heritage

563. NJIGU IGAGULAGWA NA NG’WIPWA.

Imbuki ya kahayile kenako ililole njigu na ng’wipwa. Injigu jili jito ja ng’wa munhu uyo okenagulaga, nulu uyo witaga mihayo ya bhubhi ukubhanhu, guti gunlabhula munhu ohakaya ndebhe. Ung’wipwa o nkenaguji ng’wunuyo, huyo wisanyiwe ugusoleleja injigu, nulu isabho ijagujulipa ukukaya iyo yakenagujiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘njigu igagulagwa na ng’wipwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe gwikala chiza na bhanhu ahakaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo alemile inhungwa ja wibhoneji aha ng’wakwe. Uweyi ahayile abhanhu bhikale bho mholele, kugiki bhuli ng’wene apandike ijo igelelilwe ajipandike. Umunhu ng’wunuyo, agabhalanjaga abhanhu bhakwe gwiyambilija umumakoye na gubhalipa abhanhu abho bhabhibhonela umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘njigu igagulagwa na ng’wipwa.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu kuleka nhungwa ja gwibhonela bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho umukikalile kabho.

(Waebrania 5:1-3; Wagatia 3:13; Waroma 3:23-24).

KISWAHILI: MALIPO YA MHALIFU HUGHARIMIWA NA MPWA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia malipo ya adhabu ya mkosaji na mpwa wake. Malipo hayo ni adhabu ya mkosaji aliyefanya uhalifu huo kwenye familia fulani. Mpwa wa mhalifu huyo ndiye anayetegemewa kuchangisha malipo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘malipo ya mhalifu hugharimiwa na mpwa.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda kuishi vizuri na watu katika familia yake. Mtu huyo haruhusu tabia za kuwaonea watu wa nyumbani kwake au wa nje ya nyumba yake.

Yeye anapenda watu waishi kwa amani, ili kila mmoja aweze kupata haki yake anayostahili kutokana na kazi yake. Mtu huyo huwafundisha watu wake kuishi maisha ya kusaidiana. Hupenda watu wawe pamoja maishani katika kuyatatua matatizo yao kwa kuwafidia wale walioumizwa na wenzao. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘malipo ya mhalifu hugharimiwa na mpwa.’

Msemo huu hufundisha watu  kuacha tabia za uonevu na, badala yake, wawe na tabia njema ili waweze kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

(Waebrania 5:1-3; Wagalatia 3:13; Waroma 3:23-24).

handshake

hands-team

 

ENGLISH: A CRIMINAL’S PAYMENT IS BORNE BY A NEPHEW/NIECE.

The basis of this saying is the punishment of the offender who commits a crime to a given family and a nephew/niece. The punishment for the perpetrator is usually in form of a fine. The perpetrator’s nephew or niece is the one who is expected to collect contributions for payment of such a fine. That is why people say, ‘A criminal’s payment is borne by a nephew/niece.’

The saying is used comparatively to refer to any person who likes to get along well with others in his/her family. The person does not allow bullying behavior in his or her home. He/she wants people to live in peace, so that everyone can get their rights entitled to them through their work. This person teaches his/her people about living a supportive life. He/she wants people to come together in solving their problems, such as compensating those who have been hurt by others. That is why people say, ‘a criminal’s payment is borne by a nephew/niece.’

The saying teaches people to abandon bullying behavior and, instead, develop good manners, so that they can live in harmony with others in their lives.

(Hebrews 5: 1-3; Galatians 3:13; Romans 3: 23-24).

562. SELEKALI YILI NA NKONO NIHU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutumami bho Selekali. Iselekali igatumamaga milimo yayo, bho gwiyambilija, kugiki idule gubhashigila pye abhanhu bhayo. Iyoyi igatumamaga bho guja bhaliinhilija abhatumami bayo, guti munhu uyo ali nkono nihu. Hunagwene abhanhu bhabayombaga giki, ‘selekali yili na nkono nihu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyambilija, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga milimo yabho bho guja bhagwiinhilijaga mpaga nose gugashigaga nigo uko goligujile.

Abhoyi abhagabhalanjaga na abhichabho kubhiza na wiyambilija bhunubho, kugiki bhadule nulu guishisha nyalubha yoseyose, bho guja bhagwiyinhilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘selekali yili na nkono nihu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhiza na wiyambilija bhutale umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

(Kutoka 18:22; Mathayo 28:19).

KISWAHILI: SERIKALI INA MKONO MREFU.

Chanzo cha msemo huu chatokea kwenye utendajikazi wa Serikali. Serikali hutenda kazi zake kwa kwa watumishi wake kushirikiana na kusaidiana baina yao, ili huduma ziweze kuwafikia watu wake wote kwa haraka. Yenyewe hutenda kazi kwa watumishi kupokezana maelekezo kama mtu mwenye mkono mrefu. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘Selikali ina mkono mrefu.’

Msemo huu hulinganishwa kwa watu wale ambao huyatekeleza majukumu yao kwa kushirikiana na kusaidiana katika maisha yao. Watu hao husaidiana katika kufanya kazi zao, kwa kupokezana mpaka wanafaulu kuufikisha ujumbe kule unakotakiwa kwenda.

Wao huwafundisha pia wenzao kuwa na ushirikiano huo, ili waweze kuufikisha ujumbe wao kule unakotakiwa kufika, kwa haraka iwezekanavyo. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘Selikali ina mkono mrefu.’

Msemo huu hufundisha watu kuwa na ushirikiano mkubwa wa kuwawezesha kusaidiana vizuri katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani.

(Kutoka 18:22; Mathayo 28:19).

migration

nkono

 

ENGLISH: THE GOVERNMENT HAS A LONG HAND.

The foundation of this saying is how the government works. The government performs its functions by its workers passing information from on person to another, so that the message reaches all intended receivers quickly. It works as a person with a long. That’s why people say, ‘the government has a long hand.’

The saying is used comparatively with reference to those people who fulfill their responsibilities by helping each other in their lives. These people help each other in their work by relaying messages to the intended destination.

The people also teach others to work cooperatively so that they can achieve their desired end as quickly as possible. That is why people say ‘the government has a long hand.’

This saying teaches people about partnership, which enables helping each other in life for the better achievement of their objectives in life.

(Exodus 18:22; Matthew 28:19).

561. LYASHIKA LULU IKOMANYA MIGONGO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukomanya bho ludugu lo kumigongo. Ubhukomanya bhunubho bhugalolaga jibyalilwe ja lwande lo nkima, kunguno ilipande lya nkima hilo ligitanagwa ipande lya kumigongo. Hunagwene abhanhu abha lwande lunulo, ulu bhuhaya gwikuminga bhagayombaga giki, ‘lyashiga lulu ikomanya migongo’.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhidebhile chiza umuludugu lobho. Abhanhu bhenabho bhagabhizaga na jigasho ja gwiizukija inhungwa ija gwikala bhagwiyambilijaga chiza, umuwikaji bhobho.  Abhoyi bhagiyambilijaga ulu ng’wichabho opandikaga makoye umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagakadimilaga akajile akawiza ako kagabhakujaga chiza abhana bhabho. Akajile kenako kali kagwikala na nhungwa jawiza bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulu bhahaya gwibhilinga kugiki bhadule gwiizukija imihayo yiniyo, bhagalitanaga ilibhilinga lyabho giki, ‘ikomanya migongo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhiza na widebhi wiza na bhanhu umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza ijinagujibheja chiz, ikaya jabho.

(Mathayo 25:31-34).

KISWAHILI: UMEFIKA WAKATI WA KUCHAGUA UDUGU WA KUKENI.

Chanzo cha msemo huou chatokea kwenye uchaguaji wa udugu wa upande wa kukeni. Uchaguaji huo huangalia kizazi cha upande wa kukeni, kwa sababu upande huo ndio huitwa udugu wa kukeni. Ndiyo maana wale wa upande huo, wakitaka kukusanyika, husema kwamba, ‘umefika wakati wa kuchagua udugu wa kukeni.’

Msemo huu hulinganishwa kwa watu wale wanaouelewa vizuri udugu wao. Watu hao huwa na kikao chao maalumu ambacho ni cha kukumbushana kuishi kwa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Wao husaidiana na wenzao wakati wa matatizo mbalimbali maishani.

Watu hao huzishikilia desturi zilizo njema katika kuwalea na kuwakuza vyema watoto wao. Mwenendo huo ni ule unaojenga tabia njema inayowahimiza kuishi kwa amani na wenzao kila wakati. Ndiyo maana watu hao wakitaka kukusanyika ili waweze kukumbushana maadili hayo, husema kwamba, ‘umefika wakati wa kuchagua udugu wa kukeni.’

Msemo huo hufundisha watu kuishi kwa kuelewana vizuri na watu wengine maishani, ili waweze kusaidiana vizuri katika kuziendeleza vizuri familia zao.

(Mathayo 25:31-34).

bhanwani

botswana

ENGLISH: IT IS NOW TIME TO CHOOSE MATERNAL SIDE.

The foundation of this saying is the choice of going to one’s maternal side. The choice intends to look at the generation of one’s maternal side, because it is that which is called maternal side. That is why when relatives from that side want to hold a meeting say, ‘it is now time to choose maternal side.’

The saying is used comparatively to refer to those people who really understand their brotherhood. These people do have special meetings to remind each other about living by helping each other They help each other during various problems in their lives.

These people uphold those practices that are good for the well-being of their children. Such practices create positive behaviors that encourage them to always live in peace with their peers. That’s why when those people want to gather so they can remind each other of the values, they say, ‘it is now time to choose maternal side.’

The saying teaches people about living well with other in their lives, so that they can help each other better the wellbeing of their families.

(Matthew 25: 31-34).

560. NUMBA IGABHINZIKILAGA HANYANGO.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhubhinziki bho numba. Inumba yiniyo, ulu yubhinzikila hanyango goyo, igabhachibhilaga abha hakaya yiniyo ugufuma ihanze, n’ugwingila umukaya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘numba igabhinzikilaga hanyango.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhitolile, umukikalile ka witoji bhobho. Abhanhu bhenabho bhadebhile ugwikala kihamo bho gwiyambilija chiza umutumami bho milimo yabho.

Abhoyi bhalijigemelo ukubhubheja bho kaya ukubhichabho, kunguno ya witogwa bhutale ubho bhali nabho, umuwitoji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhakomelejaga abho bhitogilwe gubhulang’hana chiza uwitogwa bhobho.

Abhoyi bhamanile igiki abhanhu abho bhali muwitoji ulu bhoya ugusangila ung’wenda (uumo obho ujijiwa ugwingila umukaya), ikaya yeniyo idulama. ‘Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘numba igabhinzikilaga hanyango.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu bhatoleke gwikala na witogwa bho  gwiyambilija guitumama imilimo yabho shigu jose, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.

(Ufunuo 3:20).

KISWAHILI: NYUMBA HUVUNJIKIA MLANGONI.

Chanzo cha Methali hii chaangalia uvunjikaji wa nyumba mlangoni. Nyumba ikivunjikia mlangoni, huwazuia watu kupita pale, kwa maana ya wale wa ndani hubaki ndani, na wale walioko nje hubaki huko. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nyumba huvunjikia mlangoni.’

Methali hii hulinganishwa kwa watu wale waliofunga ndoa, wanaofahamu kuyaishi maisha yao hayo ya ndoa. Watu hao wanafahamu kuishi katika umoja wa kushirikiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao katika maisha yao. Wao ni mfano wa kuigwa na wana  ndoa wenzao katika kuuishi upendo wao kwenye maisha yao hayo ya ndoa. Watu hao huwahimiza wana ndoa kuulinda vizuri upendo wao kati yao.

Wao wanaelewa kwamba wana ndoa waakiacha kuchangia shuka (kwa maana mmoja ananyimwa unyumba au anazuiliwa kuinga ndani), basi familia hiyo hutetereka. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘nyumba huvumjikia mlangoni.’

Methali hii hufundisha wanandoa kuuishi upendo wao kati yao, kwa kushirikiana katika kuyatekeleza majukumu yao siku zote, ili waweze kuishi kwa amani maishani mwao.

(Ufunuo 3:20).

numba1

ENGLISH: THE HOUSE COLLAPSES FROM THE DOOR.

The origin of this proverb is the callapse of a house from its door. The house whose entry collapses prevents people from entering or from coming out; for those inside remain inside, and those outside, remain outside. That is why people say, ‘the house collapses from the door.’

This proverb is use comparatively to refer to married couple, who know how to live their marriage life. Such people know how to live in a cooperative union tat facilitates the execution of their responsibilities in life. Their life is exemplary and inspires marriage life. Such a couple encourages other couples to protect their love for each other. They understand that, when a couple stops sharing a bedsheet (meaning that one is denied marital rights or prevented from entering the house), the family staggers. That is why people say, ‘the house collapses from the door.’

The proverb teaches married couples to live their love for each other, by working together in fulfilling their daily responsibilities, so that they can live in peace forever.

(Revelation 3:20).

559. LIMI BHADABHIMBELAGWA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku bhuli bho jiliwa ahikanza lya limi. Umunhu ulu ulya wiguta gete ahikanza linilo ilya limi, adiko ugubhimbelwa kunguno, adulile guja gujutumama milimo mpaka utubha. Umunhu ng’wunuyo agushoka ikaya otubhaga. Hunagwene, abhanhu bhagayombaga giki, ‘limi bhadabhimbelagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalitumilaga ilikanza ilya limi bho gutumama milimo chiza. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga ijiliwa ijo ojilyaga bho gutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale, kugiki adule gupandika matwajo mingi ayo gadulile guyilang’hana chiza ikaya yakwe.Uweyi adebhile ugubhalanga abhanhu bhakwe gubhiza bhali kumilimo ahikanza lyabho ilya limi, bho gubhinha jigemelo ja wikaji na bhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agifulaga ibhujiku, kugiki adule guyitumama chiza imilimo yakwe ahikanza ilya limi. Ulu wela ubhujiku, agalyaga wiguta, na kuja kumilimo yakwe, ogatumama mpaga utubha, na ogodoka. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘limi bhadabhimbelagwa.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu  gulitumila ilikanza ilya limi, bho gwigulambija gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

(Ufunuo 3:20-21).

KISWAHILI: MCHANA HAWAVIMBIWI.

Chanzo cha msemo huu chatokea katika ulaji wa chakula wakati wa mchana. Mtu akila sana chakula wakati wa mchana, havimbiwi kwa sababu aweza kwenda kufanya kazi mpaka akajisikia njaa. Mtu huyo atarudi nyumbani akijisikia njaa. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘mchana hawavimbiwi.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia muda wake wa mchana kufanya kazi zake vizuri. Mtu huyo hukifanyia kazi chakula alichokula, kwa kuyatekeleza majukumu yake ambayo humpatia mafanikio ya kuitunza vizuri familia yake. Yeye anafahamu kuwafundisha watu wake kuwa kazini wakati huo wa mchana, kwa sababu ya yeye mwenyewe kuwa mfano wa kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Mtu huyo hupumzika wakati wa usiku, ili aweze kuyatekeleza vizuri majukumu yake wakati mchana.

Usiku ukipambazuka, yeye hula chakula na kwenda kazini kwake, ambako hufanya kazi mpaka anajisikia njaa, ndipo hurudi nyumbani. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘mchana hawavimbiwi.’

Msemo huu hufundisha watu kuutumia vizuri wakati wao wa mchana kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio makubwa maishani mwao.

(Ufunuo 3:20-21).

bhuli bho jiliwa

magwa limi

ENGLISH: THERE IS NO SUCH THING AS OVEREATING DURING DAY TIME.

The origin of this is eating habits during the day. If a person eats too much food during the day, they cannot said to have over eaten because they can go to work and work until they feel hungry. Tht person will come back home hungry. That is why people say, ‘there is no such thing as over eating during day time.’

The saying is used comparatively to refer to a person who spends most of his day working well. The person works and burns the food he/she eats, fulfilling his/her obligations and succeeds in takin good care of his/her family. Such a person knows how to teach others about being at work during the day time, because of himself/herself being the role model in his life. The person rests at night, so he can carry out his/her duties during the day.

In the morning, he/she eats food and goes to his/her place of work, where he/she works until he/she is hungry and then returns home. That is why people say,  Tthere is no such thing as over eating during day time.’

The saying teaches people o make the most of their day, by doing their jobs well so that they can get the most out of their lives.

(Revelation 3: 20-21).