Kashinje Zacharia

354. NKULU WABUPA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kubhutale na bhubupu bho ng’wa munhu. Ubhutale bhunuyo bhudulile golecha wikaji bho miaka mingi umusi, nulu bhupandiki bho nimo ntale umuchalo.

Ubhutale ubho miaki mingi, bhudashilaga. Aliyo lulu, ubhutale ubho gupandika nimo ntale bhugashilaga, ulu nimo gunuyo gwinjiwa. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olina nimo ntale bho makanza malebhe, uyo aginjiwa umunimo gunuyo. Aho olina nimo umunhu ng’wunuyo, abhanhu bhalibhankujije, aliyo aho winjiwa aha nimo gunuyo, abhingi bhagandalahaga, kunguno hamo olindoshi aho olimunimo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi kubhanhu, ulu bhupandika milimo mitale. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhatumame milimo yabho bho gwikala ni kujo kubhanhu bhose.

Luka 15:13 -16

Daniel 4:30-33

KISWAHILI: MHESHIMIWA ALIYEKOKA HADHI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia ukubwa na wepesi wa mtu. Ukubwa huo waweza kuwa wa miaki mingi ya kuishi duniani, au wa kupata kazi kubwa mahali fulani.

Ukubwa wa miaka mingi haupiti. Lakini basi, ule ukubwa wa kupata kazi kubwa au wa kupata madaraka, huisha mara yaishapo madaraka hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepata madaraka kwa kupewa kazi kubwa katika maeneo yake, baadaye madaraka hayo yaliondolewa kwake.  Alipokuwa na madaraka hayo mtu huyo, watu alimheshimu sana, lakini alipokosa kazi, watu wengi walimdharau, pengine ni kwa sababu ya maringo na dharau zake kwa watu alizokuwa nazo wakati alipokuwa kwenye madaraka hayo makubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kudharau watu, na kuwa na majivuno, wakati wakiwa madarakani, maishani mwao. Yafaa watu hao wafanye kazi zao kwa kuishi kwa heshima na watu wote.

Luka 15:13 -16.

Daniel 4:30-33.

executive

 

successful

 

ENGLISH: THE UNRESPECTED HONOURABLE

The source of the above saying is a boss who has lost his/her status. This respect being talked about in this saying can come because of someone’s age or nature of job one is doing. The respect that comes from age can be more permanent than the one that comes from the nature of job. Therefore, there is a possibility of someone holding a top position in leadership to be demoted. In such a context, the demoted person can be labeled as unrespected honourable.

The saying can be compared to a person who has been given a great deal of responsibility in his/her area. When the power diminishes, he/she comes to be an ordinary person. This is why people call him, ‘the unrespected honourable.’

The saying teaches people to stop promoting stereotype in life by being arrogant when in power. Rather, they should do their jobs by respecting others as well.

Luke 15:13 -16.

Daniel 4: 30-33.

353. UGUGAPANDIKA AMAKOYE AGADINA NKULUYE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhupandiki bho makoye ayo gakilile pye ayo gab’ita. Amakoye genayo gaginjiyagwa na sab’o ijo alinajo uyo galampandike. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo, alijigusija isabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agwigusijaga sabho jakwe. Umunhu ng’wunuyo agib’aga igiki, adulile gupandika makoye matale na ugaiwa isabho ijagwigunanila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka kujigusije sagala isabho ijo bhalinajo, kunguno jidulile gubhambilija, ulubhalapandike makoye, umuwikajo bhobho.

Mathayo 25:41.

KISWAHILI: UTAYAPATA MATATIZO MAKUBWA ZAIDI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upataji wa matatizo, ambayo ni makubwa zaidi kupita yote yaliyopita. Matatizo hayo huondolewa kwa kutumia mali alizonazo yule atakayeyapata.

Lakini basi, mtu huyo huzichezea mali zake hizo zitakiwazo kutumika katika kumuondolea matatizo hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzichezea mali zake alizonazo. Mtu huyo husahau kwamba, aweza kupata matatizo makubwa zaidi maishani mwake, na kukosa mali za kumsaidia katika kuyatatua. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuzichezea mali walizonazo, kwa sababu mali hizo zitawasaidia wakati watakapopata matatizo, maishani mwao.

Mathayo 25:41.

man thinking

ENGLISH: YOU WILL ENTER INTO BIGGER PROBLEMS.

The source of the above saying comes from someone who has encountered some problems in life. These problems need to be resolved using some available resources in the family. In so doing, one finds himself/herself losing more resources in an attempt to solve the problem thus causing him/her to enter into bigger problems than the former ones. This is why people can warn such a person by saying, ‘you will enter into bigger problems.’

This saying can be compared to a person who plays with his/her possessions. Such a person forgets that he/she may experience more problems in future by spending the available resources in solving just one problem.

The proverb teaches people to stop playing with possessions they have because they will help them in future.

Matthew 25:41.

352. NUGU-TENGELWA B’O NYAMA NANG’HO WANDYA KUKOB’A JAMAGUHA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhutengelwa bho nyama hakaya ya ng’wa munhu nhebhe. Imyama jinijo jalijawiza pye ijose. Aliyo lulu untengelwa o nyama ng’wunuyo, agandya guyujichola nsoga guti giki, inyama ijingi jidijawiza. Hunagwene agawilagwa giki ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindoshi, ogutogwa gujisondagula ijiliwa ijo wenhelagwa. Umunhu ng’wunuyo agandyaga guyuchola inyama iniza niza ijingi ojibhonaga giki, jidijawiza umukiganikile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi umukikalile kabho, kugiki bhadule gub’iza na bhulumbi ukubhanhu abho wagabhab’egejaga jiliwa.

Matayo 20:20-24.

KISWAHILI: NA KUTENGEWA NYAMA NAWE UKAANZA KUCHAMBUA ZA MIFUPA

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kutengewa nyama kwenye familia ya mtu fulani. Nyama hizo zilikuwa nzuri zote. Lakini yule aliyetengewa ili azile, alianza kuzitafuta zile zilizonzuri, na kuziona zingine kama hazifai. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo, kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mwenye majivuno ya kuvidharau vile anavyopewa na wenzake. Mtu huyo baada ya kutengewa chakula huanza kuzitafuta zile zilizonzuri na kuziona zingile kama hazifari. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za majivuno ya kuwadharau wengine na kukidharau chakula kile wapewacho maisha mwao.

Matayo 20:20-24.

african-meat

meat

 

ENGLISH: TO BE GIVEN MEAT AND BEGINNING TO LOOK FOR BONES.

The source of the above proverb is a story about someone being given meat. The story narrates about someone who was given meat and instead, began looking for bones as a way to disapprove the given food. People of this caliber are being criticized through this saying.

This proverb can be compared to a person who is arrogant and is not ready to appreciate what is being given by others. When given food to eat, he/she begins looking for its weaknesses and finally disapproves it. Such people are challenged by telling them that ‘to be given meat and beginning to look for bones’ in order to make them calm and appreciate what comes before them.

The proverb teaches people to stop being arrogant by despising others who appear to be helpful in their lives. Rather, they have to have a tendency of appreciation whenever they are being given something.

Matthew 20: 20-24.

351. UGWIPIGAGA NA GITI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuwituji bho giti na miso. Igiti jigab’izaga jilihoyi ulu lyulib’ila ilimi. Igiti jinijo, jigagalemejaga amiso ugubhona ikule, kunguno amiso gagabhonaga chiza ung’wisana. Amiso genayo gagab’izaga guti galikenya na giti, kunguno gagubyulaga aliyo gaduma ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga ung’winikili miso genayo giki, ‘ugwipigaga na giti.’

 Akahayile kenako kalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama nimo uyo guti na solobho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, aganogaga sagala, kunguno unimo gunuyo gudabhizagaga na matwajo matale, ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugwipigaga na giti.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo iyo idulile gwenha solobho, ukuwikaji bhobho.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

KISWAHILI: UNASHINDANA NA GIZA

Chanzo cha msemo huo chaangalia upiganaji wa giza na macho. Giza hutokea wakati jua limechowea. Giza hilo huyazuia macho kuona mbali kwa sababu, yenyewe huona vizuri wakati wa mwanga. Macho hayo huwa kama yanapigana na giza kwa sababu hutazama lakini hushindwa kuona vizuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufanya kazi isiyo na manufaa maishani mwake. Mtu huyo huchoka bure kwa sababu ya yeye kufanya kazi isiyo na mapato makubwa kwenye familiya yake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwapatia mafanikio makubwa maishani mwao.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

lantern lamp night

hands night

 

ENGLISH: YOU ARE FIGHTING AGAINST DARKNESS. 

The source of the above saying is the fight between eyes and darkness. Darkness comes when the sun goes down. It prevents eyes from seeing afar. Eyes tend to fight with darkness because they fail to see clearly during dark times. This is why people can say, ‘you are fighting against darkness.’

The above saying can be compared to someone who does worthless jobs in life. Such a person gets bored for no reason because of doing low-paying jobs. This is why people can tell such a person that ‘you are fighting against darkness.’

The saying teaches people about doing work that can bring them great success in life.

Ecclesiastes 1: 2-3

1 Corinthians 9: 26-27

Psalm 104: 19-23.

350. IGEMBE SAB’O.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo agatumilaga igembe umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo oliadebhile igiki iligembe lidulile gunpandikila sabho, ulu wandya kulilimila bho bhukamu bhutale. Umunhu ng’wunuyo, agalipandika iligembe linilo na gwandya ugulilimila bho bhukamu bhunubho, mpaga ubisha ijo olimaga na ugula sabho ningi. Aho unimi ng’wunuyo ojipandika isabho jinijo, uweyi kihamo na bhanhu abho bhamhonaga umootumamilaga, wagayomba giki, ‘igembe sab’o.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumamilaga bho bhukamu bhutale ijikolo ijo jiganpandikilaga sabho. Umunhu ng’wunuyo agabhalangaga na bhiye ahigulya ya gujitumila bho bhukamu bhunub’o ijitumamilo jabho ijo jidulile gubhenhela sabho. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agabhawilaga abhiye giki, ‘igembe sabho.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kujitumila bho bhukamu bhutale ijitumamilo jabho ijo jidulile gubhambilija ugupandika isabho, ja gutumamila umuwikaji bhobho.

Yohane 6: 26-29.

KISWAHILI: JEMBE NI MALI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu ambaye hutumia jembe katika kufanya kazi zake. Mtu huyo alielewa kwamba, jembe ni kifaa cha kufanyia kazi kiwezacho kumpatia mali, akianza kukitumia kwa bidii kubwa. Mtu huyo, alilipata jembe hilo na akaanza kulilimia kwa bidii kubwa hadi akapata mali nyinyi maishani mwake. Mkulima huyo, alipoona kwamba amepata mali hizo, yeye pamoja na wale waliomuona alipokuwa akilima walisema kwamba, ‘jembe ni mali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukitumia kwa bidii kubwa kifaa chake ambacho humpatia mali. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake juu ya kuvitumia kwa bidii hiyo vifaa vyao vile viwezavyo kuwaletea mali maishani mwao. Ndiyo maana, mtu huyo huwaambia watu kwamba, ‘jembe ni mali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuvitumia kwa bidii kubwa vifaa vyao vile viwezavyo kuwasaidia katika kupata mali za kutumia maishani mwao.

Yohane 6: 26-29.

plough

         farm-lady

 

ENGLISH: A HOE IS WEALTH.

The source of the above saying comes from a person who uses hoe in his/her farming activities. Such a person understands that a hoe is a useful tool that can give him/her wealth, provided that he/she uses it with great efforts.

People uses hoe in order to get farm products and people around will cheer him/her up because of the way he/she can harvest in his/her farm. This is why people can say ‘the hoe is wealth.’

The saying can be compared to a person who effectively uses some devices that can enable him/her to have good harvest. Such a person also teaches his/her colleagues how to use their resources in a manner that can enable them to bring wealth to their lives. This is why people say ‘the hoe is wealth.’

The saying teaches people how to make use of their resources, which can help them to have good harvest that leads to better life.

John 6: 26-29.