Joe Healey

494. IGOSHA LYA NHULULU.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola ngosha uyo alina nhululu. Inhululu jilinhinda ja ngosha ng’wunuyo, uyo agasiminza wimanile igiki uweyi humani opye iyose.  Uweyi adazunyaga imihayo iya bhiye, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ali nambu uyo adazunyaga ya bhiye, kunguno ya nhani jakwe jinijo. Uweyi agamanaga ulema duhu ya bhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni igosha lya nhululu, kunguno nang’hwe alina nhani, ijagwimana weyi duhu. Nuweyi ali nanhinda ijo jigang’wenhelejaga guyuilema imihayo iyabhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhinda umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umukalile kabho.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

KISWAHILI: MWANAMUME MWEYE KIBURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mwanamume mwenye kiburi. Kiburi hicho, humpelekea mtu huyo, kutembea kwa kujidai kujua kila kitu. Yeye hakubali mawazo ya wenzake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ana majibu ya mkato, yaliyotawalia na kiburi maishani mwake. Mtu huyo, amejaa kiburi, uchoyo na kujiamini kupita kiasi. Yeye hakubali mawazo ya wengine, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Akiambiwa kitu yeye hukataa tu bila sababu yoyote iliyo ya msingi.

Mtu huyo, hulinganishwa na mwamume mwenye kiburi, kwa sababu naye ana kiburi cha kujijali yeye mwenyewe tu. Kiburi hicho, humpelekea kukataa kila anachoambiwa na wenzake. Ndiyo maana watu humwita kwamba, yeye ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwa na kiburi maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

munhu o bhuganda

te-tugu-igasha

ENGLISH: AN ARROGANT MAN.

The source of this saying is an rrogant man who walks around pretending to know everything in his society. This man does not accept advice or any opinion from other individuals because of his arrogance. Such a person can be described as ‘an arrogant man’, as the saying shows.

The saying can be compared to a person who answers people’s queries shortly with no respect. He is arrogant, greedy and over-confident. He is someone who does not accept other people’s views with no reason for refusing them.

The saying teaches people about not being arrogant rather respecting others in the sameway one respects himself/herself.

Genesis 4: 9-10.

Luke 18: 9-14.

2Corinthians 2: 10-11.

493. NASHIGA AHI IBALA ILEBHE NABHONA JALASI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile kabala kalebhe ako kadazwaga maswa na hado yaya. Akabala kenako, kagabhizaga kape, pye bhuli makanza, kunguno ya bhudimu bhogo ubho bhudadule guzunilija maswa guzwa hoyi. Hunagwene abhanhu bhagakabhonaga na guyomba giki, ‘nashiga ahi ibala ilebhe nabhona jalasi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bha bhuli mbika. Munhu ng’wunuyo adebhile igiki, bhuli munhu alina jinhilwa jakwe, ijagufumila kuli Mulungu. Walihoyi abhanhu abhangi bhalihu, na  abhanhu bhaguhi, aliyo pye abhose abhenabho, bhali bha ng’wa Mulungu, kunguno ung’wene huyo agabhabheja chene, guti numo ojibhegeja ijalasi yinijo, iyo idazwaga maswa.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye ahigulya ya gwikala na bhanhu bhose bho nduhu gubhasolanya, kunguno ya kigelele kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘nashiga ahi ibala ilebhe nabhona jalasi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala na bhanhu bhose bho nduhu ugubhasolanya, kugiki, bhadule gubhiza na mholele, umuwikaji bhobho.

Kutoka 15:22-26.

Mathayo 8:23-27.

KISWAHILI: NIMEFIKA MAHALA FULANI NIKAONA SEHEMU ISIYOOTA NYASI HATA KIDOGO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia sehemu fulani, ambayo haioteshi nyasi hata kidogo. Sehemu hiyo, huwa nyeupe kila wakati, kwa sababu ya ugumu wake, ambao hauruhusu nyasi kuota pale. Ndiyo maana watu huiona sehemu hiyo, na kusema kwamba, ‘nimefika mahala fulani nikaona sehemu isiyoota nyasi hata kidogo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi na watu wa aina zote. Mtu huyo, anafahamu kwamba, kila mtu ana vipaji vyake, alizopata kutoka kwa Mungu. Kwa maana hiyo, kuna watu wengine ni walefu, wengine ni wafupi, lakini wote hao, ni wa Mungu, kwa sababu ndiye aliyewaumba hivyo, kama alivyoiumba sehemu ile isiyoota nyasi.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuishi na watu wa aina zote bila ubaguzi, wa aina yoyote ile. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nimefika mahala fulani nikaona sehemu isiyoota nyasi hata kidogo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi na watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile, ili waweze kuwa na amani, katika maisha yao.

Kutoka 15:22-26.

Mathayo 8:23-27.

villege life

jilasi

ENGLISH: I HAVE REACHED A PLACE WHERE GRASS DOES NOT GROW.

The source of the saying is place where grasses do not grow. This place is described to be empty all the time because of its hardship to grow any plant.When people see such a place they can say ‘I have reached a place where grass does not grow.’

The saying can be compared to a person who lives with all kinds of people. This person can realize that people have different talents, which they have received from God. Some people are tall and others are short, but all of them are a creation of God. This person can also help others to understand that all human beings are equal before God.

The saying teaches people about living with all people without discrimination of any kind so that they can have peace in their lives.

Exodus 15: 22-26.

Matthew 8: 23-27.

492. ITAGA SAMBALAGUNA.

Imbuki ya kahayile kenako, ililola witi bho sambaliagana. Isambalaguna yiniyo, bhuli bhukangilija bho gugutumama nimo nhebhe. Ulu munhu alitumama nimo hado hado, agakomejiyagwa na bhiye bho guwilwa agwite unimo gunuyo bho bhukangilija. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘itaga sambalaguna.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhakomelejaga abhanhu bhakwe gutumama milimo bho bhukangilija. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhalela chiza abhanhu bhakwe, bho gubhalanga gwigulambija uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule guimala wangu, na kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na sabho ningi ahakaya yakwe, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho guitumama imilimo iya hakaya yakwe yiniyo. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhanhu higulya ya gubhiza na bhukangilija bho guitumama chiza imilimo yabho. Hunagwene agankomeleja bhuli munhu bho gung’wila giki, ‘itaga sambalaguna.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuitumama imilimo yabho bho bhukanjilija, kugiki bhadule uguimala wangu, na gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Kutoka 12:11.

Luka 9:1-6.

Luka 13:31.

KISWAHILI: FANYA HARAKA HARAKA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uhimizaji wa kufanya kazi kwa haraka haraka. Uhimizaji huo, ni ule uwezao kutekeleza kazi fulani kwa muda mfupi. Mtu anayefanya kazi pole pole, huhimizwa na wenzake kwa kuambiwa afanye haraka, ili aweze kuimaliza kazi yake mapema. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘fanya haraka haraka.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye huwahimiza watu wake kufanya kazi kwa haraka katika familia yake. Mtu huyo, aelewa namna ya kuwalea vizuri watu wake, kwa kuwafundisha namna ya kufanya kazi zao kwa bidii, ili waweze kuzimaliza mapema, na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mtu huyo, huwa na mali nyingi kwenye familia yake, kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza majukumu yake hayo. Ndiyo maana yeye humfundisha kila mtu kwa kumwambia, ‘fanya haraka haraka.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitekeleza kazi zao vizuri, na kwa bidii kubwa, ili waweze kuzimaliza mapema, na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Kutoka 12:11.

Luka 9:1-6.

Luka 13:31.

nziko go bhakenya

kenyan

ENGLISH: DO IT QUICKLY.

The source of the saying looks at the urgency of working fast. This urgency comes because of how something has to be done within a given time/short period of time. A person who does his/her work slowly can be encouraged to do it fast so as to get rid of it as early as possible. This is why people can encourage others by using this saying that ‘do it quickly.’

The saying can be compared to a person who encourages his/her people to work fast in doing something. This person knows better how to best take care of the family and therefore encouraging others to be fast in their doings in order to have success in the family within a very short period of time.

The saying teaches people about how to do their job well and with great effort so that they can finish it early. This can enable them to have more success in their lives.

Exodus 12:11.

Luke 9: 1-6.

Luke 13:31.

491. JITINDE JA NGALU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile linti ilo lyateng’wa lyubhiza igunguti. Iligunguti linilo, ligabhizaga lidimu guti linti lya gembe. Hunagwene ligitanagwa ‘jitinde ja ngalu,’ kunguno ya bhudimu bholyo bhunubho.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alina nguzu ja gutumama milimo chiza. Umunhu ng’wunuyo, adulile gugubheja chiza nimo gose gose. Uweyi agabhizaga aidulile milimo mingi, kunguno ya nguvu ijo alinajo, nu witegeleja bhokwe. Uwitegeleja bhunubho, bhugang’wambilijaga uguidebha na guitumama chiza imilimo iyo, aginhiyagwa.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni jitinde ija ngalu ijo jilijidimu, kunguno nang’hwe alindimu ugunoga ulu aliitumama imilimo yakwe. Akikalile kakwe, kagabhalangaja abhanhu higulya ya gubhiza na nguzu ya kuitumama chiza imilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga umunhu ng’wunuyo, giki ali ‘jitinde ja ngalu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na nguvu ja gudula kuitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwayo mingi, umuwikaji bhobho. Amatwajo genayo, gagubhambilija abhoyi ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mathayo 16:13-20.

Mathayo 21:42.

KISWAHILI: KISIKI KILICHO IMARA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mti uliokatwa ukabakia kisiki. Kisiki hicho, huwa kigumu kama mti wa mninga. Ndiyo maana watu hukiita, ‘kisiki kilicho imara,’ kwa sababu ya uimara wake huo.

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye ana nguvu za kumwezesha kufanya kazi zake vizuri. Mtu huyo, aweza kufanya kazi yoyote ile vizuri. Anao uwezo wa kuzitekeleza kazi hizo, kwa sababu ya nguvu zake na umakini wake. Umakini huo, humsaidia katika kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi anazopewa na watu mbalimbali.

Mtu huyo, hulinganishwa na kisiki kilicho imara ambacho ni kigumu sana, kwa sababu, naye ni mgumu kushoka anapofanya kazi zake. Maisha yake, huwafundisha wenzake juu ya kuwa na nguvu za kuwawezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana watu humwita, ‘kisiki kilicho imara,’ kutokana na uimara wake wa kuyatekeleza kwa umakini majukumu yake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na nguvu za kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Mafanikio hayo, yatawasaidia watu hao katika kuzijenga vizuri familia zao.

Mathayo 16:13-20.

Mathayo 21:42.

jitinde

ENGLISH: A STRONG STUMP/A STUMP OF AN EBONY TREE.

The source of this saying is a strong stump or a stump of an ebony tree. This stump happens to be very strong to the extent of making people appreciate its strength. This saying is always likened to people who appear to be strong in their doings. Thus, they are being described using the saying that ‘they are strong stumps/stumps of an ebony tree.’

The saying can be compared to a person who has the power to perform his/her duties well. That person can do any job well. He/she has the ability to perform those tasks because of his/her power and focus. He/she can understand and perform the tasks assigned to him/her by a variety of people. By doing such strong jobs, this person is compared to a strong stump that is very hard to saw it.

The saying teaches people about the power to enable them to carry out their responsibilities properly so that they can achieve more in their lives. These successes will help those people to better build their families.

Matthew 16: 13-20.

Matthew 21:42.

490. WILEKA IKAYA YAKWE MASUMBI GALI HANZE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile masumbi ayo galekagwa hanze na munhu nhebhe. Umunhu ulu ufunya hanze masumbi ga gwigasija, agagashoshaga mukaya, ulu uhaya gwinga. Aliyo lulu, ulu umunhu ng’wunuyo gwinga aha kaya yakwe bho nduhu ugugashosha umukaya amasumbi genayo, gagasaga haho hanze. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wileka ikaya yakwe masumbi gali hanze.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo opela nzala, aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo, agingaga bho nduhu ugulaga, kunguno agajaga guti alibihi, gashinaga na alisegendela.

Uweyi agalinganijiyagwa kuli munhu uyo oleka masumbi halihanze aha ng’wakwe, kunguno nang’hwe oyileka ikaya yakwe ilinzala. Gashinaga lulu, ugugachala mukaya amasumbi genayo, ikolile nu guipandikila jililwa ikaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘wileka ikaya yakwe masumbi gali hanze.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwuyumilija umumayange gose ayo gakomile gwigela ahakaya jabho, na kuchola nzila ja gugamalila, kugiki bhadule gujilanghana chiza ikaya jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6: 25-34.

Mathayo 11:28-30.

KISWAHILI: AMEIACHA FAMILIA YAKE VITI VIKIWA NJE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia viti vya familia vilivyoachwa nje na mtu ambaye ndiye mwenye familia. Mtu akivitoa nje viti vya kukalia, huvirudisha ndani ya nyumba, akitaka kuondoka. Lakini basi, mtu huyo akitoka nyumbani kwake bila kuvirudisha ndani vitu hivyo, hubakia pale nje. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ameviacha viti vya familia yake vikiwa nje.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeikimbia familia yake kwa sababu ya njaa. Mtu huyo, huondoka nyumbani kwake bila kuaga, kwa sababu ya yeye kuondoka kama yuko karibu, kumbe ndivyo anavyoenda mbali.

Yeye hulinganishwa kwa mtu yule aliyeviacha viti vya familia yake nje, kwa sababu naye aliiacha familia ikiwa na njaa. Kumbe basi, kuviingiza ndani vile viti, ni kuipatia chakula familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ameviacha viti vya familia yake vikiwa nje.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia katika matatizo mbalimbali, yanayowakumba maishani mwao, kwa kuyatafutia ufumbuzi wake, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao.

Mathayo 6: 25-34.

Mathayo 11:28-30.

chairs

african

ENGLISH: HE HAS LEFT HIS FAMILY WHILE CHAIRS ARE OUTSIDE.

The source of this saying is someone who left his/her home. When someone takes his chairs outside his/her house he/she is expected to return them when leaving. But, there are people who will not dare to return them inside and therefore they are described using the saying that ‘he has left his family while chairs are outside.’

The saying can be compared to a person who flees his/her family because of famine. That peson can leave the family by pretenting that he/she is leaving for a while and soon will be back but in actual fact, he/she is leaving for good. He/she leaves the family suffering from hunger. Bringing in the chairs could mean bringing food for the family.

The saying teaches people about coping with various problems which affect their lives by looking for solutions. This can enable people to take better care of their families.

Matthew 6: 25-34.

Matthew 11: 28-30.