493. NASHIGA AHI IBALA ILEBHE NABHONA JALASI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile kabala kalebhe ako kadazwaga maswa na hado yaya. Akabala kenako, kagabhizaga kape, pye bhuli makanza, kunguno ya bhudimu bhogo ubho bhudadule guzunilija maswa guzwa hoyi. Hunagwene abhanhu bhagakabhonaga na guyomba giki, ‘nashiga ahi ibala ilebhe nabhona jalasi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bha bhuli mbika. Munhu ng’wunuyo adebhile igiki, bhuli munhu alina jinhilwa jakwe, ijagufumila kuli Mulungu. Walihoyi abhanhu abhangi bhalihu, na  abhanhu bhaguhi, aliyo pye abhose abhenabho, bhali bha ng’wa Mulungu, kunguno ung’wene huyo agabhabheja chene, guti numo ojibhegeja ijalasi yinijo, iyo idazwaga maswa.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye ahigulya ya gwikala na bhanhu bhose bho nduhu gubhasolanya, kunguno ya kigelele kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘nashiga ahi ibala ilebhe nabhona jalasi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala na bhanhu bhose bho nduhu ugubhasolanya, kugiki, bhadule gubhiza na mholele, umuwikaji bhobho.

Kutoka 15:22-26.

Mathayo 8:23-27.

KISWAHILI: NIMEFIKA MAHALA FULANI NIKAONA SEHEMU ISIYOOTA NYASI HATA KIDOGO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia sehemu fulani, ambayo haioteshi nyasi hata kidogo. Sehemu hiyo, huwa nyeupe kila wakati, kwa sababu ya ugumu wake, ambao hauruhusu nyasi kuota pale. Ndiyo maana watu huiona sehemu hiyo, na kusema kwamba, ‘nimefika mahala fulani nikaona sehemu isiyoota nyasi hata kidogo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi na watu wa aina zote. Mtu huyo, anafahamu kwamba, kila mtu ana vipaji vyake, alizopata kutoka kwa Mungu. Kwa maana hiyo, kuna watu wengine ni walefu, wengine ni wafupi, lakini wote hao, ni wa Mungu, kwa sababu ndiye aliyewaumba hivyo, kama alivyoiumba sehemu ile isiyoota nyasi.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuishi na watu wa aina zote bila ubaguzi, wa aina yoyote ile. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nimefika mahala fulani nikaona sehemu isiyoota nyasi hata kidogo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi na watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile, ili waweze kuwa na amani, katika maisha yao.

Kutoka 15:22-26.

Mathayo 8:23-27.

villege life

jilasi

ENGLISH: I HAVE REACHED A PLACE WHERE GRASS DOES NOT GROW.

The source of the saying is place where grasses do not grow. This place is described to be empty all the time because of its hardship to grow any plant.When people see such a place they can say ‘I have reached a place where grass does not grow.’

The saying can be compared to a person who lives with all kinds of people. This person can realize that people have different talents, which they have received from God. Some people are tall and others are short, but all of them are a creation of God. This person can also help others to understand that all human beings are equal before God.

The saying teaches people about living with all people without discrimination of any kind so that they can have peace in their lives.

Exodus 15: 22-26.

Matthew 8: 23-27.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.