Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola iguwa. Iliguwa lilina nhumbi ningi noyi. Huguhaya giki, ligalenganijiyagwa na nkimbili kunguno ligikolaga chene. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nsiza one ali na mikimbili mingi:- nhumbi ji guwa.’
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adebhile chiza isumo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aidebhile ihitoria ya bhabyaji bhakwe, niya bhabyaji bha bhabyaji bhakwe.
Uweyi agabhalanjaga na bhiye ihistoria yiniyo, kugiki bhimane umundugu yabho. Abho bhagandelekaga, bhagadulaga ugubhamana chiza abhadugu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nsiza one ali na mikimbili mingi:- nhumbi ji guwa.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guidebha historia ya jibyalilwe jabho, kugiki bhadule gwimana chiza, umuwikaji bhobho, kunguyo abhanhu bhali na jibyalilwe jingi noyi.
Mathayo 1:1-17.
Mwanzo 15:1-6.
Luka 3:23-38.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
KAKA YANGU ANA VIUNO VINGI:- MUWA.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia muwa. Muwa huo, una pingili nyingi sana. Ndiyo kusema kwamba, huwa unalinganishwa na kiuno, kwa sababu ya wenyewe kufanana nacho. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kaka yangu ana viuno vingi:- muwa.’
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaelewa vizuri historia ya ukoo wake. Mtu huyo, anaielewa historia ya wazazi wake na ile ya wazazi wa wazazi wake.
Yeye huwafundisha wenzake historia hiyo, ili waweze kuwaelewa ndugu zao. Wale wanaomsikiliza, huweza kuzifahamu vizuri koo zao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kaka yangu ana viuno vingi:- muwa.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuzielewa historia za koo zao, ili waweze kufahamiana vizuri, maishani mwao, kwa sababu watu huwa wana vizazi vingi mno.
Mathayo 1:1-17.
Mwanzo 15:1-6.
Luka 3:23-38.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
MY BROTHER HAS MANY WAISTS:- SUGARCANE.
The source of this riddle is sugarcane and its joints. Sugarcanes have so many joints that look like waists. Those sugarcane joints are being compared to waists. That is why people came up with a riddle that describes the structure of sugarcane in comparison to waists by riddling that ‘my brother has many waists – sugarcane.’
This saying can be compared to a person who understands his/her family history. That person understands well his/her parent’s history and that of his parents’ parents. He/she can teach history to his/her colleagues so that they can understand their past in terms of family geneology.
This saying teaches people about understanding their family history so that they can get to know each other better in their lives. This comes because people have so many generations that are inter-connected and sometimes cannot be easy to know them.
Matthew 1: 1-17.
Genesis 15: 1-6.
Luke 3: 23-38.