604. GUB’IMBILWA MAGEMBE / GWAMBILWA HASI.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubhimbilwa bho magembe. Ugubhimbilwa magembe ili gusimbilwa hasi nulu gwambilwa hasi bho gujikwa. Ulu munhu winga kuwelelo, bhagatumilaga magembe ugusimba ijigila jakwe. Gwingila kale ulu munhu uzumalika, aha gubheja inumba yakwe, bhagasimbaga bho magembe ahasi bhamba ginhu jilebhe bhogubhegeleja chiza. Hunagwene abhanhu bhagitanaga giki, ‘gub’imbilwa magembe/gwambilwa hasi.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhadililaga chiza abhanhu abho bhamalaga guzumalika, nulu gwinga musi. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujubhajika abhiye ulu wigwaga uko gigelelaga amayange genayo.

Uweyi agabhizaga jigemelo ja gwilanga ukubhiye abho agikalaga nabho, kunguno ya lisungu lwakwe ilo alinalyo ukubhanhu abho bhamala guzumalike.  Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga abhanhu guja gujubhajike abhichabho. Hunagwene agabhalomelaga abhanhu ahigulya ya ‘gumbilwa magembe/gwambilwa hasi.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni sungu lya gubhajike abhanhu abho bhamalaga gwinga kuwelelo, kugiki bhadule gwikala chiza, umukaya jabho.

Mwanzo 50:13.

Mwanzo 50:24-26.

Mathayo 14:12.

2Nyakati 16:14.

1Wathesalonike 4:13-18.

KISWAHILI: KUEZEKEWA MAJEMBE/KUTANDIKIWA CHINI.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye hali ya kuandaliwa kaburi kwa kutumia majembe. Kuezekewa majembe au kutamdikwa chini, ni kuzikwa kwa kutumia majembe. Tangu zamani akifariki mtu watu hutumia majembe kuchimba kaburi na kutandika chini kwenye kaburi lake, ndipo wanamuweka ndani yake. Ndiyo maana watu waliita hali hiyo kwamba ni ‘kuezekewa majembe/kutandikiwa chini.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu waliofariki. Mtu huyo, huenda kuwazika wenzake hao walioaga dunia mara asikiapo utaratibu wa maziko yao.

Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake kwa kuwa  na huruma ya kuwazika wafu. Mtu huyo, huwahimiza pia wenzake kwa njia ya maisha yake, kwenda kuandaa kaburi na kushiriki kwa ukamilifu katika maziko hayo ya wafu wao na wa wenzao. Ndiyo maana yeye huwafundisha watu juu ya ‘kuezekewa majembe/kutandikiwa chini.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma ya kuwajali wafu kwa kuwazika vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 50:13.

Mwanzo 50:24-26.

Mathayo 14:12.

2Nyakati 16:14.

1Wathesalonike 4:13-18.

bhujiki

 

ENGLISH: TO BE DUG WITH HOES.

The source of this saying is burial ceremony. During burial, hoes are always used as weapons for digging the grave and after the digging comes mats that are spead in the grave for the dead body to lie on. To communicate this scenario, people came with this saying that ‘To be dug with hoes’ to mean the whole process from preparing the grave to lying down of the dead body.

This saying can be compared to people who care for the dead. Such people would like to offer decent burial to their beloved ones. They also teach others about attending other people’s burials.

 This saying teaches people about compassion and caring for the dead. Dead people need to have decent burials.

Genesis 50:13, Genesis 50: 24-26, Mathew 14:12.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.