Kashinje Zacharia

605. KALAGU – KIZE. NAGUJI NKUMUKU AGUSIMIZAGA NA NUMBA YAKWE HANGONGO: – GULUMADI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilinola gulumadi. IGulumadi yiniyo, jilijisumva ijo jili nigula lidimu gete aha ngongo gojo, ilo ligajilang’hanaga. Giko lulu nulu ilitula mbula iyoyi igagushogejaga untwe goyo ng’wigula lyayo linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘naguji nkumuku agusimizaga na numba yakwe hangongo:- Gulumadi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli Yesu Kristo uyo ali naguji Nkumuku. UYesu ali na bhudula bho gubhapija abho bhanzunije umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagapijiyagwa nanghwe umumakoye ganeyo, kunguno uweyi alina bhudula bho gubhingija ishibhi jabho, abhanhu bhenabho.

Abhanhu bhenabho, bhagasimzaga bhang’wisanije weyi umukikalile kabho, kunguno bhagalunganaga naghwe, umukikalile kabho kose, gubhitila bhatizimu. Hunagwene bhagabhaganilaga abhanhu giki, ‘naguji nkumuku agusimzaga na numba yakwe hangongo:- Gulumadi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gunzunya Yesu Kristo, bho gubhatijizwa na gwikala mumalagilo gakwe, kugiki bhadule gupijiwa nawe, na gushiga ng’wigulu.

Luka 8:43-44.

Luka 7:11-17.

Mathayo 9:18-26.

Yohana 4:43-54.

Marko 5:21-43.

Yohana 15:1-17.

Mathayo 11:28-30.

Mathayo 16:18-20.

KISWAHILI – TEGA.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MGANGA MAARUFU ANATEMBEA NA NYUMBA YAKE MGONGONI:– KOBE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia kiumbe anayeitwa Kobe. Kobe huyo, ni kiumbe mwenye gamba gumu kabisa mgongoni mwake, ambalo humkinga na hatari mbalimbali. Hivyo basi, yeye ikinyesha mvua hukirudisha kichwa chake kwenye gamba hilo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mganga maarufu anatembea na nyumba yake mgongoni:- Kobe.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa Yesu Kristo ambaye ni Mganga Maarufu. Yesu anao uwezo wa kuwaponya watu wanaomwamini katika maisha yao. Watu hao, huponyeshwa kwenye matatizo  na Yesu kwa sababu Yeye anauwezo wa kuwaondolea watu dhambi zao.

Watu hao, hutembea wakiwa wanamtumaini yeye katika maisha yao, kwa sababu ya wao kuungana naye Katika maisha yao kwa njia ya ubatizo. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, ‘mganga maarufu anatembea na nyumba yake mgongoni:- Kobe.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kumwamini Yesu Kristo, kwa kubatizwa na kuyaishi maagizo yake, maishani mwao, ili yeye awaokea kwenye maisha ya kupotea na kuwapatia maisha ya uzima wa milele mbinguni.

Luka 8:43-44.

Luka 7:11-17.

Mathayo 9:18-26.

Yohana 4:43-54.

Marko 5:21-43.

Yohana 15:1-17.

Mathayo 11:28-30.

Mathayo 16:18-20.

gulumadi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE FAMOUS TRADITIONAL HEALER WALKS WITH HIS HOUSE ON HIS BACK – TORTOISE.

The source of this riddle is the creature by the name of tortoise. The tortoise has a hard shell on its back that protects it from various dangers. So when it senses some danger it retracts its head and hides it. That is why people say ‘the famous traditional healer walks with his house on his back – tortoise’ to communicate the behaviour of tortoise.

This riddle can be compared to Jesus Christ, the Great Physician. Jesus has the power to heal those who believe in Him. Jesus has the power to take away their sins. Having trust in Jesus makes people have relief in their lives because they are served by Him through baptism.

This riddle teaches people about believing in Jesus Christ by being baptized and living God’s commandments.

Luke 8: 43-44, Luke 7: 11-17, Matthew 9: 18-26; John 4: 43-54, Mark 5: 21-43, John 15: 1-17, Matthew 11: 28-30, Matthew 16: 18-20.

604. GUB’IMBILWA MAGEMBE / GWAMBILWA HASI.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubhimbilwa bho magembe. Ugubhimbilwa magembe ili gusimbilwa hasi nulu gwambilwa hasi bho gujikwa. Ulu munhu winga kuwelelo, bhagatumilaga magembe ugusimba ijigila jakwe. Gwingila kale ulu munhu uzumalika, aha gubheja inumba yakwe, bhagasimbaga bho magembe ahasi bhamba ginhu jilebhe bhogubhegeleja chiza. Hunagwene abhanhu bhagitanaga giki, ‘gub’imbilwa magembe/gwambilwa hasi.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhadililaga chiza abhanhu abho bhamalaga guzumalika, nulu gwinga musi. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujubhajika abhiye ulu wigwaga uko gigelelaga amayange genayo.

Uweyi agabhizaga jigemelo ja gwilanga ukubhiye abho agikalaga nabho, kunguno ya lisungu lwakwe ilo alinalyo ukubhanhu abho bhamala guzumalike.  Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga abhanhu guja gujubhajike abhichabho. Hunagwene agabhalomelaga abhanhu ahigulya ya ‘gumbilwa magembe/gwambilwa hasi.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni sungu lya gubhajike abhanhu abho bhamalaga gwinga kuwelelo, kugiki bhadule gwikala chiza, umukaya jabho.

Mwanzo 50:13.

Mwanzo 50:24-26.

Mathayo 14:12.

2Nyakati 16:14.

1Wathesalonike 4:13-18.

KISWAHILI: KUEZEKEWA MAJEMBE/KUTANDIKIWA CHINI.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye hali ya kuandaliwa kaburi kwa kutumia majembe. Kuezekewa majembe au kutamdikwa chini, ni kuzikwa kwa kutumia majembe. Tangu zamani akifariki mtu watu hutumia majembe kuchimba kaburi na kutandika chini kwenye kaburi lake, ndipo wanamuweka ndani yake. Ndiyo maana watu waliita hali hiyo kwamba ni ‘kuezekewa majembe/kutandikiwa chini.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu waliofariki. Mtu huyo, huenda kuwazika wenzake hao walioaga dunia mara asikiapo utaratibu wa maziko yao.

Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake kwa kuwa  na huruma ya kuwazika wafu. Mtu huyo, huwahimiza pia wenzake kwa njia ya maisha yake, kwenda kuandaa kaburi na kushiriki kwa ukamilifu katika maziko hayo ya wafu wao na wa wenzao. Ndiyo maana yeye huwafundisha watu juu ya ‘kuezekewa majembe/kutandikiwa chini.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma ya kuwajali wafu kwa kuwazika vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 50:13.

Mwanzo 50:24-26.

Mathayo 14:12.

2Nyakati 16:14.

1Wathesalonike 4:13-18.

bhujiki

 

ENGLISH: TO BE DUG WITH HOES.

The source of this saying is burial ceremony. During burial, hoes are always used as weapons for digging the grave and after the digging comes mats that are spead in the grave for the dead body to lie on. To communicate this scenario, people came with this saying that ‘To be dug with hoes’ to mean the whole process from preparing the grave to lying down of the dead body.

This saying can be compared to people who care for the dead. Such people would like to offer decent burial to their beloved ones. They also teach others about attending other people’s burials.

 This saying teaches people about compassion and caring for the dead. Dead people need to have decent burials.

Genesis 50:13, Genesis 50: 24-26, Mathew 14:12.

603. UYO ALIGUSHA MU NYANZA AHA GUSHINAGA NA BHANGI BHALIHO.

Imbuki ya kahayile kenako, ililola bhogi bho munyanza. Inyanza ili nhale noyi, ulu munhu alibunha moyi adulile gwimana weyi duhu igiki alimani, aliyo gashinaga bhaliho bhangi bhingi guke moyi, abho bhadebhile uguhega gulebha uweyi. Ukwene huguhaya giki, umugati ya nyanza yiniyo, galihoyi majisumva gangi mingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo aligusha mu nyanza aha gushinaga na bhangi bhaliho.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisansanyaga masala, nulu nguvu yakwe bhung’wene, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadebhile igiki bhali hoyi bhangi abho bhali na masala, nulu abho bhali na nguzu ningi, gukila uweyi, abha igilelilwe bhang’wambilije.

Uweyi agikolaga nu nhegi omunyanza uyo agimanaga weyi duhu, kunguno nuweyi agisanyaga masala gakwe bhung’wene duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘uyo aligusha mu nyanza aha gushinaga na bhangi bhaliho.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhichabho, umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Igelelilwe abhanhu bhenabho, bhajileke inungwa ja gwisanya masala gabho duhu, nulu nguzu jabho duhu, umukikalile kabho.

Zaburi 133:1.

Yohana 17:11.

Yohana 17:21-23.

Marko 10:45.

Waefeso 4:3-4.

Waefeso 4:13.

KISWAHILI: YULE ANAYECHEZA BAHARINI KUMBE NA WENGINE WAPO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uchezaji wa kwenye baharí. Bahari hiyo, ni kubwa sana kiasi kwamba mtu akiwa anaoga anaweza kudhani kuwa ni yeye peke yake, anayeelewa kuogolea kupita wengine. Ndiyo kusema kwamba, ndani ya baharí hiyo, kuna viumbe wengi mno. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayecheka baharini kumbe na wengine wapo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegemea akili au nguvu zake peke yake. Mtu huyo, hafahamu kwamba, kuna wengine wenye akili na nguvu nyingi kupita yeye, ambao wana uwezo wa kumsaidia.

Yeye hufanana na muogeleaji anayejidai kwamba ni fundi wa kuogelea kupita wengine, kwa sababu naye hutegemea akili zake tu au nguvu zake tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘anayecheka baharini kumbe na wengine wapo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa pamoja na wenzao katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi katika maisha yao. Yafaa watu hao, waache tabia ya kutegemea akili au nguvu zao tu, katika maisha yao, bila kushirikiana na wenzao.

Zaburi 133:1.

Yohana 17:11.

Yohana 17:21-23.

Marko 10:45.

Waefeso 4:3-4.

Waefeso 4:13.

munhu1

ng'wina

ng'wina1

 

ENGLISH: THE ONE PLAYING AT THE SEA WHILE OTHERS ARE THERE TOO.

The source of this saying is swimming in the sea. A sea being a big water body, one swimming from one end of it will think that he/she is the only one who knows to swim. He/she doesn’t know that in the sea there are numerous creatures whose life is always in water and therefore, for them, swimming is a daily activity. To describe this scenario, people came with the saying that ‘The one playing at the sea while others are there too’ to communicate someone’s ignorance about the world around him/her.

This saying can be compared to a person who knows less about the world around him/her. Instead, he/she constructs the world based on only what he/she can see. This person can be likened to a swimmer who claims to be the best swimmer because he/she relies on his/her intelligence without thinking about others who might be better at swimming than him/her.

The saying teaches people about being open to learn from others. People should be able to seek for more knowledge from peers before they come to conclusion about certain issues.

Psalm 133: 1, John 17:11, John 17: 21-23, Mark 10:45, Ephesians 4: 3-4, Ephesians 4:13.

602. KALAGU – KIZE. MABEHI GITONGEKAGA: – NG’HINGI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile bhusimbilwa bho ng’hingi.  Ing’hingi jinijo, jili miti iyo igatemagwa na gubhutwa chiza. Ijoyi jigasimbilagwa bho guhelelwa na gatunganyiwa, jawiza guti bhanhu bhitongekaga, kugiki jidule ugiulanghana chiza inumba. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘mabehi gitongekaga:- ng’hingi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano goguyilang’hana chiza ikaya yao. Abhanhu bhenabho, bhagikalaga bhuhoya kihamo, ijinaguyibheja bho guilanghana chiza ikaya yao yiniyo. Ubhutogwa bhobho, bhugabhinhaga nguzu ja gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza bhuli makanza.

Abhanhu bhenabho, bhayilanghanile ikaya yabho guti ni ng’hingi umo jiyilang’hanhilile inumba, kunguno nabho bhali na ng’wigwano go gutumama milimo yabho bho gwiyambilija kihamo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiganilaga giki, ‘mabehi gitongekaga:- ng’hingi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwikala na witogwi bho gwiyambilija kihamo ijinaguitumama imilimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Matendo 2:4.

Matendo 4:32-37.

Wagalatia 6:2.

KISWAHILI:  KITENDAWILI – TEGA.

JAMAA WAMETANGULIZANA:– NGUZO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia usimikwaji wa nguzo. Nguzo hizo, ni miti ile ambayo hukatwa na kutengenezwa vizuri. Zenyewe huwa zinachimbiwa kwa kufuata msitari na kushikamanishwa kwa kufungwa pamoja, zikawa kama jamaa waliotangulizana, ili ziweze kusaidiana katika kuilinda vizuri nyumba hiyo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘jamaa wametangulizana:- nguzo.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kuilinda vizuri familia yao. Watu hao, huishi kwa ushirikiano wa kupanga mipango ya kuwawezesha kuindeleza kwa kuilinda vizuri familia yao hiyo. Upendo wao, huwapatia nguvu za kuyatekeleza majukumu yao, kwa kusaidiana pamoja katika uelewano wao.

Watu hao, huilinda familia yao, kama zile nguzo zinavyoilinda nyumba hiyo, kwa sababu nao wana ushirikiano wa kusaidiana kwa kuyatekeleza majukumu yao, kwa pamoja. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, ‘jamaa wametangulizana:- nguzo.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuishi maisha yenye upendo wa kusaidiana pamoja katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Matendo 2:4.

Matendo 4:32-37.

Wagalatia 6:2.

nhingi4

nhing3

nhingi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

GENTLEMEN HAVE PRECEDED ONE ANOTHER – POLES.

The source of this riddle is the pattern of poles used in constructing a house. Poles are trees one can cut and arrange them in a manner that makes them make a house for one to stay in. They are always arranged in a certain pattern and tightened together with strings or nails so that they offer enough support for the house to appear in a good structure. This proper patterning of poles made people to come up with this riddle ‘Gendlemen have preceded one another – poles’ to communicate the way poles appear in making the house have a good structure.

This riddle can becompared to those people who work together in making sure that their families are taken care of. These people tend to formulate their plans together and implement them in a manner that enables them to have success in their families. As the poles protect the house and give shape of the house, these people function as pillars of strength and solidarity in the society.

This riddle teaches people about harmony and helping each other in fulfilling their responsibilities.

Acts 2: 4, Acts 4: 32-37,Galatians 6: 2.

601. KALAGU – KIZE. PINDAGA AHA NU NENE NAPINDE UKO DUTUNG’WANHE: – GWEGA LUB’A.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile kubhugiti bho lub’a. Umubhugiti munumo, abhagiti bhagigabhilaga bhuli ng’wene wasa bho gwandija halebhe ugwega hunabhatung’wanha lulu.

Ikale abhagiti bhenabho, bhegaga njubha (lubha) nulu luhelengo ahakaya iyo gwigelaga nimo, guti go winga, bho gusola wasa bhuli ng’wene, kugiki  ulu bhalatung’wanhe bhabhize bhamalaga ugugutumama unimo gunuyo. ‘hunagwene abhanhu bhenabho bhagiganilaga giki, ‘pindaga aha nu nene napinde uko dutung’wanhe:- gwega lub’a.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyambilija. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga kihamo bho guinyamanija chiza imilimo yabho. Abhoyi bhali na witogwi ubho bhugabhambilija uguitumama kihamo imilimo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhabheja bha lub’a, kunguno nabho bhagainyamanijaga chiza imilimo yabho, umukikalile kabho kenako. Uwiyambilija bhobho bhugabhalanjaga abhichabho higulya ya gwikala kihamo umuwikaji bhobho. Hunagwene, abhanhu bhenabho bhagiganilaga giki, ‘pindaga aha nu nene napinde uko dutung’wanhe:- gwega lub’a.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi bho gwiyambilija kihamo umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wafilipi 1:5-11.

Wafilipi 2:1-11.

Yohana 17:1-26.

Luka 10:1-12.

Yohana 20:21-23.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

ZUNGUKA PALE NA MIMI NIZUNGUKE KULE TUKUTANE – KUTENGENEZA WIGO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye utengenezaji wa wigo. Utengenezaji huo, huwapata nafasi mafundi kugawana sehemu za kutengeneza, kila mmoja, ili waweze kukutana wanapofunga kazi hizo.

Zamani watu walikuwa wanatengeneza wigo wanapokuwa na matukio mbalimbali, yakiwemo yale ya harusi, lengo lao ni kuwapatia watu nafasi ya kukaa. Ndiyo maana watu hao walihadithiana kwamba, ‘zunguka pale na mimi nizunguke kule tukutane:- kutengeneza wigo.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale wanaofanya kazi kwa kusaidiana vizuri, maishani mwao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana pamoja. Wao wana upendo wa kuishi pamoja katika utekelezaji wa kazi zao.

Watu hao, hufanana na watengenezaji wa wigo, kwa sababu nao huzizingira vizuri kazi zao, katika maisha yao hayo. Umoja wao huo wa kusaidiana huwafundisha wenzao juu ya kuishi katika umoja wa kushirikiana katika utekelezaji wa kazi zao, maishani mwao. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, ‘zunguka pale na mimi nizunguke kule tukutane:- kutengeneza wigo.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana pamoja katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Wafilipi 1:5-11.

Wafilipi 2:1-11.

Yohana 17:1-26.

Luka 10:1-12.

Yohana 20:21-23.

lubha1

lubha

bhazubhi

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

GO AROUND THERE AND I WILL TURN AROUND TO MEET – TO CREATE A FENCE.

The source of this riddle is the construction of fence. In constructing fences, constructors tend to divide the fence into parts where one person or group of people will begin the construction from one point and the other person/group of people will begin the same construction moving the opposite direction from the first person/group. Finally they will meet when finishing up the fence. This whole process can be described using the riddle ‘Go around there and I will turn around to meet – to create a fence.’

The construction of fences was common in the past and it was used during wedding ceremonies as they helped to get space for people to sit and enjoy the wedding ceremony.

This riddle can be compared to those people who work well together in their lives. These people have a spirit of working together and therefore being able to finish their works on time. Their dedication to work and togetherness teaches other people about cooperation and solidarity in achieving something.

This riddle teaches people about having love to others and helping each other in fulfilling their responsibilities.

Philippians 1: 5-11, Philippians 2: 1-11, John 17: 1-26, Luke 10: 1-12, John 20: 21-23