Joe Healey

599. KALAGU – KIZE. GIMBULAGA NZWI GO HAJIGANGA NU NDINHO UGUB’INZE UGWENHE: – NYANDA UYOADINATOLA.

599. KALAGU – KIZE. GIMBULAGA NZWI GO HAJIGANGA NU NDINHO UGUB’INZE UGWENHE: – NYANDA UYOADINATOLA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile nyanda uyo adinatola. Unyanda ng’wunuyo, agabhizaga na bhibhegeleja bhutale ubho bhudulile, gugumala chiza unimo go nhola yakwe.

Ubhibhegeleja bhunubho, bhuli kihamo na gudebha umo alikalile nu nke ijinaguibheja chiza ikaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘gimbulaga nzwi go hajiganga nu ndinho ugubhinze ugwenhe.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhegelejaga chiza haho atali ugwandya ugugutumama unimo gokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji ubhogudula guidebha pye iyo idakililwe ibhize ilihoyi aha nimo gunuyo. Uweyi agabhizaga na matwajo mingi umubhutumami bhokwe, kunguno ya gwita wibhegeleja bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, ali na wizang’holo bho bhubhalanja na abhiye ahigulya ya gudebha gwita bhukengeji bho milimo yabho, haho bhatali uguyandya uguitumama.

Uweyi agabhalanjaga abhanhu gubhitila mukikalile kakwe kenako, ako kikolile nu nyanda uyo atali ugutola. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gimbulaga nzwi go hajiganga nu ndinho ugubhinze ugwenhe.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gujikuminga pye ijitumamilo ja milimo yabho, haho bhatali uguyandya uguitumama imilimo yiniyo, kugiki, bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

 Mathayo 7:24.

Luka 6:46-49.

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA.

CHIMBUA MZIZI WA MWAMBANI NA MWIKO UUVUNJE UULETE:- MVULANA ANAYETAKA KUOA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mvulana ambaye hajaoa. Mvulana huyo, hufanya maangalizi ya kutosha kumwezesha kuimaliza vizuri kazi ya arusi yake. Maandalizi hayo pia, ni ya kumwezesha kuelewa namna atavyoiendesha familia yake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘chimbua mzizi wa mwambani na mwiko uuvunje uulete.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya maandalizi mazuri kabla ya kuanza kufanya kazi yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuvielewa vifaa vyote vinavyotakiwa kuwepo kwenye kazi yake hiyo. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake, kwa sababu ya kufanya maandalizi hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, ana ukarimu wa kuwafundisha pia wenzake juu ya kuelewa namna ya kufanya utafiti unaotakiwa kabla ya kuanza kuzifanya kazi zao. Yeye huwafundisha watu kupitia mfano wa maisha yake, ambayo hufanana na ya mvulana yule ambaye hajaoa. Ndio maana watu huhadithiana kwamba, ‘chimbua mzizi wa mwambani na mwiko uuvunje uulete.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kufanya maandalizi ya kuvikusanya vifaa vyote vinavyotakiwa kwenye kazi wanayotaka kuitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 7:24.

Luka 6:46-49.

nyanda1

mpeja o bhasikeli

miti na mbehi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

DIG THE ROOT FROM THE ROCK, BREAK THE WOODEN SPOON AND BRING IT – A BOY WHO WANTS TO MARRY.

The source of this riddle is the unmarried boy. For a boy who is planning for his wedding can have a lot of issues to deal with in order to have a good wedding ceremony. Among other issues is to create an environment that will make him take care of his family. Therefore, the efforts this boy can make in the preparation for his wedding can be described using the riddle ‘Dig the root from the rock, break the wooden spoon and bring it – a boy who want to marry.’

This riddle can be compared to a person who makes the best preparation before starting his or her career. The person can conduct research in order to enable him or her to understand all the materials that are required for his or her work. In so doing, he/she gets a lot of success in his/her work. Such a person teaches others about planning for future. He/she is likened to an unmarried boy who fights to make sure that his wedding is successfully and his life after wedding becomes successfully as well.

This riddle teaches people about having good plan for their future. They need to make sure that they assemble all the necessary resources that can make them achieve what they desire in future and be able to utilize them in a manner that makes them achieve their expectations.

Matthew 7:24, Luke 6: 46-49.

598. OLANGAMILWA NA MHULUGAGA IGULILAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhulangamiji bho mhulugaga. Imhulugaga yiniyo, jili jisumbwa ijo jilija lubhango. Ijoyi nulu jigiza hakaya ya ng’wa munhu, aguhaya giki jenhaga lugango, kunguno jilijisumbwa ja lubhango.

Gashinaga nulu, ugulangamilwa na mhulugaga iyo igulilaga, igolechaga gwinja makoye na gwenha lubhango. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bho gubhalombela mbango. Umunhu ng’wunuyo, alini sungu lya gubhambilija abhiye abho bhali na makoye, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwinga umumakoye genayo. Uweyi alima bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe, ubho bhugang’winhaga nguvu ja gubhayelela abho bhali mumayange guti genayo.

Umunhu ng’wunuyo, agadulaga ugubhalunguja abhapina, kunguno ya kikalile kakwe ako kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwikala bhitogilwe chiza, na bhichobho.

Uweyi agachalaga lubhango ukubhanhu bhakwe guti ni mhulugaga yiniyo, iyo ndimu ya lubhango ukubhanhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilombela mbango ja gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

UMEANGALIWA NA KAKAUIONA AKILIA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uangaliaji wa kaka kuona. Kakakuona huyo, ni kiumbe cha baraka. Chenyewe, hata kikija nyumbani kwa mtu, atasema kwamba, kimeleta baraka kwake, kwa sababu hicho ni kumbe cha baraka.

Kumbe basi, kuangaliwa na kakakuona anayelia, huonesha hali ya kuondoa matatizo na kuleta baraka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwatakia baraka watu wake. Mtu huyo, ana huruma ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo, maishani mwao, ili waweze kutoka katika matatizo hayo. Yeye ana upendo mkubwa kwa watu wake, unaompatia nguvu za kuwatembelea wale walioko kwenye matatizo mbalimbali.

Mtu huyo, huweza kuwafariji watu mbalimbali, wakiwemo yatima kwa sababu ya maisha yake, ambayo huwafundisha wenzake njia za kuishi kwa upendo na wenzao. Yeye hupeleka baraka kwa watu, kama kakakuona, ambaye ni mnyama wa baraka kwa watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuombeana baraka za kupata mafanikio mengi maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

bhusaliji

bhasaliji

bhasaliji3

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN LOOKED UP BY A CRYING PANGOLIN.

The source of this saying is an animal by the name of pangolin. Pangolin is an animal believed to be a sign of good luck. Therefore, if someone can see it, it means he/she is blessed and he/she is lucky in his/her life. In this saying, the crying pangolin communicates a sense of relief and blessing to the one looked by it (pangolin). To communicate this idea of relief, people came with this saying that ‘You have been looked up by a crying pangolin.’

The saying can be compared to a person who wishes others to have good life. This person finds happiness by seeing how others are being helped from different problems they face. Such a person has a great love to others and is capable of helping the needy people like orphans, widows, and street children.

The saying teaches people about praying for the blessings of achieving great success in their lives. In so doing, they will be able to reap blessings that will make them have good life in future.

Psalm 3: 8, Titus 2:13, Matthew 19: 16-30, Hebrews 6: 7, Ephesians 1: 3.

597. MAGANGA KUMPINDO.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kubhutuji bho mhamba bho ng’wa Maganga. Umaganga uliatogilwe guhoyela mihayo ya habhutongi iyo yilikihamo na bhutuji bho sabho ijo jidulile gung’wambilija aha shigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu bhagikomelejaga ugujitula isabho jinijo bho guyomba giki, ‘Maganga kumpindo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jikolo ijo ajisanije giki jidulile kung’wambilija aha shigu ijaha bhutongi. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga usungilija hado hado, isabho ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe, mpaga nose agajikwijaga. Uweyi adebhile ugujichola isabho jinijo bho gutumama milimo yakwe chiza, na gujitumila chiza ijo agajipandikaga.

Umunhu ng’winuyo, agabhatongelaga abhanhu bhakwe inzija ja kujichola ijikolo jiniyo, ni jagutumamila chiza, kugiki nabho bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘Maganga kunuma.’

Ikahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha guchola jikolo bho guitumama chiza imilimo yabho, na gujilabhila chiza isabho ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Nyakati 2:11.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:31-33.

KISWAHILI: MAGANGA KWA NYUMA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uwekaji wa akiba wa Maganga. Maganga alikuwa na kawaida ya kuongelea maneno ya mbeleni ambayo ni pamoja na uwekaji wa akiba ya mali itakayoweza kuwasaidia katika siku za mbeleni. Ndiyo maana watu huhimizana kujiwekea akiba hiyo ya mali kwa kusema kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana mali za kuweza kumsaidia katika siku za mbeleni. Mtu huyo, huwa anawekeleza kidogo kidogo, mali anazozipata katika kazi zake, mwishowe mali hizo huwa nyingi. Yeye anaelewa namna ya kuzitafuta mali hizo anazozipata, na namna ya kuzitumia.

Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kuwafundisha njia za kuitafuta mali hiyo, na zile za kuitumia vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘Maganga kwa nyumba.’

Masemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kutafuta mali kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kuzilinda  vizuri mali wanazozipata, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Nyakati 2:11.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:31-33.

nkima ntumami1

ntumami2

nkima ntumami2

ENGLISH: SAVE LIKE WHAT MAGANGA DID.

The source of this saying is Maganga and how he was able to save whatever he had for future use. Maganga is a person who used to talk much about his future. He therefore managed to keep his possessions well for his future use. That is why people came with the saying that ‘Save like what Maganga did’ to describe how Maganga was able to plan for his future.

This saying can be compared to a person who has enough resources to help him/her in future. This person can minimally spend the available resources and spare some of them for future. He/she is expected to have resources in his/her future because of the tendance of saving them. Such a person teaches others about how to spend what they have in life by ensuring that they have something to sustain their lives in future.

This saying teaches people about how to save whatever resources they have for their future.

2Chronicles 2:11, Matthew 6: 19-21, Luke 12: 31-33.

596. KALAGU – KIZE. NG’HONA YATELELA HATATI YA B’ANA B’INGI:– LING’WANDU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile ling’wandu. Ung’wandu gunuyo, guli nti ntale gete uyo gugikalaga na b’ana b’ingi. Ab’ana bhenabho pye b’agikalaga b’adamilile halininabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalabhilaga kaya yakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigakalaga ali na bhutogwa bhutale ukubhiye, ubho bhugang’wambilijaga ugubhalanga abhanhu bhake nzila ja gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho.

Uweyi agikalaga abhadimilile abhana bhakwe guti numo gubhadimilile Ung’wangu ab’ana bhago. Akikalile kakwe kenako, kakabhalanjaga abhiye inzila ja gujilabhilila chiza ikaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gudebha gujilabhila chiza ikaya jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bhitogilwe chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NG’HONA AMETAGIA KWENYE BUIBUI WA WATOTO WENGI:- MBUYU.

  Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Mbuyu. Mbuyu huo, ni mti mkubwa kabisa, ambao huwa na matunda mengi. Matunda hayo, huwa yamejining’iniza kwenye mti. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilinda kwa kuitunza vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana upendo mkubwa kwa watu wake, ambao humsaidia katika kuwafundisha namna ya kuyatekeleza majukumu yao, na kuishi na wenzao vizuri.

Yeye huwa ameshikamana na watoto wake, kama vile Mbuyu unavyoshikamana na matunda yake hayo. Maisha yake, huwafundisha watu njia za kuzilinda kwa kuzitunza vizuri familia zao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzilea kwa kuzitunza vizuri familia zao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

ng'wandu1

baobab ng

baobab-ng'wandu

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

THE BIRD THAT HAS BUILT A NEST WITHIN THE SPIDER’S FAMILY – BAOBAB TREE.

The source of this riddle is a baobab tree. This tree is featured by being big in size and it produces many fruits. Its fruits will always appear to hang from the baobab tree. This hanging of fruits from the branches of the baobab tree made people come with the riddle that ‘The bird that has built a nest within the spider’s family’ to communicate the connection among the following: the baobab tree, its branches and the fruits it bears.

This riddle can be compared to a person who takes good care of his/her family. This person is likely to have deep love to his/her people. Such a person can be attached to his/her children in the same way a baobab tree is attached to its branches and fruits.

This riddle teaches people about understanding how to raise and take care of their children. In so doing, they will be able to create and maintain good relationship with neighbours throughout their lives.

Deuteronomy 5:32, Ezra 8:29, Acts 20:28, Ephesians 5:29.

595. KALAGU – KIZE. NINA NG’WANI GOYEGOYE NG’WANA NG’WANIB’ILINGWA: – TIGITI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola itina lya tigiti, na bhana bhalyo. Ilitina linilo, ligabhizaga na magole ayo gagalanda landaga kihamo na matina gangi ayo gagalandaga guti lyoyi.  Aliyo lulu, ululyubhyana abhana bhalyo bhagabhizaga bhibhilingu, bhatale, bhanonu na bhingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhakujaga bho gubhalela chiza abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhana bhakwe bhenabho, abho bhagakulaga bhamanile uguitumama chiza imilimo ya hakaya, nu gwikala chiza na bhanhu bha munzengo gobho.

Uweyi agikaloga ni litina lya tigiti linilo, kunguno nuweyi alina bhana abho agabhakujaga bho gubhinha ilange lya wiza. Abhana bhenabho bhagabhizaga bhawiza umukajile ka nhungwa jabho, guti ni tigiti umojiganonelaga, ukubhali bhajo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhabyaji higulya ya gubhakuja bho gubhalanja nhungwa jawiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, na gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MAMA YAKE KAMBAKAMBA WATOTO MVIRINGO – TIKITI MAJI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia shina la tikiti maji na matunda yake. Shina hilo la tikiti maji huwa ni kamba kamba ambazo hutanda zikiwa pamoja na mshina mengine yanayotanda kwa kulanda landa. Lakini basi, shina hilo huzaa matunda ya mviringo, ambayo huwa makubwa, mengi na matamu sana. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwakuza kwa kuwalea vizuri watoto wake. Mtu huyo, huwafundisha kushika tabia njema watoto wake hao, ambao hukua wakiwa wanafahamu kufanya kazi na kuishi vizuri na watu wa kijijini kwao.

Yeye hufanana na shina hilo la tikiti maji, kwa sababu naye ana watoto wambao huwakuza kwa kuwapatia malezi mema. Watoto hao, huishika na kuishi tabia hiyo njema, hali ambao huwawezesha kuwa wazuri, kama tikiti maji zilivyo tamu kwa walaji wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza kwa kuwapatia malezi mema watoto wao, katika maisha yao, ili waweze kuyatimiza vizuri majukumu yao, na kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

tikiti4

tikiti3

tikiti

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT’S MOTHER IS JUST PIECES OF THREADS BUT HER CHILDREN ARE ROUNDISH IN SHAPE – WATERMELON.

The source of this riddle is a watermelon and its stem. The stem of water melon always appears like pieces of strings. These strings can be scattered around but they have one source; stem. Despite its appearance, being pieces of strings, it produces water melon, a fruit that is roundish in shape, big and sweet as well. That is why people came with this riddle ‘its mother is just pieces of threads but her children are roundish in shape – watermelon’ to communicate the relationship between watermelon and its stem.

This riddle can be compared to a person who takes care of his/her children. This person teaches his/her children on how to behave and live well with the people in their societies. This person is likened to a stem of watermelon that takes good care of its fruits despite its condition of being just pieces of threads. Its fruits are big and sweet enough to attract consumers. All these good attributes of the water melon fruit are associated with good parenting of its stem.

This riddle teaches people about nurturing children by providing them with good care. This will enable them to be acceptable members of the society.

Psalm 127: 3-5, Psalm 128: 3, Job 5:25.