494. IGOSHA LYA NHULULU.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola ngosha uyo alina nhululu. Inhululu jilinhinda ja ngosha ng’wunuyo, uyo agasiminza wimanile igiki uweyi humani opye iyose.  Uweyi adazunyaga imihayo iya bhiye, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ali nambu uyo adazunyaga ya bhiye, kunguno ya nhani jakwe jinijo. Uweyi agamanaga ulema duhu ya bhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni igosha lya nhululu, kunguno nang’hwe alina nhani, ijagwimana weyi duhu. Nuweyi ali nanhinda ijo jigang’wenhelejaga guyuilema imihayo iyabhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhinda umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umukalile kabho.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

KISWAHILI: MWANAMUME MWEYE KIBURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mwanamume mwenye kiburi. Kiburi hicho, humpelekea mtu huyo, kutembea kwa kujidai kujua kila kitu. Yeye hakubali mawazo ya wenzake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ana majibu ya mkato, yaliyotawalia na kiburi maishani mwake. Mtu huyo, amejaa kiburi, uchoyo na kujiamini kupita kiasi. Yeye hakubali mawazo ya wengine, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Akiambiwa kitu yeye hukataa tu bila sababu yoyote iliyo ya msingi.

Mtu huyo, hulinganishwa na mwamume mwenye kiburi, kwa sababu naye ana kiburi cha kujijali yeye mwenyewe tu. Kiburi hicho, humpelekea kukataa kila anachoambiwa na wenzake. Ndiyo maana watu humwita kwamba, yeye ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwa na kiburi maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

munhu o bhuganda

te-tugu-igasha

ENGLISH: AN ARROGANT MAN.

The source of this saying is an rrogant man who walks around pretending to know everything in his society. This man does not accept advice or any opinion from other individuals because of his arrogance. Such a person can be described as ‘an arrogant man’, as the saying shows.

The saying can be compared to a person who answers people’s queries shortly with no respect. He is arrogant, greedy and over-confident. He is someone who does not accept other people’s views with no reason for refusing them.

The saying teaches people about not being arrogant rather respecting others in the sameway one respects himself/herself.

Genesis 4: 9-10.

Luke 18: 9-14.

2Corinthians 2: 10-11.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.