo gunuyo.

 Uniliji nang’hwe agajaga bho gulola meng’ho, kugiki abhanhu bhadizumbadija. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga umunhu ng’wunuyo giki, ali ‘mbiti yamana kalile.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja guja bhulilila jiliwa, mukaya ja bhichabho, kugiki bhatumame milimo, iyo idulile gubhapandikila jiliwa jagubhatosha gulya, mukaya jabho.

Mathayo 1:18.

 2 Wathesalonike 3:6-10.

KISWAHILI: FISI ALIYEFAHAMU NAMNA YA KULA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye namna alavyo fisi. Fisi hula chakula chake kwa akili ya ujanja ujanja, kwa sababu aelewa kwamba, akionwa atafukuzwa.

Akitaka kushika mfugo sehemu fulani, huenda kwa kunyemelea, ili asionwe na mwenye mfugo huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, yeye ni ‘fisi aliyefahamu namna ya kula.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliye na tabia ya kwenda kula chakula, kwenye familia za watu, kwa kutumia akili za ujanja ujanja.

Mtu huyo, hulinganishwa na fisi, kwa sababu naye haendi kwa wazi, mpaka aangalie kwanza ndipo aende. Yeye huenda kwa kunyemelea, ili aweze kuukamata mfugo huo.

Mlaji wa kwenye familia za watu naye, huenda kwa kuangalia alama za nyakati, ili watu wasimgundue. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kwamba, yeye ni ‘fisi aliyefahamu namna ya kula.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kunyemelea kwenda kula chakula, kwenye familia za watu, ili waweze kufanya kazi zile ziwezazo kuwapatia chakula cha kutosha, kuwalisha kwenye familia zao.

Mathayo 1:18.

 2 Wathesalonike 3:6-10.

hyena

nature hyena

ENGLISH: THE HYENA HAS KNOWN THE MANNER OF EATING.

The source of the saying comes from the manner of eating of a hyena. Hyenas eat food with a cunning mind, because they know that when seen by human beings they can be chased and sometimes killed. So, if a hyena wants to eat a certain domestic animal, it has to sneak in a manner that it cannot be seen.

The saying can be compared to a person who has a tendency to go out to eat, in people’s families, using clever tactics. This person might be going secretly to eat in other peoples’ families. He/she knows the time when food is served and therefore sneakingly goes to join them in eating. Such people are being described using the saying that ‘the hyena has known the manner of eating.’

The saying teaches people to stop the habit of eating from other peoples’ families rather work hard and be self-sufficient in order to feed oneself and his/her family as a whole.

Matthew 1:18.

 2 Thessalonians 3: 6-10.